Ramba Boys High School KCSE 2020 results analysis, grade count and ranking

Ramba Boys High KCSE 2020/2021 RESULTS ANALYSIS (SCHOOL MEAN, INDIVIDUAL CANDIDATES’ RESULTS AND MEAN GRADE SUMMARY)- Ramba Boys High school has been posting impressive performances in KCSE over the years and 2020 is no exception. In the 2020 KCSE examinations the school posted a mean score of 8.085 which is a B- (minus).

Ramba Boys High SCHOOL KCSE 2020 RESULTS ANALYSIS MEAN GRADE SUMMARY

Looking for KCSE 2020/2021 results for all schools and candidates? Visit this portal; KCSE RESULTS PORTAL.

The school registered a total of 365 candidates in the KCSE 2020 exam. In the just released KCSE 2020 results, the school posted an impressive mean score of 8.085 which is a B- (minus) . The good news is that 322 candidates managed to score above C+ (plus), which is the minimum university entry grade. This translates to a percentage of 88.22% securing direct entry to university under the placement body, KUCCPS.

Download KCSE 2020/2021 results for this school here; Official Knec KCSE Results Portal

Here is a complete distribution of grades for the school in KCSE 2020 results;

KCSE RESULTS 2020
Grade Entry
A 0
A- 8
B+ 46
B 85
B- 109
C+ 74
C 34
C- 08
D+ 01
D 0

All KCSE results are available here; KCSE 2019, 2020-2021 Results analysis and ranking for all schools and candidates.

Related news; How to get the KCSE 2020/2021 results via Knec SMS Code and online portal

Ramba Boys High SCHOOL’S KCSE 2019 RESULTS

Read more details here; KCSE 2019 list of top 200 schools nationally; Full list.

You may also like; KCSE 2019 national results and ranking per subject- Physics

KCSE 2020 IMPORTANT NEWS

Top 100 schools in KCSE 2020 (Official list)

KCSE 2020 results analysis and ranking for all schools

KCSE 2020-2021 top 100 schools and Candidates

KCSE 2021 top 100 schools (Official list)

BACHELOR OF ARTS IN PEACE STUDIES AND CONFLICT RESOLUTION KUCCPS CUT OFF POINTS, REQUIREMENTS 2022-2023

BACHELOR OF ARTS IN PEACE STUDIES AND CONFLICT RESOLUTION KUCCPS CUT OFF POINTS, REQUIREMENTS 2022-2023

BACHELOR OF ARTS IN PEACE STUDIES AND CONFLICT RESOLUTION
# PROG CODE INSTITUTION NAME PROGRAMME NAME 2022/2023 CUTOFF 2019/2021 CUTOFF 2018 CUTOFF 2017 CUTOFF 2016 CUTOFF 2015 CUTOFF
1 1078669 AFRICA NAZARENE UNIVERSITY BACHELOR OF ARTS IN PEACE STUDIES AND CONFLICT RESOLUTION 25.32 24.734 24.963
2 1279669 MOUNT KENYA UNIVERSITY BACHELOR OF ARTS IN PEACE STUDIES AND CONFLICT RESOLUTION 24.326 24.921 25.155 29.265 23
3 1570669 TURKANA UNIVERSITY COLLEGE BACHELOR OF ARTS IN PEACE STUDIES AND CONFLICT RESOLUTION 22.21 24.651

All schools to have Land Title Deeds as team to lead the process is unveiled

The government has moved to ensure that all public schools get title deeds for the land they sit on. This latest development has been informed by the fact that only two thousand and seventy schools (2,070) out of the about twenty seven thousand (27,000) public schools have the title deeds. This is after an analysis of same was conducted by the Education Ministry. Schools were expected to upload registration and other documents to the Ministry of Education’s National Education Management Information System (NEMIS) portal.

And now, the government, through the Ministries of Education and Lands, has constituted a team of 15 members to lead in the process of acquisition of title deeds by all the public schools, in Kenya. The members were appointed by Cabinet Secretaries: Dr. Amina Mohammed (Education) and Ms. Ms. Farida Karoney (Cabinet Secretary,
Ministry of Lands and Physical Planning).
The team composed of majorly senior officials from the two ministries and other stake holders (with majority of the appointees from the Lands Ministry) shall have Dr. Sylvester Mulambe as its Chairperson.

The members whose appointments were published in the Kenya Gazette publication of 30th November, 2018, are:

  • Dr. Sylvester Mulambe- Deputy Director at the Ministry of Education (Chairperson|)
  • Other appointed members are:
    • Ms Caroline Wanjika Gaita (of Shule Yangu Non Governmental Organization, NGO)
    • Alice Nyakiongora (Education Ministry)
    • Mr. Sylvester Osondo (Lands Ministry)
    • Mr. Meshack Ondima (Lands Ministry)
    • Martin Andati (Lands Ministry)
    • Mary Ngundo (National Lands Commission)
    • Stephen Ondogo Makana (Lands Ministry)
    • Gabriel Muthuma Warigi (Political analyst)
    • Alfred Mwanza (Lands Ministry)
    • Clarah Chemutai (Lands Ministry)
    • Polly Gitimu Wanjiku (Lands Ministry)
    • Stephen Gichana Mayaka (National Land Commission)
    • Weldon Maritim (National Land Commission)
    • Edith Olando (National Land Commission)

Elsewhere, Government officials working in state corporations, universities, technical institutions and teachers training colleges have signed the 2018/2019 performance contracts. Also signing the Performance contract was Dr. Amina Mohammed, Education Cabinnet Secretary. “It has been a pleasure to be part of the Signing ceremony for the 2018/2019 Performance Contracting with state corporations, universities, technical institutions and teachers training colleges,” Dr. Amina said after signing her performance contract on Tuesday, 4th December 2018. “The ultimate objective of performance contracting in the Education sector, like in all public sector institutions, is to ensure that performance is measured against the mandate of each institution using the best international practices,” she added.

Education CS, Dr. Amina Mohammed, when she signed her 2018/2019 performance contract.

Some of the key highlights of the 2018/19 Performance Contract, that the Education officers signed, are: Curriculum reforms,Governance and Management of Institutions;Access and Equity in education and training; Quality and Relevance of education and training to industry and Mainstreaming Special Needs in Education and Training.

Moi Forces Academy | Complete details, location, CBE Subjects Offered, UIC, Knec Code, Contacts

Moi Forces Academy: Moi Forces Academy is a Kenyan boy’s national secondary school located in Kamukunji Constituency, Nairobi county, Kenya.

Get complete information about Moi Forces Academy School’s, physical location, photos, postal Address, phone contact, Knec results analysis, uniform, logo, email Address, Knec Results, Fees, CBE Pathways and Subjects, here. Also find details on the school’s enrolment and admission requirements/ procedure.

More information about Moi Forces Academy School is available, such as: School’s Official Name, School’s Cluster, School’s Type, School’s Nature (Regular/  Sne), School’s Disability Type, School’s Accommodation and Type (Boarding or Day school).

That is not all. Find more details about the school, including: School’s Gender (Boys’ Girls’ Or Mixed), Region Where School Is Located, County  Where School Is Located, Sub County  Where School Is Located, School’s Unique Institutional Code (UIC) and  School’s Knec Code.

Moi Forces Academy National Senior School Location.

Moi Forces Academy School’s Physical location: The institution is located near the Moi Air Base, Eastleigh, in Kamukunji Constituency, approximately 8 kilometers from Nairobi’s Central Business District, CBD.

Moi Forces Academy, Nairobi is the brainchild of His Excellency, the Former President Hon. Daniel T. arap Moi CGH. The Academy was born out of a request by the Nursery School Children at the Moi Air Base to His Excellency the former President to build for them a school to avoid long travel to distant primary schools. In keeping with his commitment to the welfare of others, His Excellency the Former President embarked on the request by the little ones. His Excellency, the Former President conducted the first Harambee Funds Raising on 9th June 1979 with a record of Kshs. 7.8 million being raised.

The school is a national school classified as C1. Get a list of all the New List of all National Schools under CBC, CBE/ CBET Curriculum.

Moi Forces Academy National Senior School’s Contacts.

Moi Forces Academy Principal’s Phone Number: 0734 761242

Moi Forces Academy School’s Facebook Page: Click here to join the School’s Facebook Community.

Postal address:
P.O Box 77155-00611
Nairobi.

Moi Forces Academy National Senior School Details Summary

SCHOOL NAME:  –MOI FORCES

SCHOOL’S CLUSTER:  –C1

SCHOOL’S TYPE:  –PUBLIC

SCHOOL’S NATURE (Regular/  SNE):  –REGULAR

SCHOOL’S DISABILITY TYPE:  –NONE

SCHOOL’S ACCOMODATION TYPE:  –BOARDING

SCHOOL’S GENDER (BOYS’ GIRLS’ OR MIXED):  –BOYS

REGION WHERE SCHOOL IS LOCATED:  –NAIROBI

COUNTY  WHERE SCHOOL IS LOCATED: –NAIROBI

SUB COUNTY  WHERE SCHOOL IS LOCATED: –KAMUKUNJI

SCHOOL’S UNIQUE INSTITUTIONAL CODE (UIC):  –3UKL

SCHOOL’S KNEC CODE: –20400008

Moi Forces Academy School’s Capacity/ Enrolment/ Students’ Population: The National School can accomodate over 1,900 Students.

N/B: Explanation on the acronyms used:

  • Cluster which is the School’s Category. C1 is for National Schools.
  • UIC stands for Unique Institutional Code (UIC)/NEMIS Code
  • KNEC stands for the Kenya National Examinations Council (KNEC) Code that can be used to check the school’s results online.

How To Join Grade 10 At Moi Forces Academy National Senior School

Joining Grade 10 at the school is straight forward. Placement at the school is done by the Ministry of Education. Simply apply for consideration for placement by using this link: Grade 10 Selection System.

More details on Grade 10 Selection can be found at: How to select Grade 10 Senior Schools online at https://selection.education.go.ke/

Moi Forces Academy National Senior School’s Clubs And Societies

A student can join one or more of the following clubs and societies that are found at the school:

  • Science Club: For Exploring innovation and scientific research.
  • Debating Club: For Fostering critical thinking and public speaking skills.
  • Music Club: For Enhancing creativity through music and performances.
  • Drama Club: The Drama Students and their patron Madam Electrine Bhuong recieving Trophy from Mr. Kitsao.
  • IT Club: For Designing Websites and Mobile app developements.
  • Red Cross Club: For Fostering Red cross Activities
  • Peace Club: For Fostering various Activities
  • Wildlife Club: For Promoting conservation and environmental awareness.
  • Scouting Club: For Building discipline and teamwork through scouting activities.

List Of All Subjects And Pathways Offered At Moi Forces Academy National Senior School

The Senior school, being a National School, will offer all the three pathways, listed below, for grade 10-12 students:

  • STEM PATHWAY, THAT IS DIVED INTO: PURE SCIENCES, APPLIED SCIENCES and TECHNICAL STUDIES
  • SOCIAL SCIENCES PATHWAY, THAT IS DIVED INTO: LANGUAGES & LITERATURE and HUMANITIES & BUSINESS STUDIES
  • ARTS & SPORTS SCIENCE PATHWAY, THAT IS DIVED INTO:  ARTS and SPORTS

Get a full list of all the latest Grade 10 Subjects at the Senior School under CBE Curriculum here: Senior Secondary (Grade 10-12) New CBC Learning Areas/ Subjects

FULL DETAILS FOR ALL OTHER NATIONAL SCHOOLS.

Lugulu Girls High Senior School: Full details, location, CBE Subjects Offered


Moi Girls Kamusinga High Senior School: Full details, location, CBE Subjects Offered


Friends Kamusinga Boys’ High Senior School: Full details, location, CBE Subjects Offered


Kibabii Boys High Senior School: Full details, location, CBE Subjects Offered


Cardinal Otunga Girls High Senior School: Full details, location, CBE Subjects Offered


Nalondo CBM Special High Senior School: Full details, location, CBE Subjects Offered


Joyvalley Special High Senior School: Full details, location, CBE Subjects Offered


St. Kizito Secondary School For The H.I: Full details, location, CBE Subjects Offered


Kaplong Girls High Senior School: Full details, location, CBE Subjects Offered


Kaplong Boys High Senior School: Full details, location, CBE Subjects Offered


Moi Siongiroi Girls’ High Senior School: Full details, location, CBE Subjects Offered

Tenwek Boys High Senior School: Full details, location, CBE Subjects Offered

Baringo Boys High Senior School: Full details, location, CBE Subjects Offered

Ossen Girls High Senior School: Full details, location, CBE Subjects Offered

Kapropita High Senior School: Full details, location, CBE Subjects Offered

Kabarnet High Senior School: Full details, location, CBE Subjects Offered

Precious Blood Kilungu Girls Secondary School’s KCSE Results, KNEC Code, Admissions, Location, Contacts, Fees, Students’ Uniform, History, Directions and KCSE Overall School Grade Count Summary

Precious Blood Kilungu Girls Secondary School’s 2023/2024 KCSE Results, KNEC Code, Admissions, Location, Contacts, Fees, Students’ Uniform, History, Directions and KCSE Overall School Grade Count Summary

Onjiko High School all details, KCSE Results Analysis, Contacts, Location, Admissions, History, Fees, Portal Login, Website, KNEC Code

LISTS OF ALL SENIOR SCHOOLS PER COUNTY FOR ALL THE 47 COUNTIES

List of all Senior Schools in West Pokot County

List of all Senior Schools in Wajir County

List of all Senior Schools in Vihiga County

List of all Senior Schools in Uasin Gishu County

List of all Senior Schools in Turkana County

List of all Senior Schools in Trans-Nzoia County

List of all Senior Schools in Tharaka Nithi County

List of all Senior Schools in Tana River County

List of all Senior Schools in Taita Taveta County

List of all Senior Schools in Siaya County

List of all Senior Schools in Samburu County

List of all Senior Schools in Nyeri County

List of all Senior Schools in Nyandarua County

List of all Senior Schools in Nyamira County

List of all Senior Schools in Narok County

List of all Senior Schools in Nandi County

List of all Senior Schools in Nakuru County

List of all Senior Schools in Nairobi County

List of all Senior Schools in Murang’a County

List of all Senior Schools in Mombasa County

List of all Senior Schools in Migori County

List of all Senior Schools in Meru County

List of all Senior Schools in Marsabit County

List of all Senior Schools in Mandera County

List of all Senior Schools in Makueni County

List of all Senior Schools in Machakos County

List of all Senior Schools in Lamu County

List of all Senior Schools in Laikipia County

List of all Senior Schools in Kwale County

List of all Senior Schools in Kitui County

List of all Senior Schools in Kisumu County

List of all Senior Schools in Kisii County

List of all Senior Schools in Kirinyaga County

List of all Senior Schools in Kilifi County

List of all Senior Schools in Kiambu County

List of all Senior Schools in Kericho County

List of all Senior Schools in Kakamega County

List of all Senior Schools in Kajiado County

List of all Senior Schools in Isiolo County

List of all Senior Schools in Homa Bay County

List of all Senior Schools in Garissa County

List of all Senior Schools in Embu County

List of all Senior Schools in Elgeyo-Marakwet County

List of all Senior Schools in Busia County

List of all Senior Schools in Bungoma County

List of all Senior Schools in Baringo County

List of all Senior Schools in Bomet County

Nyamira County best, top secondary schools; Indepth analysis

New List of All National Schools Per Region {For all 8 Regions}

New list of all National Schools in Western Region {CBE Senior Schools}

New list of all National Schools in Rift-valley Region {CBE Senior Schools}

New list of all National Schools in Nyanza Region {CBE Senior Schools}

New list of all National Schools in North-Eastern Region {CBE Senior Schools}

New list of all National Schools in Nairobi Region {CBE Senior Schools}

New list of all National Schools in Eastern Region {CBE Senior Schools}

New list of all National Schools in Coast Region {CBE Senior Schools}

New list of all National Schools in Central Region {CBE Senior Schools}

New List of all Mixed National Schools under CBC, CBE Curriculum

New List of all Girls’ National Schools under CBC, CBE Curriculum

SIMILAR NATIONAL SCHOOLS.

Noonkopir Girls High School: Full details, location, CBE Subjects Offered, UIC, Knec Code


Moi Girls Isinya High School: Full details, location, CBE Subjects Offered, UIC, Knec Code


Isiolo Girls High School: Full details, location, CBE Subjects Offered, UIC, Knec Code


Garbatula High School: Full details, location, CBE Subjects Offered, UIC, Knec Code


Orero Boys High School: Full details, location, CBE Subjects Offered, UIC, Knec Code


Asumbi Girls High School: Full details, location, CBE Subjects Offered, UIC, Knec Code


Agoro Sare High School: Full details, location, CBE Subjects Offered, UIC, Knec Code


Bishop Linus Okok Girls’ High School: Full details, location, CBE Subjects Offered, UIC, Knec Code

Tengecha Girls High School: Full details, location, CBE Subjects Offered, UIC, Knec Code


Tengecha Boys High School: Full details, location, CBE Subjects Offered, UIC, Knec Code


St.Paul Charera special High School: Full details, location, CBE Subjects Offered, UIC, Knec Code


Litein Boys High School: Full details, location, CBE Subjects Offered, UIC, Knec Code


A.I.C Litein Girls High School: Full details, location, CBE Subjects Offered, UIC, Knec Code


Kabianga High School: Full details, location, CBE Subjects Offered, UIC, Knec Code


St. Peter’s Mumias Boys’ High School: Full details, location, CBE Subjects Offered, UIC, Knec Code


Musingu Boys High School: Full details, location, CBE Subjects Offered, UIC, Knec Code


Mukumu Girls High School: Full details, location, CBE Subjects Offered, UIC, Knec Code


Kakamega school: Full details, location, CBE Subjects Offered, UIC, Knec Code


Butere Girls High School: Full details, location, CBE Subjects Offered, UIC, Knec Code


Oloolaiser High School: Full details, location, CBE Subjects Offered, UIC, Knec Code


Orero Boys High School: Full details, location, CBE Subjects Offered, UIC, Knec Code


 

Moi Forces Academy | Complete details, location, CBE Subjects Offered, UIC, Knec Code, Contacts

Metkei Girls KCSE 2023 Results Analysis and Grades Count

Metkei Girls has once again posted a good performance at the 2023 KCSE examinations. In the 2023 KCSE examinations, the school had all the registered candidates getting a mean grade C+ and above. This means all the KCSE 2023 candidates will proceed to university in 2024.

The School recorded an impressive result in the 2023 KCSE exams. Below is the full analysis of the school’s KCSE 2023 performance.

Get the school’s Full details here: Metkei Girls 

Below is the school’s mean grade, grade count analysis and number of students who qualified for university degree courses.

The school recorded a mean score of 8.96 points, which is a mean grade of B{plain}, to emerge among the top and best performing schools nationally.

Position Nationally Name of School Region County kcse 2023 Mean Score kcse 2023 Mean Grade School Type Category
83 Metkei Girls High Rift Valley Elgeyo Marakwet 8.96 B{plain} Girls

Top Performing National Schools in KCSE 2023

Nyambaria Boys High School’s KCSE 2023 Results Analysis, Ranking Grades Distribution and Location
Alliance Girls High School’s KCSE 2023 Results Analysis, Ranking Grades Distribution and Location
St Brigids Kiminini Girls High School’s KCSE 2023 Results Analysis, Ranking Grades Distribution
Nakuru Boys High School’s KCSE 2023/2024 Results Analysis, Ranking Grades Distribution and Location
Asumbi girls High school KCSE 2023 Results, Grade Distribution
Kapsabet High KCSE 2023 Results Analysis, Mean Grade Count
Moi Girls High School Eldoret 2023 KCSE Results Analysis, Grade Count
Kanga High School 2023 KCSE Results Analysis, Grade Count
Kenya High School KCSE 2023 Results Analysis, Grades
Maseno School KCSE 2023 Results analysis, Grade Count
Kagumo High School 2023 KCSE Results Analysis, Grade Count
Murang’a High School KCSE 2023 Results Analysis
Nairobi school KCSE 2023 Results, Candidates’ Mean Grades Distribution
Maranda High school 2023 KCSE Results Analysis, Grade Count
Meru School KCSE 2023 Results Analysis and Grades Distribution
Meru School KCSE 2023 Results Analysis and Grades Distribution
Bunyore Girls’ High School 2023 KCSE Results Analysis, Grade Count
Tenwek High school KCSE 2023 Results Analysis and Grades Count
Lugulu Girls High School; KCSE 2023/2024 Results Analysis, Contacts, Location, Admissions, History, Fees
Lugulu Girls’ High school 2023 KCSE Results Analysis, Grade Count
Baringo High School 2023 KCSE Results Analysis, Grade Count
Kaplong Girls National School KCSE 2023 Results Analysis
Bahari Girls High School; KCSE Results Analysis, Contacts, Location, Admissions, History, Fees

Top Performing Extra-County Schools in KCSE 2023

Cardinal Otunga High school, Mosocho 2023 KCSE Results Analysis, Grade Count
St. Anthony’s Boys Kitale kcse 2023 results, Grade Count
St. Paul’s Igonga DOK Secondary School 2023 KCSE Results Analysis, Grade Count
Kaaga Girls High School KCSE 2023 Results Analysis
Orero Boys High school 2023 KCSE Results Analysis, Grade Count
Samoei Boys High School ; full details, KCSE  Analysis, Contacts, Location, Admissions, History, Fees
Chebwagan High School KCSE 2023 Results Analysis, Grade Distribution
Ogande Girls High School KCSE 2023 Results, Grade Distribution
Sawagongo High School 2023 KCSE Results Analysis, Grade Count
Nyakongo Boys High School 2023 KCSE Results, Mean Grades Count
Cheborge Boys High School KCSE 2023 Results, Grades Count
Bishop Linus Okok Girls’ High School 2023 KCSE Results Analysis, Grade Count
Ack Rae Girls High School 2023 KCSE Results Analysis, Grade Count
Korongoi Girls High School KCSE 2023 Exams Results
Lelwak boys KCSE 2023 Exam Results Analysis, Grade Count
Ossen Girls High School KCSE 2023 Results, Grades Count
Agoro Sare High School 2023 KCSE Results Analysis, Grade Count
St Mary’s Kibabii Boys High School KCSE 2023 Results Analysis
Ruth Kiptui Girls Kasok KCSE 2023 Exam Results Analysis
AIC Sombe Girls High School Kitui – 2023 KCSE Results Analysis, Grade Count
Tabagon Girls High school 2023 KCSE Results Analysis, Grade Count
Chavakali High School’s KCSE 2023/2024 Results Analysis, Ranking Grades Distribution and Location
Moi Siongiroi Girls High School KCSE 2023 Results and Grades Distribution
Cardinal Otunga Girls High School; All details, KCSE Results Analysis, Contacts, Location

___________________________________________________

Also read
Best, top, Extra County Schools in Migori County
List of best performing Extra County schools in Machakos County
Full list of best performing, top, extra county schools in Kisumu County
Best, top, Extra County Schools in Kirinyaga County
List of all Boys Extra County Schools in Kenya; Location, Knec Code and Type
List of Best Extra County Schools, Knec Code, Contacts Per County
List of best performing, top, extra county schools in Kericho County
New list of all Extra County schools; Contacts and physical locations
Best Extra County schools in Embu County
Nakuru County Best National, Extra-County Secondary Schools
Siaya County KCSE Best National, Extra-County Secondary Schools
Mandera County KCSE Best National, Extra-County Secondary Schools
Turkana County Best National, Extra-County Secondary Schools
Homa Bay County Best National, Extra-County Secondary Schools

______________________________________________________________

Metkei girls high kcse 2023 results today,
Metkei girls high kcse 2023 results per county,
Metkei girls high kcse 2023 results pdf,
Metkei girls high kcse 2023 results list,
Metkei girls high kcse 2023 results date,
metkei secondary school fees structure,

Kiswahili KCSE Mock Exams and Answers {Latest Best Collections}

Cheti cha KuhitimuKisomo cha Sekondari

MTIHANI WA MUHULA WA PILI2023

 

 

MOCKS 1 2023

 

102/3                    Kiswahili – Fasihi    Karatasiya 3

KIDATO CHA NNE          JULAI/AGOSTI, 2023            Muda: Saa 2½

 

Jina: ………………………………………….………………      Nambari: ………………

Mkondo: ………………SahihiyaMtahiniwa: ………..……..Tarehe ……………………

Maagizo

  • Andikajinalako, nambariyausajili, mkondo, sahihinatarehekatikanafasiulizoachiwahapojuu.
  • Swali la kwanza ni la lazima.
  • MaswalihayomenginematatuyachaguliwekutokasehemunnezilizobakiRiwaya, Ushairi, TamthilianaFasihiSimulizi.
  • Usijibu maswali mawili kutoka sehemu moja.
  • Karatasi hii ina kurasa 6. Watahiniwa ni lazima wahakikishe kwamba kurasa zote za karatasi hii zimepigwa chapa sawasawa na kuwa maswali yote yamo.
  • Maswali yote ni sharti yaandikwe kwa lugha ya Kiswahili.

Kwamatumiziyamtahinipekee

 

         SWALI UPEO             ALAMA
1 20  
  20  
  20  
  20  
JUMLA 80  

 

 

SEHEMU A: HADITHI FUPI(LAZIMA)

D.W. Lutomia na PhibbianMuthama : Mapambazuko Ya Machweo Na HadithiNyingine     

  1. Lazima

 

  • (alama 8)
  • Suala la kazinabidilimeangaziwakwa kina kwenyediwaniyamapambazukoyamachweo. Teteaukweliwakaulihiikwakurejeleahadithizifuatazo:
    1. Fadhilazapunda
    2. Mapambazukoyamachweo
  • Sabina (alama 12)

 

SEHEMU B: RIWAYA

A.Matei: Chozi la Heri.

Jibu swali la 2 au la 3

 

  1. Naona wingu kubwa angani likitembea kwa kedi na madaha na kulifunika jua…Mawingu yaliyoshiba yakataka kutapika yanagooka, yanakaribiana, kupigana busu na kusababisha mwanguko wa matone mazito ya mvua; matone yanayoanguka kwenye ngozi laini zą wanangu wakembe… ubavuni mwangu amelala maskini mke wangu… Sijui kama inahalisi kumwita mke wangu…. Siye, siye, siye-e-e-e. Tazama uso wake ulivyovamiwa na majeraha kikwi… Amevimba na kuvimbiana kama dongo la unga ngano baada ya kutiwa hamira. Lakiniyeyehana la hamira!
  2. a) Elezamuktadhawadondoohili. (alama 4)
  3. b) Jadiliainannezataswirakatikadondoohili (alama 4)

c)Bainishavipengelevinginevinnevyakimtindokatikadondoohili                                 (alama 4)

  1. d) Bainishatoniyadondoohili. (alama 2)
  2. e) Fafanua umuhimu wa mandhari katika dondoo hili (alama 6)

 

3.“Alijiona kama mfa maji ambaye anakabiliwa na mtutumo wa mawimbi  ya misiba ,mmoja baada ya mwingine.”

a)Elezamuktadhawadondoohili.                                                                                     (alama 4)

b)Ukimrejeleamsemewawamanenohayanawahusikawenginekutokakwenyeriwaya,onyeshajinsiwalivyokumbwanamawimbiyamisiba.                                                                            (alama 16)

 

SEHEMU C: TAMTHILIA

Timothy Arege: BembeaYaMaisha

Jibuswali la 4 au la 5

 

 

  1. “Hatanikiitwanitaondokanikiwanimeridhika.”

a)Elezamuktadhawadondoohili .                                       (alama 4)

b)Kwahojatano, elezasifazamsemajiwamanenohaya .    (alama 5)

c)Tambuambinumojayalughailiyotumikakatikadondoohili. (alama 1)

  1. d) Wahusikambalimbalikwenyetamthiliawamekubwanamajonzinafuraha. Thibitisha.(alama 10)

 

 

  1. “…Tayariunakuwaumeonjaseli.Hatawahudumuwenyewehawanamlahakamwema .amrinavitishokamaaskari.Unashindwakamauuguzemoyoamaugonjwa.Katikawodihewailiyojaaaharufuyadawaimezagaa,vitandavimesalimuamrimpakashitizikagura.Yaanihalinzimahaikupimatumainiyakutokaukiwabora.matumainiyanadidimia .Tumainilakounaliwekakatikasala. ”

 

(a) Tambua toni mbili katika kifungu hiki                                                                  (alama 2)

(b) Tambua aina mbiliza taswira katika dondoo hili                                                   (alama 2)

(c)Kandonataswirachambuavipengelevinginevyakimtindo                                     (alama 6)

(d) FafanuanamnamandhariyadondoohiliyalivyochangiakujengatamthiliayaBembeayaMaisha.

(alama 10)

SEHEMU D: USHAIRI.

Jibu swali la 6 au la 7

  1. Soma shairilifuatalokishaujibumaswali

Taifa ni Ushuru

Lau kama ingakuwa, madhali tuna uhuru

Watu kodi kutotowa, na kuifanya kufuru

Vipi nchi ingakuwa, taifa bila ndururu

Taifa halingakuwa, bilashi bila ushuru

 

Hivi taifa kumea , nakuendelea mbele

Kwamba lajitegemea, haliwategei wale

Yataka kujitolea, ushuru bila kelele

Taifa halingakuwa, bilashi bila ushuru

 

Wafanyikazi wa umma, mfano mwema walimu

Wauguzi mahashuma, daktari wahadimu

Bila hizi darahima, vipi wangalihudumu?

Taifa halingakuwa, bilashi bila ushuru

 

Si vyema kuombaomba, kwa wageni kila mara

Huwa twajifunga Kamba, na kujitia izara

Adha zinapotukumba, kujitegemea bora

Taifa halingakuwa,bilashi bila ushuru

 

 

 

 

Miradi ya maendeleo, yahitaji darahima

Ndo tufikie upeo, ulio dunia nzima

Wadogo na wenye vyeo, bila kodi tutakwama

Taifa halingakuwa, bilashi bila ushuru

 

Ushuru si kwa wanyonge, wasokuwa na uwezo

Watozwehatawabunge, nawenginewenyenazo

Yeyoteasijitenge, kodiakalipabezo

Taifahalingakuwa, bilashibilaushuru

 

Kwetukutoaushuru,ndikokujitegemea

Pasiweponaudhuru, usiowakuelea

Huwa ni kama kiguru, asenao kutembea

Taifa  halingakuwa, bilashi bila ushuru

Maswali

(a)Tambuahadhirainayolengwakatikashairihili.                                                                      (alama 1)

b)Hukuukitoamfano,onyeshambinutatuambazomshairiametumiakutoshelezauhuru wake. (alama 3)

c)Bainishaainatatuzaurudiajizinazojitokezakatikautungohuu.                                               (alama 3)

d)Elezamuundowaubetiwasita.                                                                                             (alama 4)

e)Andikaubetiwannekatikalughayanathari/tutumbi                                                               (alama 4)

f)Kwa kutolea mfano,taja mbinu tatu za kimtindo zilizotumika katika shairi hili.                           (alama 3)

g)Weka shairi hili katika bahari yake ukirejelea :                                                                          (alama 2)

i)Vipande

ii)Vina

 

  1. Soma shairilifuatalokishaujibumaswali

 

Sikilizeniwimbohuu:

NiliokuwamtotonilitwachachaKwamatamshiyanguyasasa

NilipokuwamtumzimaniliitwaManyweleNilipokuwamwalimunikaitwaBure.

 

HuuutakuwawimbowakoUtakapostaafuurudiponyumbaniUmelewakangarananyayozako

Zikishindwakulenganjianyembambavijijini. Utakuwakichekesho cha watotoWatakaoukuita, Ticha! Popoteupitapo.

 

Kumbukamwalimuutakapostaafu, MijusiwatatagamayaindaniyaviatuVyakovilivyokwishavisiginino.

Na ndaniyasidiriachakavuZilizoshikizwaKambakwapini

 

MendewatazalianandaniyachupatupuZamarashinazabia.

 

 

Na manyiguyatajengandaniyakofiaZilizosahaulikakutani

UtakapokufangewatazalianaChiniyajiwejuuyakaburilako, Na mlevifulaniakipitaatapenga

Na kupangusavidolekwenyejiwepweke

Mwanzonamwishowakondiohuo.

 

 

 

Lakiniwakatiungalihai

UnawezakubadilishamkondowamajiLakini kwanza mzungumze. Wewenamimi. Achamioyoyoteizungumzwe

Baadayakunyanyaswa Na kishanusumshahara.

 

Utafundishatenanyimbokuwasifuviongozi? Utafundishatenangonjera?

UtapelekatenawanafunziasubuhiWakajipangebarabaranikusubiriMgeniafikayesaakuminaapitapo

Apungatumkonokuwatiakichaa cha shangwe

Na hukunyumamwasambaananjaa?

TazamahilorundamadaftarimezaniUtalimalizakwamshaharamkiawambuzi? Tuzungumze. Ninyinamimi.

Achamioyoyetuizungumze

MkiwawaoganakujikunjakamajongooMtawekwakwenyevijitinakutupwaNjeyaua, ndanimtawaacha

Wachezangomawakitunganyimbompya

 

Sikilizeniwalimu,

Anzenikufundishahesabumpya

Mjingammojakujumlishanaweziishirini Ni sawanasifuri. HapanautawalaFundishenihistoriahistoriampya

Hapo zamani za sasa Hapakuwa na serikali.

 

Sikilizeni kwa makini Umoja hatuna

Twasambaratika kama nyumba Tulicho nacho ni woga,

Na kinachotuangusha ni unafiki. Lakini tusikate tamaa kama mbuni. Tukiupataumojabadotunayosilaha. Kura.

 

Maswali

  • (al.5)
  • Elezajinsimaudhuiyautamaushiyanavyojitokezaukimrejeleanafsi-nenewa. (al.4)
  • Nafsi-nenewaanapaswakujilaumukwamasaibuyake. Thibitisha. (al.2)
  • (i)Bainishanafsi-nenikatikashairihili.(al.1)
  • Toamfano.(al.2)
  • (al.4)
  • Elezamaanayakufungukifuatacho:

Mjingammojakujumlishanaweziishirininisawanasufuri.                         (al.2)

 

 

 

 

SEHEMU E: FASIHI SIMULIZI

 

  1. Soma utungoufuataokishaujibumaswali

 

 

1Angoleangolemwanangu

 

Mwanangunakuchombeza

 

Nakuchombezaulale

 

Ulaleukiamka

 

Nikupikieubwabwa

 

Na mchuziwa papa

 

Ukiliawaniliza, wanikumbusha

 

Ukiwawa baba na mama

 

 

 

 

 

2Baba na mama watende

 

Ilimu kunikatizia

 

Ng’ombe, mbuzi kupokea

 

Kunioza dumu kongwe

 

Haliuki na halende

 

Kazi kupiga matonge

 

 

3Likingiamvunguni

 

Lavunjavunjavikombe

 

Likilalakitandani

 

Langurumakamagombe

 

 

 

  1. a) Bainishakipera cha utungohuu. Thibitisha. (alama 2)
  2. b) (alama 5)
  3. c) Tambuamb nu zakifaniambazozimetumiwakuwasilishautungohuu. (alama 3)
  4. d) (alama 2)
  5. e) Unakusudiakukusanya data kuhusukiperahiki. Elezamanufaamanneyakutumiamahojiano.(alama 4)
  6. f) Fafanuanjianneambazojamiiyakisasainawezakutumiakukuzanakuendelezakiperahiki. (alama 4)

 

 

JINA………………………………………………………………..NAMBARI YA MTAHINIWA……………

TAREHE…………………………………………. SAHIHI………………………………………

102/1

KISWAHILI

KARATASI YA KWANZA

INSHA

JULAI 2023

MUDA: SAA 1 ¾

 

 

MOCKS 1 2023

MAAGIZO

  1. Tia sahihiyakokishauandiketareheyamtihanikatikanafasiulizoachiwahapojuu.
  2. Andikainshambili. Inshaya kwanza niya
  3. Kilainshaisipunguemaneno400.
  4. Kilainshainaalama
  5. Kilainshalazimaiandikwekwalughaya
  6. Inshazoteshartiziandikwekatikanafasiulizoachiwakatikakijitabuhiki cha maswali.
  7. Karatasihiiinakurasa 12 zilizopigwachapa.

 

Kwamatumiziyamtahinipekee

 

Swali Upeo Alama
1 20  
2 20  
Jumla 40  

 

 

 

 

  1. Lazima

Kumekuwana visa vingivyautovuwanidhamushulenimwenu. Ukiwakatibuwaviranja, andikakumbukumbuzamkutanouliojadilivyanzovyautovuhuonasuluhisho lake.

  1. Jadili.
  2. 3. Andikainshaitakayodhihirishamaanayamethaliifuatayo:

Mpigangumiukutahuumizamkonowe.

4.Tungakisakitakachomaliziamanenoyafuatayo:

…nikamtazama Marina hukumachoziyakinitiririkanjiambilimbilikutokananamajutoyaliyonijaa.

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

……………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

……………………………………………………………………………………………………….

 

……………………………………………………………………………………………………….

 

……………………………………………………………………………………………………….

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

……………………………………………………………………………………………………….

 

……………………………………………………………………………………………………….

 

……………………………………………………………………………………………………….

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

……………………………………………………………………………………………………….

 

……………………………………………………………………………………………………….

 

……………………………………………………………………………………………………….

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

……………………………………………………………………………………………………….

 

……………………………………………………………………………………………………….

 

……………………………………………………………………………………………………….

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

……………………………………………………………………………………………………….

 

……………………………………………………………………………………………………….

 

……………………………………………………………………………………………………….

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

……………………………………………………………………………………………………….

 

……………………………………………………………………………………………………….

 

……………………………………………………………………………………………………….

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

……………………………………………………………………………………………………….

 

……………………………………………………………………………………………………….

 

……………………………………………………………………………………………………….

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

……………………………………………………………………………………………………….

 

……………………………………………………………………………………………………….

 

……………………………………………………………………………………………………….

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

……………………………………………………………………………………………………….

 

……………………………………………………………………………………………………….

 

……………………………………………………………………………………………………….

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

……………………………………………………………………………………………………….

 

………………………………………………………………………………………………………

 

MOCKS 1 2023

102/2    –   KISWAHILI  -Karatasi   ya 2

    LUGHA

JULAI-2021- Muda:  – Saa 2

 

Jina ………………………………………………………NambariYako.………………………..

 

Sahihiya Mtahiniwa………………………………………Tarehe………………………………..

 

Maagizo

 

  1. a) Andika jina na nambari yako ya mtihani katika nafasi ulizoachiwa hapo juu.
  2. b) Tia sahihi yako kisha uandike tarehe ya mtihani katika nafasi ulizoachiwa hapo juu.
  3. c) Jibu maswali yote.
  4. d) Majibu yote yaandikwe katika nafasi ulizoachiwa katika kijitabu hiki cha maswali.
  5. e) Majibu yote lazima yaandikwe kwa lugha ya Kiswahili.
  6. f) Usitoe ukurasa wowote kutoka kwenye kijitabu hiki.

g)Karatasi hii ina kurasa 11 zilizopigwa chapa.

  1. h) Watahiniwa ni lazima wahakikishe kwamba kurasa zote za karatasi hii zimepigwa chapa sawasawa na kuwa maswali yote yamo.

________________________________________

Kwa Matumizi ya Mtahini Pekee

 

Swali

 

Upeo Alama
 

1

 

15

 
 

2

 

15

 
 

3

 

40

 
 

4

 

10

 
 

Jumla

 

80

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

  1. Ufahamu (Alama 15)

 

Soma makala haya kwa uangalifu kisha ujibu maswali yanayofuata.

Asubuhi hiyo kabla ya mrauko wa watu wengi kama ilivyokuwa ada ya wanakijiji cha Kaulizeni, Kabibi alimrausha mumewe Mzee Mori kwa lengo la kumpeleka kwenye zahanati ya pale pao – heko kwa mfumo mpya wa kiutawala uliotokana na kuanza kutekelezwa kwa katiba iliyoasisi ugatuzi na hapo kuwezesha taasisi zitoazo huduma nyingi muhimu kuletwa karibu na wananchi. Miaka michache iliyopita, wangehitajika kutumia zaidi ya saa nne kufikia kituo cha matibabu kilichokuwa karibu nao.Aidha, wangetakiwa kutumia matwana ambayo haikuwa rahisi kukodeshwa kutoka kwa mwenyewe kwa sababu ya zile barabara zilizoogopa kusakafiwa kutokana na utepetevu wa viongozi wao katika siku zilizotangulia. Chepkwony hakupenda kutesa gari lake kwa kuliruhusu kupitia barabara hizo ambazo ubovu wake ulitia fora. Magenge yaliyosongamana barabarani na mawe yaliyosimama wima ni kama yanapiga saluti yalikuwa tayari kuhujumu vigari vya wachochole kama yeye. Licha ya hofu hii, mara mojamoja alijitolea na kuwanusuru wanakijiji waliochungulia kaburi na akina wajawazito ambao siku zao zilikuwa zimetimia. Aghalabu, ubovu wa barabara hizi ulihakikisha kwamba wengi wao walitua mizigo yao kabla ya kuwasili katika Zahanati ya Nusura.

Leo hii, imewachukua dakika ishirini hivi, mwendo wa miguu na lau wangepata pikipiki, au ‘nduthi’ kama vijana wanavyoziita kwa kilugha legevu chao, ingewachukua chini ya dakika tatu kukamilisha safari hii. Mambo yametengenea kwelikweli. Ule mgao wa serikali ya kaunti kutoka kwa hazina kuu ya serikali ya kitaifa ulitumiwa kwa uwajibikaji mkubwa na gavana wao kwa ushirikiano na mwakilishi wa kata hiyo kwenye bunge la kaunti. Na hii sio natija ya pekee iliyopatikana kutokana na mabadiliko haya ya kisiasa. Kabla siku ya leo, ilimbidi mkazi yeyote wa Kijiji cha Kaulizeni ajiandae vyema kabla ya kuenda zahanatini kwa matibabu kwa chamcha kilicholiwa asubuhi au kupakiwa kwenye mifuko ya sandarusi kabla ya kupigwa marufuku na shirika linalodhibiti ubora wa mazingira maarufu kama NEMA, ili kiliwe huko ukisubiri kuhudumiwa. Ama kweli milolongo iliyopangwa kuingia katika kila sehemu hapo zahanatini ilikuwa mirefu: si pa usajili, si pa uchunguzi wa daktari, si pa malipo, si maabarani, si pa dawa na hata msalani foleni ilikuwapo si hoja kwamba uchafu uliokuwepo ulitosha kumfanya mja apoteze haja ya kuzuru huko ghafla.

Ilisemekana kwamba wafanyakazi wa hapo zahanatini ndio walisababisha chelewesho hili na kufanya foleni kurefuka katika kila idara. Mathalani, madaktari walisemekana kuingia kazini saa nne hivi baada ya kupitia kliniki zao za kibinafsi na kuondoka kabla ya saa tisa. Maafisa wa usajili nao walificha majalada maksudi ili kubembeleza kadhongo kutoka kwa wagonjwa kabla kuanzisha usajili wao. Wale wanaohusika na dawa walizoea kuwambia wagonjwa kuwa dawa zilikuwa zimeisha na kuwaelekeza kwenye maduka ya wauza dawa karibu sana na zahanati yenyewe. Halafu ukifika huko na kununua dawa, unapigwa na butwaa kuona dawa ulizouziwa zikiwa na nembo ya serikali. Hakika waso haya wana mji wao. Sikuelewa ni kwa nini udokozi wa namna hii ulifanywa hadharani mchana wa Mungu.

Kwenye maabara kulisemekana kwamba kemikali maalum za kutumiwa kupima maradhi hazikuweko hivi kwamba matokeo ya uchunguzi yalionyesha kwamba kila mgonjwa alikuwa na aina ileile ya ugonjwa. Maarufu miongoni mwa maradhi yaliyodhihirishwa maabarani ilikuwa malaria na homa ya matumbo. Sasa haikuwa ajabu mtu kutilia shaka uchunguzi uliofanywa katika maabara haya. Matokeo haya yalitolewa baada ya kipindi kirefu cha kusubiri kwa wastani saa mbili na nusu! Usishangae kwamba wakati wa kipindi hiki cha kusubiri, wangeonekana wakiwa katika harakati kama wahandisi wanaokarabati mtambo maalum wa tarakilishi mara wanakoroga, mara wanamimina majimaji vyomboni au wanakonyeza macho kutazama miujiza waliyotambua wao pekee yao kama wanajimu wanaozuru anga za juu. Wale wa idara ya malipo walikuwa maarufu kwa kuwambia wateja wao kwamba hawakuwa na hela za kuwarejeshea kama mabaki yao; wakawa na masalio ambayo, kama kawaida kidogo kidogo hujaza kibaba, yalizalisha maelfu ya pesa katika kipindi kifupi na kunenepesha mifuko yao.

Gavana wa gatuzi hili alifagilia mbali uchafu huu wote. Mori alihudumiwa katika kipindi cha chini ya saa moja baada ya ugonjwa wake kupatikana. Ugonjwa wake ulikuwa ni mwiba wa kujidunga ambapo mhasiriwa hastahili kuambiwa pole. Ukaidi wao uliwafanya kukataa kulala chini ya vyandalua vya kuwazuia wadudu wasababishao maradhi haya sugu kwa kuongozwa na imani potofu eti vyandalua huzuia usingizi. Usisahau kwamba vilitolewa bure kwa kila mkazi wa gatuzi hili kupitia mapango maalum wa rais wa taifa mojawapo la ulimwengu lenye ustawi mkubwa wa viwanda. La kuchekesha zaidi ni kuviona vyandalua walivyopewa vikiwa vimetumiwa kuzingira vitalu vilivyopandwa mboga. Hiki ndicho kinaya kilichozuliwa na Mori na mkewe hata wakawa windo rahisi kwa mbu.

 

Maswali

  1. a) Orodhesha hoja tatuzinazoonyesha maendeleo yaliyotokana na ugatuzi kulingana na makala.

(alama 3)

…………………………………………………………………………………………………..

…………………………………………………………………………………………………..

…………………………………………………………………………………………………..

  1. b) Kabla ya ugatuzi, wafanyakazi wa vituo vya afya walikuwa wanawanyanyasa wagonjwa. Taja

makosamatano yaliyofanywa na wafanyakazi mbalimbali wa vituo vya afya.             (alama 5)

…………………………………………………………………………………………………..

.………………………………………………………………………………………………….

……………………………………………………………………………………………………

……………………………………………………………………………………………………

…………………………………………………………………………………………………..

 

  1. c) Wataje viongozi wawiliwa kuchaguliwa wanaozungumziwa na msimulizi. (alama 2)

…………………………………………………………………………………………………

…………………………………………………………………………………………………

  1. d) Nakili neno moja kutoka aya ya pili lenye maana sawa na plastiki. (alama 1)

………………………………………………………………………………………………….

  1. e) Taja jina la ugonjwa aliokuwa anaugua Mzee Mori. (alama 1)

…………………………………………………………………………………………………..

  1. f) Eleza maana ya maneno yafuatayo kama yalivyotumiwa kifunguni. (alama 3)
  2. kuhujumu …………………………………………………………………………………….
  3. chamcha ………………………………………………………………………………………

iii. unapigwa na butwaa ………………………………………………………………………….

 

 

  1. Ufupisho (Alama 15)

Soma makala kisha ujibu maswali yanayofuata.

Kilimo ni moja kati ya shughuli muhimu sana zinazotekelezwa na binadamu katika vizazi vyote na hujishughulisha na upanzi wa mimeana ufugaji wa wanyama. Maisha ya binadamu katika nyanja zote hutegemea kilimo hivi kwamba endapo harakati za kilimo zitasitishwa, bila shaka maisha ya binadamu yatafikia kikomo. Chakula na mavazi ya binadamu hupatikana kutokana na shughuli hii muhimu na imekuwepo maishani mwa binadamu kwa karne nyingi. Wataalamu wa historia husema kwamba kilimo kilianza wakati ambapo ustaarabu wa binadamu ulianza kustawi yaani kadri binadamu alivyoanza kukumbatia ustaarabu ndivyo kilimo kilianza kustawi hali kadhalika. Kabla ya kustawi kwa kilimo, binadamu wa kwanza aliishi maisha ya kulumbata wanyama akikusanya miti, majani, maganda, mizizi na matunda kwa ajili ya kujikimu maishani mwake. Katika kipindi hiki mtindo huu wa kupata chakula na mavazi ya binadamu ulikuwa mwafaka mradi hakuweza kutindikiwa na chochote.

Baadaye dharura ya kuwa na utaratibu tegemevu wa kujipatia maslahi ya binadamu ikatokea kwa sababu ya kuendelea kuongezeka kwa idadi ya watu, pakawa na haja ya kulainisha mfumo wa uzalishaji wa chakula na kutimiza mahitaji mengine ya kibinadamu. Matokeo ya juhudi hizi yalianzisha shughuli ya uvuvi, uwindaji wa wanyama na ndege na ukusanyaji wa vyakula mbalimbali na kuvihifadhi. Harakati za kusaka chakula kwa wingi zikashadidi katika kila janibu za ulimwengu. Hii ilifuatiwa nakuanza kufuga wanyama waliozalisha bidhaa kama vile maziwa, nyama, ngozi na mayoya yaliyotumiwa kutengeneza mavazi. Wanyama waliofugwa hivi, baada ya miongo fulani, wakaanza kutumiwa mashambani kufanya kazi ya kusaidia kuandaa mashamba kwa minajili ya kuzalisha vyakula.

Ustaarabu ulipoimarika zaidi kutokana na mpito wa wakati, mahitaji ya chakula kilichozalishwa kupitia kilimo yakawa makubwa kushinda chakula kilichokuwepo kwa ajili ya kuyakimu mahitaji ya binadamu katika kipindi hicho cha kizazi cha binadamu.Jambo hili lilisababisha haja ya kubuni mbinu mpya na bora zaidi za uzalishaji wa chakula kutokana na matumizi ya ardhi.Aghalabu katika baadhi ya sehemu, uzalishaji ulizuiwa na hali ngumu ya hewa kwa sababu ya mvua isiyotegemewa, ama ichelewe au ipotee kabisa na kusababisha kiangazi kilichonyausha na kukausha mimea mashambani. Mimea mashambani inaachwa ikisononeka kutokana na uhaba au ukosefu kabisakabisa wa maji.  Ili kukabiliana na changamoto hii ya hali ya hewa, mitaro mikubwa ilichimbwa kutoka maeneo ya maji kama vile mabwawa, mito ya kudumu, maziwa na vidimbwi ili kuelekeza maji mashambani na kuwezesha mimea kustawi ipandwapo. Huu ulikuwa mwanzo wa kilimo cha kunyunyizia maji mashambani. Mtindo huu ulistawi zaidi nchini Misri Kaskazini mwa Bara la Afrikakwa sababu ya kuwepo kwa Jito la Nile. Mbali na kutumia mtindo wa kunyunyizia maji mashambani ili kuimarisha uzalishaji, haja ilizuka ya kuimarisha aina ya mbegu zilizopandwa ili kuongeza kiwango cha mazao ambayo yangepatikana hata katika eneo dogo. Kadhalika, mbegu zilizoimarishwa hivi zilikuwa na uwezo wa kuhimili hali ngumu ya hewa kama kiangazi, magonjwa na wadudu waharibifu. Hizi zilikuwa baadhi ya hatari zilizokumba mimea na kudunisha kiwango cha mazao yanayotoka kwenye mashamba.uzalishaji.

Usisahau kwamba uvumbuzi wa viwanda ulipozuka kule Ulaya, vifaa bora vya kutumia katika kilimo vilivumbuliwa. Vifaa hivi vilikuwa kama vile plau na tingatinga na vilisaidia sana kuandaa konde kwa njia bora zaidi na tena kwa kipindi kifupi. Hatua hii iliimarisha mchakato mzima wa kuendeleza kilimo kwa manufaa ya binadamu. Kwa kweli akili ni mali na si mali tu bali ni mali ya aina yake. Ni dhahiri kwamba mti hauwezi ukaenda pasipo na nyenzo.

 

  1. a) Fupisha aya mbili za kwanza ukitumia kati ya 70 na 80. (alama 6)

 Matayarisho

………………………………………………………………………………………………………

………………………………………………………………………………………………………

………………………………………………………………………………………………………

………………………………………………………………………………………………………

………………………………………………………………………………………………………

………………………………………………………………………………………………………

………………………………………………………………………………………………………

………………………………………………………………………………………………………

 

Nakala Safi

………………………………………………………………………………………………………

………………………………………………………………………………………………………

………………………………………………………………………………………………………

……………………………………………………………………………………………………..

………………………………………………………………………………………………………

………………………………………………………………………………………………………

………………………………………………………………………………………………………

………………………………………………………………………………………………………

 

  1. b) Kwa maneno 80 hadi 90 kuandika hoja muhimu katika aya ya tatuna ya nne. (alama 9)

 Matayarisho

………………………………………………………………………………………………………

………………………………………………………………………………………………………

………………………………………………………………………………………………………

………………………………………………………………………………………………………

………………………………………………………………………………………………………

………………………………………………………………………………………………………

………………………………………………………………………………………………………

………………………………………………………………………………………………………

………………………………………………………………………………………………………

………………………………………………………………………………………………………

………………………………………………………………………………………………………

………………………………………………………………………………………………………

………………………………………………………………………………………………………

………………………………………………………………………………………………………

 

Nakala Safi

……………………………………………………………………………………………………

…………………………………………………………………………………………………….

……………………………………………………………………………………………………

…………………………………………………………………………………………………….

…………………………………………………………………………………………………….

…………………………………………………………………………………………………….

………………………………………………………………………………………………………

………………………………………………………………………………………………………

………………………………………………………………………………………………………

………………………………………………………………………………………………………

………………………………………………………………………………………………………

………………………………………………………………………………………………………

………………………………………………………………………………………………………

………………………………………………………………………………………………………

………………………………………………………………………………………………………

………………………………………………………………………………………………………

 

 

  1. Matumizi ya Lugha (Alama 40)
  2. a) Taja na ainisha konsonanti zilizo katika neno ‘ng’ata’ ukizingatia alazakutamkia.(alama 1)

……………………………………………………………………………………………………

  1. b) Toa mifano minne ya maneno yenye irabu tatu pekee katika Kiswahili sanifu. (alama 2)

……………………………………………………………………………………………………

  1. c) Onyesha silabi zenye kutiliwa mkazo wakati wa kutamka maneno yafuatayo: (alama 1)
  2. ombea …………………………………………. ii.hakimu ……………………………

 

 

  1. d) Eleza maana mbili tofauti katika sentensi:(alama 2)

Dumu na mwanawe Borni waimbaji hodari. ……………………………………………………………………………………………………

……………………………………………………………………………………………………

  1. e) Tunga sentensi mojamoja ukitumia kivumishi cha pekee – ingineoukianza kwa maneno

yafuatayo:(alama3)

  1. sisimizi:

……………………………………………………………………………………………………

  1. mkanda:

……………………………………………………………………………………………………

iii. kuchoka:

……………………………………………………………………………………………………

  1. f) Andika muundo wa sentensi hii kwa kutumia msitari.                                   (alama 2)

Mgogoro huo ulimalizikaleo kwa mapatano.

……………………………………………………………………………………………………

  1. g) Ainisha mofimu katika neno ‘iue’. (alama 2)

……………………………………………………………………………………………………

  1. h) Onyesha kisha uainishe nomino katika sentensi hii: (alama 3)

Kipakatalishicha Wangila kina kasi kubwa.

…………………………………………………………………………………………………

  1. i) Akifisha sentensi hii: (alama 3)

umeanza kusoma tamthilia ya kigogo kigogo alimuuliza kangogo.

…………………………………………………………………………………………………

  1. j) Kanusha:
  2. Wanafunzi wengi wameenda kucheza kandanda katika shule jirani.(alama1)

……………………………………………………………………………………………………

 

 

  1. ii) Tukianza safari yetu asubuhi tutachelewa kikaoni. (alama 2)

……………………………………………………………………………………………………

……………………………………………………………………………………………………

 

  1. k) Andika kwa kinyume:

Wananchi wengi walihudhuria mkutano ndani ya uga wa Kitaifa.                                  (alama2)

……………………………………………………………………………………………………

……………………………………………………………………………………………………

 

  1. l) Geuza katika umoja au wingi kulingana na maagizo ndani ya mabano mwishoni mwa kila

sentensi.

  1. Idara mpya iliundwa na mkurugenzi wa kampuni hiyo. (wingi) (alama1)

……………………………………………………………………………………………………

……………………………………………………………………………………………………

 

  1. Vyungu vya kupikia vimesahaulika na wapishi. (umoja) (alama1)

……………………………………………………………………………………………………

……………………………………………………………………………………………………

 

  1. m) Tunga sentensi zilizo na miundo ifuatayo:
  2. S – KN (W+V) + KT (T+E)                                                                                       (alama 2)

…………………………………………………………………………………………………..

 

  1. S – KN (N)+ KT (T) (alama 1)

……………………………………………………………………………………………………

 

  1. n) Andika sentensi hii ukitumia maneno yenye maana sawana yale yaliyopigiwa mistari.

(alama 2)

Banatialishushaberamu saa kumi na mbili jioni.

……………………………………………………………………………………………………

0) Kwa kutumia sentensi moja, tofautishavitate vifuatavyo:sima, zima                  (alama 2)

…………………………………………………………………………………………………

  1. p) Ni methali gani inayolengwa na maelezo yafuatayo? (alama 1)

Panapokuwa na juhudi katika jambo lolote hata likiwa gumu, hatimaye ufanisi hupatikana.

……………………………………………………………………………………………………

  1. q) Tumia nahau ‘ng’oa nanga’ katika sentensi ili kudhihirisha maana yake. (alama 1)

…………………………………………………………………………………………………

(alama 2)

  1. r) Jaza pengo kwa vihisishi mwafaka. (alama 3)

Unapotaka kupishwa hutumianeno ………………………………. na ………………………..

nitamko la kuagana mnapoachana na mtu usiku kama ambavyo …………………………….

hutumiwa unapomwomba mtu msamaha kwa kumkosea.

 

 

4.Isimujamii      (Alama 10)

Andika sifa kumi za lugha utakayotumia ukipata fursa kutangaza mchezo wa kandanda.        (alama 10)

……………………………………………………………………………………………………

……………………………………………………………………………………………………

……………………………………………………………………………………………………

……………………………………………………………………………………………………..

……………………………………………………………………………………………………..

…………………………………………………………………………………………………….

…………………………………………………………………………………………………….

……………………………………………………………………………………………………

……………………………………………………………………………………………………

……………………………………………………………………………………………………

…………………………………………………………………………………………………….

…………………………………………………………………………………………………….

…………………………………………………………………………………………………….

…………………………………………………………………………………………………….

……………………………………………………………………………………………………

…………………………………………………………………………………………………….

 

 

Huu ndio ukurasa wa mwisho uliochapishwa.

Cheti cha Kuhitimu Kisomo cha Sekondari

MTIHANI WA MUHULA WA PILI2023

 

 

MOCKS 1 2023

 

102/3                    Kiswahili – Fasihi        Karatasi ya 3

KIDATO CHA NNE          JULAI/AGOSTI, 2023              Muda: Saa 2½

 

Jina: ………………………………………….………………      Nambari: ………………

Mkondo: ………………Sahihi ya Mtahiniwa: ………..…….. Tarehe ……………………

Maagizo

  • Andika jina lako, nambari ya usajili, mkondo, sahihi na tarehe katika nafasi ulizoachiwa hapo juu.
  • Jibu maswali manne pekee.
  • Swali la kwanza ni la lazima.
  • Maswali hayo mengine matatu yachaguliwe kutoka sehemu nne zilizobaki Riwaya, Ushairi, Tamthilia na Fasihi Simulizi.
  • Usijibu maswali mawili kutoka sehemu moja.
  • Karatasi hii ina kurasa 6. Watahiniwa ni lazima wahakikishe kwamba kurasa zote za karatasi hii zimepigwa chapa sawasawa na kuwa maswali yote yamo.
  • Maswali yote ni sharti yaandikwe kwa lugha ya Kiswahili.

Kwa matumizi ya mtahini pekee

 

         SWALI UPEO             ALAMA
1 20  
  20  
  20  
  20  
JUMLA 80  

 

 

 

SEHEMU A: HADITHI FUPI(LAZIMA)

D.W. Lutomia na Phibbian Muthama : Mapambazuko Ya Machweo Na Hadithi Nyingine    

  1. Lazima

 

  • Changanua mtindo kwenye kifungu. (alama 8)
  • Uhuishi – athari ya mawazo yake ilijiandika Dhahiri shahiri usoni mwake.
  • Tashibihi – tabasamu pana mithili ya msafiri
  • Taswira – tabasamu pana
  • Takriri – njia mbilimbili
  • Balagha – lakini, angefeli je?
  • Mbinu rejeshi – maneno ya mwalimu mkuuS
  • Jazanda – mizizi na matunda
  • Methali – mtaka chv mvunguni sharti ainame
  • Nidaa – Sabina!
  • Suala la kazi na bidi limeangaziwa kwa kina kwenye diwani ya mapambazuko ya machweo. Tetea ukweli wa kauli hii kwa kurejelea hadithi zifuatazo:
    1. Fadhila za punda
    2. Mapambazuko ya machweo
  • Sabina (alama 12)

 

SEHEMU B: RIWAYA

A.Matei: Chozi la Heri.

Jibu swali la 2 au la 3

 

  1. Naona wingu kubwa angani likitembea kwa kedi na madaha na kulifunika jua…Mawingu yaliyoshiba yakataka kutapika yanagooka, yanakaribiana, kupigana busu na kusababisha mwanguko wa matone mazito ya mvua; matone yanayoanguka kwenye ngozi laini zą wanangu wakembe… ubavuni mwangu amelala maskini mke wangu… Sijui kama inahalisi kumwita mke wangu…. Siye, siye, siye-e-e-e. Tazama uso wake ulivyovamiwa na majeraha kikwi… Amevimba na kuvimbiana kama dongo la unga ngano baada ya kutiwa hamira. Lakini yeye hana la hamira!

(a) Ni usimulizi wa Kaizari

  1. ii) Anawasimulia wakimbizi wenzake / Ridhaa.

iii) Yumo kambini / Misitu wa Mamba.

iv)Anarejelea hali ya ugeni kule kambini / anarejelea hali ya maumivu ambayo wanawe Lime na Mwanaheri wamo baada ya kubakwa / Hii ni baada ya uchanguzi kufurushwa kwao na kuishia kambini/anarejelea tandabelua ya baada ya uchaguzi.                                                                                                (4×1=4)

 

  1. b) Aina za taswira:

i)Taswira oni/ya uoni/mwono – naona wingu kubwa angani likitembea

ii)Taswira mwendo – wingu kubwa likitembea

iii) Taswira sikivu  – sauti ya mawingu yakigooka

iv)Taswira mguso – mawingu yanakaribiana, kupigana busu; wingu kulifunika jua; yanayoanguka kwenye ngozi laini za wanangu.

(v.) Taswira hisi – yakataka kutapika                                                    (za kwanza 4×1=4)

 

(c) Vipengele vya kimtindo;

i)Tashihisi/uhuishi – wingu kubwa angani likitembea kwa kedi na madaha / mawingu yakataka kutapika

  1. ii) Urudiaji/Takriri/uradidi- matone; siye;mke wangu/hamira

iii) Mdokezo – ngozi Laini za wanangu wakembe…/maskini mke wangu…

  1. iv) Tashbihi – amevimba na kuvimbiana kama dongo la unga ngano
  2. v) Nidaa – hana hamira!
  3. vi) Nahau/msemo – majeraha kikwi

vii) kudumisha sauti – siye-e-e-e

(za kwanza 4×1=4)

 

d)Toni ya uchungu/masikitiko / huzuni                                           (1×2=2)

 

  1. e) Umuhimu wa mandhari:

 

  1. i) Kuibua maudhui mbalimbali k.m maudhui ya ukatili – jinsi Lime na Mwanaheri walivyabakwa.
  2. ii) Kuchimuza tabia za wahusika – k.m utu wa jiraniye Tulia; tabia za mwanzi kama katili kwani tunaambiwa Selume kuishi na wakimbizi kuliko kwenya kasri la dhuluma za mumewe.

iii) Kuonyesha wakati wa kutukia kwa matukio- tandabelua baada ya uchaguzi

(iv) Huchangia kuibua toni na hali ya kijumla – mandhari haya yanaibua toni ya uchungu na masikitiko.

  1. v) Huibua dhamira ya mwandishi mandhari ya kambi ya wakimbizi yanaibua dhiki za wakimbizi baada ya ghasia za baada ya uchaguzi.
  2. vi) Hutambulisha wahusika – tunabainishiwa wahusika kama Subira, Lime, Mwanaheri, Ridhaa, nk..

vii) Kudokeza migogoro – baina ya wafuasi wa Bi.Mwekevu na mpinzani wake mkuu.

viii) Husaidia kulinganua hali za matabaka– k.m. aliyekuwa waziri, familia ya Bw. Kute

(xi) Kuonyesha mahali pa tukio  – k.m Lime na Mwanaheri wanabakiwa nyumbani kwao

x)Huibua taharuki – Kaizari akisimulia jinsi gari lao lilivyoishiwa na  petroli taharuki inajengwa.

  1. xi) Kuendeleza ploti – k.m Wakimbizi wanapofurushwa kutoka makwao na kuanza maisha upya katika kambi ya wakimbizi / Msitu wa Mamba.(zozote 6×1 = 6)

 

3.“Alijiona kama mfa maji ambaye anakabiliwa na mtutumo wa mawimbi  ya misiba ,mmoja baada ya mwingine.”

 

a)Eleza muktadha wa dondoo hili.                              (alama 4)

i)Msemaji: maelezo ya mwandishi/msimulizi

ii)Msemewa:Anamrejelea Lunga

iii)Mahali:Msitu wa simba

iv)Sababu:Mwandishi anatueleza changamoto alizokumbana nazo Lunga baada ya kuhama kutoka msitu wa mamba.

 

b)Ukimrejelea msemewa wa maneno haya na wahusika wengine kutoka kwenye riwaya,onyesha jinsi walivyokumbwa na mawimbi ya misiba.                                                                            (alama 16)

i)lunga anafutwa kazi baada ya kutetea raia dhidi ya kupewa mahindi yaliyokuwa hatari hata kwa panya

ii)lunga anapoteza mali yake yote baada ya kutimuliwa kutoka msitu wa mamba

iii)Naomi anamtoroka Lunga  wakati alipomhitaji Zaidi.

iv)Ridhaa  anaipoteza aila yake yote inayoangamizwa na mzee Kedi

v)Umu anabaki mpweke baada ya ndugu zake kutoroshwa na kijakazi Sauna

vi)Lime na Mwanaheri kubakwa na vijana barobaro mbele ya baba yao

vii)Zohali anapata mimba akiwa kidato cha pili anaamua kutoroka nyumbani kwao baada ya kuachiwa kazi zote za nyumba

viii)Subira amejaa majeraha usoni mwake na pia mwili wake kuvimbiana kutokana na ubahaimu wa mwanadamu

ix)Ridhaa anabaguliwa na wanafunzi wenzake kitendo kinachomfanya kutoroka shule

x)Majumba ya ridhaa yanabomolewa ikisemekana yalijengwa sehemu iliyotengewa ujenzi wa bypass.

xi)Sauna kubakwa na babake wa kambo na anapomfahamisha mamake anamnyamazisha kuwa asimpake tope babake

xii)Sauna anaamua kutoroka nyumbani kwao baada ya kulazimishwa kuavya mimba na mamake mzazi

xii)Riziki Immaculata kutupwa na mamake  kwenye mapipa ili kijifie ila kinaokelewa  na Neema na kupelekwa kwenye kituo kutunza watoto  cha Benefactor.

xiii)Jumba la  Ridhaa alilokuwa amewapangisha  wafanyabiashara kuchomeka kutokana hitilafu za umeme  hadi kuwa unga tifutifu.watu wengi walifia humo ndani.

Xiv)kutokana na machafuzi ya uchaguzi Subira mkewe kaizari anakatwa kwa sime na vijana ambao pia wanawabaka lime na mwanaheri mabinti zake Kaizari mbele yake akishuhudia .

xv)Makaa amiye Mwangeka kuchomeka asibakie lolote alipoenda kuwaokoa watu walliokuwa wakifyonza mafuta kutoka kwa lori lililokuwa limeanguka.

xvi)Baada ya machafuzi ya uchaguzi wakimbizi(Ridhaa ,Kaizari na wengine)wanaishia kwenye kambi ambako maisha ni magumu sana.Hawana chakula,maji safi ya kunywa,misala hakuna wanaishi kwenye vibanda wote wazee kwa watoto.

  Kadiria majibu ya mwanafunzi

                                       16×1

SEHEMU C: TAMTHILIA

Timothy Arege: Bembea Ya Maisha

Jibu swali la 4 au la 5

 

 

  1. “Hata nikiitwa nitaondoka nikiwa nimeridhika.”

a)Eleza muktadha wa dondoo hili .                                               (alama 4)

msemaji:Sara

Msemewa:Dina

Mahali:Nyumbani kwa Sara

Sababu:Anaonea fahari maisha ya watoto wake wanavyojiendeshea mambo yao licha ya kusemwa hapo awali.

b)Kwa hoja tano ,eleza sifa za msemaji wa maneno  haya .    (alama 5)

i)mvumilivu-sara anavumilia mateso na kipigo cha mumewe

ii)mwenye Hekima –maneno anayoyazungumza  yana wingi wa hekima na busara.

iii)Mwenye mapenzi-anampenda mumewe na watoto wake

iv)Mwenye msimamo thabiti –Hata baada ya kusutwa  na kukejeliwa na wanajamii hayumbishwi na maneno yao.

v)Mtamaduni-anasema fimbo hurithiwa na mtoto wa kiume

vii)Mwenye uhusiano mwema –Sara alikuwa na uhusiano mwema na Dina ndiposa anaenda kumsidia kupika.

vii)Mshauri-Anawashuri wanawe kuheshimu ndoa mila na baba yao.

viii)Mwenye shukrani- Anamshukuru Asna kwa kumpa uji.

ix)Mwenye heshima –Anamheshimu mumewe kwani ndiye moto wa kifuu.

5×1

c)Tambua mbinu moja ya lugha iliyotumika katika dondoo hili.(alama 1)

Tafsida –nikiitwa nitaondoka

  1. d) Wahusika mbalimbali kwenye tamthilia wamekubwa na majonzi na furaha vilevile.Thibitisha. (alama 10)

i)Ndoa ya Sara na Yona imejaa furaha mwanzoni  wanapooana.Maisha yao yaonekana yenye mafanikio na furaha.

ii)Ndoa hii  inaingia dosari baada ya kukaa muda mrefu bila kupata watoto.

iii)Hatimaye wanabarikiwa na watoto  watatu wa kike hali inayoleta furaha kwa muda.

iv)Wanajamii wanawacheka, kuwakejeli na kuwasuta kwa kutojaliwa mtoto wa kiume.

v)Kutokana na kusutwa huku,Yona anaingilia ulevi hali inayomfanya kumchapa mkewe Sara na pia kuidharau  familia yake.

Vi)Ulevi wake Yona unamfanya  kutelekeza majukumu yake kama mwalimu na kuishia kufutwa kazi

vii)Kichapo alichopewa Sara  na Yona kinamsababishia ugonjwa wa moyo hali inayomfanya kukosa matumaini  ya kuishi na kutamani kufa.

viii)Kabla kuingilia ulevi, Yona alikuwa mwalimu hodari ,watoto aliowafunza walipita sana naye akapata zawadi mzomzo kutoka kwa wazazi na serikali.

ix)Neema anasoma hadi chuo kikuu na kufuzu vyema ,anafanikiwa na kupata kazi.

x)Neema anawajengea  nyumba ,anawaajiria wazazi wake wafanyikazi  wa kuwasaidia nyumbani na kuwanunulia jiko la gesi hali inayowapa  furaha nyingi.

xi)kuna hali  ya kutoelewana kati ya Bunju na Neema kutokana na masomo yake  Lemi kwani kulingana na Bunju amerudi nyuma.

xii)Bunju na Neema  wanakosa kuelewana kutokana na mila ambazo kulingana na Neema zimepitwa na wakati .-mama mkwe kutolala kwa Bunju.

iii)Neema  kulazwa hospitalini kwa muda  wa mwezi mzima bila fahamu kutokana na ajali mbaya.

iv)Bunju anakasirishwa na Neema kwa kutoshirikishwa kuhusu mpango wa kumpeleka Sara nyumbani baada ya kupata nafuu

 

 

  1. “…Tayari unakuwa umeonja seli.Hata wahudumu wenyewe hawana mlahaka mwema .amri na vitisho kama askari.Unashindwa kama uuguze moyo ama ugonjwa.Katika wodi hewa iliyojaaa harufu ya dawa imezagaa,vitanda vimesalimu amri mpaka shiti zikagura.Yaani hali nzima haikupi matumaini ya kutoka ukiwa bora.matumaini yanadidimia .Tumaini lako unaliweka katika sala. ”

 

(a)Tambuatonimbilikatika kifunguhiki(alama2)

  1. Toniyakutamauka~ Yaanihalinzimahaikupimatumainiyakutokaukiwabora.
  2. Toniyahuzuni~Tumainilakounaliwekakatikasala.

 

(b)Tambuaainamojaya taswirakatikadondoohili                          (alama2)

Taswiramnuso~hewailiyojaaharufuyadawaimezagaa

 

(c)Kandonataswirachambuavipengelevingine vyamtindo:(alama6)

  1. Utohozi~ seli, shiti, wodi
  2. Tashbihi~amrinavitishokama askari
  • Nahau~ vitandavimesalimu amri
  1. Tashihisi~vitandavimesalimuamri,shitizikagura.

 

(d) Fafanuanamnamandhari yadondoohiliyalivyochangiakujenga Tamthilia BembeayaMaisha(alama10)

 

  1. Yanalinganishahuduma dunizaafya kijijininahudumaborazaafya mjini.
  2. Yanatusaidiakuelewamaudhuiya kutowajibika kupitia wahudumu wahospitalini zamjini.
  • Yanachimuzamaudhuiyauongozi mbayahospitalini.
  1. Yanachangiakatikakuonyeshasifazawahudumu wahospitalini.
  2. Yanachangiakatikakuonyeshasifa zawahudumu wahospitalizanyumbani(wazembe, dhalimu)
  3. Yanachimuzamatatizoyanayokumbahospitalizamashambani(uchafu,uhabawavitandavizuri,shiti) Yanajengamtirirko wavitushi Saraanapofikahospitalini kupatamatibabu.
  • YanakuzasifazaAsna kama mdaku.
  • YanajengasifazaNeemazinazjitokeza~
  1. Yanakuzamtindo kupitiamethali nadhihaka.

 

 

 

                                           SEHEMU D: USHAIRI.

Jibu swali la 6 au la 7

  1. SHAIRI LA KWANZA

(a)Tambua hadhira inayolengwa katika shairi hili.                                                                             (alama 1)

i)Wafanyikazi wa umma

ii)Maskini na matajiri

iii)Wadogo na wenye vyeo

1X1

b)Huku ukitoa mfano,onyesha mbinu tatu ambazo mshairi ametumia  kutosheleza uhuru wake. (alama 3)

 

i)tabdila – kutotowa/kutotoa

ii)inksari –ndo/ndio

iii)kuboronga sarufi/kufinyanga lugha-kujitegemea bora/bora kujitegemea

3X1

c)Bainisha aina tatu za urudiaji zinazojitokeza katika utungo huu.                                                    (alama 3)

i)urudiaji wa neno/anafora-ushuru,taifa,bilashi,nk

ii)urudiaji wa silabi-vina mf zo,ma

iii)urudiaji wa sauti-o,a

iv)urudiaji wa mshororo mf kibwagizo

3×1

d)Eleza muundo  wa ubeti wa sita.                                                                                          (alama 4)

i)una vipande viwili katika kila mshororo –ukwapi na utao

ii)una mishororo minne

iii)ubeti una kituo/kiishio

iv)vina vya kati ni nge na vya mwisho ni zo isipokuwa kwenye kituo

v)mizani ni kumi na sita katika kila mshororo

4×1

e)Andika ubeti wa nne katika lugha ya nathari/Tutumbi                                                              (alama4)

si vizuri  kuomba misaada ya kigeni kila wakati.

Hivyo ni sawa na kuwa mateka

Ni vyema  kujitegemea kwa shida zetu

Taifa haliwezi kuimarika bila ushuru

f)Kwa kutolea mfano,taja mbinu tatu za kimtindo zilizotumika katika shairi hili.                           (alama 3)

i)maswali ya balagha- vipi wangalihudumu

ii)jazanda/sitiari-twajifunga Kamba/kiguru

iii)tashbihi –ni kama kiguru

iv)takriri-bilashi,ushuru

3×1

g)Weka shairi hili katika bahari yake ukirejelea :                                                                       (alama 2)

i)Vipande-Mathnawi

ii)Vina- ukaraguni

2X1

 

 

 

  1. SHAIRI LA PILI

(a)

(i)         Haizingati idadi kwa mistari/mishororo katika kila ubeti.

(ii)        Idadi ya vipande hailingani katika mstari.

(iii)       Halizingatii mpangilio maalum wa vina.

(iv)       Halizingatii ulinganifu wa mizani katika kila mstari.

(v)        Idadi ya vipande vya mishororo ni sawa.

(vi)       Halizingatii ukamilifu wa mishororo

(b) Utamaushi

(i)         Mwalimu hathaminiwi – anaitwa bure/duni

(ii)        Mwalimu analewa na kupepesuka barabarani.

(iii)       Watoto kumcheka mwalimu wao apitapo.

(iv)       Viatu vya mwalimu kuisha visigino

(v)        Sidiria ya mwalimu ni chakavu.

(vi)       Mwlaimu hawezi kumudu bei hya marashi baada ya kustaafu.

(vii)      Mwalimu atakufa na kuzikwa bila kusherekewa.

(viii)     Hata mlevi anamdharau mwalimu

(ix)       Mshahara duni.

(Zozote 4 x 1 = 4)

 

 

 

(c)     Jinsi mwalimu anapaswa kulaumiwa

(i)         Yeye ndiye anatunga wimbo wa kuwasifu viongozi wasiotaka kubadilisha             taaluma yake.

(ii)        Yeye ni mwoga – Anajikunja kama jongoo.

(iii)       Walimu hawana umoja.

(d) Nafsineni-Mwalimu

Toni-utamaushi(kutaja al.1, mfano-al.1)

(e) Usambamba-Utafundisha tena

Sikilizeni

Jazanda –Bure, chacha,Mkia wa mbuzi

 

 

 

SEHEMU E: FASIHI SIMULIZI

 

8.

  1. Bainisha kipera cha utungo huu.                                                    (alama 2)

Bembelezi / bembea / pembejezi

Unawaliwaza na kuwabembeleza watoto walale auwanyamazewanapolia.

 

  1. Eleza ujumbe unaofumbwa katika wimbo huu. (alama 5)
  2. Kuhimiza uwajibikaji – nafsi neni kumpikia mwanawe ubwabwa
  3. Kueleza ugumu wa maisha / umaskini / ukilia wanikumbusha ukiwa wa baba na mama
  • Nmafsi neni kukatiziwa elimu – ilimu kunikatizia
  1. Nafsineni kulazimishiwa ndoa – baba na mama kupokea ng’ombe na mbuzi
  2. Kuwepo kwa vurugu – lavunjavunja vikombe
  3. Ukosefu wa usingizi – languruma kama gombe.

 

  1. Tambua mbinu za kifani ambazo zimetumiwa kuwasilisha utungo huu.     (alama 3) 
  2. Tashbihi–languruma kama gombe
  3. Takriri/uradidi–ulale,ukiwa,nakuchombeza,
  • Taswira – Languruma kama gombe
  1. Kinaya – wazazi kumwachisha shule nasfuineni na kumwoza.
  2. Bainisha shughuli mojamoja ya kijamii na ya kiuchumi ambazo huendelezwa katika jamii ya utungo huu. (alama 2)

Kijamii – ndoa – kunioza dume kongwe

Kiuchumi–ufugaji ;languruma kama gombe

  1. Unakusudia kukusanya data kuhusu kipera hiki. Eleza manufaa manne ya kutumia mahojiano. (alama 4)
  • Kwa vile mtafiti anakabiliana namhojiwa ana kwa ana ni rahisi kupata habari za ana kwa ana na za kutegemeka.
  • Mbinu au sifa za uwasilishaji kama vile; Toni, utendaji, sauti, ishara za uso kubainika kwa mtafiti na hivyo kuimarisha kuelewa kwake.
  • Mtafiti anaweza kumfafanulia mhojiwa habari na kuweza kupata data inayoaminika
  • Mtafiti anaweza kubadilisha maswali au mtindo wa kuyauliza kulingana na kiwango cha elimu cha mhojiwa; lugha yake mhojiwa na mengine mengi
  • Mtafiti anaweza kutambua iwapo mhojiwa anatoa habari zisizo za kweli.
  1. Kipera hiki kinazidi kufifia katika jamii yako. Fafanua njia nne ambazo jamii ya kisasa inaweza kutumia kukuza na kuendeleza kipera hiki. (alama 4)    
  2. Jamii inafundisha kipera katika taasisi mbalimbali za elimu kama vile shule ya msingi, vya upili na vyuo vikuu.
  3. Kuhimiza wataalamu kujihusisha na usomaji na utafiti wa kipera hiki.
  • Kuhakikisha kuwa kipera hiki kimepewa nafasi inayostahili katika mfumo wa elimu. kwa mfano kinahusishwa katika tamasha za muziki na drama zinazohusisha taasisi mbalimbali za elimu
  1. Wanasarakasi wa kisasa wanaendeleza usanii wa kipera hiki.
  2. Jamii ya kisasa inatumia teknolojia ya habari na mawasiliano k.v Runinga, tarakilishi na redio kuendeleza utendaji wa kipera maathalan kuna vipindi mbalimbali vya watoto nidhazautangazaji
  3. Watafiti wa fasihi simulizi wanaendelea kukifanyia kipera utafiti, kuandika na kurekodi viperavya fasihisimulizi
  • Kipera hiki kinaendelezwa katika jamii za kisasa.

 

 

MOCKS 1 2023

SWALI LA KWANZA

  1. Hii ni insha ya kumbukumbu. Vipengele vya:
  • Kimuundo vya utungo wa aina hii vidhihirike kama ifuatayo:
  1. Kichwa : Kionyeshe:
  2. Kundi linalokutana
  3. Mahali pa mkutano
  4. Tarehe ya mkutano
  5. Wakati wa mkutano
  6. Waliohudhuria- vyeo na nyadhifa zidhihirishwe
  • Waliotuma udhuru
  1. Ambao hawakuhudhuria
  2. Waalikwa / katika mahudhurio/ waliohudhuria, bali si wanachama (si lazima)
  3. Ajenda za mkutano
  • Kumbukumbu zenyewe
  1. Utangulizi
  2. Wasilisho la mwenyekiti
  3. Kusomwa na kuthibitishwa kwa kumbukumbu za mkutano uliopita/uliotangulia
  4. Yaliyoibuka kutokana na kumbukumbu hizo
  5. Maswala yanayojadiliwa leo/ masuala mapya (kulingana na ajenda)
  • Masuala mengineyo
  1. Hitimisho
  • Sahihi, jina la Mwenyekiti na tarehe
  • Sahihi , jina la katibu na tarehe

 

 

  1. Maudhui

Visa vya utovu wa nidhamu vyaweza kuwa kuchelewa,kutohudhuria shule,kupigana,ulevi,kutozingatia kanuni za shule na kadhalika.

Mtahiniwa adhihirishe majadiliano na uamuzi ulioafikiwa na viranja kuhusu vyanzo vya utovu wa nidhamu shuleni na Suluhisho lake. Baadhi ya hoja zitakazo jitokeza ni hizi:

  1. Vyanzo
  2. Matatizo ya kiuchumi
  3. Ukosefu wa malezi mema
  4. Ukosefu wa ushauri miongoni mwa vijana
  5. Usasa na matumizi ya teknolojia
  6. Haki za watoto kutetewa sana na mashirika mbalimbali
  7. Shinikizo la rika
  8. Matumizi ya dawa za kulevya
  9. Kuvunjika kwa ndoa/ kuwepo kwa mzazi mmoja
  10. Kuvunjika kwa mifumo ya kimaadili, ya kitamaduni
  11. Mtaala wa elimu wenye masomo mengi
  12. Msongo wa mawazo
  13. Kutokuweko na michezo na shughuli za vyama
  14. Ukosefu wa vielelezo vizuri k.m Watu hutukuza viongozi wasio na nidhamu
  15. Uongozi wa shule hafifu
  16. Wazazi kuwatetea wana wao wakikosa na kadhalika
  17. Suluhisho.
  18. Kuimarisha uchumi
  19. Wazazi kuhimizwa wawaelekeza wana wao
  20. Kuimarisha ushauri- nasaha shuleni
  21. Kudhibiti matumizi ya rununu miongoni mwa wanafunzi
  22. Serikali kubuni mwongozo mzuri wa adhabu shuleni
  23. Watoto kulelewa katika misingi ya kidini
  24. Vituo vya kurekebisha tabia viimarishwe
  25. Adhabu kali itolewe kwa watumiao dawa za kulevya
  26. Kuanzisha michezo na shughuli za vyama ziimarishwe
  27. Mfumo wa elimu ufanyiwe marekebisho ili umpe mwanafunzi nafasi ya kucheza na kupumzika
  28. Kuanzisha nafasi za wachungaji shuleni na kadhalika.

 

  1. Tanbihi
  2. Mtahiniwa akiegemea katika vyanzo pekee bila suluhu, atuzwe alama C 8/20.
  3. Atakayetaja angalau suluhu moja achukuliwe ya kwamba amejibu swali kikamilifu
  4. Akikosa baadhi ya vipengee vya kimuundo achukuliwe kuwa amekosea kimuundo.
  5. Atakayeandika sura tofauti bali na ya kumbukumbu kwa mfano ,Barua rasmi , hotuba na kadhalika aondolewe alama 4S (sura) baada ya kuwekwa katika kiwango chake

 

 

 

 

 

SWALI LA PILI

Hii ni insha ya mjadala ambapo lazima pawe na mtazamo wa pande mbili za swali ,yani faida na hasara

FAIDA

  1. Bodaboda zimeleta ajira kwa watu wengi, ama kujiajiri au kuajiriwa
  2. Zimeimarisha hali ya maisha kwa wawekezaji na waendeshaji
  3. Zimeimarisha usafiri wa watu wa uchukuzi wa mizigo
  4. Zimeimarisha utawala kwani hata ma chifu huzitumia
  5. Zimeimarisha matumizi ya muda au wakati kwani huhitaji tu abiria mmoja
  6. Ni usafiri wa bei nafuu
  7. Huwafikisha watu haraka na kadhalika

 

HASARA

  1. Zimesababisha ajali nyingi, vifo na ulemavu
  2. Husababisha matatizo ya kiafya kutokana na baridi kali
  3. Wanafunzi wengi huwacha shule ili kushiriki katika biashara hii
  4. Usafiri huu unahusishwa na jinai kama vile ubakaji, wizi na kadhalika
  5. Umesababisha mimba za mapema kwa wanafunzi
  6. Zinaleta uvunjaji sheria za trafiki na kadhalika

 

Tanbihi

Mtahiniwa aweza:

  1. Kuwa na hoja chache za faida na nyingi za hasara-atakuwa amejibu swali kikamilifu.
  2. Kuwa na hoja nyingi za faida na chache za hasara-atakuwa amejibu swali kikamilifu
  3. Akiegemea tu upande mmoja yani faida au hasara pekee achukuliwe kuwa na upungufu wa kimaudhui na alama zake zisizidi kiwango cha C
  4. Akiwa na hoja za faida sawa na za hasara achukuliwe kuwa amejibu swali ila tu ana upungufu wa kimtindo
  5. Neno jadili linamaanisha kueleza kwa mapana na marefu.

 

 

 

 

 

 

SWALI LA TATU

Hii ni insha ya methali ambapo mtahiniwa lazima abuni kisa cha kudhihirisha ukweli wa methali aliyopewa.

 

MAANA

Mpiga ngumi- Mtu yeyote anayepinga/ anayeshindana/ anayemkosea adabu mtu mwingine anayemzidi kimadaraka,kiumri,kimaumbile n.k.

Kuumiza mkonowe ni kupata madhara/kutofaulu/kudhurika.

Anayepiga ngumi ukuta atajiumiza kwani atashibuka ngozi yake.

 

MATUMIZI

Anayeshindana na anayemzidi kiuuwezo atajiumiza yeye mwenyewe

Kisa kinaweza kuafiki hali zifuatazo:

  • Mwanafunzi anayempinga kiranja,aadhibiwe na mwalimu au hata afukuzwe shuleni kabisa.
  • Mwanafunzi kumkosea mwalimu heshima apate adhabu kali na hata asimalize masomo yake.
  • Mtoto kumkosea mzazi wake heshima akapoteza mwelekeo maishani hatimaye akaharibika kabisa.
  • Mwanasiasa kumpinga rais baadaye akose baadhi ya vitu vizuri ambavyo rais anaweza kumpa kwa Mfano.kuwa mwanachama wa kamati fulani, kuwa waziri na kadhalika.
  • Mwajiriwa kumkosea heshima mwajiri wake baadaye afutwe kazi.
  • Timu ndogo kujigamba itaishinda timu kubwa na baadaye ishindwe vibaya sana.
  • Nchi ndogo ijaribu kupigana na nchi yenye uwezo mkubwa kijeshi kisha ipigwe vibaya na kushindwa.

 

TANBIHI

  • Lazima mtahiniwa atunge kisa kudhihirisha ukweli wa methali-asipotunga kisa na atoe tu mifano na maelezo, achukuliwe kuwa amepotoka kimaudhui na atuzwe D3/20
  • Kisa lazima kidhihirishe pande mbili za methali yani kupiga ngumi ukuta na kuumiza mkonowe.
  • Akiegemea upande mmoja tu atakua amepungukiwa kimaudhui na atuzwe kiwango cha C
  • Atakayetunga zaidi ya kisa kimoja amepungukiwa kimtindo na kiwango chake kisizidi C

 

 

SWALI LA NNE

Hii ni insha ya mdokezo ambapo lazima mtahiniwa akamilishe kwa kifungu cha meneno aliyopewa.

Kisa chaweza kuafiki hali zifuatazo

  • Mhusika (yeye) alimkosea Marina, jambo hili likasababisha Marina kuwa matatani hatimaye yeye akajuta kwa kosa hilo.
  • Marina alitaka msaada wake, yeye hakumpa, Marina akupata kwingine na akafaulu maishani.Jambo hili linamletea majuto.
  • Yawezekana Marina alitaka amsaidie lakini yeye akakataa, jambo hili linamfanya apate matatizo mengi na akajuta kwanini hakuuchukua msaada wa Marina.
  • Hali nyingine zozote zinazoweza kumletea mhusika majuto zitathminiwe.

 

TANBIHI

  • Kisa lazima kimhusishe Marina na mtahiniwa-asipowahisisha, ana shida ya kimtindo.
  • Lazima katika kisa aonyeshe hali itakayomsababishia majuto.
  • Kisa lazima kimalizikie kwa kifungu cha maneno aliyopewa-asipomalizia au ayaweke mahali si pake achukuliwe kuwa na upungufu wa kimtindo.
  • Akiongezea maneno baada ya kifungu alichopewa achukuliwe kuwa na upungufu wa kimtindo.
  • Mtahini asome insha za watahiniwa kwa makini kisha awatuze alama kulingana na mwongozo wa kudumu ulio hapa chini.

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

MWONGOZO WA KUDUMU

UTANGULIZI.

Karatasi hii imedhamiria kutathmini uwezo wa mtahiniwa wa kuwasiliana na msomaji na kuwasilisha ujumbe kimaandishi,akizingatia mada aliyopewa. Mawasiliano haya yatategemea ukwasi wa lugha ya mtahiniwa, kwa mfano, kutunga sentensi sahihi zenye mtiririko mzuri kimawazo, lugha ya kuvutia na yenye mawazo asilia, ubunifu mwingi na hati nadhifu. Kwa kutegemea maagizo ya swali lenyewe na umahiri wa lugha, ni lazima kutilia mkazo mtindo, mada na uwezo wa mtahiniwa kufuata maagizo vilivyo. Mtahini lazima aisome insha yote huku akizingatia sarufi, hijai, hoja, msamiati na mtindo ili aweze kuikadiria kwa kurejelea viwango mbalimbali vilivyopendekezwa. Viwango vyenyewe ni A, B, C na D kutegemea uwezo wa mtahiniwa.

 

VIWANGO VYA KUTATHMINIA

Vielekezi hivi ndivyo vitakavyo mwezesha mtahini kumweka mtahiniwa katika viwango mbalimbali vya kiutendaji.

 

KIWANGO CHA D KWA JUMLA MAKI 01-05.

  1. i) Insha haieleweki kwa vyovyote vile ama uwezo wa mtahiniwa wa kutumia lugha ni hafifu sana, hivi kwamba mtahinilazima afikirie kile mtahiniwa anachojaribu kuwasilisha.
  2. ii) Mtahiniwa hana uwezo wa kutumia maneno ya Kiswahili kwa njia inayofaa.

iii) Lugha imevurugika, uakifishaji haufai na insha ina makosa ya kila aina.

  1. iv) Kujitungia swali na kulijibu.
  2. v) Insha ya urefu wa robo ikadiriwe hapa.

 

NGAZI MBALIMBALI ZA KIWANGO CHA D.

D- (D YA CHINI) MAKI 01-02.

  1. i) Insha haina mpangilio maalum na haieleweki kwa vyovyote vile.
  2. ii) Kujitungia swali tofauti na kulijibu.

iii) Kuandika kwa lugha isiyo Kiswahili au kuchanganya ndimi.

  1. iv) Kunakili swali au maswali na kuyakariri.
  2. v) Kunakili swali au kichwa tu.

 

D WASTANI MAKI 03.

  1. i) Mtiririko wa mawazo haupo.
  2. ii) Mtahiniwa amepotoka kimaudhui.

iii) Matumizi ya lugha ni hafifu mno.

iv)Kuna makosa mengi ya kila aina.

 

D+ (D YA JUU) MAKI 04-05.

  1. i) Insha ya aina hii hukuwa na makosa mengi ya kila aina, lakini unaweza kutambua kile ambacho mtahiniwa anajaribu kuwasilisha.
  2. ii) Hoja hazikuelezwa kikamilifu/ mada haikukuzwa vilivyo.

iii) Mtahiniwa hana uhakika wa matumizi ya lugha / anajaribu kutumia lugha ila hana hakika na matumizi ya vipengele vya lugha anavyoteua.

  1. iv) Mtahiniwa hujirudiarudia.
  2. v) Insha itakayozingatia sura lakini ikose maudhui ikadiriwe hapa.

 

 

KIWANGO CHA C KWA JUMLA MAKI 06-10.

  1. i) Mtahiniwa anajaribu kuishughulikia mada japo hakuikuza na kuiendeleza vilivyo.
  2. ii) Mtahiniwa anawasilisha ujumbe kwa njia isiyovutia / hana ubunifu wa kutosha.

iii) Mtahiniwa anaakifisha sentensi vibaya.

  1. iv) Mtiririko wa mawazo unaanza kujitokeza japo kwa njia hafifu.
  2. v) Insha ina makosa mengi ya sarufi, ya msamiati na ya tahajia (hijai).
  3. vi) Insha yenye urefu wa nusu ikadiriwe hapa.

 

 Ngazi mbalimbali za kiwango cha C

 

C- (C YA CHINI) MAKI 06-07.

  1. i) Mtahiniwa ana shida ya kuwasilisha na kutiririsha mawazo yake.
  2. ii) Mtahiniwa hana msamiati wa kutosha wala miundo ya sentensi ifaayo.

iii) Mtahiniwa anafanya makosa mengi ya sarufi, ya hijai na ya msamiati na insha yake haieleweki kwa urahisi.

 

 C WASTANI MAKI 08.

  1. Mtahiniwa anawasilisha ujumbe lakini kwa njia hafifu.
  2. i) Dhana tofauti tofauti hazijitokezi wazi.
  3. ii) Mtahiniwa hana ubunifu wa kutosha.

iii) Mtiririko wa mawazo ni hafifu na hana ufundi wa lugha unaofaa.

  1. iv) Anajaribu kushughulikia mada aliyopewa.
  2. v) Mtahiniwa ana shida ya uakifishaji.
  3. vi) Mtahiniwa anafanya makosa mengi ya sarufi, ya hijai na ya msamiati lakini bado insha inaeleweka.

 

C+ (C YA JUU) MAKI 09-10.

  1. i) Mtahiniwa anawasilisha ujumbe vizuri akizingatia mada lakini kwa njia isiyo na mvuto.
  2. ii) Dhana tofauti tofauti zimejitokeza japo kwa njia hafifu.

iii) Kuna mtiririko wa mawazo japo hana ufundi wa lugha unaofaa.

  1. iv) Misemo na methali zimetumika kwa njia hafifu.
  2. v) Ana shida ya uakifishaji.
  3. vi) Kuna makosa ya sarufi, ya msamiati na ya hijai yanayoathiri mtiririko wa mawazo.

 

 

KIWANGO CHA B KWA JUMLA MAKI 11-15

  1. i) Mtahiniwa anaonyesha hali ya kuimudu lugha.
  2. ii) Mtahiniwa anatumia miundo tofauti tofauti ya sentensi vizuri.

iii) Mtahiniwa ana uwezo wa kutumia lugha kwa ufasaha.

  1. iv) Mada imekuzwa na kuendelezwa kikamilifu.
  2. v) Insha ya urefu wa robo tatu ikadiriwe katika kiwango hiki.

 

 

 

Ngazi mbalimbali za kiwango cha B.

 

B- (B YA CHINI) MAKI 11-12

  1. i) Mtahiniwa anawasilisha ujumbe vizuri kwa kueleza hoja tofauti tofauti akizingatia mada.
  2. ii) Mtahiniwa ana mtiririko mzuri wa mawazo.

iii) Mtahiniwa anatumia mifano michache ya msamiati unaovutia.

  1. iv) Makosa yanadhihirika/ kiasi.

 

B WASTANI MAKI 13

  1. i) Mtahiniwa anadhihirisha hali ya kuimudu lugha.
  2. ii) Mawazo ya mtahiniwa yanadhihirika akizingatia mada.

iii) Mtahiniwa anateua na kutumia mifano michache ya msamiati mwafaka.

  1. iv) Sarufi yake ni nzuri.
  2. v) Makosa ni machache.

 

B+ (B YA JUU) MAKI 14-15

  1. i) Mawazo ya mtahiniwa yanadhihirika na anajieleza waziwazi.
  2. ii) Mtahiniwa anawasilisha ujumbe kwa njia inayovutia na kwa urahisi akizingatia mada.

iii) Mtahiniwa ana mchanganyiko mzuri wa msamiati unaovutia.

  1. iv) Sarufi yake ni nzuri.
  2. v) Uakifishaji wa sentensi zake ni mzuri.
  3. vi) Makosa ni machache ya hapa na pale.

 

KIWANGO CHA A KWA JUMLA MAKI 16-20

  1. i) Mtahiniwa ana ubunifu wa mawazo yanayodhihirika na kutiririka akizingatia mada.
  2. ii) Mtahiniwa anadhihirisha ujuzi wa lugha yenye mnato.

iii) Ana uwezo wa kutumia tamathali za usemi ili kutoa hisia zake kwa njia bora na kwa urahisi.

  1. iv) Umbuji wake unadhihirisha ukomavu na ukakamavu wake kimawazo.
  2. v) Insha ina urefu kamili.

 

Ngazi mbalimbali za kiwango cha A

  • (A ya chini) maki 16-17
  1. Mtahiniwa anadhihirisha ukomavu wa lugha.
  2. Mawazo ya mtahiniwa yanadhirika na anaishughulikia mada.
  • Ana mtiririko na muumano mzuri wa mawazo.
  1. Msamiati wake ni mzuri/mwafaka na unavutia.
  2. Sarufi yake ni nzuri.
  3. Anatumia miundo ya sentensi kiufundi
  • Makosa ni machache yasiyokusudiwa.

 

 

 

A Wastani Maki 18

  1. Mtahiniwa anawasilisha ujumbe vizuri kulingana na mada.
  2. Anajieleza kikamilifu akitumia lugha yenye mnato.
  • Anatoa hoja zilizokomaa.
  1. Anatumia msamiati wa hali ya juu na unaovutia Zaidi.
  2. Anatumia miundo tofauti tofauti ya sentensi kiufundi Zaidi.
  3. Makosa ni nadra kupatikana.

 

A+ (A ya juu) – Maki 19-20

  1. Mawazo yanadhihirika Zaidi na mada imeshughulikiwa vilivyo.
  2. Anajieleza kikamilifu akitumia lugha ya mnato Zaidi.
  • Hoja zake zimekomaa na zinashawishi.
  1. Msamiati wake ni wa hali ya juu na unaovutia Zaidi.
  2. Sarufi yake ni nzuri Zaidi.
  3. Anatumia miundo tofauti tofauti ya sentensi kiufundi Zaidi.
  • Makosa yote kwa jumla hayazidi matano.

 

Muhtasari wa Viwango mbalimbali.

 

Kiwango Ngazi Alama
A A+

A

A-

19-20

18

16-17

B B+

B

B-

14-15

13

11-12

C C+

C

C-

09-10

08

06-07

D D+

D

D-

04-05

03

01-02

 

 

 

 

 

USAHIHISHAJI NA UTUNZAJI KWA JUMLA.

Ili kuikadiria insha ya mtahniwa vyema bila kuongozwa na mtazamo-nafsi, mtahini sharti aisome insha yote akizingatia vipengee muhimu. Vipengee hivi ni maudhui, msamiati, mtindo, sarufi na hijai.

 

MAUDHUI.

  1. Maudhui ni hoja au mambo yanayozungumziwa, kuelezewa au kuhadithiwa kwa mujibu wa mada iliyoteuliwa.
  2. Maudhui ndio hasa uti wa mgongo wa insha yoyote ile.
  3. Ubunifu wa mtahiniwa hukisiwa kwa kutathmini uzito wa maudhui yake kulingana na mada teule.

 

 

 

MSAMIATI.

Msamiati ni jumla ya maneno yatumiwayo katika lugha husika. Mtahiniwa anatarajiwa kutumia msamiati unaooana na mada teule. Kutegea ukwasi wa lugha alionao, mtahiniwa anatarajiwa kuikuza mada kwa kuifinyanga lugha kiufundi. Ni muhimu kuelewa kwamba kutokana na maendeleo na ukuaji wa teknolojia na mawasiliano, maneno mapya yanaibuka kila uchao.

 

MTINDO.

Mtindo unahusu mambo kama vile:

  • Matumizi yafaayo ya lugha kama vile :tamathali za usemi, kwa mfano methali,misemo,sitiari na kadhalika.
  • Matumizi mwafaka ya msamiati unaohusiana na mada teule/matumizi ya sajili mwafaka.
  • Namna mtahiniwa /mwandishi anavyowaumba wahusika wake, kwa mfano kwa kuwapa majina ya majazi,kuwaua na kadhalika.
  • Matumizi ya vipengele vya kimtindo kama vile mbinu rejeshi, udokezaji na sadfa.
  • Matumizi ya vipengele vya tanzu nyingine za kimandishi /kifasihi/kisanaa, kama vile kutumia barua katika insha ya masimulizi.

 

MUUNDO

  • Mpangilio wa kazi kiaya.
  • Mtiririko na mshikamano wa mawazo kiaya na katika insha nzima.
  • Hati nzuri na inayosomeka kwa urahisi.
  • Kuandika herufi vizuri kwa mfano Jj, Pp, Uu, Ww na kadhalika.
  • Sura ya insha.Asiyezingatia sura ya insha katika swali la kwanza aondolewe 4S baada ya kutuzwa.
  • Unadhifu wa kazi ya

 

SARUFI.

Sarufi ndio msingi wa lugha. Ufanisi wa mawasiliano hutegemea uwezo wa mtahiniwa wa kutunga sentensi sahihi zenye uwiano wa kisarufi. Mtahini ataonyesha makosa yote ya sarufi yaliyo katika insha anayosahihisha. Makosa ya sarufi huweza kutokea katika:

  1. Matumizi yasiyofaa ya alama za uakifishaji.
  2. Kutumia herufi kubwa na ndogo mahali pasipofaa.
  • Matumizi yasiyofaa ya ngeli na viambishi, viunganishi, nyakati, hali, vihusiano na kadhalika.
  1. Mpangilio usiofaa wa maneno katika sentensi.
  2. Mnyambuliko usiofaa wa vitenzi na nomino.
  3. Kuacha neno linalohitajika au kuongeza neno lisilohitajika katika sentensi.

 

 

 

 

 

Matumizi yafuatayo ya herufi kubwa yazingatiwe:

  1. Mwanzo wa sentensi.
  2. Majina ya pekee.
  3. Majina ya mahali, miji, nchi, mataifa na kadhalika.
  4. Siku za juma, miezi n.k

iii. Mashirika, masomo, vitabu n.k

  1. Jina la Mungu.
  2. Majina ya kutambulisha hasa wanyama wa kufugwa, kwa mfano yale ya mbwa- Foksi, Jak, Popi, Simba na mengineyo.

 

 

MAKOSA YA HIJAI/TAHAJIA.

Haya ni makosa ya maendelezo. Mtahini anashauriwa asahihishe huku akiyaonyesha yanapotokea kwa mara ya kwanza tu. Makosa ya tahajia huweza kutokea katika:

  • Kutenganisha neno kwa mfano ‘aliye kuwa’
  • Kuunganisha maneno kwa mfano ‘kwasababu’
  • Kukata silabi visivyo afikapo pambizoni kama vile ‘ngan – o’.
  • Kuandika herufi isiyofaa kwa mfano ‘ongesa‘ badala ya ‘ongeza’
  • Kuacha herufi katika neno kwa mfano ‘aliekuja’ badala ya ‘aliyekuja’
  • Kuongeza herufi isiyohitajika kama vile ‘piya’ badala ya ‘pia’
  • Kuacha alama inayotarajiwa katika herufi kama vile j I .
  • Kukosa kuandika kistari cha kuendelezea neno afikiapo pambizoni au kukosa kukiandikia mahali pasipofaa.
  • Kuacha ritifaa au kuiandikia mahali pasipofaa, kwa mfano ngombe, ngom‘be, n‘gombe, ngo‘mbe n.k
  • Kuandika maneno kwa kifupi kama vile k.v, k.m, v.v, n.k na kadhalika.
  • Kuandika tarakimu kwa mfano 27-08-2010.

 

 

 

Alama za kusahihishia

 

==== Hupigwa chini ya sehemu ambapo kosa la sarufi limetokea kwa mara ya kwanza tu.

 

_______ Hupigwa chini ya sehemu au neon ambapo kosa la hijai limetokea kwa mara ya kwanza tu.

  • Hutumiwa kuonyesha hoja inapokamilika pambizoni kushoto.

 

˄ Hutumiwa kuonyesha kuachwa kwa neno \ maneno.

 

  • Hutumiwa kuonyesha msamiati bora. Alama hii huitwa juu ya neno lenyewe.

 

× Hutumiwa kuonyesha msamiati usiofaa. Alama hii hutiwa juu ya neno lenyewe.

 

Maelezo mafupi yanahitajika kuhusu tuzo lililotolewa. Kila ukurasa uwe na alama ya √ chini katikati ili kuthibitisha kuwa mtahini ameupitia ukurasa huo

UKADIRIAJI WA UREFU WA INSHA.

  • Maneno 9 katika kila mstari – kurasa mbili
  • Maneno 8 katika kila mstari – kurasa mbili na robo.
  • Maneno 7 katika kila mstari – kurasa mbili na nusu.
  • Maneno 6 katika kila mstari – kurasa tatu.
  • Maneno 5 katika kila mstari – kurasa tatu na nusu.
  • Maneno 4 katika kila mstari – kurasa nne na nusu.
  • Maneno 3 katika kila mstari – kurasa sita.

 

 

Kufikia maneno 174                    Insha robo

Maneno 175- 274                         Insha nusu

Maneno 275 -374                         Insha robo tatu

Maneno 375 na kuendelea            Insha kamili

 

Mapendekezo kuhusu usahihishaji wa swali la kwanza.

 

Hili ni swali la lazima kwa kila mtahiniwa. Swali hili kwa kawaida ni la kiuamilifu. Ni muhimu mtahiniwa azingatie mahitaji / masharti ya uandishi wa utungo wa kiuamilifu ambao amepewa. Kwa mfano, ikiwa ni hotuba, vipengele vya kimuundo na kimtindo vya hotuba vizingatiwe.  Hata hivyo ni muhimu ikumbukwe kwamba sura au muundo wa utungo wowote ule ni kiwasilishio tu cha masuala lengwa. Kwa hivyo ni muhimu mtahiniwa azingatie maudhui/ yaliyomo. Haitoshi kuufahamu muundo wa utungo. Maudhui hasa ndicho kiunzi cha utungo. Pamoja na maudhui na muundo vipengele vingine vya kimawasiliano kama vile uteuzi wa msamiati, mtiririrko na mshikamano wa mawazo sharti vizingatiwe.

102/2

KISWAHILI LUGHA

KIDATO CHA NNE 

 

MOCKS 1 2023

 

MUHULA WA PILI, 2023

MWONGOZO WA KUSAHIHISHIA

(SIRI)

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

Swali la Kwanza: Ufahamu (alama 15)

  1. a) Maendeleo yaliyotokana na ugatuzi
  2. Huduma muhimu zimeletwa karibu na watu/wananchi.
  3. Barabara zimeimarishwa.
  • Huduma zahanatini zimeimarika.

            (3 x 1= 3)

  1. b) Makosa ya wafanyikazi katika vituo vya afya
  2. i) Madaktari waliingia kazini wakiwa wamechelewa.
  3. ii) Maafisa sajili walificha majalada maksudi/walidai kadhongo kabla ya kutoa majalada.

iii) Maafisa wa dawa waliuza/waliiba dawa za serikali na kuwauzia wagonjwa.

  1. iv) Maafisa maabara walikosa kemikali za kupima magonjwa.
  2. v) Maafisa wa maabara walichelewesha matokeo ya uchunguzi wa magonjwa. (saa mbili u nusu)
  3. vi) Maafisa wa maabara hawakuwarejeshea wagonjwa mabaki ya hela baada ya malipo.

                          (5 x 1= 5)

  1. c) Viongozi wa kuchaguliwa kwenye makala
  2. i) gavana ii) mwakilishi wa kata

       (2 x 1= 2)

  1. d) Neno moja la maana ‘plastiki’

sandarusi

                  (1 x 1= 1)

  1. e) Jina la ugonjwa wa Mzee Mori

malaria

                       (1 x 1= 1)

  1. f) Maana ya maneno
  2. kuhujumu – kuharibu, kudhuru
  3. chamcha – chakula cha mchana
  • unapigwa na butwaa – unashangaa, unapatwa na mshangao

       (3 x 1= 3)

Swali la Pili: Ufupisho       (alama 15)

  1. a) Hoja katika aya mbili za kwanza
  2. i) Kilimo ni moja kati ya shughuli za binadamu.
  3. ii) Hujishughulisha na upanzi wa mimea na ufugaji wa mifugo.

iii) Maisha ya binadamu hutegemea kilimo.

  1. iv) Kilimo kimekuwa maishani mwa binadamu kwa karne nyingi.
  2. v) Kilimo kilianza ustaarabu ulipostawi.
  3. vi) Kabla ya kilimo binadamu aliishi maisha ya kukusanya.

vii) Dharura ya kuwa na utaratibu tegemevu ikatokana na kuongezeka kwa idadi ya watu.

viii) Harakati za kusaka chakula zikashadidi kote.

  1. ix) Hii ilifuatiwa na kufuga wanyama kwa ajili ya bidhaa zao.
  2. x) Baada ya miongo wanyama wakatumiwa mashambani kufanya kazi.

                (hoja 8 x 1 = 8)

  1. b) Hoja muhimu katika aya ya tatu na ya nne
  2. i) Ustaarabu ulipoimarika mahitaji ya chakula yakawa makubwa.
  3. ii) Ilibidi kubuni mbinu mpya na bora za uzalishaji wa chakula.

iii) Katika baadhi ya sehemu, uzalishaji ulizuiwa na hali ngumu ya hewa.

  1. iv) Ili kukabaliana na hali hii, mitaro ilichimbwa kutoka maeneo ya maji na kuelekeza maji mashambani.
  2. v) Haja ilizuka ya kuimarisha aina ya mbegu zilizopandwa.
  3. vi) Uvumbuzi wa viwanda ulipotokea vifaa bora vya kilimo vilivumbuliwa.

vii) Hatua hii iliimarisha na kuendeleza kilimo kwa manufaa ya binadamu.

                  (hoja 6 x 1 = 6)

  1. a) – 8
  2. b) – 6

               Ut – 1

         Jumla – 15

 

 

Swali la Tatu: Matumizi ya Lugha (alama 40)

  1. a) Kutaja na kuainisha konsonanti katika nenop ‘ng’ata’ kwa mujibu wa ala za kutamkia

  /ng’/ – kaakaa laini,  /t/ – ufizi/ masine

                          (2 x ½ = 1)

  1. b) Maneno yanayoundwa kwa irabu tatu pekee
  2. aua ii.   aoa     iii.  eua   iv. iue   v. uue

                          (4 x ½ = 2)

  1. c) Silabi zenye shada
  2. ombea            ii. hakimu

                          (2 x 1 = 2)          

  1. d) Maana mbili za sentensi
  2. Bor ni mwanawe Dumu. ii. Mwana ni wa Bor.

                          (2 x 1 = 2)

  1. e) Kutunga sentensi kuanzia nomino na kivumishi cha pekee ‘-ingineo’
  2. Sisimizi mwingineo atakuuma. / Sisimizi wengineo watakuuma. (ngeli ya a – wa umoja na wingi)
  3. Mkanda mwingineo umekatika.

iii. Kuchoka kwingineko kutanilemea.

                         (3 x 1 = 3)               

  1. f) Kuandika muundo wa sentensi katika msitari

Mgogoro huo ulimalizika leo kwa mapatano           

  S- KN(N+V) + KT(T+E+H+N)

                       (2×1 = 2)

 

 

 

  1. g) Mofimu katika neno: ‘iue’

   i – ngeli/idadi/wingi/yambwa

-u – mzizi

– e  – kiishio/ uamrishaji        

  1. h) Kuainisha nomino katika sentensi

  Kipakatalishi cha Wangila kina kasi kubwa.

kawaida               pekee         dhahania

                         (3 x 1 = 3)

  1. i) Kuakifisha sentensi

 “Umeanza kusoma Tamthilia ya ‘Kigogo’?” Kigogo alimuuliza Kangogo.

(Herufi kubwa – 1, alama usemi – 1 na nukuu za kitabu na kiulizi – 1)

  1. j) Kukanusha sentensi
  2. Wanafunzi wengi hawajaenda kucheza kandanda katika shule jirani.

                           (1 x 1 = 1)

  1. Tukianza safari yetu asubuhi hatutachelewa kikaoni. Au

   Tusipoanza safari yetu asubuhi hatutachelewa kikaoni.

                           (1 x 1 = 1)

  1. k) Kinyume cha sentensi

  Wananchi wachache walihudhuria mkutano nje ya uga wa Kitaifa.

                           (2 x 1 = 2)

  1. l) wingi: Idara mpya ziliundwa na wakurugenzi wa kampuni hizo.

                           (4 x ½ = 2)

  1. umoja: Chungu cha kupikia kimesahaulika na mpishi.

                            (4 x ½ = 2)

  1. m) Mifano ya sentensi zenye miundo
  2. S – KN (W + V) + KT (T+E)

     Wale wengine wanatembea haraka.

                     (2 x 1 = 2)

  1. S – KN (N) + KT (T)

Shairi litaimbika.

                           (2 x ½ = 1)

  1. n) Visawe vya maneno katika sentensi
  2. i. banati – binti, msichana, ii. alishusha – aliteremsha, iii. beramu – bendera

kumi na mbili – thenashara

                           (4 x ½ = 2)

  1. o) Sentensi moja yenye vitate ‘sima’ na ‘zima’.

   Alizima moto baada ya kula sima.

                          (2 x 1 = 2)

  1. p) Methali: Panapo juhudi jambo gumu hufanikishwa.

     Papo kwa papo kamba hukata jiwe.

                         (1 x 1 = 1)

  1. q) Kutumia nahau ‘ng’oa nanga’ katika sentensi kuonyesha maana yake

   maana – anza shughuli fulani kv kazi au safari

mfano: Tuling’oa nanga alfajiri kwenda kumwona mjomba.

                  (1 x 1 = 1)              

  1. r) Kujaza pengo kwa vihisishi

Unapotaka kupishwa hutumia neno simile/sumile/hebedari/hela/heria/hebu na alamsiki ni tamko la kuagana mnapoachana na mtu usiku kama ambavyo samahani/kunradhi/kumradhi hutumiwa unapomwomba mtu msamaha kwa kumkosea.

                       (3 x 1 = 3)

  1. Isimujamii
  2. i) Wachezaji watarejelewa kwa majina yao halisi – Oliech, Mariga, Kadenge
  3. ii) Kuwa na kauli zisizokamalika – Anampa mpira kisha….

iii) Kuwepo kwa takriri- Hatari! Hatari! Mariga! Mariga! Mariga!

  1. iv) Kuwepo kwa vihisishi- aa! la! la! la! laa!
  2. v) Kuna na chuku – Amefunga bao la kimataifa.
  3. vi) Kuna kuchanganya ndimi- Inakuwa offside.

vii) Kuwepo kwa jazanda – Ngoma inatoka nje.

viii) Tashihisi itatumiwa – Mpira unaenda nje.

  1. ix) Taswira – Arudi nyuma na kuachilia mkwaju kimo cha nyoka.
  2. x) Sentensi ndefu-X alimpa Y naye akampiga chenga za dharau Z na kukubaliana na kipa kisha kuvuta kwaju zito lililomwacha kipa akiduwaa.
  3. xi) Utohozi – goli, kipa, mpira wa kona

xii) Maswali balagha – Hata kama ni wewe ungezuia bao hilo?

xiii) Matumizi ya misimu –

 

 

              (Sifa 10 na mifano ambatani x 1 = 10)

 

 

 

                 HUU NDIO UKURASA WA MWISHO ULIOPIGWA CHAPA.

 

 

 

 

 

List of schools yet to upload 2020 form one selection list on Nemis per county- Kericho

About 5,397 schools are yet to upload their 2020 from one selection lists onto the National Education Management Information System, Nemis. This is according to the latest data from the Education Ministry. This mostly affects the Sub County and Private schools whose selection was done manually. The list detailing the school’s name and location indicates that the schools are yet to upload their selection lists onto their Nemis accounts in readiness for the admission exercise in January 2020.

The Education Ministry has set reporting date for the 2020 form ones to secondary schools to be between January Monday 13th to Friday 17th. This will be about one week after the other students would have reported back to school for the new year.

FOR A COMPLETE GUIDE TO ALL SCHOOLS IN KENYA CLICK ON THE LINK BELOW;

Here are links to the most important news portals:

SCHOOLS YET TO UPLOAD THEIR 2020 FORM ONE SELECTION LISTS IN KERICHO COUNTY

In this county 152 schools are yet to upload their lists. Here is a list of the schools:

COUNTY NAME SUB COUNTY NAME INSTITUTION NAME INSTITUTION TYPE
Kericho BELGUT SIMA KAPLELARTET ACADEMY Private
Kericho BELGUT CHUMO SECONDARY SCHOOL Private
Kericho BELGUT JORDANA DVENTIST Private
Kericho BELGUT LITTLE LAMBS Private
Kericho BELGUT GREENWOODS Private
Kericho BELGUT KIMALEL Private
Kericho BELGUT TEGAT MAINA Private
Kericho BELGUT LASOI JUNIOR Private
Kericho BELGUT SIGOwET UPPER HILL Private
Kericho BELGUT GENIAL ACADEMY Private
Kericho BELGUT ST RITHA’S ACADEMY Private
Kericho BELGUT RESAM ACADEMY Private
Kericho BELGUT TEA VIEW KAPKITONY Private
Kericho BELGUT ST PATRICK’S ACADEMY Private
Kericho BELGUT DAYLIGHT ACADEMY Private
Kericho BELGUT TEA VIEW Private
Kericho BELGUT KIPSOLU HAPPY Private
Kericho BELGUT CHEBUNGUNGON Public
Kericho BELGUT GETUMBE Public
Kericho BELGUT TELDET Public
Kericho BELGUT CHEBIRIRBEI SEC SCH Public
Kericho BELGUT BORBORWET SEC Public
Kericho BELGUT KAPKITONY Public
Kericho BELGUT CHERONGET Public
Kericho BELGUT KEBEN Public
Kericho BELGUT CHEMOGOCH SEC SCH Public
Kericho BELGUT KAPSOIYO Public
Kericho BELGUT ST. FRANCIS GIRLS SECONDARY SCHOOL Public
Kericho BURETI KIPTEWIT BETHLEHEM Private
Kericho BURETI ST. MARKS JUNIOR Private
Kericho BURETI SACRED HEART RORET Private
Kericho BURETI KAPRORET Private
Kericho BURETI PEREA JUNIOR Private
Kericho BURETI J. BELYON Private
Kericho BURETI MISOI HILLS Private
Kericho BURETI SAMBON Private
Kericho BURETI TIRYTA JUNIOR Private
Kericho BURETI SILOT SUNSHINE Private
Kericho BURETI PROGRESSIVE STAR LIGHT Private
Kericho BURETI LITEN EAST Private
Kericho BURETI KAPORIA JUNIOR Private
Kericho BURETI RORET BLESSED HOPE Private
Kericho BURETI SAMLO ACADEMY Private
Kericho BURETI SIX WHEELS Private
Kericho BURETI KAPKARIN Public
Kericho BURETI CHEMOIBEN Public
Kericho BURETI NELSON MANDELA Public
Kericho BURETI Litein Mixed Day Secondary. Public
Kericho BURETI MASUBETI GIRLS HIGH Public
Kericho BURETI KAPCHELACH Public
Kericho BURETI CHEBITET SEC Public
Kericho BURETI Kiptororgo Sec School Public
Kericho BURETI KAMANASIM SEC Public
Kericho BURETI ITOIK SECONDARY SCHOOL Public
Kericho BURETI KAMINJEIWET Public
Kericho BURETI SOSIT DAY MIXED Public
Kericho BURETI KABUSIENDUK SEC Public
Kericho BURETI TUPKUTWET Public
Kericho BURETI CHEPKULGONG MIXED DAY Public
Kericho BURETI NGORORGA SEC Public
Kericho BURETI KUSUMEK Public
Kericho BURETI KAPSOGERUK SEC Public
Kericho BURETI NGOINA SECONDARY Public
Kericho BURETI LALAGIN MIXED DAY SECONDARY SCHOOL Public
Kericho BURETI KIPTOBON SEC Public
Kericho BURETI GETARWET DAY MIXED Public
Kericho BURETI KIBOLGONG SECONDARY Public
Kericho BURETI KAPTELE MIXED DAY SEC Public
Kericho BURETI RUNGUT DAY MIXED SECONDARY Public
Kericho BURETI MABASI Public
Kericho BURETI CHEPTENDENIET Public
Kericho KERICHO LITTLE ANGEL JUNIOR Private
Kericho KERICHO CHEPKOLON GREEN HIGHLANDS  ACADEMY Private
Kericho KERICHO GRASSLAND TABON Private
Kericho KERICHO KORONGOI ECDE Private
Kericho KERICHO QUARRY CHRISTIAN Private
Kericho KERICHO PENTA J VICTORS Private
Kericho KERICHO CHESICHE JUNIOR Private
Kericho KERICHO MLIMANI grammar school Private
Kericho KERICHO SACRED HEART Private
Kericho KERICHO CHEPKOIYO SEC SCH Public
Kericho KERICHO SUMEIYON Public
Kericho KERICHO POIYWEK Public
Kericho KERICHO BUCHENGE MIXED Public
Kericho KERICHO KERICHO DAY Public
Kericho KERICHO BROOKE DAY Public
Kericho KERICHO KERICHO TOWNSHIP Public
Kericho KERICHO KENEGUT Public
Kericho KERICHO MASO Public
Kericho KERICHO MATOBO SEC Public
Kericho KERICHO KETITUI Public
Kericho KERICHO KAPKIAM MIXED Public
Kericho KERICHO MANYOROR SEC Public
Kericho KERICHO LALIAT MIXED Public
Kericho KERICHO KAPSOIT Public
Kericho KERICHO KABOKYEK SEC. Public
Kericho KERICHO IRAA GIRLS SECONDARY SCHOOL Public
Kericho KERICHO CHEPNGOBOB Public
Kericho KERICHO KABOLOIN SEC SCH Public
Kericho KIPKELION CHUMO PREPARATORY Private
Kericho KIPKELION BIMA Private
Kericho KIPKELION KOKWET OASIS Private
Kericho KIPKELION KOSVIN T ACADEMY Private
Kericho KIPKELION BARAKA HILLS Private
Kericho KIPKELION EMMAUS VISION Private
Kericho KIPKELION KIPKELION WEST Private
Kericho KIPKELION BURGEI Private
Kericho KIPKELION MERCY GIRLS SECONDARY SCHOOL Private
Kericho KIPKELION HEKIMA Private
Kericho KIPKELION BABYSHINE Private
Kericho KIPKELION LILLOCH Public
Kericho KIPKELION KIPSEGI SEC SCH Public
Kericho KIPKELION NYAIROBI SECONDARY SCHOOL Public
Kericho LONDIANI BRIDGE INTERNATIONAL Private
Kericho LONDIANI JOYHILLS Private
Kericho LONDIANI AIC JAGOROR Private
Kericho LONDIANI ACK ST. PAUL Private
Kericho LONDIANI FALCONDEM Private
Kericho LONDIANI KECHEIYAT CHRISTIAN Private
Kericho LONDIANI CHAGAIK GLORY Private
Kericho LONDIANI ECCK BLESSED ACADEMY Private
Kericho LONDIANI GREEN HARVESTERS Private
Kericho LONDIANI LONSITY Private
Kericho LONDIANI DAUL Private
Kericho LONDIANI CHEPSEON BRILLIANCE Private
Kericho LONDIANI BARAKA SEC Public
Kericho LONDIANI SETEK HILL SECONDARY SCHOOL Public
Kericho LONDIANI KAPSENDA SEC SCH Public
Kericho LONDIANI MASAITA SEC Public
Kericho LONDIANI UNITED SOY SECONDAY SCHOOL Public
Kericho LONDIANI KIPRENGWE Public
Kericho LONDIANI CHEPSEON COMPLEX Public
Kericho LONDIANI KIMUGUL DAY Public
Kericho LONDIANI SIMBOIYON Public
Kericho LONDIANI SARAMEK SEC Public
Kericho LONDIANI TUGUNON Public
Kericho LONDIANI KIPSIRICHET Public
Kericho LONDIANI KAPKONDOR Public
Kericho LONDIANI KIMASIAN Public
Kericho LONDIANI CHEBEWOR Public
Kericho LONDIANI SITIAN SEC Public
Kericho LONDIANI KAPTICH Public
Kericho LONDIANI KEDOWA MIXED SEC SCH Public
Kericho LONDIANI KISABO Public
Kericho LONDIANI MOI SORGET SEC Public
Kericho LONDIANI JUBILEE SECONDARY Public
Kericho SIGOWEI / SOIN KABOKYEK ADVENTIST SEC Private
Kericho SIGOWEI / SOIN SUMEEK Public
Kericho SIGOWEI / SOIN KAPTEBENGWO SEC SCH Public
Kericho SIGOWEI / SOIN NYABERI Public
Kericho SIGOWEI / SOIN SONDU SEC Public
Kericho SIGOWEI / SOIN AIC KAKIBEI GIRLS Public

September 2020 Universities, Colleges and TVETs intake; How to check kuccps degree and diploma placement for September 2020 intake

The Kenya Universities and Colleges Central Placement Service (KUCCPS) is mandated with the responsibility of placing students to higher institutions of learning; Universities, Colleges, Polytechnics and TVETs. KUCCPS is the Government of Kenya body that undertakes the selection of students for admission to higher learning institutions for Government sponsorship. After students have selected their courses, kuccps reviews and places them accordingly. Such students can then check their placement results, online, after the selection process.

For complete information on all schools in Kenya, including best private and public schools, please visit this link: Schools Portal; Complete guide to all schools in Kenya

How to Check Course and University admitted to; KUCCPS 2020/2021

For the 2019 Kenya Certificate of Secondary Education, KCSE, candidates, you can check for your placement results but after kuccps has finalized the selection process. After the announcement of the results, then use the procedure below to check placement results;
  • Visit: https://students.kuccps.net/
  • Login with your details as follows;
  • Username: (Use your full Index Number)
  • Year: (2019)
  • Password: (Use your Birth Certificate Number or KCPE index number)

After login you should see a box like the one below with a message that reads

Congratulations, followed by a university you have been placed then finally the course you will pursue.

Here are links to the most important news portals:

Remember, there are 3 periods provided for by kuccps in order to apply for courses of your choice. These include:

1). School application window: This is opened usually in October/ November for candidates to choose their courses, long before they sit for the KCSE exams. This is the best moment for you to apply for your course choices. This way, you stand a better chance of joining your preferred course and is also it is cheaper; you pay only Sh500.

2). KUCCPS first revision:
First revision for degree and diploma choices will be on dates to be announced by placement service after the release of KCSE results.

3). KUCCPS second revision:
Candidates who will not have qualified on competitive selection for any of their preferred choices during the first round of selection will be given a chance to do second revision by selecting courses with unfilled capacities.

4). Placement to any programme:
Any applicant who fails to qualify for their choices but meet the cut off points for placement may be offered any course with unfilled capacities taking into account the minimum requirements for admission.

KUCCPS Contacts

TSC Cancels tomorrow’s meeting with KNUT

The Teachers Service Commission, TSC, has cancelled the much awaited meeting with the Kenya National Union of Teachers, KNUT. The meeting was to be held tomorrow, Friday 19 October 2018. The TSC did not however state the reasons for postponing the meeting; only saying the cancellation is due to unavoidable circumstances. The talks were to highlight contentious issues raised by KNUT on the teachers’ welfare. Promoting teachers on attainment of higher qualifications, stopping the delocalization and Appraisal exercises are among the matters that KNUT wants to be adressed by the employer:

 

Bureti Technical Training Institute Course List, Fees, Requirements, How to Apply

Bureti Technical Training Institute Course List, Fees, Requirements, How to Apply
BRIEF HISTORY OF THE INSTITUTE

Bureti Technical Training Institute is located in the serene expanse of the the historical site popularly known as Tiriitab Moita – a place for herding calves.

The area was known for communal activities such as herding of calves, sporting, boxing, wrestling, athletics, dancing and more.

Soon after independence, community leaders coined the idea of constructing an educational institution, and Bureti TTI was born.

The Institute begun offering TVET programmes in May 2015 and was officially unveiled by the Deputy President on 20th November same year.

MINISTRYOF EDUCATION

STATE DEPARTMENTOF VOCATIONAL AND TECHNICAL TRAINING

BURETI TECHNICAL TRAINING INSTITUTE

P.O. BOX 444-20406-SOTIK, Tel: +254704453337

website: www.buretitechnical.ac.ke ,Email: buretitechnical@gmail.com

MOTTO: SKILLS FOR GROWTH MAIN CAMPUS

AGRICULTRURE DEPARTMENT
COURSE NAME DURATION ENTRY QUALIFICATIONS INTAKEPERIOD EXAM BODY
Diploma in General Agriculture 3 Year C- (MINUS) SEPT KNEC
Diploma in Agricultural Engineering 3 Year C- (MINUS) SEPT KNEC
Craft in General Agriculture 2Years D PLAIN SEPT KNEC
Artisan in General Agriculture 1 Year KCPE SEPT KNEC
Dairy Management Level 4 6 Months KCPE SEPT TVET – CDACC
BUILDING AND CIVIL ENGINEERING DEPARTMENT
Diploma in Building & Construction Technology 3 Years C-(MINUS) SEPT KNEC
Diploma in Civil Engineering 3 Years C-(MINUS) SEPT KNEC
Diploma in Water Technology 3Years C-(MINUS) SEPT KNEC
Craft Certificate in Building Technology 2 Years D(PLAIN) SEPT KNEC
Craft Certificate in Plumbing 2 Years D (PLAIN) SEPT KNEC
Artisan in Masonry 1 Year KCPE SEPT KNEC
Artisan in Plumbing 1 Year KCPE SEPT KNEC
Plumbing Level 4 6 Months KCPE SEPT TVET – CDACC
Masonry Level 4 6 Months KCPE SEPT TVET – CDACC
ELECTRICAL AND ELECTRONICS ENGINEERING DEPARTMENT
Higher Dip. In Electrical and Electronics 1Years Dip. in Electrical SEPT KNEC
Dip.in Electrical and Electronics Engineering (Power Option) 3Years C- (MINUS) SEPT KNEC
Dip.in Electrical and Electronics Engineering (Telecoms) 3Years C-(MINUS) SEPT KNEC
Dip.in Electrical and Electronics Engineering (Instrumentation) 3Years C-(MINUS) SEPT KNEC
Craft in Electrical & Electronics Engineering (Power Option) 2 Years D (PLAIN) SEPT KNEC
Craft in Electrical & Electronics Engineering (Telecoms) 2Years D(PLAIN) SEPT KNEC
Artisan in Electrical Installation 1Year KCPE SEPT KNEC
Electrical Installation Level 4 6 Months KCPE SEPT TVET-CDACC
MECHANICAL DEPARTMENT
Diploma in Automotive Technology 3 Years C- (MINUS) SEPT KNEC
Diploma in Mechanical Engineering (Production) 3 Years C- (MINUS) SEPT KNEC
Diploma in Mechanical Engineering (Plant) 3Years C-(MINUS) SEPT KNEC
Craft Certificate in Welding and Fabrication 2 Years D (PLAIN) SEPT KNEC
Craft Certificate in Mechanical Engineering (Production) 2 Years D (PLAIN) SEPT KNEC
Craft Certificate in Automotive Engineering 2Year D (PLAIN) SEPT KNEC
Artisan in Welding and Fabrication 1 Year K.C.S.E SEPT KNEC
Artisan in Motor Vehicle Mechanics 1 Year K.C.S.E SEPT KNEC
BUSINESS $ ICT DEPARTMENT
Diploma in ICT 3 Years C- (MINUS) SEPT KNEC
Diploma in Secretarial Studies 3Years C-(MINUS) SEPT KNEC
Craft Certificate in ICT 2 Years D (PLAIN) SEPT KNEC
Craft Certificate in Information Science 2 Years D (PLAIN) SEPT KNEC
Craft in Secretarial Studies 2Years D(PLAIN) SEPT KNEC
Compputer operator Grade III KCPE MAY, SEPT NITA
HOSPITALITY AND INSTITUTIONAL MANAGEMENT DEPARTMENT
Diploma in Food and Beverage 3Years C-(MINUS) SEPT KNEC
Diploma in Nutrition and Dietetic 3Years C-(MINUS) SEPT KNEC
Diploma in Catering & Accommodation Management 3Years C-(MINUS) SEPT KNEC
Craft in Nutrition and Dietetic 2Years D(PLAIN) SEPT KNEC
Craft in Food and Beverage 2Years D(PLAIN) SEPT KNEC
Craft in Catering & Accommodation Management 2Years D(PLAIN) SEPT KNEC
FEE SCHEDULE

TOTAL FEE PER YEAR – 56,420

CAPITATION/GOVERNMENT                     STUDENT/HELB/BURSARIES

Ksh. 30,000                                                   Ksh. 26,420

TERM I                     TERM II

Ksh.15,805             Ksh.10,615

ACCOUNT NUMBER: 1169796559

KENYA COMMERCIAL BANK-SOTIK BRANCH

.

 

APPLY TO THE PRINCIPAL

BURETI TECHNICAL TRAINING INSTITUTE

P.O. BOX 444 – 20406 SOTIK

KENYA.

 

Knec Examiners strike 2023; All the latest news

How it went down at St. Francis Mangu Marking Centre:

~Monday: Examiners down their tools over poor pay and working conditions. They demanded that chief examiner be changed.
~Tuesday: Examiners insisted in protest that no marking will go on.
~ KNEC officials tried to calm down the teachers but it fell on deaf ears.
~ KNEC CEO assured the examiners that the Chief examiner has has been sent on parking.
~ Examiners were adamant and insisted that what they were being paid was too low considering the straining they go through marking the paper.
~TSC CEO, Education CS and Education PS arrive at the marking centre later to calm the situation.
~ TSC CEO Nancy Macharia tried to address the examiners but was chased away and was not able to make the address.
~CS Machogu equally was not able to address the examiners and that’s when anti riot police were called.
~CS Machogu demanded that the examiners should leave the marking centre within 30 minutes.
~ CS Machogu convined and urgent meeting.
~Later in the evening, KNEC placed an advert asking those who had trained as CRE examiners to apply.
~Those (Examiners) who had tried to hang around in the hope that they will be allowed to continue marking were chased away.
~The marking centre was closed.
~ Currently, the place is manned by riot police in full gear.

KMTC Certificate & Diploma in Public Health Course – Requirements, How To Apply, Fees, Duration

KMTC Certificate & Diploma in Public Health Course – Requirements, How To Apply, Fees, Duration.

The Department offers programmes in Certificate, Diploma (Pre-service and Upgrading) and Higher Diploma;

The Department offers programmes in Certificate, Diploma (Pre-service and Upgrading) and Higher Diploma
Academic
Programme
Course Duration KMTC Campus Where Course is Offered Minimum Entry Requirements
Certificate Public Health 2 years Selected  KMTC Campuses KCSE  Mean  Grade  of  C-,  with  C-  in English  or  Kiswahili,  D+  in  Biology  / Biological  Sciences,  D  in  Mathematics and; D in any one of the following: Home Science,  Physics,  Chemistry,  Agriculture, Building Construction, Technical Drawing, Electricity or Wood Work
Diploma Public Health (Pre- service) 3 years Selected  KMTC Campuses Mean Grade C, C in English or Kiswahili and Biology/Biological Sciences
C-  in  Mathematics  and  any  one  of  the following:      Physics/Physical   Sciences, Chemistry
Public Health (Upgrading from Certificate to Diploma) 2 years Selected  KMTC Campuses Certificate in Public Health (Environmental Health Sciences)
Higher Diploma Food Science and Inspection 1 year Nairobi Diploma in Public Health (Environmental Health Sciences)
Solid Waste Management Diploma in Public Health (Environmental Health Sciences)
Occupational Health and Safety Diploma  in  any  of  the  following:  Public Health, Nursing, Clinical Medicine, Dental Technology,    Orthopaedic    Technology, Occupational    Therapy    and    Medical Engineering
Epidemiology Diploma   in   Public   Health,   KRCHN, Clinical   Medicine,   Medical   Laboratory Sciences,   Pharmacy,   Nutrition,   Health Records & Information, Community Oral Health

Top County Schools in Kilifi County

Best and Top Performing Schools in Kenya- KILIFI TOWNSHIP SECONDARY SCHOOL and KALOLENI GIRLS SECONDARY SCHOOL are some of the best and top performing secondary schools in Kilifi County. Below is a list of all the best County Secondary Schools in Kilifi County.

For complete information on all schools in the country, visit the Schools’ Portal. Here you will find contact details, location, KCSE performance analysis and fees details for all schools in Kenya.

BEST COUNTY SECONDARY SCHOOLS IN KILIFI COUNTY

School Knec Code  School Name Category Type Location
04102101 KILIFI TOWNSHIP SECONDARY SCHOOL County Boys Kilifi
04102102 CHUMANI SECONDARY SCHOOL County Mixed Kilifi
4102114  ST. THOMAS GIRLS’ SECONDARY SCHOOL County Girls Kilifi
04107102 GEDE SECONDARY SCHOOL County Boys Kilifi
04107108 KAKUYUNI BOYS SECONDARY SCHOOL County Boys Kilifi
04111103 MARIAKANI SECONDARY SCHOOL County Boys Kilifi
04111105 CHANAGANDE SECONDARY SCHOOL County Mixed Kilifi
04111107 NGALA MEMORIAL SECONDARY SCHOOL County Mixed Kilifi
04111108 MOI KADZONZO GIRLS SECONDARY SCHOOL County Girls Kilifi
04111123 KALOLENI GIRLS SECONDARY SCHOOL County Girls Kilifi
4116101    GANZE BOYS SECONDARY SCHOOL County Boys Kilifi
4116103    GANZE GIRLS SECONDARY  SCHOOL County Girls Kilifi
4116301    VITENGENI BAPTIST SECONDARY SCHOOL County Mixed Kilifi
4116303    MWANGEA GIRLS’ SECONDARY SCHOOL County Girls Kilifi
4119101    GALANA SECONDARY SCHOOL County Mixed Kilifi
4119105   MAPIMO GIRLS SECONDARY SCHOOL County Girls Kilifi
4119201   MARAFA SECONDARY SCHOOL County Mixed Kilifi
04129201 LUTSANGANI  BOYS SECONDARY SCHOOL County Boys Kilifi

Extra County Secondary Schools in Narok County; School KNEC Code, Type, Cluster, and Category

Extra County Schools in Kenya form the second tier of secondary schools; after National schools. They were formerly referred to as Provincial schools. These schools are distributed all over the Country with each county having its share. The schools admit students from all over the country. These schools are in 3 Categories i.e category 1 (C1), Category 2 (C2) and Category 3 (C3). The Schools are either of Mixed or single sex type.

Here are the Extra County Schools in Narok County:

School  Code School NameCategoryTypeCluster
32516101NAROK HIGH SCHOOLExtra CountyBoysC2
32516102MAASAI GIRLS SECONDARY SCHOOLExtra CountyGirlsC1
32516103ST. MARY’S GIRLS SECONDARY SCHOOL-NAROKExtra CountyGirlsC3
32519103KILGORIS GIRLS SECONDARY SCHOOLExtra CountyGirlsC2
32546401OLOLULUNG’A SECONDARY SCHOOLExtra CountyBoysC2
32560201EMURUA DIKIRR SECONDARY SCHOOLExtra CountyBoysC3
32581103NKORKORRI BOYS SECONDARY SCHOOLExtra CountyBoysC3

More reading on TSC matters;

Exit mobile version