Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    Newsblaze.co.ke
    • Home
    • Contact Us
    • Advertise With Us
    • Teachers’ Resources
    • Latest Education News
    • TSC News Portal
    • KUCCPS portal
    • Knec Schools Exams Portal
    • Search
    Facebook X (Twitter) Instagram
    Newsblaze.co.ke
    Teachers' Resources

    GRADE 9 KISWAHILI LESSON NOTES

    Hillary KangwanaBy Hillary KangwanaAugust 29, 2025

    GRADE 9 KISWAHILI LESSON NOTES

    SEKONDARI AWALI

    KISWAHILI

    GREDI YA 9

    2025

    1.   USAFIWAMAZINGIRA

    1.1.     Mjadala

    • Mjadalanimazungumzokatiyawatuwawiliauzaidiyakubadilishanamawazokuhususuala
    • Katikamjadala,washirikihutoahoja,maoni,naushahidiilikuelezamtazamowaokuhususuala
    • Lengolamjadalanikujengaufahamu,kubadilishanamawazo,nakutafutaufumbuziaumsimamo wa pamoja kuhusu suala linalojadiliwa.
    • Kwasababuhii, mjadala huwa na upande wa kuunga na wa kupinga.
    • Washirikikatikamjadalahuchukuanafasimbili:yamsikilizajina
    • Wakatiwakusikilizanakuchangiamjadala,vipengelemuhimuvyakuzingatia ni:
      • Kuitajabayanamadaya
      • Kutambuakiinichamjadalanakujikitakwenyekiinihichokuanziamwanzohadi
      • Kuzungumzakwa
      • Kusikilizakwamakiniilikuelewavyemahojazawenzakonakutoamaoniyanayosaidia
      • Kuwatayarikuchangiamjadalakwa
      • Kutumiahojazenyeushahidiilikuzijengeamsingiwa
      • Kutumialughayaheshimahasaunapopingabilakuwadhalilisha
      • Kuthaminimaoniyawenginehatakamanitofautina
      • Kuwatayarikusikilizahojazakozikikosolewanakuwatayarikuzijengaupyakwamsingiwa maoni ya wengine.
      • Kuwanaushirikianomwemanawenzakoilikujenga
      • Kuchangiamawazomapyaaumtazamompyakwenye
    • Vipengelehivihusaidiakuwanamjadalawenyetijanakujengamawasilianomazurina

     

    Mfanowamjadala:MatumiziyaTeknolojiakatikaElimu

    Petero       :    Nashukurukwakunipanafasihii.Teknolojiainamchangomkubwakatikakuboresha elimu, hasa katika enzi hii ya dijitali. Kwanza, teknolojia inawezesha wanafunzi kupata taarifakwaurahisizaidi. Kwamfano,kwakutumiamtandao,wanafunziwanawezakupata vitabu,makala,narasilimalinyinginekwaurahisibilakujalimahaliwalipo.Pia,matumizi ya vifaa vya elektroniki kama kompyuta na vidonge husaidia wanafunzi kujifunza kwa njia ya picha, video, na maandiko, jambo ambalo linawaongezea ufanisi wa kujifunza.

    Pili,teknolojiainasaidiawalimukatikakufundishakwanjiaborazaidi.Kwamfano, walimu wanaweza kutumia programu maalum za kujifunzia na zana za mtandao kutoa mafunzo kwa njia ya muktadha au video. Hii inawasaidia wanafunzi kuelewa masomo kwa njia ya kuvutia zaidi. Hivyo, matumizi ya teknolojia katika elimu ni muhimu sana kwa maendeleo ya kisasa.

    Amanda:Nashukuru. Ingawa ni kweli kwamba teknolojia ina faida nyingi, lakini hatufai kupuuza baadhi ya changamoto zinazohusiana nayo. Kwanza, si kila mwanafunzi anayeweza kufikiateknolojia.Katikamaeneoyavijijininafamiliamaskini,upatikanajiwavifaa vya

     

     

    teknolojiakamakompyutanaintanetinichangamotokubwa.Hiiinawafanyawanafunzi wa maeneo hayo kushindwa kupata fursa sawa na wenzao wa mijini.

    Pili,matumiziyateknolojiayanapoongezeka,kunahatariyakupotezamawasilianoyaana kwa ana kati ya wanafunzi na walimu. Elimu ya kimwili na mwingiliano wa kijamii ni muhimukwaukuajiwakijamiinakimaadiliwawanafunzi.Ikiwawanafunziwanategemea zaidi teknolojia, huenda wakapoteza ufahamu wa uhusiano wa kibinadamu na maadili ya msingi.

    Petero       :    Nashukuru kwa maoni yako. Hata hivyo, napenda kusema kuwa, hata kama upatikanaji wa teknolojia ni changamoto katika baadhi ya maeneo, serikali na mashirika yasiyokuwa yakiserikaliyanafanyajuhudizakutoavifaavyateknolojiakwashulenawanafunzi wasiojiweza.Aidha,kunamikakatiyakuongezaupatikanajiwaintanetikatikamaeneoya vijijini.

    Pia, elimu ya mtandaoni na matumizi ya teknolojia hayapaswi kuondoa mawasiliano ya anakwaana.Badalayake,yanawezakuwanyongeza.Teknolojiainapotumikakwa usahihi,inawezakumwezeshamwanafunzikufikiamasomoyaziadanakuongezamaarifa yake bila kupoteza umuhimu wa mawasiliano ya kijamii.

    Amanda    :    Nikweli,juhudizakuongezaupatikanajiwateknolojiazinahitajika,lakinibadokuna tofauti kubwa kati ya miji na vijijini. Hii inahitaji juhudi kubwa zaidi. Aidha, napenda kuongezakuwa,teknolojiainawezakuletautegemezimkubwakwawanafunzi.Wanafunzi wanaweza kuwa wanatumia teknolojia kutafuta majibu badala ya kufikiri kwa kina na kutatuamatatizokwanjiayaubunifu.Hiiinawezakupunguzauwezowaowakujitegemea.

     

     

     

    1.2.     Viakifishi:Alamayakoloninasemikoloni

    a)      Alamayakoloni(:)

    Alamayakoloni hutumiwa:

    1. Kutangulizamanenokwenyeorodha,kwamfano:Ilikudumishausafiwamazingira,utahitaji kuwa na vifaa hivi: ufagio, reki, pipa la taka na ndoo ya kupigia deki.
    2. Kutengajinalamsemajinamanenoyakehalisikatikamazungumzoautamthilia,kwamfano: Timona: Mioshi kutoka viwandani huchafua mazingira.
    3. Kutengasaanadakika,kwamfano:ShughuliyakusafishamtaawetuitafanyikaJumamosi kuanzia saa 8:00 asubuhi.
    4. Kuonyeshasehemuyapiliyasentensiinayofuatawazokatikasehemuyakwanza,kwamfano: Utunzaji wa mazingira ndio chanzo cha uhai: tukiupuuza, tutajiangamiza.
    5. Kutengasuranamistarikatikamaandishikamayakitaalumaau

     

    b)      Alamayasemikoloni(;)

    Alamayasemikolonihutumikakamaifuatavyo:

    1. Kutenganisha orodha ya maneno au vifungu, ambapo orodha imetenganishwa na koma, kwa mfano:Ukiendamjiniutanunuamaembe,mboga,naviazisokoni;unga,sukari,nasabunikatika duka la jumla; na nyama katika bucha.

     

     

    1. Kuunganishamawazoyanayohusianabilakutumiakiunganishi,kwamfano:Vyoohivyovya umma ni safi; wafanyakazi wanavisafisha kila mara. Sisi tulinunua mapipa ya kutupia taka; hatukuwa na pesa za kununua mashine za kusagia karatasi.
    2. Kutengamaelezokwenyeorodhandefuyamaelezoausentensindefu,kwamfano:Kunanjia nyingizakutumiatakavyema;kuzikusanya,kuzitenga,nakuzitiakwenyemapipamaalumu tofautitofauti; kuzitumia upya, na kuzisaga kwa mashine maalum.

     

    1.3.     Vihusishivyamahalinavyawakati

    a)      Vihusishivyamahali

    • Vihusishinimanenoambayohutumiwakuelezeauhusianokatiyamanenokatika
    • Vihusishivyamahalihuonyeshauhusianowakimahalikatiyanominonamanenomenginekatika
    • Kwamfano:
      • Mtiukokatikatiya
      • Ndegewametua juuyamitiiliyopandwana
    • Mifanomingineyavihusishivyamahalini:
      • chiniya
      • juu ya
      • kandoya
      • kati ya
      • kwenye
      • mbeleya
      • ndani ya

     

    b)      Vihusishivyawakati

    • Vihusishivyawakatihutumiwakuonyeshauhusianowamudakatiyavitenzinamanenomengine katika sentensi.
    • Kwamfano:
      • Tuliondokakablayamvua
      • Kitabukilikuwachangu tangu
    • Mifanoyavihusishivinginevyawakatinikamavile
      • tangu
      • hadi
      • baadaya
      • kisha

     

    2.   MAZOEZIYAVIUNGOVYAMWILI

    2.1.    Sautiya/b/na /mb/

    • KatikaKiswahili,/b/na/mb/nisautimbilizinazotofautianakwanamnayakutamkwana
    1. /b/:

    oSautihiiniyakirai,inayotamkwakwakuwekamidomopamojanakuvutahewakutoka kwenye mapafu kwa njia rahisi.

    • Kwamfano:
      • baba
      • bana
      • bao
      • barakoa
      • basi
      • beba
      • begi
      • bibo
      • bubu
      • taabu
    • Sautihiiniyapekeebilakuwanasautiyeyoteinayotokeakwenye

    b)      /mb/:

    • Hiinisautiyakiraiinayofuatananasautiya/m/,ambapomidomoinakuwapamojanahewa kutoka kwenye pua.
    • Hiininazalikwasababuhewahutokakupitia
    • Kwamfano:
      • embe
      • mbao
      • mbavu
      • mbegu
      • mbichi
      • mbili
      • mbizi
      • mboga
      • mbuga
      • mbuzi
      • Katika/mb/,kunamtindowakutamkakwakutumiapua,ambaposautiya/m/huunganishwanasauti ya /b/, wakati /b/ pekee haitoi dalili yoyote ya pua.

     

     

    2.2.    Matiniyakujichagulia

    • Matinihiiinawezakutoka kwenye kitabu, gazeti au jarida.
    • Unapochaguamatini,unapaswakuzingatiamambokamavile:

     

     

    1. Nivyemakuchaguamatiniambayounapendaauinayohususualaambalo linakuvutia.
    2. Unafaakujichaguliamatiniinayolingananakiwangochako.Isiwengumusana kuelewa wala isiwe ya kiwango cha chini sana.
    3. Chaguamatiniinayokufunzamienendomiemanamaarifamapya. Usichague matini inayokupotosha kimaadili.
      • Unaposomamatiniyakujichagulia,zingatiayafuatayo:
    4. Chaguapahalipatulivupa
    5. Tambuavipengelemuhimuvyamatinihiyo,kamavilejalada,anwani,mwandishi,madaausuala linalozungumziwa,ukubwawamatinikwakurejeleakurasa,kiwangochake,namaelezokwenye jalada upande wa nyuma.
    6. Isomematinikijuujuuilikupatamwelekeowakijumlakuhusumatini
    7. Somatenakwa
    8. Ukikumbananamanenomageniauyasiyoeleweka,jaribukukisiamaanayakekwakuisomatena sentensi ambapo neno hilo limetumika.
    9. Nukuumanenoyotemapyaaumageni
    10. Tumiakamusikuhakikishamaanasahihiyamaneno
    11. Andikavidokezovyaujumbemuhimukatikamatini

     

    2.3.    Baruayakirafiki

    • Baruayakujibubaruayakirafikihuandikwailikutoamajibukwabaruaambayorafikiaujamaa alikuwa ameituma.
    • Nivyemakujibubaruayakirafikiuliyoandikiwailikuendelezamawasiliano,kujengamahusiano bora, kuonyesha shukrani, kueleza hisia na maoni yako, au kutoa habari mpya.
    • Ujumbekatikabaruayakujibubaruayakirafikihulingananaujumbekwenyebaruayakirafiki
    • Ujumbehuohutegemeamasualayaliyozungumziwakwenyebaruayakirafikiambayo
    • Nidesturinjemakujibubaruayakirafikibilakukawia
    • Msamiatiunaoteuliwahudhihirisha uhusiano wa kirafiki uliopo kati ya anayejibu na aliyeandika majibu.
    • Kamabaruanyingine,baruayakujibubaruayakirafikihufuatamuundowabaruayakirafikiya
    • Baruayakirafikihuwana:
    1. Anwaniya anayeandika
    2. Tarehe
    3. Mtajo,kwamfano: Kwarafiki mpendwa
    4. Utangulizi:Baruayakujibubaruayakirafikihuanzakwasalamunakumjuliahaliunayemjibu
    5. Mwili:Majibuhutolewakatikasehemuhii.Nivyemakuandikasehemuhiikatikaaya,kilaaya ikiwa na hoja yake.
    6. Hitimisho:Baruayakujibubaruayakirafikihuhitimishwakamabaruayakirafikikwakutaja uhusiano wa mwandishi na anayeandikiwa. Jina la mwandishi huja chini yake.
      • Kumbuka:Sahihihaiwekwikatikabaruayakujibubaruaya

     

     

     

    MpendwaKarambu,

    BentaHaruni,

    S.L.P.4872-00100,

    Maganjoni. 13/08/2025

    Pokea salamu za heri njema kutoka kwangu. Ni matumaini yangu kwamba u buheri wa afya. NimefurahikusikiakuwaunaendeleavyemanakuwamasomoyaGrediyaTisayanakupelekavyema huko Buruburu.

    Lengolangulakukuandikiabaruahiinikukushukurunakukuarifukuwanilipokeabarua uliyoniandikia.

    Kwanzakabisa,shukranizadhatizinafaakutokakwangu,maanamimindiyeniliyefaidikazaidi na mwaliko wako. Maelekezo uliyotupatia ya baadhi ya mazoezi ya mwili tunayoweza kufanya mara kwamaranyumbaninashuleniyamenifaasana.Ninakupamkonowatahaniakwamakalayakoambayo bila shaka uliyafanyia utafiti wa kutosha. Hakika, ulitufunza mengi.

    Kuhusu swali uliloniuliza kuhusu maoni ya wenzangu tuliohudhuria nao hafla hiyo, yaonekana simimituniliyefaidika.Kwelielimunibahari.Tamaraanasemaalijifunzakwambamtuanapaswa kuzingatiahaliyakeyaafyanakuchaguamazoeziyaviungovyamwilikulingananaumriwake.Barasa nayeanasemaalishangazwakwambakunamazoezikwavijananakwawazee! Atihatabibiyake

    anawezakushirikimazoeziyamwilikulimwajabishasana.Kwangumimi,jamboambalosikulijuaawali nikwambamazoezi yanawezakumsaidiamtu kupatausingizi bora.Shukranikwakazinzuri uliyofanya.

    Shukranipiakwakunifahamishakatikabaruauliyonitumiakuwaumekubalipendekezola kuanzisha Chama cha Amirijeshi wa Afya wasio na Mipaka, sawia na chama chenu. Hii itatusaidia kuwahamasisha wanajamii kuhusu masuala mbalimbali ya kiafya.

    Nakutakiakilalaherikatikashughulizakozote.Ninatazamiakukutananawelikizoniili tufahamishane mengi. Kwa sasa, kwa heri ya kuonana.

     

    Sahibuyakompendwa,

     

    Mfano:

     

     

     

    Benta.

     

     

    2.4.    Vihusishivya-aunganifunavyasababu

    Vihusishinimanenoambayohuelezauhusianokatiyamanenoauvifunguvyamanenokatikasentensi.

     

    a)      Vihusishivya-aunganifu

    • Vihusishivya-aunganifuhuonyeshauhusianobainayanominonanyingineaubainaya nomino na kitenzi.
    • Kwamfano:Wanafunziwalichezamchezowakuigiza.Neno‘wa’nikihusishicha‘-a’unganifu

    kinachotumiwakuonyeshauhusianokatiyamchezonauigizaji.

    • Kihusishicha-aunganifuhuchukuaviambishitofautikulingananangeliyanomino
    • Tazamamifanokatikasentensi hizi:
      • Kiwikochamkonohuukinahitaji
      • Langolapilindilolaupandewatimu
      • Wanafunziwashuleyetuhufanyamazoeziyaviungokila
      • Zoezilamwisholitafanywawakatiwa

     

     

    b)      Vihusishivyasababu

    • Vihusishivyasababuhuonyeshauhusianowamatukiokatikasentensikwakutoa
    • Vihusishivyasababuvinawezakuwanenomoja,kwamfano:

     

     

     

     

     

    • ili
    • maana
    • Vinawezakuwanmanenozaidiyamoja,kwa mfano:
      • kwasababu
      • kutokanana
      • kwaajiliya
    • Mifanokatikasentensi:
    • Lukaametuzwakwasababuyauhodariwake
    • Aliadhibiwamaana

     

     

     

    3.   UTUNZAJIWA WANYAMA

    3.1.     Tashbihi

    • Tashbihinimbinuyalughaambayohutumiwakulinganishaaukufananishakitunakinginekwa kutumia maneno ya kulinganisha, kama vile: kama, kama vile, ja, mfano wa au mithili ya.
    • Mbinuhiihutumiwakumchoreamsikilizajiaumsomajipichaya
    • Tashbihihufanyamaelezokuwawazinayakuvutiazaidikwawasikilizajiau
    • Mifanoyatashbihikatikasentensi:

    ❖                  Anamanenomengimithiliyachiriku.

    • Malikianausolainikamahariri.
    • Mbuzihawawanahitajikulishwa,lasivyowatakondakamang’onda.
    • Mekoni mpolekama njiwa.
    • Monalisaanasautitamukamayaninga.
    • Msituulikuwakimyakamakaburi,ungedhanihamnamnyama
    • Munganishujaakamasimba.
    • Urslaana mbiokamaduma.
    • Usiwemkaidikama punda.
    • Tashbihihutumikakatikafasihisimulizikwamadhumunimbalimbali,kamavile:
    1. Kufafanuajambokwakulinganishanakitukingineilikumrahisishiamsikilizajiaumsomaji kuelewa jambo.
    2. Kujengapichaautaswirakatikaakiliyamsikilizajiaumsomajiya
    3. Kwakufananishavifaaauhalinanyingine,msikilizajiaumsomajihuelewa vyema zaidi.
    4. Tashbihihumwondoleamsikilizajiaumsomajiukinaifuunaotokanana kutumia lugha kavu.

     

     

    3.2.     Sitiari

    • Sitiarinitamathalizausemiambazomzungumzajiaumwandishihutumiakulinganishawatuauvitu vyenye sifa sawa bila kutumia maneno ya kulinganisha.
    • Mtuaukituhutajwamojakwamojakamandichohicho
    • Sifainayovilinganishavituhivihaitajwi,lakinimzungumzajinamsikilizajihutarajiwakuwa
    • Kwamfano:
      • Huyunikasuku,humshindikuiga
      • Julianikobe
      • Kutonikinyonga,kaulizake
      • Mukainimalaika,huwezikumpataakifanyamambo
      • Usiwemwanambuzi.
    • Katikasentensi,Julianikobe,Juliaanatajwakanakwambandiyekobe.Sitiarihiiinamaana kwamba hutembea polepole.
    • Sitiarihutumiwa:

     

     

    1. Kumjengeamsikilizajiaumsomajipichakamiliyamtu,kituauhaliambayoinaelezewa,kwa mfano: Ng’ombe hawa ni nzige. Wamekula mimea yote shambani.
    2. Kuelezeatabiazawahusika,kwamfano:Marianimalaika.Hawezikumdhuru
    3. Kuadilishaaukutoafunzofulani,kwamfano:Usiwemkonowabirika,nivyemakuwasaidia
    4. Kuongezaladhakwenyelughailikumwondoleamsikilizajiukinaifu,kwamfano:Machoyakeni nyota usiku, badala ya kusema Ana macho yanayong’ara.

     

     

    3.3.     Methali

    • Methalinikaulifupiambazohutoaushaurikuhusumambombalimbalikatika
    • Methali:
    1. hutumia lugha ambayo huonyesha hekima au maarifa ya kiasili. Huundwa kwa sehemu mbili. Kipande cha kwanza hutoa wazo, cha pili hukamilisha wazo hilo, kwa mfano, Kidole kimoja hakivunjichawa.Upandewapilibaadayakituounakamilishawazolililodokezwakatikaupande wa kwanza.
    2. huwanamaanaya juunayandani.Maanayandanindiyohutoaujumbe
    3. hutumialughayenyemdundowa
    4. aghalabuhuundwakwatamathalizauseminambinunyinginezalugha,kwamfano,methali: Ndovu hashindwi na mkonga wake, imeundwa kwa sitiari. Ndovu ni sitiari ya binadamu, na mkonga wake ni sitiari ya majukumu au changamoto zinazomkabili binadamu.
    5. hutumia lughainayofungamananamuktadhawajamii ambayo imebuni methali hiyo, kwa mfano,methali:Hasirayamkizifurahayamvuvi,inafungamananajamiiyawavuvi,ilhali, methali: Ndugu wakigombana chukua jembe ukalime, wakipatana chukua kapu ukavune, inahusishwa na jamii ya wakulima.

     

    • Methalihutumiwa:
    1. Methali: Machohayanapazia,kwamfano,inaonyesha kwamba macho huona kila kitu. Ukishaona kitu, umekiona; hakuna kufuta kumbukumbu hiyo.
    2. kuelimishaaukuadilisha,kwamfano,methali:Harakaharakahainabarakainafundisha umuhimu wa kufanya mambo kwa utulivu na kwa umakini.
    3. kutoa ushauri au mwongozo wa maisha, kwa mfano, methali: Usitukane wakunga na uzazi ungalipoinashauriwatukuwawaaminifunakutowapuuzawengineaumsaadaunaotokakwao hata kama hawauhitaji kwa sasa.
    4. Methali:Asiyesikialamkuuhuvunjikaguu,kwamfano,inaonyadhidiyakupuuza ushauri.
    5. Badalayakutoamaelezo,onyoauushaurikwalughayakawaida, methali hutumika.

     

     

    3.4.     UshairiI

    • Shairiniutungowakifasihiunaotumialughayakipekeeyamkatokuwasilisha

     

     

    • Utungohuuunawezakuimbwa,kukaririwa,kughaniwaau
    • Shairikamautungowafasihiandishihuwanasifamaalumukamazifuatazo:
    1. Hutumialughayamkatoyenyempangiliomaalumuwa
    2. Manenohufupishwa;kwamfano,nenokiwajengeabadalayaukiwajengea
    3. Kwamfano,‘Likujawangumlezi’kwa kawaida inafaa kuwa ‘Mlezi wangu alikuja.’
    4. Huwanaurudiajiwasauti,silabi,manenoaumistari.Urudiajihuuhuletamdundowakimuziki katika shairi.
    5. Mashairihupangwakatikabetibadalaya
    6. Kilaubetihuundwakwamishororobadalaya
    7. Shairilinawezakuwanakipandekimoja, viwili au vitatu katika kila mshororo. Kipande cha kwanza cha mshororo wa shairi huitwa ukwapi, cha pili utao na cha tatu huitwa mwandamizi.
    8. Mizaninisilabikatikashairi.Mizaniyamwishokatikakila kipande huitwa vina.

     

     

    3.5.     Inshayamasimulizi

    • Tukiolinalosimuliwa huweza kuwa la kweli au la kubuni.
    • Huwanavipengelevikuu vifuatavyo:
    1. Ujumbe–Ujumbenijambolinalozungumziwanandiyosababuyakuandikainshaya
    2. Maudhui–Maudhuinimambomuhimuyanayokusudiwakuwasilishwakatika
    3. Mandhari–Mandharinimazingirayainsha.Yanawezakuwamandhariyakiwakatiauya
    4. Ploti–Plotinimsukowamatukioaujinsimatukiokatikainsha
    5. Mhusika au wahusika – Ni mtu au kiumbe ambacho mwandishi wa insha anatumia kuwasilisha ujumbe wake. Insha ya masimulizi kwa kawaida huwa na mhusika mmoja mkuu. Hata hivyo, inawezakuwanawahusikawengineambaowanaingiliananamhusikahuyu,amakwakumsaidia au kumwekea vikwazo.
    6. Mgogoro–Mgogoronimvutanokatiyapandembilikatikakisachamasimulizi.Mvutanohuu au mgogoro ndiyo mwandishi hulenga kuutatua katika insha ya masimulizi.
      • Kwakurejeleakipengelechamuundo,inshayamasimulizihuwanamada,utangulizi,mwilina
    • Mada–Nikichwaauanwaniyainsha.Madahuteuliwakulingananakisakinachosimuliwa. Mada inastahili kudokeza ujumbe wa insha au mgogoro unaomkumba mhusika.
    • Utangulizi – Ndio unaodokeza ujumbe wa insha. Hapa ndipo tatizo kuu au mgogoro unaomkumbamhusikahujitokeza.Mandhariyahadithiinayosimuliwahuwezakujitokezahapa.
    • Mwili –Hapandipohadithihusimuliwakwakutumiambinumbalimbalizalugha.Juhudiza mhusikazakukabiliananamgogorounaomkumbahujitokezahapa.Ujumbepiahuendelezwa katika sehemu hii.

     

     

    • Hitimisho–Hitimishohujumuishamuhtasariwaujumbewainsha.Hikindichokilelecha masimulizi.Ndiomwishowahadithi.Mwishowamatukioyamasimulizihutolewahapa. Mwisho huu huweza:
      • Kuonyeshasuluhisholatatizolinalomkumba
      • Kumwachamsomajinataharukiauhamuyakutakakujuayaliyompataauyatakayompata

     

    Mfanowainshayamasimulizi

    Amina aliifungua pazia ya dirisha cha matwana hiyo. Aliangaza macho yake mbele kule-e-e-e. Aliiona mbugakubwanapanakamabahari.Aliiajabiambugahiyo.Fikirazilimtumakuwaziamaelfukwamaelfu ya wanyama walioishi humo. Aliwaza kuhusu ndovu. Aliwaza kuhusu kifaru. Aliwaza kuhusu duma na simba. Alipomwazia simba, mwili ulimsisimka kiasi. Malaika yalimsimama. Alimwogopa simba. Hata hakujuakwaninialimwogopamnyamahuyokiasihicho.PenginenikwasababuJumaalikuwa amemsimulia kisa cha simba mmoja ambayealikuwaametoroka kwenye mbuga hiyo na kuishia kwenye zizi la jirani yao. Hayawani huyo aliwafagia mbuzi wa jirani asimbakize hata mmoja!

     

    “Maskini,jiranihuyo.Laitikungalikuwamchanasikuhiyo,penginemajiraniwangemsaidia!Kwabahati njema,ng’ombewalinusurika.Walikuwanabahatiyamtende.Waliponeachupuchupukwasababu walikuwazizinikulikodhibitiwasawasawailimnyamayeyoteasiwezekupenya,”Aminaalijisemea moyoni huku akiwtazama kongoni waliokuwa wakinywa maji kwenye kidimbwi maalum kilichokuwa kimezingirwa kwa ua wa miti.

     

    Aliyarudishamawazoyakekwenyesafariambayo,kamaalivyoaminiyeye,hakuwaameilaliawala kuiamkia.Niziaraambayoilijikabidhimikononimwakeautusemeilitokananaimaniyakekwamba alikuwaamekiinamiakilichokuwamvungunimwake.Hataalipoiwaziasafarihii,hakujuasababuyaMzee Salim kuamua kumtuza kwa tendo dogo kama hilo.

     

    “KuwajengeabatabandanijambolakumfanyababamtukumtunukiabintiyakeziarayaMbugaya Kilelecha kweli?” Amina alizidi kuajabia. “Mbuga ambayo inahusudiwa na ulimwengu mzima! Safari yenyewe inafanikishwa gari maalum la kitalii! Anayempeleka huko si mwingine ila baba yake!” Amina aliona vigumu kuamini.

     

    Mwenyewe,BwanaKazi,alikuwaameziachashughulizakezakazikatikaShirikalaMjawaHeriambako ndiye Afisa Mkuu Mtendaji. Wengine kwenye safari hii ni watalii kutoka ughaibuni. Amina hakuacha kushangaa kwa tendo hili la baba yake. Hata hivyo, moyo wake ulimkumbusha kwamba mcheza kwao hutuzwa.

     

    “Tazama!Tazamahuyo nyumbu!Tazamahuyopundamilia!Onajinsi wanavyovutia!”

    SautiyamtaliimmojamwenyeasiliyaUingerezandiyoiliyomtoaAminakutokakwenyelindilamawazo alikokuwa amejitumbukiza. Alipoyainua macho aliona maandishi makubwa kwenye kiingilio cha mbuga hii ya wanyama: “Karibuni kwenye Mbuga ya Wanyama ya Kilelecha. Huku ndiko thamani ya uhai inakopatikana.”

     

     

    AlimwonaMzeeSalimakijifunguamkandawausalama,akaaminikwambakwelindotoyakeyakuizuru mbuga hii ilikuwa imetimia.

     

     

    3.6.     Vihusishivilinganishinakihusishi‘na’

    a)      Vihusishivilinganishi

    • Vihusishivilinganishihutumiwakulinganishavituviwiliauzaidikwakuvifananishaau kuvitofautisha
    • Kwamfano:
      • juu ya
      • kama
      • kati ya
      • kuliko
      • kushinda
      • mithiliya
      • mpaka
    • Mifanokatikasentensi:
      • Anamaringosawana
      • Dumaanambio kulikowanyama
      • Musanimjanja kama
      • Ndamahuyunimtukutuzaidiyamwanambuzi
      • Pakanimkubwakuliko
      • Rahilinimtiifukama
      • Usiwemwogamithiliya
    • Kihusishikilinganishikinawezakuwanenomojaaukikaundwakwazaidiyanenomoja,kwa mfano: Ngozi ya mnyama huyu ni laini mithili ya bafta.

     

    b)      Kihusishi‘na’

    • Kihusishihikihutumiwakuonyeshauhusianouliopokatiyanominonakitenziaukuonyesha mtendaji katika sentensi.
    • Kwamfano:
    • Alitegwanakamba
    • Kizimbahikichakukukimejengwanakaka
    • Mbuziwanalishwana
    • Ng’ombewaliovamiwanakupewalinyunyiziwa
    • TindinaFadhiliwalijawanaWalimuna

    wazaziwalifurahishwanajuhudizawanafunzizakuwatunzawanyama

     

    4.   UTUNZAJIWA MALIASILI

    4.1.     Vitendawili

    • Vitendawilinisemizilizonamaanailiyofichwaambazohutolewakwahadhiraili

    Vitendawilihuwanamuundowaswalina jibu.

    • Umuhimuwavitendawilinikuwahuwafanyawasikilizajiwafikiriekwakinailikugunduajibu sahihi. Kwa njia hii, vitendawili hutumiwa kufikirisha.
    • Vitendawiliaidhahuchocheaubunifu,huelimishana
    • Maanayavitendawiliinawezakutofautianakatikajamiinatamaduni
    • Baadhiyavipengelevyauwasilishajiwavitendawilinikamavile:
    1. Kwamfano:

    Mtegaji:Kitendawili?

    Hadhira:Tega!

    Mtegaji:Blanketilangulinamadoadoa.

    Mmojawahadhira: Chapati.

    Mtegaji:Ndio,amepata!

     

    1. Iwapohadhiraitakosakuteguakitendawili,mtegajihuulizahadhiraimpemji,kishahutoajibu sahihi. Kwa mfano:

    Mtegaji:Kitendawili?

    Hadhira:Tega!

    Mtegaji:Blanketilangulinamadoadoa.

    Mmoja wa hadhira: Chui. Mtegaji:Lahasha!Nipenimji. Hadhira: Mandera

    Mtegaji:NiliendaMandera,watotowaManderawakanitumaniwasalimu.Jibulakeni chapati.

     

    1. Kwakuwavitendawilinitungozafasihisimulizi,maranyingihuambatananahadithinatanzu nyingine za fasihi simulizi. Katika jamii za Kiafrika, vitendawili vilitanguliza vipindi vya

     

    4.2.     Nahau

    • Nahaunimojawapoyasemiambazohuundwakwakuwekapamojamanenoyakawaidailikuleta maana isiyo ya kawaida.
    • Mifanoyanahau:
      • Melihiyoiling’oanangajana
      • Mfanyakazialiyekiukamaadiliamepigwakalamu.
      • ShughulizakuhifadhiMtoNairobizimeshikakasi.
      • Wazeewaliokulachumvindiowaliowapavijana
    • Kwamfano,vunjambavuninahauiliyoundwakwakuunganishamanenomawiliyakawaidaili kuleta maana isiyo ya kawaida, ambayo ni kuchekesha.
    • Kwahivyo,maanayanahauhaifuatimojakwamojamaanayakawaidayamaneno

     

     

    • Nahaunimuhimukwavilehufanyalughaivutiekwakutoaujumbekwanjiayakisiriauyakuficha; huimarisha ubunifu katika matumizi ya lugha na kuondoa uchovu wa lugha kavu katika mazungumzo au maandishi.
    • Vipengelevyakimsingivinavyobainishanahauni:
    1. Nahauhuundwakwamanenozaidiyamoja;kwamfano:katatamaa,pigamoyokonde,paka mafuta kwa mgongo wa chupa.
    2. Kwakawaida,nahauhuwafupi;kwamfano:pigagumzo,tiamakini.
    3. Maanayanahauhutofautiananamaanayamanenoyanayoiunda;kwamfano:katakambasi kutenganisha kamba, bali ni kufa.
    4. Nahautofautizinawezakuwanamaanasawa;kwamfano,kutoarushwa,kuzungukambuyu, kutoa mlungula na kutoa chai zote zinamaanisha kuhonga.

     

     

    4.3.     Kusomakwaufasaha

    • Kusomakwaufasahaniuwezowakusomamaandishikwausahihi,haraka,nakuelewayaliyomo katika maandiko hayo.
    • Inahusishakutumiambinumbalimbalizakufahamumaneno,sentensinamaandishikwaujumla,ili kuwa na uwezo wa kuelewa, kutafsiri na kutumia taarifa inayopatikana kwenye maandiko kwa
    • Vifuatavyonivipengelemuhimukatikakusomakwaufasaha:
    • Matamshiborahusaidiamsikilizajikupataujumbesahihi.
    • Kusoma kwa kasi inayostahili. Kusoma kwa haraka sana kunaweza kumfanya msikilizaji kupitwanaujumbe.Kwaupandemwingine,kusomapolepolekunawezakumchoshamsikilizaji.
    • Nimuhimukuzingatiaalamazauakifishajiiliujumbeuwezekueleweka ipasavyo.
    • Kutumiaisharazamwiliauviziadavyalughaipasavyo,kamavileisharazausonamikono, ambazo huongeza ubora vikiandamana na matamshi.
    • Kutumiakiimbokifaacho,yaanikushushanakupandishasautiipasavyoilikuonyeshahisia zinazoambatana na ujumbe katika matini.

     

     

    4.4.     Inshayakubuni:Masimulizi I

    • Lughayakitamathalinilughainayotumiatamathalinambinunyinginezalughailikutiautamu katika uandishi.
    • Baadhiyatamathalizinazotumikakatikauandishinikamavile:
      • istiari
      • kuchanganyandimi
      • majazi
      • maswaliyabalagha
      • methali
      • misemo
      • tashbihi

     

     

    • utohozi
    • Matendoyawahusikayanahusishatabia,vitendo,namienendoyawahusikakatikainshaya masimulizi. Matendo ya wahusika hujenga utambulisho na sifa zao.
    • Mandhari ni mazingira yaliyochorewa katika kazi ya kiubunifu. Uchoraji wa mandhari humpa msomajitaswirayakuwezakufahamuvizurimazingirayaliyojengewakatikakaziyakiubunifu.
    • Kuzingatia lugha ya kitamathali, matendo ya wahusika na mandhari katika uandishi wa insha ya masimulizihumwezeshamsomajikuelewavyemakisakinachosimuliwakwakumchoreapichahalisi ya mandhari na matukio.

     

     

    4.5.     -ki-yamashartina-ka-yakufuatanakwavitendo

    a)      -ki-yamasharti

    • -ki-yamashartihutumikakatikasentensiwakatimtuanapotakakuonyeshakuwavitenzikatika sentensi vinategemeana.
    • Huonyeshakuwakutokeakwakitendokimojakunategemeakitendo
    • Mifano:
      • Watuwakitumiateknolojiawatawezakuchimba
      • Tukipandamitimingi,viwangovyamvua
      • Mkulimahuyuakitumiamboleaifaayo,atapatamazao
      • Hewaikiwasafi,maradhimengi
      • Tukitunzamito,tutakuwanamajisafiya

     

    b)      -ka-yakufuatanakwavitendo

    • Kiambishi-ka-chakufuatanakwavitendohutumiwakuonyeshakutokeakwavitendokatika sentensi kimoja baada ya kingine kwa kufuatana.
    • Kwamfano:
      • Nilipofikashuleniniliingiadarasani,nikawekamkobakwenyedawati,nikatoakitabu cha hadithi na kukisoma.
      • Alikuja,akashikamlango,akaufungua,akaingianakuchukua

     

    5.   MITAZAMOHASIYAKIJINSIA

    5.1.     Ufahamuwakusikiliza

    • Ufahamuwakusikilizahukuzwa kwa kusikiliza vifungu, habari, au makala yanayosomwa au kusimuliwa kwa makini ili kuelewa ujumbe.
    • Vipengelevinavyozingatiwakatikaufahamuwakusikilizani:
    • Kujiandaakimawazokusikiliza
    • Kutulianakumakinika
    • Kuhakikishahakunakelele
    • Kumutazamaanayesomaaukusimuliakifungu
    • Kujengapichayakimawazoyayaleunayosikiliza
    • Kutafakariujumbekatika
      • Uwezowamsikilizajikukuzaufahamuwakusikilizaunategemeavigezovifuatavyo:
    1. Uwezowakuelewasarufiyalughainayotumiwakatikamasimulizi
    2. Ufahamuwamsamiatiwalugha husika
    3. Uwezowakukumbukayaliyosemwa
    4. Kuwezakutajahojamuhimukutokananayaliyosikilizwa
    5. Kutoaufupishowayaliyosikilizwakwa

     

     

    5.2.     Kusomakwaufahamu

    1. Kamakunapichainayoandamanakifungu,ikaguekwanzailikupata muktadha wa matini hiyo.
    2. Bainishalengolakusoma,kwamfanokusomailikufahamumsamiati,ilikuelezahabariauili kudondoa habari mahususi.
    3. Tiliamaananiainayamsamiati
    4. Jaribukukisiamaanayavifungunamanenomagenikwakuzingatiamuktadhawasentensi
    5. Zingatiaalamazauakifishajiunaposomailikuelewaujumbeunaokusudiwa
    6. Pitiakusomatenahukuukitafakarimatukionamaelezokwenye

     

     

    5.3.     Insha:ShajaraI

    • Shajaranirekodiyamatukioaumambomuhimuyanayotokeakilasikuilikuyawekea
    • Mamboyanayokusudiwakufanywakatikasikuzijazopiahuwezakuandikwanakuhifadhiwakatika shajara ili yasisahaulike.
    • Kunaainambilizashajara:
    1. Shajarayakibinafsi-Mamboyakibinafsikuhusumatukiomuhimuyasikufulanihuhifadhiwa katika aina hii ya shajara.
    2. Shajarayakiofisi-Mipangonamatukiomuhimuyanayotokeakatikashirikafulanihuandikwa kwenye shajara ya aina hii ili kuweka kumbukumbu. Kwa kawaida, mashirika yote hutarajiwa

     

     

    kuwanashajara.

    • Vipengelevyashajarani:
    1. Muundo -Shajarahuwa nakichwa, tarehenatukio. Tarehehuonyeshasiku ambayo mambo yanayonakiliwayalipotendeka.Tukiolililotendekasikuhiyoaulinalopangiwakufanyikasiku hiyo huandikwa chini ya tarehe ya siku hiyo.
    2. Mtindo-Kimtindo, shajara:
      • Huandikwakwaufupi
      • Hutumiawakatiuliopitakunukuumatukioyaliyotokeasikuhiyo
      • Wakatiujaohutumikakunakilimamboyanayopangwakufanywakatikamudaujao,hasa katika shajara rasmi.

     

    Mfanowashajara

    Shajarayakibinafsi:ShajarayaSitiMwendwa Jumatatu 14/10/2025

    NilimtembeleashangazikatikakijijichaKatena.

    Tulizungumziampangowanguwakusomeauandishibaadayakumalizamasomoyanguyashuleni.

     

    Jumanne15/10/2025

    Nilijiunganawenzangushuleni.Tulijadilikuhusuumuhimuwakupuuzamitazamohasiyakijinsia. Nilivutiwa sana na maoni ya wenzangu.

     

    Jumatano16/10/2025

    Ilikuwasikuyanguyakuzaliwa.Wenzanguwaliniandaliakaramushuleni.Nilifurahi sana.

     

    Alhamisi17/10/2025

    Tulitembelewanamshaurinasahashuleni.Alitushaurikuwanamsimamothabitinakutoruhusu mitazamo ya jamii kuhusu jinsia kuwa kikwazo katika kufuata ndoto zetu maishani.

     

     

    5.4.     Haliyamasharti-nge-na-ngali-

    a)      Haliya-nge-

    • Haliyamashartiinapotumikakatikasentensihuwasilishamaanakuwavitendovinavyotokea katika sentensi vinategemeana.
    • Mifanokatikasentensi
      • Wanafunziwangesafishamadarasayao,yangeonekana
      • Okalangetiabidiikazini,angepandishwa
      • Kasimangefundishwajinsiyakupika,angepikachakula
      • Wachuuziwakipewamafunzo,wangeweka
      • Mitazamohasiyakijinsiaingekabiliwamapema,watuwengiwangepata
    • Kwamfano,katikasentensi:Ningesomaningeelewa,inamaanishakuwakuelewakunategemea
    • Haliyamashartiya-nge-inapotumikakatikasentensihumaanishakuwavitendovyotevilivyo

     

     

    na-nge-yamasharti havikutokea.

    • Katikasentensi: Ningesomaningeelewa,inamaanakuwasikusomawala

     

     

     

     

     

     

     

    b)      Haliya-ngali-

    • Kama ilivyosemekana hapo awali kuhusu hali ya -nge-, hali ya masharti ya -ngali- vilevile inapotumikakatikasentensihumaanishakuwavitendovyotevilivyonahaliyamashartiya– ngali- vinategemeana na vitendo vyote havikutokea.
    • Mifano:
    • Ningalikuwanyumbani,ningalifanyakazi
    • Wazeewangalijua,wangaliwapelekawatotowote
    • Watotowangalimwonamamayao,wangali
    • Tungalikuwanafuraha,tungaliishimaisha
    • Amadiangalijuamvuaitanyesha,angalipanda
      • Katikasentensi:Kungalikuwanamtetemekowaardhi,nyumbahiiingalibokomoka,inamaana kuwa hakukuwa na mtetemeko wa ardhi, kwa hivyo nyumba haikubomoka.

     

     

     

     

     

     

     

     

     

     

     

     

     

     

     

     

     

     

     

     

     

     

     

     

     

     

     

     

     

     

     

     

    6.   USALAMABARABARANI

    6.1.     Kusikilizakwakusafiri

    • Kusikilizakwakufasirinikusikilizakunakomwezeshamsikilizajikuwezakutafakarinakueleza ujumbe kwa maneno yake mwenyewe.
    • Wakatimwinginemsikilizajihusikilizanakufasiriujumbe,kishaakauelezakwalughatofautinaile
    • Ilikuwezakufasirinakuelezamsimamonamwelekeowaujumbewamatiniyakusikiliza,unafaa:
    1. Kusikilizakwamakiniilikupataujumbemaalumu
    2. Kutiliamaananijinsilughailivyotumikakuonyeshamsimamo,kamavilekukosoaau kufurahia
    3. Kuhakikimsamiatiuliotumika
    4. Kuchunguzaiwapokunajambolinalopingwaaukuungwamkono
    5. Kuwanaufahamumzuriwamsamiatikatikamatini inayofasiriwa
    6. Kuelewaisharanaviziadavyalughavinavyoashiriamisimamofulani
    7. Kujielezapasipokupotoshaujumbeunapofasirimsimamona

     

     

    6.2.     Kusomakwakina:UshairiII

    • Maudhuinimamboaumasualayanayoelezwanamwandishiaumsimuliziwakaziya
    • Mambohayohuhusumasualatofautikatikajamii
    • Dhamiranilengoauwazokuulamtunzi wakazi ya
    • Huonyeshasababuyamwandishiaumzungumzajikutakakuifahamishahadhirayakemambo

     

     

    6.3.     Inshayamethali

    • Inshayamethaliniinshainayoandikwailikupambanuamaanayamethalifulaninakudhihirisha matumizi yake katika maisha ya kila siku.
    • Vipengelevyakuzingatiakatikakuandikainshayamethalinipamojana:
    1. Kutafitimaanayajuunayandaniyamethaliunayoiandikiainsha
    2. Kubunikisakinachooananamaananamatumiziyamethali husika
    3. Kuzingatiamatumizisahihiyalughakiubunifu
    4. Kuzingatiamtiririkoufaaowamatukiokwenyekisa
    5. Kupambanuawahusikaipasavyo
    6. Kuzingatia muundo ufaao, yaani utangulizi unaofafanua maana ya methali, mwili unaosimuliakisanahitimisholinalobainishaujumbeaufunzolinalowasilishwanakisa kuhusiana na methali.

     

    Mfano

    Kinganiborakulikotiba

    Methalihiiinamaanakuwaniherikuzuiajambokulikokuanzakutafutanamnayakulisuluhisha.Kwa kawaida, methali hii hutumiwa kutahadharisha watu kujiepusha na mambo yanayoweza kuwadhuru.

    21|Pa ge

     

    MkhwasialipoamkasikuilealikuwananiayakusafirihadimjiwaBondeni.Alikuwaameipangasafari hii kwa siku nyingi. Siku yenyewe ilikuwa muhimu sana kwake kwa sababu alikuwa anaenda kuanza kazimpyamjini.Baadayakukamilishashughulizakezamaandalizi,alichukuamkobawakena kuelekea katika stendi ya mabasi ya kwenda mjini.

     

    Alifikakatikakituochabasimapemailikuwahibasilakwanza.Ulikuwamwendowasaakuminambili asubuhi basi lililojulikana kama “Kamata” lilipowasili. Kama kawaida, abiria walikuwa wengi kwani magari katika kijiji hicho cha Mwinamo hayakuwa mengi. Ilibidi waliokuwa na safari wajaribu kuwa mapema.

     

    Mkhwasi alipata nafasi yake ndani ya basi. Aliketi kwenye kiti kilichokuwa karibu nadereva. Muda si muda,utingoaliwatangaziaabiriawajifungemikandayausalamakablayasafarikuanza,lakini Mkhwasialipuuza.Safariyamjiniiling’oananga.Basililiendeshwataratibuhadipalewalipoacha barabara ya changarawe na kushika ya lami.

     

    Basililiongezakasiikawadhahirishahirikuwahalikuwanakidhibitimwendo.Derevaalizidikuongeza mwendo.Abiriawotewalinyamaza.Kutokaalipoketi,Mkhwasialiwezakuonakuwakasiyabasi ilikuwa kilomita mia moja ishirini kwa saa, lakini hakuthubutu kusema lolote. Woga ulimvaa pamojana abiria wenzake. Hata aliposhikwa na hofu, hakukumbuka kufunga mkanda wake wa usalama.

     

    Basi lilifika katika eneo lililokuwa na kibao kilichoonyesha kuwa wanyama hupita pale, lakini dereva hakutiamakini.Ghaflabinvualitokeang’ombealiyekuwaakivukabarabara.Derevaalijaribu kumkwepa,lakinigarililipotezamwelekeonakubingiriamarakadhaa.Baadhiyaabiriawalipata majerahamadogonakukimbizwahospitalinikwamatibabu.Mkhwasi,ambayeilibainikakuwahakuwa amejifunga mkanda wa usalama, aliumia sana. Alilazwa hospitalini kwa muda.

     

    Pale hospitalini, Mkhwasi alianza kuwaelezea watu namna gari likiendeshwa kwa mwendo wa kasi. Alijutia kutomwambia dereva apunguze mwendo. Alijutia pia kutofunga mkanda wa usalama kwani daktarialimwelezakuwaangekuwaameufungamkandawausalamaasingepatamajerahamakali. Kutokasikuhiyo,Mkhwasialiamuakuwaatakuwaakifungamkandawausalamanakutonyamaza wakati sheria za barabarani zinapokiukwa. Ama kweli, kinga ni bora kuliko tiba.

     

     

    6.4.     Vielezivyanamnanavyawakati

    a)      Vielezivya namna

    • Hivinivielezivinavyoonyeshajinsikitendokinavyofanyikaau
    • Kwamfano:
      • haraka
      • juujuu
      • kabisa
      • ovyovyo
      • polepole

     

     

    • sana
    • taratibu
    • vizuri
    • Mifanokatikasentensi:
    • Barabarahiyoimejengwavyema.
    • Maderevawanahitajikakumakinikasana
    • Wanafunziwalivukabarabara kwautaratibu.
    • Taazabarabaraniziligeukakijanighafla.
    • Watuwotewalisimamawimakandoya

     

    b)      Vielezivyawakati

    • Vielezivyawakatihuelezamudaauwakatikitendokilipofanyikaau
    • Vielezivyawakativinawezakuwamajinayanyakatitofauti,sikuzawiki,miezi,miaka,karneau saa mahususi.
    • Mifanoyavielezivyawakatinikamavile:
      • alfajiri
      • Ijumaa
      • Januari
      • Jumamosi
      • mapema
      • mwakajana
      • mwongo
      • saamoja
    • Mifanokatikasentensi:
    • Alialichukuajumamojakukamilishazoezi
    • Magariyoteyanastahilikukaguliwamapema.
    • Mamaalipikachakulakitamuleo.
    • MuhulawapiliutaanzamweziwaMei.
    • Shereheyamaderevaitaandaliwakesho.
    • Wageniwalifika mapemakwasababuhakukuwanamsongamanowamagariasubuhi.
    • Wageniwaliwasilijioni.

     

    –           Vielezivyawakativinawezakutumikamahalipopotekatikasentensi.

     

    7.   HUDUMAKATIKAASASIZA KIJAMII

    7.1.     Kusikilizanakutathmini

    • Kusikilizakwakutathmininikusikilizakwamakinijambololote,kamavilemazungumzo,hotubaau mahojiano, kwa lengo maalum la kufanya uchanganuzi ili kubaini ubora wake, maudhui yake, ufanisi wake au vipimo vingine vinavyofaa.
    • Ainahiiyakusikilizamaranyingihutumiwakatikamuktadhatofauti,kamavile:
    1. Unaposikilizahotubanakutathminilugha,ushawishi,utaratibuwakuelezahoja,naustadi wa mawasiliano kwa ujumla.
    2. Katikamikutanonamajadiliano,unasikilizakwakuthaminiumuhimuwamaudhuinahojaza
    3. Katikamahojiano,wanaohojihusikilizakwakutathminiilikubainiiwapowahojiwawanafaa kwa jukumu lengwa kutokana na jinsi wanavyojieleza.
    4. Katikaelimu,walimuhusikilizauwasilishajiwawanafunziilikutathminiufahamuwaona kutoa maoni yanayosaidia ujifunzaji.
      • Kusikilizakwakutathminikunahitajimakini,uwezowakufikirikwauangalifunakutoamaoniya busara kulingana na habari iliyosikilizwa.
      • Vipengelemuhimuvyakuzingatiaunaposikilizakwakutathmininipamojana:
    • Kusikilizakwamakiniilikubaininakufasiriwazokuunakuchanganualughainayotumiwa na msemaji.
    • Kufuatiliamawazoya
    • Kuchanganuamantikiyayale
    • Kuchanganuahojazinazotolewana
    • Kuzingatiaviziadalughakamavileisharazausonakupandanakushukakwa

     

     

    7.2.     Ufupisho

    • Ufupishopiahuitwa
    • Ufupishoniutaratibuwakuchukuamaandishimarefuauhabarindefunakuzipunguzaaukuzifanya kuwa fupi bila kupoteza ujumbe muhimu.
    • Baadhiyavipengelevyakuzingatiakatikakufupishanikamavile:
      • Kutambuahojakuunamaneno
      • Kuondoamaelezoyasiyoya
      • Kuondoa
      • Kuhakikishakuwaujumbemuhimu
      • Kuteuamsamiatimwafakautakaowakilishamaelezomarefukwenye
      • Kuandikaupyaukitumiamanenouliyoteuakusimamiamaelezo
      • Kuzingatiamtiririkowahabariaumaelezo
      • Kupitiakifungutenailikuhakikishakuwasentensizinafululizaipasavyonaujumbe

    Kumbuka:

     

     

    • Nimuhimukuwamakiniwakatiwakufupishailikuhakikishakuwaujumbehaupotezimaana
    • Unawezakutumiaviunganishikuunganishamawazoiliyawena mtiririko.

     

     

    7.3.     Insha:MaelezoI

    • Inshayamaelezoniainayainshaambayolengolakenikutoamaelezoauufafanuziwajambofulani kwa njia ya wazi na rahisi ili msomaji au msikilizaji aweze kuelewa vizuri.
    • Katikainshahii,mwandishianatumiamifano,maelezonamaoniilikuoneshadhanaauwazo
    • InshazamaelezomaranyingihutumikakatikamasomoyaKiswahiliaukatikamitihaniilikupima uwezo wa mwanafunzi kuelezea jambo kwa ufasaha.
    • Vipengelevyainshayamaelezo:
    1. Utangulizi:Hapa,mwandishianaelezeakwakifupijamboatakalolielezeakatikainshahiyo. Utangulizi huu hutumika kuandaa msomaji kuelewa maudhui ya insha.
    2. Mwiliwainsha:Mwandishi anatumia mifano, picha au maelezo ya kina ili kusaidia msomaji kuelewa vizuri kile anachokielezea.
    3. Hitimisho:Katikasehemuhii,mwandishianatoamuhtasariwakilekilichozungumziwakatika mwili wa insha na mara nyingi hutoa wazo la kumalizia au muktadha wa mwisho.

     

    Mfanowainshayamaelezo:Maishayashule

    Utangulizi:Maishayashulenisehemumuhimuyamaishayakilamtu.Hapa,mtuhupataelimuambayo ni nguzo muhimu katika maisha yake ya baadaye. Katika insha hii, nitatuelezea maisha ya shule kwa ujumla.

    Mwili wa insha: Katika shule, mwanafunzi hupitia vipindi mbalimbali vya masomo kama Kiswahili, Hisabati,Sayansinamasomomengine.Kilasomolinakuwanaumuhimuwakekwamaendeleoya mwanafunzi.Pia,maishayashulehayahusishimasomopekee,balipiashughulizakijamiikamamichezo, sanaa, na mikutano ya kijamii. Wanafunzi pia hujifunza nidhamu na kushirikiana na wenzetu.

    Kwaupandemwingine,maishayashuleyanachangamotombalimbali,ikiwanipamojanakufanyakazi nyingizanyumbani,mitihani,nashinikizolakufaulu.Lakinikwaujumla,shulenisehemu inayomfundisha mwanafunzi mbinu za kuishi na kujitolea kwa jamii.

    Hitimisho: Kwa kumalizia, maisha ya shule ni sehemu muhimu ya kukua na kujifunza. Ingawa kuna changamoto,badonisehemuyakujengamsingiwamaishayabaadaye.Hivyo,kilamwanafunzianapaswa kuchukulia maisha ya shule kwa umakini na juhudi kubwa.

     

     

    7.4.     Vielezivyamahali

    • Vielezinimanenoyanayoelezazaidikuhusuvitenzi,vivumishiauvielezi
    • Manenoyanayotoamaelezozaidikuhusukitenzikwakuelezamahaliambapokitendokinatokea huitwa vielezi vya mahali.
    • Vielezivyamahalivinawezakuwa:

     

     

    1. Nominozakawaidazilizoongezwakiambishimwishoni,kwamfano:
      • barabarani
      • bwenini
      • hospitalini
      • jandoni
      • mjini
      • ofisini
      • shuleni
    2. Nominozapekeezinazotajamahali,kwamfano:
      • Ushelisheli
      • Nakuru
      • MlimaKenya
      • ZiwaVictoria
      • MwembeTayari
      • KisiwachaNgazija
    3. Viashiriavyamahali,kamavile:
      • mle
      • kule
      • pale
        • Mifanokatikasentensi:
      • FamiliayaoinaishiviunganimwamjiwaNanyuki.
      • NitaendaAmerikabaadayakufuzumasomo
      • Panyaamejifichapale.
      • Serikaliyetuimewaondoavijanawanaorandarandamitaaninakuwapeleka shuleni.
      • Wavulanawalipelekwajandonikupewaushauri
        • Vielezihuwezakutumikaaukujitokezamahalipopotekatikasentensi,iwenimwanzoni,katiau mwishoni mwa sentensi.

     

     

    7.5.     Vielezivyaidadi

    • Nimanenoyanayotoamaelezozaidikuhusuvitenzikwakurejeleaidadiyavitendohuitwavielezi vya idadi.
    • Kwamfano:
      • marachache
      • marakadhaa
      • marakakumi
      • nadra
      • tenamaranyingi
      • wapili
    • Mifanokatikasentensi:
    • Chanjoyaugonjwahuohutolewamaramoja
    • Gavanawetualiahidimarakadhaakuwaatajengataasisizakuhudumia

     

     

    • Mgonjwaalikunywadawamarambili.
    • Ninadrakumpatadaktariwamifupakatikazahanati
    • Onanaalidakampiramaranyingi.
      • Vielezivyaidadivinawezakurejelea:
      • Idadikamiliinayodhihirika,kwamfano:
        • maramoja
        • marakumi
        • mara
      • Idadiyajumlaisiyodhihirika,kwamfano:
        • marakadhaa
        • marachache
        • kwanadra

     

    8.   MISUKOSUKOYAKIJAMII

    8.1.     Uzungumzajiwakushawishi

    • Uzungumzajiwakushawishiniuzungumzajiunaotolewakwalengolakuathirimsimamo,tabia, imani na maadili ya msikilizaji.
    • Ilikushawishiwengine,mzungumzajianafaakuzingatiavipengelevifuatavyo:
      • Kuelewavyemamahitajiyawasikilizajiilikuwaraikwanjia
      • Kuelewavyemasualaanalolizungumzianaumuhimu wake
      • Kujielezakwanjiawazi
      • Kuteualughakulingana nahadhira
      • Kutumialughainayowezakuathirihisiazamsikilizajiiliawezekufuatamsimamowako
      • Kuwahusishawasikilizajinakuwapanafasiyakutoamaoniyaokatikamazungumzohayo
    • Uzungumzajiwakushawishiunawezakutolewakatikamuktadhakamaifuatavyo:
    • Katikakuwapatanishawatuwaliokosanaili
    • Katikamikutanoyakisiasaambapowanasiasahuwashawishiwapigakurakuwachagua
    • Katikavikaovyakuwashawishiwalionauraibufulaniilikugeuzamienendoyao
    • Kupatanishajamiiambazozinamigogoro,kamavilewiziwamifugo
    • Kupatanishawatuwanaozozanakwasababuyakutopatana
    • Wanafunziwanapotakakuwashawishiwenzao,kamavilekujiunganachamafulani

     

     

    8.2.     Kusomakwakina:UshairiIII

    • Mandharikatikafasihinimahaliambapokaziyafasihi
    • Mandhariyanawezakuwamahalipopotekamavilebarabarani,mjini,nyumbani,shuleni,kanisani, msikitini, ziwani, angani, nchini au barani.
    • Mandhariyanawezapiakuwakiwakatikamavilewakatiwakihistoria,wasasa,wavita,wa mapambazuko au machweo.
    • Vivyohivyo,mandharikatikashairinimazingiraambaposhairilinazungumziayakimahaliau
    • Mandhariyanaumuhimumkubwakwanindiyohumsaidiamshairikujengataswirakimazingirana kihisia ya kuwasilisha ujumbe.
    • Ndiyohumwezeshamtunziwashairikufikiamahaliyakiwakatiaukimazingiraambaposhairilake

     

    • Muundondiohusaidiakuainisha mashairi katika bahari au makundi mbalimbali.

     

    • Vipengelevyakimuundovyamashairinikamavifuatavyo:
    1. Mishororo–Mstarikatikashairihuitwa
    2. Beti–Mashairihupangwakatikavifunguvyamishororo.Kifunguchamishororoiliyowekwa pamoja katika shairi huitwa ubeti, wingi ni beti. Ubeti ni sawa na aya katika maandishi ya

     

     

    1. Vipandevya mishororo –Mashairiyanawezakuwanakipandekimojaauzaidi.Kipandecha kwanza cha mshororo huitwa ukwapi. Cha pili ni utao na cha tatu, mwandamizi.
    2. Vina –Silabiausautiza mwishokatikavipande vyamishororohuitwavina.Aghalabu, mashairi huwanavinavyakatinavyamwishokutegemeaidadiyavipandekatikamishororo.Maranyingi vina hulingana katika ubeti kwa shairi zima au katika baadhi ya mashairi.
    3. Mizani–Silabikatikashairihuitwamizani.Aghalabu,idadiyamizanikatikavipandevyashairi hulingana, kwa mfano, ukwapi ukiwa na mizani 8 na utao 8, mishororo yote katika shairi kama hilo itakuwa na mizani 8, 8.
    4. Kibwagizo–Maranyingimashairihuwanamshororowamwishoambaounarudiwarudiwa katika kila ubeti. Mshororo huu huitwa kibwagizo.
      • Vipengelehivivyakimuundondivyohuzingatiwakatikakuainishamashairi,kwamfano:
    5. Shairilamishororomiwilikatikakilaubetihuitwatathnia,lenyemishororomitatu huitwa

    tathlithanalenyeminnehuitwatarbia.

    1. Shairiambalovinavyakatinavyamwishovyotehufananahuitwamtiririko,naambalovina vya kipande kimoja hufanana lakini kingine hubadilika-badilika huitwa ukara.
    2. Shairilenyekipandekimojahuitwautenzi,lenyevipandeviwilihuitwamathnawinavitatu,

    ukawafi.

     

     

    8.3.     Matumiziyamabano()

    1. Kuonyeshamaelezoyaziadaaumanenoambayosiyalazimakatikasentensi,kwamfano:Naibuwa mwalimu mkuu (ambaye ameketi mbele) ni jirani yetu.
    2. Kufungiamaelekezoyajukwaani,hasakatikamazungumzoaumchezowakuigiza,kwamfano: Mwalimu Juma: (akitabasamu) Hamjambo wanafunzi?

    Wanafunzi:(kwapamoja)Hatujambomwalimu!

    1. Kufungianambariunapoorodhesha,kwamfano: (i)

    (ii)

    (iii)

    1. Kutoanenojinginelenyemaanasawa,kwamfano:Msichana(banati)ndiyealiyetia
    2. Kufungia mifano katika orodha au ufafanuzi, kwa mfano: Msukosuko wa kijamii (ghasia, vurugu, kutokuelewanaaumigogoroyakikabila)maranyingihusababishwanatofautizakitamaduni,kisiasa au kiuchumi katika jamii.

     

     

    8.4.     Matumiziyakistarikifupi(-)

    1. Kutenganishatarehe,mwezi,namwaka.Mfano:23-09-
    2. Kutoamaelezozaidi,kwamfano:Mgeniwetu-aliyetarajiwakutoaushauri-alitumaudhuruwa kutokuja kupitia kwa mwakilishi wake.
    3. Kutenganishamanenomawiliyaliyounganishwailikuundanominoambata,kwamfano,kitenzi-
    4. Mfano:Watuwengi wameathiriwa na msukosuko wa kija- mii unaosababishwa na migogoro ya kijamii.

     

     

    1. Kuonyeshakipindifulanichawakatiaukuanziamahalifulanihadipengine,kwamfano:Safariya Naivasha-Moshiilichukuamudamrefu.Shulezilifungwakwasababuyajangalakoronamwaka wa 2020-2021.
    2. Kutengasilabikatikaneno,kwamfanonenomsukosukolinasilabitano:m-su-ko-su-

     

     

    8.5.     NgeliyaU-ZI

    • NgeliyaU-ZInikundilanominoambazohuanzakwaherufiuauwkatikaumoja,lakinikatika wingi huchukua mianzo tofauti.
    • Kwamfano:
      • Wembe-nyembe:huanzakwawkatikaumojananykatika
      • Uzi-nyuzi:huanzakwaukatikaumojananykatika
      • Ukuta-kuta:huanzakwauKatikawingiuhudondoshwa.
      • Ubao-mbao:huanzakwaukatikaumojanambkatika
      • Ulimi-ndimi:huanzakwaukatikaumojanandkatika
    • NominozangeliyaU-ZIzinapotumikakatikasentensi,huwakilishwanakiambishiukatikaumoja na zi katika wingi
    • Mifanokatikasentensi:
    Umoja Wingi
    Uawakoumejengwa vizuri. Nyuazenuzimejengwavizuri.
    Udiunaochomwaunatoaharufunzuri. Nyudizinazochomwazinatoaharufunzuri.
    Ukoowetuunatambulikanawengi. Koozetuzinatambulikanawengi.
    Ukutahuuunaufaunaoweza kuubomoa. Kutahizizinanyufazinazowezakuzibomoa.
    Ulimiunawezakujenganakubomoa. Ndimizinawezakujenganakubomoa.
    Uziuliotumiwakufungiaufagioulitokana. Nyuzizilizotumiwakufungiafagiozilitokana.
    Wayahuuuna kutu. Nyayahizizina kutu.
    Wembeuliomkataulikuwampya. Nyembezilizowakatazilikuwampya.

     

     

    8.6.     NgeliyaYA-YA

    • NgeliyaYA-YAhujumuishanominoambazo:
    • Hazihesabikikamakitukimoja,kwamfano:
      • madaraka
      • madhara
      • maisha
      • malipo
      • mandhari
      • manukato
      • maumivu
      • mazingira
    • Nimajinayavituvioevu,kamavile:

                               ❖    mafuta                                                                                                                                      

     

     

    • maji
    • manukato
    • marashi
    • mate
    • maziwa
    • Hubakivilevilekatikaumojanawingi,kwamfano:
      • maji–maji
      • mate–mate
      • maudhui–maudhui
    • NominokatikangeliyaYA-YAzinapotumikakatikasentensihuwakilishwanakiambishiyakatika umoja na ya katika wingi kwa sababu hazibadiliki katika umoja na wingi.
    • Mfano:
    Umoja Wingi
    Majiyamemwagika. Majiyamemwagika.
    Manukatoyaliyonunuliwayananukia. Manukatoyaliyonunuliwayananukia.

     

    9.   MATUMIZIYAVIFAAVYAKIDIJITALIKATIKA BIASHARA

    9.1.     Sauti/j/na/nj/

    • Sautijhutamkiwamahalipamojanasautinjkinywani,lakinihewahupitishiwamdomoniwalasi
    • Kwamfano:
      • bajaji
      • chajio
      • daraja
      • jaa
      • jaji
      • jamvi
      • jana
      • jiji
      • jozi
      • jungu
      • kidijitali
      • kuja
      • majani
      • mtaji
      • shajara
      • ujasiri
    • Sauti/nj/hutamkwasehemuyakatiyaulimiikiwaimeguzasehemuyajuuyakatikatiyakinywana hewa kufungiwa ili ipitie puani kabla ya kuachiliwa.
    • Kwamfano:
      • kionjamchuzi
      • kunja
      • mjanja
      • njia
      • njiwa
      • njozi
      • njumu
      • njuti
      • uwanja
      • vunja

     

     

    9.2.     Insha:Masimulizi

    • Inshayamasimulizikwakawaidahuwa na utangulizi, mwili na hitimisho.
    • Kilaayahuelezawazomojanakulikuza

     

     

    kikamilifu.Mawazo hayahujengwakwakuzingatiamadayamasimulizi.

    • Mbalinamuundo,vipengelevinginevinavyozingatiwakatikaukuzajiwawazobainayaayaza insha ya masimulizi ni mada, muktadha, wahusika, hoja, na mtiririko bora wa matukio.
    • Hojakatikainshayamasimulizihukuzwakulingananamada.
    • Muktadha ni mazingira au hali inayoathiri maana ya tukio fulani. Muktadha katika insha ya masimulizihusaidiakutoamaanakamiliyainshahiyokwakuwekamipaka.Teknolojiakamamada, kwa mfano, inaweza kujadiliwa katika muktadha wa biashara, mawasiliano au maendeleo ya
    • Kilahojahuandikwa katika aya yake na kuelezwa ipasavyo.
    • Mtiririkonimfuatanowa mawazo katika insha.

     

     

    9.3.     NgeliyaLI

    • Nominokatikangeliya Llhazibadilikikatikaumojana
    • Nominohizipiahazihesabikikamavitukimoja
    • Nominohizihupatanishwakisarufinakiambishi-li-zinapotumikakatikasentensi
    • Kwamfano:
      • giza
      • jasho
      • joto
      • shamba
      • vunda
    • Mifanokatikasentensi:
    • Gizalimesababishawafanyabiasharawafungebiashara
    • Jasholimetiririkalikaloweshashati
    • Jotolimezidikatikamsimuhuuwa
    • Jualimefunikwanamawingunakusababishabaridi
    • Vumbalasamakiwalioozalilieneaeneo

     

     

    9.4.     NgeliyaKU

    • NgeliyaKUhujumuishanominozinazoundwakutokananavitenzi,yaani,nominozavitenzi-
    • Vitenzihupachikwakiambishiku-mwanzoninakuwanominokatikangeliyaKU.
    • Kwamfano:
      • kucheza
      • kufanya
      • kuimba
      • kula
      • kulima

                     ❖    kunywa                                                                                                                                            

     

     

    • kupiga
    • kupika
    • kusoma
    • kutumia
    • Mifanokatikasentensi:
    • Kufanyabiasharakumewanufaisha
    • Kupigasimuhukuukiendeshagarikumepigwa
    • Kusomakwabidiikutafanikishamstakabali
    • Kutembeagizanikutakuletea
    • Kutumiamtandao kutangazabiasharayakekumemleteafaida

     

     

    9.5.     NgeliyaPA-KU-MU

    • NgeliyaPA-KU-MUningeliyamahali.Nominozangelihiihurejelea
    • Kwamfano:PA-hurejeleamahalikaribu;KU-hurejeleamahalimbali;naMU-hurejeleamahali
    • Nominozakawaidazinapoongezwakiambishi-nimwishoni,piahuingiakatikangeliya

    Kwamfano: Shule→ shuleni.

    • Mifanokatikasentensi:
    • Shulenimwetumnawanafunzi
    • Mahaliambapomlindalangohukaapamewekwa
    • Shambanikulikofyekwa
      • NominozangeliyaPA-KU-MUhupatanishwakisarufinaviambishipa-,ku-namu-aum-

    zinapotumikakatikasentensi,kamailivyoonyeshwakatikamifanoyasentensiulizosoma.

     

    10.   KUKABILIANANAMSONGOWA MAWAZO

    10.1.     Malumbanoyautani

    • Malumbanoyautaninimajibizanokatiyawatuwawiliaumakundimawiliyawatukwakutumia mzaha, kejeli na chuku kwa lengo la kuchekesha au kusisimua.
    • Katikamalumbanoyautani,maranyingilughayaucheshihutumikakwalengolakuletafurahana
    • Malumbanohayayanawezakutokeakatiya:
    • Mababuaumabibinawajukuu
    • Watuwaukoommojaau katiyawatuwakoombili
    • Watuwarika
      • Katikakuwasilishamalumbanoyautani,vipengelevifuatavyohuzingatiwa:
    1. Malumbanoyautanihutokeakatiyawatuwawiliaumakundimawiliya
    2. Utaniunamisinginamipaka
    3. Watuhawahufanyianamizahaambayo inadhihirisha uhusiano mwema kati yao.
    4. Mbinuyachukuhutumiwakwakiasikikubwailikusisitizaaukukejelisifa
    5. Malumbanoyautaniyanawezakuwaya
    6. Huchukuamtindowaushindani,kilammojaakijaribukumpiku
    7. Wakatimwinginewatuhutaniawatuwasiokuwepo,hasakatikamaigizoya
    8. Lughayaucheshinaisiyorasmihutumiwakatikakuwasilishamalumbanoya

     

     

    10.2.     Wahusikakatikafasihi

    • Wahusikakatikafasihini watu,wanyamaauviumbewanaozungumziwakatikakaziza
    • Wahusikakatikashairiwanawezakuwawatu,wanyamaauviumbe
    • Wahusikahusaidiamwandishikujengamaudhuinakukuzaplotiyakazi
    • Mbalinabinadamunaviumbewengine,mashairiwakatimwinginehuwanamhusikaambayendiye sauti inayozungumza katika shairi.
    • Mhusikahuyuhuwahabainikimojakwamojakwasababunisautituya
    • Katikamashairikamahayo,mhusikahuyohutambulikakamanafsineni,yaani,ninafsiinayonenaau
    • Maranyingi,nafsinenihuwanimtunzi

     

     

    10.3.     Baruayakuombakazi

    • Baruarasmiyakuombakazinibaruainayoandikwanamtuanayewasilishaombilakazikwashirika au kampuni fulani.
    • Baruarasmiyakuombakaziinapaswakuzingatiavipengelevifuatavyo:
    1. Muundo:Muundowabaruarasmiyakuombakazihujumuishasehemu zifuatazo:
      1. Anwani–Baruarasmiyakuombakazihuwanaanwanimbili:yamwandishinaya

     

     

    anayeandikiwa.

    1. Tareheyakuandikwabarua –Tareheambayobarua
    2. Mtajo–Baruarasmiyakuombakazihuelekezwakwamwajirimtarajiwa,kwamfano,

    KwaMenejawaRasilimaliWatu,KwaMenejaMkuuauKwaBi/Bw.

    1. Sababuyakuandikabarua–Sababuhudokezwakwamanenoyaliyofupishwa,kwa mfano: ‘Kuh’ (Kuhusu), ‘Mint’ (Mintarafu).
    2. Utangulizi–Hujumuishamadhumuniyakuandikabarua.Katikautangulizi,elezapia jinsi ulivyopata habari kuhusu nafasi ya kazi.
    3. Mwiliwabarua–Katikasehemuhii,maelezomahususikuhusuombilakazihutolewa. Mawazo hupangwa kwa aya, kila aya ikiwa na wazo maalumu.
    4. Hitimisho – Barua rasmi ya kuomba kazi huhitimishwa kwa maagano na kueleza matumainiyakupewanafasi.Mwandishihuwekasahihiyake,ikifuatwanajinalake.
    1. Ujumbe:Ujumbehuuhuhusianamojakwa moja na aina ya kazi inayotolewa ombi pamoja na ithibati zinazohusiana na kazi hiyo.
    2. Lugharasmihutumiwakatikabaruayaaina

     

     

    Mfano:

    BellaNurdin

    KibingotiJumuiya,S.L.P10, Kibarani.

     

    15/7/2025

     

     

    MenejaMkuu,

    HospitaliYaHudumaKwaJamii,

    S.L.P200100101,

    Kilaguni.

     

    KwaBibi/Bwana,

     

    KUH:MAOMBIYAKAZIYAUUGUZI(NAFASI/1/1040)

    NaandikabaruahiikuombanafasiyakaziyauuguzikatikaHospitaliyaHudumaKwaJamiiambayo ilitangazwa katika Gazeti la Nyota, toleo la Jumanne tarehe 8/7/2025.

     

    NilihitimunastashahadayaUuguzikutokaChuoChaMafunzoyaMatibabuchaMasakamwakawa 2022. Aidha, nimepata mafunzo ya ushauri na uelekezaji yanayohusiana na masuala ya matibabu.

     

    Nimepatafursayakutumiaujuziwangukamamuuguzinamshaurikatikazahanatindogomtaani KilaguniiitwayoTibaMedicalServiceskwamiakamiwilisasa.Katikamudahuo,nimewezakutekeleza majukumu yangu kwa ufanisi bila kusimamiwa, hali iliyonipelekea kutunukiwa tuzo ya Mshauri Bora katikaZahanatiyaTibamwakauliopita.Hilililiwezekanakwamapendekezoyawenzanguambao walinufaikasananaushauriwanguuliowasaidiakukabiliananamsongowamawazokutokanana shinikizo za kitaaluma.

     

     

    Falsafayanguyakitaalumanikufanyakazikwaushirikianonawenzangu.Ninaaminikwambanikipewa nafasi katika hospitali yenu, nitaweza kutoa mchango chanya wa kibinafsi utakaowafaa wadau wote pamoja na wateja wetu wanaohitaji huduma ninazoweza kuwapatia.

     

    Pamojanabaruahiiyamaombi,nimeambatishawasifuwangupamojanavyetinastakabadhinyingine zinazoonyesha ufaafu wangu kwa nafasi hii. Natarajia kusikia kutoka kwako karibuni.

     

    Wakomwaminifu,

     

     

    BellaNurdin

     

    10.4.     Vinyumevyavihusishi

    • Vihusishinimanenoyanayoonyeshauhusianokatiyamanenomawiliaukatiyasehemumbili tofauti katika sentensi.
    • Vinyumevyavihusishihutoamaelezoyenyesifainayokinzananakihusishicha
    • Kwamfano:
    Kihusishi Kinyumechakihusishi
    chiniya juuya
    nyumaya mbeleya
    mbali na karibuna
    kablaya baadaya
    njeya ndani ya
    mwanzowa mwisho wa
    • Mifanoyavihusishihivinikamavile:
      • kadriya
      • kati ya
      • mpaka
      • ubavunipa
      • upandewa
      • wakatiwa
      • zaidiya
    • Mifanokatikasentensi:
    • Daudialifikashulenibaadaya
    • Daudialifikashulenikablaya
    • Meshackamesimamambeleyamzazi
    • Meshackamesimamanyumayamzazi

     

    11.   HAKIZA KIBINADAMU

    11.1.     Uzungumzaji katikasherehe

    • Uzungumzajikatikasherehehufanyikakatikamuktadhayasherehezajamiikamavile:
    • katikaharusi
    • katikamazishiaumatanga
    • katikasherehezamaadhimishoyasikukuuzakitaifa
    • kuhitimu
    • shereheyakutoazawadi
    • sherehezakifamilia
    • sikuyakuzaliwaausikumuhimukwa wanajamii
    • sikuyawazazishuleni
      • Vipengelevinavyozingatiwakatikauzungumzajikatikasherehehizini:
    1. muktadhawasherehe,kamanishereherasmiauisiyo rasmi
    2. ainayasherehe,kwamfanokamanishereheyafurahakamaharusiauyahuzunikama matanga au maombolezo
    3. matumiziyalughakulingananahadhiraauwatukatikajamiiwaliohudhuria,kamani wageni, wanafamilia, watoto au watu wazima
    4. kujikitakatikakiinichasuala

     

     

    11.2.     Kusomakwamapana

    • Kusomakwamapananikusomaainambalimbalizamatinikwalengolakupataujuziwajumlawa jambo au kupata maarifa ya kimsingi.
    • Nimtindowakujifunzaaukusomakwaundanizaidi,ambapomsomianachunguzamadakwakiasi kikubwa na kwa upeo mpana.
    • Hiiinahusishakutazamavipengelevingivyasualaaudhananakuelewakwakinabilakuegemea sehemu moja tu ya mada.
    • Nimbinuambayohutumikahasakatikautafitiaukujifunzakwakinanamaranyingihujumuisha ufahamu wa muktadha, mifano, na michango ya mawazo mbali mbali.
    • Ufahamuwakusomakwamapan”unawezakujumuisha:
      • Kuchunguzamaudhuimbalimbali:Badalayakuzingatianadhariaauwazomoja,msomi anachunguzamasuala,mifanonamuktadhambalimbaliilikupatapichakamiliyamada.
      • Ulinganifunautofautiwamawazo:Kujuamitazamotofautikuhususualafulaninakuelewa jinsi inavyohusiana na mitindo mingine ya kufikiri.
      • Kujuamuktadhawakihistorianakijamii:Hiinimuhimuilikuelewakwaundanimabadiliko au athari zinazoweza kutokea kutokana na suala fulani.

     

     

    11.3.     Insha:MaelezoII

    • Inshazamaelezoniainayamaandishiambayohutoaufafanuzikuhusumtu,kitu,auhali
    • Lengokuulainshahizinikutoapichawazinayakinakuhusujambofulani,ilimsomajiaweze

     

     

    kuelewavyema nakuonakile kinachoelezewa.

    • Mwandishihutumiamanenokwaumakiniilikuonyeshavipengelevyakipekeeauvyakuvutiavya kile kinachozungumziwa, akijitahidi kutoa maelezo ya kina na ya kuvutia.
    • Mtazamokatikainshazamaelezohudhihirishwanajinsimwandishianavyochukuliajambona kulieleza kulingana na maoni yake.
    • Mtazamohuuunawezakuwawakusifu,ambapomwandishianatoapichanzurinayakipekeeya kitu, mtu au hali, akionyesha urembo au uzuri wake.
    • Kwaupandemwingine,mtazamowakukashifuunawezakuonyeshapandehasiauudhaifuwa jambo, huku mwandishi akieleza hasara au mapungufu yake.
    • Aidha,mtazamowakuhimizaunawezakuwanalengolakuhamasishaaukuchocheahatua,ambapo mwandishi anaonyesha umuhimu au manufaa ya jambo fulani na kuhamasisha wasomi kuchukua hatua au kufikiria kwa undani kuhusu mada hiyo.
    • Inshazamaelezozinawezakujumuishamifano,taswira,nahisiailikuifanyahadhiraiweze kuhusiana na kile kinachoelezewa.
    • Mtindowamwandishinalughaanayotumianimuhimukatikakufikishaujumbekwausahihinakwa
    • Kwahiyo,mtazamowamwandishikatikainshahiziunakuwanamchangomkubwakatikanamna inavyoweza kukubalika au kutohusiana na wasomi.

     

     

    11.4.     Mnyambulikowavitenzi:Kauliyakutendana

    • Vitenzivikinyambuliwakatikakauliyakutendanahuwasilishamaanakuwakunawahusikawawili ambao kila mmoja anatenda kitendo hicho kwa mwenzake.
    • Vitenzikatikakaulihiihuwakilishwanakiambishi-anamwishonimwakitenzi,kwamfano:
    Kutenda Kutendana
    Andika Andikana
    Beba Bebana
    Penda Pendana
    Shika Shikana
    Soma Somana
    Suka Sukana
    Tega Tegana
    Tuma Tumana
    • Mifanokatikasentensi:
    1. Binadamukoteulimwenguniwanafaa
    2. Nimuhimukuunganakatikakulindahakiza
    3. Sikosakwamajiranikuombanakile
    4. Sisinimarafikiwemanandiosababutunatunzanakila
    5. Tunafaakuhimizanakuheshimuhakizoteza
    6. Wateteziwahakizakibinadamunawapinzaniwaowalisomanamawazokablayakutoakauli
    7. Watotowalishikanamikonowakivuka

     

     

    11.5.     Mnyambulikowavitenzi:Kauliyakutendeana

    • Vitenzivikinyambuliwakatikakauliyakutendeanahuwasilishamaanakuwakunawahusikawawili, ambapo mmoja anatenda kitendo kwa niaba ya mwenzake au ili mwenzake afaidike kwa kitendo
    • Vitenzivikinyambuliwakatikakauliyakutendeanahuishiakwaviambishi-eanaau-iana,-lianaau

    -leana,kwamfano:

    Kutenda Kutendeana
    Amua Amulia
    Kimbia Kimbiliana
    Kumbatia Kumbatiana
    Lima Limiana
    Pokea Pokeleana
    Shika Shikiana
    Soma Someana
    • Mifanokatikasentensi:
    1. Gavananambungewaliwasilishianamichangowalipokutanakatika
    2. Mamanamtotowakewalikumbatianawalipokutanabaadaya
    3. Miakayahaponyuma,njiaborayakujulianahalibainayajamaanamarafikiilikuwa kuandikiana barua.
    4. Nimuhimukuulizianajinsiyakudumishahakiza
    5. Sisihusahihishianainshazetu
    6. Wateteziwahakizakibinadamunawenyejiwaowalipokeleanakwa
    7. Watuwanafaakushughulikianakatikamaishakwakuwahamna

     

     

    11.6.     Mnyambulikowavitenzi:Kauliyakutendesha

    • Vitenzivikinyambuliwakatikakauliyakutendeshahuwasilishamaanakuwamtuaukitu kimesababisha kingine kutenda kitendo.
    • Vitenzivikinyambuliwakatikakauliyakutendeshahuishiakwaviambishi-esha,-via,-isha,au-za, kwa mfano:
    Kutenda Kutendesha
    Chomoa Chomoza
    Kimbia Kimbiza
    La Lisha
    Panga Pangisha
    Soma Somesha

     

    • Mifanokatikasentensi:
    1. Alialielezavilerafikiyakealivyomwangushawalipokuwa
    2. Kakaalimlishamtoto

           c)Kisatulichokisomakilituchekeshasana.                                                                                                  

     

     

    1. Mamaalimtembezamtotonjealipoanzakuliakwenye
    2. Mwalimualimsimamishamteteziwahakizakibinadamu
    3. Mwalimuametusomeshakuhusuhakiza
    4. Mwalimumkuualimpishamgeniwaheshimailiatoehotuba

     

     

     

     

     

    12.   MAGONJWAYANAYOTOKANANAMIENENDOYA MAISHA

    12.1.     Ufahamuwakusikiliza

    Mamboyakuzingatiakatikaufahamuwakusikiliza:

    1. Kuachakuzungumzaaukushughulikanamambomenginewakati
    2. Kuchunguzamitazamonamaoniyamzungumzajiilikuelewa
    3. Kuepukakuingiliamtuanapozungumzakablayakumalizakauli
    4. Kujibuipasavyokutegemeaujumbe
    5. Kukadiriaainayamsamiatinavifunguvyamanenovinavyotumiwana
    6. Kutiliamaananianachosemamzungumzajipamojanakusomaisharazamwili
    7. Kutolazimishamaoniyakoausuluhishokwa
    8. Kutulianakuwa
    9. Kuwasilianakwaisharazakimwili,kamavilekukubalikwakichwaaukutumiamaneno yanayoonyesha kwamba unasikiliza kwa umakinifu.

     

     

    12.2.     Kusomakwaufasaha

    • Usomajiufaaonihaliyakusomamaandishikwanjiaambayowasikilizajiwanawezakusikiavizuri na kuelewa ujumbe.
    • Vipengelevyakuzingatiakatikakusomakwaufasaha:
    • Kusomakwakuzingatiamatamshiboraya
    • Kusomakwakasi
    • Kusomakwasauti
    • Kusomakwakutumiaisharazakimwili
    • Kuingatiaalamazauakifishaji
    • Kuingatiakiwangochasautinakiimbokutegemeaujumbewanenoausentensi

     

     

    12.3.     Insha:Hotubayakushawishi

    • Hotubanimazungumzorasmiyanayotolewakwa
    • Hotubayakushawishinihotubaambayolengolakekuunikuwashawishiwasikilizajikukubaliana na wazo au hoja fulani au kuchukua hatua au msimamo fulani.
    • Hotubayakushawishiinawezakutolewakatikamazingirambalimbali,ikiwanipamojanamuktadha ya kisiasa, biashara, elimu au hata katika maisha ya kila siku.
    • Vipengelevyakuzingatiakatikakuandikahotubayakushawishi ni:
      • Kutoahojazilizonaushahidi,uthibitishoaudatailikumpamsikilizajisababuzakukubalina kuchukua hatua fulani.
      • Kujumuishahadithizakibinafsiaumifanohalisiinayohusiananasualalinalozungumziwaili kushawishi msikilizaji.
      • Kutumialughayenyemvutoilikuwavutianakuwashawishiwasikilizajikuchukuamsimamo fulani au kukubaliana na msemaji.

     

     

    • Kumpamsikilizajihakikishonakumwondoleawasiwasiwowoteiliaweze
    • Kumaliziakwakutoawitowakuwatakawasikilizajikuchukuahatuaaukufanyajambofulani baada ya kusikiliza hotuba.
    • Lengolahotubahiinikumshawishimsikilizajikufanyakitufulaniaukubadilishamtazamowake kuhusu suala fulani.
    • Hotubayakushawishihuchukuamuundowahotubanyingineza
    • Hotubahii:
    1. Huwanautangulizi,mwili,na
    2. Huandikwakatikaalamazakufunguausemimwanzoninakufungwakwaalamazakufunga
    3. Utanguliziwakehuanzakwasalamuzinazotambuahadhimbalimbalizawasikilizajina kufuatwa na lengo la hotuba yenyewe.
    4. Kilahojahuwasilishwakatikaayayake, ikiungwa mkono na mifano au ithibati za kuaminika ili iweze kushawishi.
    5. Hitimisho huangazia kwa muhtasari hoja muhimu ambazo hadhira inapaswa kuzingatia kutokananahotubapamojanakutoawitounaoandamananaujumbe.Mwishokabisa,hatibu huwashukuru waliohudhuria kwa kumsikiliza.
      • Hotubahufungwakwaalamazakufunga

     

    Mfano:

    HotubayaAfisawaAfyakatikaHaflayaKaunti

    “MheshimiwaGavana,WaziriwaAfya,MkurugenziwaHospitaliyaTaifa,maafisawenzanguwaafya, wakuu wa shule, wazazi na wanafunzi, hamjambo? Naitwa Bi. Dawama Bakari. Ninafanya kazi katika sekta ya afya. Nimefurahi kupokea mwaliko kutoka kwa Gavana wenu, Bw. Matayarisho, kuhutubia kikaohikikuhususualalinalonigusamoyonisana,lamagonjwa yanayotokananamienendoyamaisha.

     

    Afya ni kitu muhimu sana katika maisha yetu. Tunapoona umati huu wenye afya njema, tunafurahi. Hatahivyo,tusisahaukuwakunamagonjwayanayosababishwanamienendoyamaishaambayo yanawezakutushambuliaupesikamaumeme.Magonjwaninayorejeleahapanikamavilekisukari, unene wa kupindukia, shinikizo la damu na aina mbalimbali za saratani. Magonjwa haya yanaweza kusababishwa na mienendo ya maisha yetu, ikiwemo ukosefu wa mazoezi ya mwili, lishe isiyofaa, uvutaji wa sigara, na unywaji wa pombe kupindukia.

     

    TakwimuzahivikaribunikutokakwaShirikalaAfyaDunianizinaonyeshakuwamagonjwahaya yanazidikuongezekaulimwengunikote.Mienendoyamaishainajumuishaainayashughuli tunazofanyakilasiku,vyakulatunavyokula,mudawakulala,mazoeziyamwili,namatumiziyasigara napombe. Mienendohiiinapokuwamibayandiyoinayosababishakuibukakwamagonjwakama hayo.

     

    Hata hivyo, tusikate tamaa kwa sababu tunaweza kubadilisha hali hii. Ni muhimu kutambua kwamba magonjwahayahayasambaikutokakwamtummojahadimwingine.Lichayahilo,hatunabudi kujitathminivyema.Kumbuka,njiaborayakudumishaafyanjemanikulavyakulavyakiasili,mboga, na kufanya mazoezi. Tunapaswa kuacha tabia za kuvuta sigara na kunywa pombe kupita kiasi.

     

     

    Inashangaza kuwa magonjwa haya yaliyokuwa yakichukuliwa kama ‘magonjwa ya matajiri’ yanazidi kuongezeka hata huku mashinani. Ni muhimu kuchukua hatua sasa kwani magonjwa haya yanaweza kusababishaulemavunavifo,nakutwikafamilianaserikalimzigomzitowakiuchumikwahudumaza afya.ShirikalaAfyaDunianilinatabirikuwaasilimiasitininamojayavifovitasababishwana magonjwa haya ifikapo mwaka wa 2030. Sasa ndio wakati mwema wa kuchukua hatua za dharura.

     

    Ningependa kumalizia kwa kuwaomba nyote kutafakari kwa kina juu ya ujumbe wangu. Tushirikiane kudhibitimagonjwayanayosababishwanamienendoyamaisha.Tukiungana,tutashindajangahili, kwani umoja ni nguvu, utengano ni udhaifu. Asanteni sana!”

     

    12.4.     Sentensitata

    • Sentensitatanisentensiambazohuwezakuwanamaanazaidiya
    • Utatakatikasentensihusababishwanamambokamayafuatayo:
    1. Matumiziyanahau,hasaiwapomsikilizajihaelewikuwaninahau.Kwamfano:Nyanyayangu amekula chumvi. Sentensi hii inaweza kuleta maana kuwa:
      • Nyanyaametumiachumvikamavilekwenye
      • Nyanyaameishikwamiaka

     

    1. Matumiziyamanenoyenyemaanazaidiyamoja,kwamfano: Mamaamenunua

    Sentensihiiinawezakumaanisha:

    • Mamaamemnunuamnyamawakufugaambayeanaitwa
    • Mamaamenunuakifaachakukunianazikinachoitwa

    Ilikuondoautatahuu,unawezakutoamaelezozaidiyatakayobainishakinachorejelewa,kwa mfano:

    • Mamaalimnunua
    • Mamaalinunuambuziyakukunia

     

    1. Mnyambulikofulaniwavitenzi,kwamfano:Katikasentensihii, ‘alimkimbilia’ inaweza kumaanisha:
      • Mtotoalikimbiakwaniabaya
      • Mtotoalikimbiakuelekeakwa

     

    1. Matumiziyasiyokuwasahihiyaviunganishiauvihusishipiayanawezakuletautata,kwamfano:

    Anachoranakijiti.Sentensihiiinawezakumaanishakuwa:

    • Anachoraakiwapamojana
    • Anachorakwakutumia

    Ilikuondoautatakatikasentensihii,tunawezakusema:Anachorakwakijiti.

     

    13.   MSHIKAMANOWA KIJAMII

    13.1.     Mawaidha I

    • Mawaidhaniushaurianaopewamtukuhususuala
    • Mawaidhahujumuishamaarifa,mafunzonamaonyoambayohudhamiriwakumpamtumwongozo wa kutekeleza mambo mbalimbali.
    • Katikafasihisimulizi,mawaidhayanawezakutolewakatikavikaoausherehemaalumukamavile jandoni, unyagoni au katika harusi.
    • Mawaidhahuwasilishwakupitiatungonyinginezafasihisimulizikamavilehadithi,methali, mashairi na nyimbo.
    • Anayetoamawaidhahuitwa
    • Wanaopokeamawaidhahuitwa
    • Mbalinafananinahadhira,mawaidhayanawezakujumuishawahusikawenginekutegemeajinsi

     

     

    13.2.     Matumiziyalugha:UshairiIV

    • Matumiziyalughanijinsimtunziaumwandishiwakaziyafasihianavyotumiamanenokwa ubunifu ili kuwasilisha ujumbe.
    • Baadhiyambinuzalughanikamavile:
    1. Tashbihi–kulinganishavituviwilivinavyofananakwabaadhiya
    2. Tashhisi–kuonyeshahisiaauhaliyamtukwakutumiamanenoyanayooneshahisia
    3. Sitiari–kubadilishamaanayanenomojakwakutumiatafsirinyingineilikuonyeshapichaau hali fulani.
    4. Tasfida–kutumiamanenoyaziadailikutoamaanailiyozidiaukuimarishapicha
    5. Urudiaji–kuimarishamaanakwakurudianenoaukipengelefulanikatikasentensiaukifungu cha maneno.
    6. Tanakalizasauti–kuonyeshaufanisiwasautikatikakifasihi;kurudiasautiauherufifulani mwanzoni mwa maneno au kurudia sauti za vokali.
    7. Methali–usemiwakifasihiunaotumiamfanowamaishailikutoafunzoau
    8. Nahau–usemiwakifasihiuliojaamaanamaalum,ambapomanenohuchukuamaananyingine isiyokuwa ya kawaida.
    9. Utohozi–mbinuinayohusishauhamishajiwamaanakutokasehemumojahadinyingine,ikiwa ni njia ya kutumia mtindo wa kifasihi.
    10. Misemo–Nimanenoauusemiunaotumikakutoamaanafulanikatikajamii,kamavilemethali lakini mara nyingi hutumika kama maneno ya kawaida yenye maana ya ziada.

     

    • Mbalinambinuzalughazilizotajwahapojuu,ushairihuwanamatumiziyalughamaalumkama vile:
      • Kufupishamaneno,kwamfano:kipuziliabadalayaukipuuzilia.Mbinuhiihuitwainkisari.
      • Kurefushamaneno,kwamfano:hayanobadalayahaya.Mbinuhiihuitwamazidakatika

     

     

    • Kubadilishasauti,hasasautiyamwishokatikamaneno,kwamfano:shukuribadalaya

    shukuru.Mbinuhiihuitwatabdila.

    • Kubadilishampangiliowamanenokatikamshororo,kwamfano:umojakuzingatiabadalaya

    ukizingatiaumoja.

    • KutumiamsamiatiwakikaleauKiswahilichakale,kwamfanomaozibadalayamacho.
    • Matumiziyalughakamayaliyoelezwahapojuuhumsaidiamtunzikupataulinganifuwaidadiya mizani katika mshororo au ulinganifu wa vina.

     

     

    13.3.     Insha:MaelezoIII

    • Inshayamaelezohutoaufafanuzikuhusumtu,kitujamboauhali
    • Inshayamaelezokuhusuhalihuelezajinsihaliinayozungumziwa
    • Ilikuielezahalivyema,inshahiihutumialughainayojengapichakamilikwakutumianomino, vivumishi, vielezi, vitenzi na mbinu mbalimbali za lugha.
    • Katikakuandikainshayamaelezokuhusuhali,vipengelevifuatavyohuzingatiwa:
    1. Maudhui:Maudhuihuoananahali
    2. Muundo:Muundowainshayaainahiihuwanaanwani,utangulizi,mwilina
    3. Lugha:Lughayakimaelezoauyakiufafanuzi

     

     

    13.4.     Ukanushajiwahaliyamashartiya-nge-

    • Kukanushanikukataajambo
    • Viambishivyaukanushajikwakawaidaniha-,hu-nasi-.

    Tunapokanushamashartiya-nge-,kiambishisi-chaukanushondichohutumikakwakuwekwakabla ya -nge-.

    • Kwamfano:
    Uyakinifu Ukanushaji
    Angeshonaingemtoshea. Asingeshonaisingemtoshea.
    Ningekujamapemaningekupata Nisingekujamapemanisingekupata
    Ningetembeaningechelewa. Nisingetembeanisingechelewa.
    Opiyoangewaunganishawangekujapamoja Opiyoasingewaunganishawasingekuwapamoja
    Ungekujaungempata. Usingekujausingempata.
    Ungesomaungepatamaarifa Usingesomausingepatamaarifa
    • Sentensizinapokanushwakatikahaliyamashartiya-nge-humaanishakuwavitenzivyote vilivyokanushwa na vyenye -nge- ya masharti vinatendeka.

     

     

    13.5.     Ukanushajiwahaliyamashartiya-ngali-

    • Tunapokanushahaliyamashartiya-ngali-,kiambishisi-chaukanushohutumikakablaya-ngali-.
    • Kwamfano:
    Uyakinifu Ukanushaji
    Angalimshikambwaangalimuuma. Asingalimshikambwaasingalimuuma.
    Ningalimtembeleaangalifurahi. Nisingalimtembeleaasingalifurahi.
    Ungalikujaungalinipata. Usingalikujausingalinipata.

     

    • Sentensi zinapokanushwa katika hali ya masharti ya -ngali- humaanisha kuwa vitenzi vyote vilivyokanushwavinatendeka,maanavinategemeana.Kitendochapilikinategemeachakwanza.
    • -ngehutumiwana-ngekwapamojana-ngali,na-ngalikwapamojanahavichanganyiukanusho

     

     

    13.6.     Ukanushajiwahaliyamashartiya-ki-

    • Tunapokanushahaliyamashartiya-ki-,kiambishi-sipo-chaukanushohutumikabadalaya-ki-ya
    • Viambishivyaukanushoha-,hu-nasi-hutumikakulinganananafsi
    • Kwamfano:
    Uyakinifu Ukanushaji
    Akiungananawenzakeatasaidiwa. Asipoungananawenzakehatasaidiwa.
    Nikimtembeleanitampelekeazawadi. Nisipomtembeleasitampelekeazawadi.
    Ukiuzakwabeinafuuutapatawateja. Usipouzakwabeinafuuhutapatawateja.
    • Sentensizinapokanushwakatikahaliyamashartiya-ki-humaanishakuwavitenzivyote vilivyokanushwa havitendeki, tofauti na ilivyo katika -nge- na -ngali-.
    • Kitendochapilikinakosakutokeakwasababukitendochakwanza

     

    14.   MATUMIZIYAKODI

    14.1.     MawaidhaII

    • Mawaidhaaghalabuhutolewa katika muktadha rasmi kama vile jandoni, katika arusi, na sherehe mbalimbali za jamii.
    • Mawaidha,vilevile,yanawezakutolewawakatiwowotenamtuyeyotealiyenaujuziauuzoefuzaidi katika suala husika.
    • Maranyingimawaidhahutolewanawatuwenyeumrimpevunatajiribapanakuhusumaisha,kama vile kiongozi wa nasaba, wazazi, wazee, imamu, kasisi, walimu na viongozi.
    • Lughainayotumiwakatikamawaidhahubadilikakutegemeahadhira,jinsia,umri,namuktadhawa mawaidha hayo.
    • Vipengelevyalughavinavyotumikakatikamawaidhanipamojanakutumia:
    1. Manenoyatakayotoawosiaufaaohuteuliwakwamakini
    2. lughanyenyekevuiliiwezekuathirihisianakushawishi msikilizaji
    3. Mbinumbalimbalizalughailikujengapichahalisiya
      • Baadhiyambinuhizinikamavilemethali,misemo,nahau,jazanda,sitiari,tashbihi,uhamasishaji, tanakali za sauti na urudiaji.
      • Mbinuhizihutumikailikuyapamawaidhauzito,mifanoyahadithiaumasimuliziyanayohusianana ujumbe wa mawaidha ili kuyapa mawaidha uhalisia na kuelezea dhana ngumu kwa njia inayoeleweka kwa urahisi, lugha wazi na iliyo rahisi kueleweka ili hadhira isichanganyikiwe na kukosa kuelewa ujumbe, sauti na kiimbo kwa utaratibu ili kujenga hisia zinazofaa na kushawishi
      • Isharazinapotumika, zinatakiwa kuwa za asili na zinazofaa kulingana na muktadha wa mawaidha na hadhira.
      • Isharahizinikamavile:
    4. kutazamahadhiraanakwaanailikuonyeshauaminifunauhusianowakibinafsi
    5. kutabasamumarakwamarailikuwafanyawatuwahisivyemahivyokurahisishaushirikina kuelewa mawaidha
    6. Hatahivyo, epuka kutumia mikono sana au kwa njia inayoweza kuwachanganya wasikilizaji
    7. kutikisakichwakuonyeshamakubaliano,kutokubaliana,aukusisitizahojafulanikatika mawaidha
    8. kuonyeshahisiausonizafuraha,huzuniaukukubaliananahadhira yako
    9. kupandisha,kushukishasautiaukubadilishakasiyakusemailikuongezeaatharizasautikwa uzito wa lugha ya mawaidha.

     

     

    14.2.     Insha:ShajaraII

    • Shajaranikitabuchakurekodiamatukioyakilasikuaumudafulani
    • Shajaranimuhimukwakuwahusaidiamtuaushirikakuratibuvyemamatukiokamayalivyotokea au yatakavyofanyika.
    • Kwanjiahii,shajarahuwekakumbukumbuyamatukioyakibinafsiaukiofisikwanjiarahisiya

     

     

    • Vitabumaalumuaghalabuhutumiwakuandikashajara,ingawaunawezakujiandaliashajarayako
    • Mamboyotemuhimu yaliyotokea au yanayohitaji kukumbukwa huandikwa ndani ya kitabu au shajara hiyo.
    • Kunaainambilizashajara:
    1. Shajarayakibinafsiambapomtuhuandikamatukiomahususiyakilasikunamaazimioyakeya siku zijazo.
    2. Shajararasmiambapomatukioyakiofisihuwezakuandikwana
      • Shajarahuwanavipengelevifuatavyovyakimuundo:
    3. Anwani:Shajarahuwanaanwani,kwamfano,shajaraya
    4. Sikunatarehe:Shajarahuwanasehemuiliyoandikwasikunatareheambapomatukiotofauti yalitukia au yanayotarajiwa hunakiliwa.
    5. Shajarahuwananafasizinazoonyeshawakatimaalumunanafasiyakurekodimatukioyawakati huo kulingana na saa za siku.
    6. Baadhiyashajarahuratibiwakulingananamiezinahujumuishamieziyoteya
      • Vipengelevinginevyashajaranikuwa:
    • Shajarahuandikwakwa muhtasari
    • Rekodiyamatukiohudhamiriwakuwasirikwamtubinafsi,kamanishajarayakibinafsi,na siri kwa kampuni kama ni shajara rasmi
    • Huwanahabarirasmikamanishajararasmiauzisizorasmikamanishajarayakibinafsi
    • Shajarazakibinafsiaghalabuhurejeleawakatiuliopita,lakinishajararasmihuratibumambo

     

    Mfano:

    JumalaPili,mwezi wa10,mwaka2025

    Siku Saa Tukio
    Jumatatu 8:00asubuhi-8:30

    asubuhi

    MkutanonaBwanaMatafariNang’ole,AfisawaMamlakaya

    KodiyaKenya.

    11:00asubuhi-1:00

    adhuhuri

    MkutanonaBwanaMhindikatikaofisizaoviwandani.
    Jumanne 9:00asubuhi-10:00

    asubuhi

    Kwendabenki.
    2:00adhuhuri-4:00

    alasiri

    Kwendakufunguaakauntiyakulipiakodi.
    Jumatano 7:00asubuhi-8:45

    asubuhi

    KuzuruMamlakayaKodiyaKenya.
    9:00asubuhi-10:00

    asubuhi

    MafunzonaBwanaMatafariNang’olekuhusunamnayakutumia

    mtandaokulipakodi.

    Alhamisi 11:00asubuhi-12:00

    mchana

    Kufikakatikaafisiyaummainayotoahudumayausajiliwa

    kampunizabiashara.

    2:00adhuhuri-3:00

    mchana

    Kutembeleamadukayajumlamjiniyanayouzatarakilishi.

     

     

    Ijumaa 7:00asubuhi-10:30

    asubuhi

    Kuhudhuriamnadawamifugokwenyesoko kijijini.
    3:00alasiri- 4:00

    alasiri

    Kuwasilishastakabadhizakampuninaakauntiyaulipajikodi

    kwaMamlakayaKodiyaKenya.

     

    14.3.     Udogowanomino

    • Nominohuwekwakatikahaliyaudogoilikuonyeshakuwanindogokulikohaliyawastaniauya
    • Tazamamifanokwenye jedwali hili:
    Kawaida Udogo
    Umoja Wingi
    kisu kijisu vijisu
    mbuzi kibuzi vibuzi
    mti kijiti vijiti
    ng’ombe kigombe vigombe
    nguo kiguo viguo
    njia kijia vijia
    • NominozikiwekwakatikahaliyaudogohuingiakatikangeliyaKI-VI.Hiiinamaanakuwanomino hizo huanza kwa kiambishi ki- au kiji- katika umoja na vi- au viji- katika wingi.
    • Tazamamifanokatikasentensi:
    Kawaida Udogo
    Mbwaamebwekakwamudamrefu. Kijibwakimebwekakwamudamrefu.
    Mbwawamebwekakwamudamrefu. Vijibwavimebwekakwamudamrefu.
    Kitandakimenunuliwana mtalii. Kijitandakimenunuliwanamtalii.
    Vitandavimenunuliwana watalii. Vijitandavimenunuliwanawatalii.

     

     

    14.4.     Ukubwawanomino

    • Nominohuwekwakatikahaliyaukubwailikuonyeshakuwaukubwawakeunashindahaliya wastani au ya kawaida.
    • Nominozikiwekwakatikahaliyaukubwahuchukuamianzombalimbaliinayowakilishwana viambishi ji- au jiji- katika umoja na ma- au maji- katika wingi.
    • Wakatimwingineviambishivyaumojahavitumikikatikabaadhiyanominokatika
    • Tazamamifanokwenyejedwalihili:
      Kawaida Ukubwa  
    Umoja Wingi
    mbwa jibwa majibwa
    mti jiti majiti
    jino jijino majijino
    njia jia majia

     

     

    mbuzi buzi mabuzi
    • NominozikiwekwakatikahaliyaukubwahuingiakatikangeliyaLI-
    • Tazamamifanokatikasentensi:
    Kawaida Ukubwa
    Njiahiiitakarabatiwakesho. Jiahililitakarabatiwakesho.
    Njiahizizitakarabatiwakesho. Majiahayayatakarabatiwakesho.
    Ng’ombehuyuanamaziwa mengi. Gombehililinamaziwamengi.
    Ng’ombehawawanamaziwa mengi. Magombehayayanamaziwamengi.

     

    15.   MAADILIYA KITAIFA

    15.1.     Kusikilizakwakutathmini

    • Kusikilizakwakutathmininikusikilizakwamakini,kutafakarinakufanyauchambuziwakinawa yale yanayozungumziwa ili kupata ujumbe kamili uliokusudiwa.
    • Msikilizajihutafutakujuaujumbemahususiuliomuhimu
    • Katikakusikilizakwakutathmini,vipengelevifuatavyohuzingatiwa:
    • Kukadiriakilakauliinayosemwanamzungumzaji
    • Kuelewanakubainimsimamowamzungumzajikuhusumadahusika
    • Kuchunguzaisharaanazotumiamsemaji
    • Kusikilizanakuchunguzajinsimsemajianavyozungumzakwakutumiakiimbo
    • Kutathminiumuhimunaufaafuwaujumbeunaosemwa
    • Kuulizaufafanuziaumaelezozaidi
    • Kufanyamaamuziyakibinafsikutokananaujumbewa

     

     

    15.2.     Ufupisho

    • Kufupishahabarinikuitafsiriaukuiandikaupyakwamanenomachacheausentensi
    • Lengolaufupishonikutoamuhtasariwahabarimuhimubilakujumuishamaelezoyoteaumaneno yasiyo ya lazima.
    • Katikakuandikaufupisho,vipengelevifuatavyohuzingatiwa:
    1. Kutambuahojaaumawazomakuukatikamatiniilikuyaelezakwaufupi
    2. Kuelezahabariupyakwamanenoyakomwenyewe
    3. Kupunguzamaelezoyaziada
    4. Kudondoshamifano
    5. Kuandikahabariupyakwampangiliowenyemuwala
    6. Kuzingatiamaelekezoyoteyaufupisho,ikiwanipamojana:
      • Kuhakikishahujajirudiarudia
      • Kuhakikishakuwahojazotemuhimuzimejumuishwa
      • Kuhakikishaufupishounatiririkaifaavyokwamantiki
      • Kuhifadhiujumbewaasili
      • Kusomanakuhaririufupisho
      • Kutumiaviunganishivifaavyokuunganishahojamuhimukwamtiririkounaofaa
      • Kuzingatiakanunizakisarufikwausahihi

     

     

    15.3.     Insha:Kujibubaruapepe

    • Katikakujibubaruapepe,mwandishihurejeleasualakatikabaruapepeambayoilitumwaawaliili kurejesha au kutoa majibu yake.
    • Vipengelevifuatavyohuzingatiwakatikakujibubaruapepe:
    1. Madayabaruapepeinayotolewamajibu inarejelewa ili kuhakikisha muktadha unabaki kama ulivyokuwa.

     

     

    1. Anwaniyabaruapepeya
    2. Anwaniyabaruapepeyaanayetumiwa
    3. Tarehenasaayakutuma
    4. Mtajo,kwamfano:Kwa(cheoaujinalampokeaji).
    5. Utanguliziwabaruapepeambaohujumuishamarejeleoyabaruapepeunayojibunashukurani kwa kupokea baruapepe ya awali.
    6. Mwiliwabaruapepeambaohutoamaelezoaumajibukwabaruainayojibiwakwaundanina
    7. Hitimisholakufungajibulabaruapepeausalamuzakuaga,kamavile:”Salamu,””Asante” au “Shukrani” ikifuatwa na jina na cheo chako, kama majibu ya baruapepe ni rasmi.
      • Unawezapiakuambatanishaviambatanishoikiwanimuhimukwa

     

     

    15.4.     Usemihalisinausemiwataarifa

    • Usemihalisinimanenohalisiyaliyonukuliwakamayalivyosemanamsemaji,ilhaliusemiwataarifa ni ripoti ya yale yaliyosemwa na msemaji fulani.
    • Kanunizifuatazohuzingatiwakatikakubadilishausemihalisikuwausemiwataarifa:
    1. Alamazamtajo
    2. Badalayake,maelezohutumiwa. Kama ni kiulizi, kwa mfano, maelezo kuwa aliuliza au waliuliza hutumiwa. Kama ni alama ya hisia, maelezo kama alishangaa, alistaajabu au alimaka hutumiwa.
    3. Nyakatihubadilika,kwa mfano:
      • Wakatiuliopohaliyakuendeleahubadilikanakuwawakatiuliopitahaliyakuendelea: mfano: ninafanya mazoezi huwa alikuwa akifanya mazoezi.
      • Wakatiujaohubadilikanakuwahaliya-nge-:mfano:nitasomahuwaangesoma.
    4. Nafsiyakwanzawingihubadilikanakuwanafsiyatatu,kwamfano:Tutaimbahuwa

    wangeimba.

    1. Vielezihubadilika,kwamfano:
      • Vielezivyamahali:hapahuwahapoaupale.
      • Vielezivyawakati:leohuwasikuhiyo;keshohuwasikuiliyofuata;janahuwasiku iliyotangulia na sasa huwa wakati huo.
    Previous ArticleGRADE 9 ENGLISH LESSON NOTES
    Next Article GRADE 8 AGRICULTURE & NUTRITION NOTES
    Hillary Kangwana
    • Website

    Related Posts

    Grade 7 Term 3 Schemes of Work

    Teachers' Resources
    Read More

    Grade 9 Term 3 Schemes of Work

    Teachers' Resources
    Read More

    Grade 6 Term 3 Schemes of Work

    Teachers' Resources
    Read More

    Grade 8 Term 3 Schemes of Work

    Teachers' Resources
    Read More

    Form 3 Term 3 Schemes of Work

    Teachers' Resources
    Read More

    Form 2 Term 3 Schemes of Work

    Teachers' Resources
    Read More

    GRADE 8 AGRICULTURE & NUTRITION NOTES

    Teachers' Resources
    Read More

    GRADE 9 ENGLISH LESSON NOTES

    Teachers' Resources
    Read More

    Free Grade 8 Integrated Science Notes

    Teachers' Resources
    Read More

    LATEST NEWS.

    • Rutune Secondary School’s CBE Subjects, Pathways, Contacts, Location, Fees, Admission {Full Details}
    • St. John Thunguri Orthodox Secondary School’s CBE Subjects, Pathways, Contacts, Location, Fees, Admission {Full Details}
    • Kaharo Secondary School’s CBE Subjects, Pathways, Contacts, Location, Fees, Admission {Full Details}
    • Muirungi Secondary School’s CBE Subjects, Pathways, Contacts, Location, Fees, Admission {Full Details}
    • St Mary’s Karuthi Secondary School’s CBE Subjects, Pathways, Contacts, Location, Fees, Admission {Full Details}
    • Witima Secondary School’s CBE Subjects, Pathways, Contacts, Location, Fees, Admission {Full Details}
    • Kagumo Mixed Day Secondary School’s CBE Subjects, Pathways, Contacts, Location, Fees, Admission {Full Details}
    • Iriaini Girls High School’s CBE Subjects, Pathways, Contacts, Location, Fees, Admission {Full Details}
    • Kihuri Secondary School’s CBE Subjects, Pathways, Contacts, Location, Fees, Admission {Full Details}
    • Othaya Boys High School’s CBE Subjects, Pathways, Contacts, Location, Fees, Admission {Full Details}
    • Ihuririo Secondary School’s CBE Subjects, Pathways, Contacts, Location, Fees, Admission {Full Details}
    • Birithia Girls Secondary School’s CBE Subjects, Pathways, Contacts, Location, Fees, Admission {Full Details}
    • Karima Boys High School’s CBE Subjects, Pathways, Contacts, Location, Fees, Admission {Full Details}
    • Gitundu Secondary School’s CBE Subjects, Pathways, Contacts, Location, Fees, Admission {Full Details}
    • Munyange Secondary School’s CBE Subjects, Pathways, Contacts, Location, Fees, Admission {Full Details}
    • TSC now requires master’s degree for Schol Principals and Deputies
    • TSC accussed for mishandling teachers’ hardship allowances
    • TSC unveils a new Medical Scheme For Teachers To Replace Minet
    • End of an Era: TSC Medical Scheme AON Minet to be replaced by SHA
    • TSC Pressed hard on the status of teachers’ medical scheme and the government’s policy on hardship, housing, and other allowances for teachers.
    • Only 17,400 schools verified and have received capitation
    • Lecturers down tools in a strike that paralyzes learning in Universities
    • There are over 50,000 ‘ghost’ learners costing taxpayers Sh1bn annually
    • All University Students to get Funding- CS Ogamba Says
    • PETITION TO THE NATIONAL ASSEMBLY FOR THE RECOGNITION OF JUNIOR SECONDARY SCHOOLS AS FULLY INDEPENDENT INSTITUTIONS

    TSC NEWS TODAY

    • TSC accussed for mishandling teachers’ hardship allowances
    • TSC urged to deploy female teachers at Kabuto primary school
    • TSC CIRCULAR ON CONDUCTING OF PROMOTIONAL INTERVIEWS FOR TEACHERS AND CURRICULUM SUPPORT OFFICERS (CSOs) IN 2025/2026 FINANCIAL YEAR
    • TSC Gives New Factors to be consider when transferring teachers
    • TSC to reduce CBA review cycle to 2 years

    KNEC LATEST NEWS

    • Rutune Secondary School’s CBE Subjects, Pathways, Contacts, Location, Fees, Admission {Full Details}
    • St. John Thunguri Orthodox Secondary School’s CBE Subjects, Pathways, Contacts, Location, Fees, Admission {Full Details}
    • Kaharo Secondary School’s CBE Subjects, Pathways, Contacts, Location, Fees, Admission {Full Details}
    • Muirungi Secondary School’s CBE Subjects, Pathways, Contacts, Location, Fees, Admission {Full Details}
    • St Mary’s Karuthi Secondary School’s CBE Subjects, Pathways, Contacts, Location, Fees, Admission {Full Details}

    KUCCPS NEWS

    • KUCCPS Admission Letters for all Universities in Kenya
    • KUCCPS Announces Teacher Upgrade Training and TVET Intakes
    • Diploma in Primary Teacher Education (Teacher Upgrade Programme): How to apply, requirements
    • Kuccps application link for P1 and ECDE upgrade
    • Kuccps announces 45,544 slots for upgrade of P1 or ECDE Certificate holders

    EDUCATION NEWS

    • Only 17,400 schools verified and have received capitation
    • Lecturers down tools in a strike that paralyzes learning in Universities
    • There are over 50,000 ‘ghost’ learners costing taxpayers Sh1bn annually
    • All University Students to get Funding- CS Ogamba Says
    • PETITION TO THE NATIONAL ASSEMBLY FOR THE RECOGNITION OF JUNIOR SECONDARY SCHOOLS AS FULLY INDEPENDENT INSTITUTIONS

    KMTC NEWS

    • KMTC intake for September 2025 {Applications help}
    • PCEA Ongata Booth Girls School CBE Subjects, Pathways, Contacts {Full Details}
    • Langata Barracks Secondary School CBE Subjects, Pathways, Contacts {Full Details}
    • Langata High School CBE Subjects, Pathways, Contacts {Full Details}
    • Farasi Lane Secondary School CBE Subjects, Pathways, Contacts {Full Details}

    HELB NEWS TODAY

    • Helb loans 2025/2026: All you need to know
    • HELB asks teachers to help in identifying needy students
    • Helb Student Portal Online- Register, Login
    • Helb Statement- TVET Loan applications for 2019/2020 Financial Year; Loan amounts and application details
    • How to apply for Helb Loan (First and Subsequent Loans)

    UNIVERSITIES AND COLLEGES

    • Bungoma National Polytechnic Courses, Contacts, Fees, Location and How To Apply
    • Taita Taveta National Polytechnic Courses, Contacts, Fees, Location and How To Apply
    • Sigalagala National Polytechnic Courses, Contacts, Fees, Location and How To Apply
    • Nyeri National Polytechnic Courses, Contacts, Fees, Location and How To Apply
    • Nyandarua National Polytechnic Courses, Contacts, Fees, Location and How To Apply

    TEACHERS' RESOURCES

    • Grade 7 Term 3 Schemes of Work
    • Grade 9 Term 3 Schemes of Work
    • Grade 6 Term 3 Schemes of Work
    • Grade 8 Term 3 Schemes of Work
    • Form 3 Term 3 Schemes of Work
    • Form 2 Term 3 Schemes of Work
    • GRADE 8 AGRICULTURE & NUTRITION NOTES
    • GRADE 9 KISWAHILI LESSON NOTES
    • GRADE 9 ENGLISH LESSON NOTES
    • Free Grade 8 Integrated Science Notes
    • Free Grade 8 Creative Arts and Sports Notes
    • FREE GRADE 9 SOCIAL STUDIES NOTES
    • FREE GRADE 9 SOCIAL STUDIES NOTES
    • FREE GRADE 8 PRETECHNICAL NOTES
    • FREE GRADE 8 CRE NOTES
    • Form 3 Agriculture Schemes of Work Term 3
    • FORM 2 BIOLOGY SCHEME OF WORK TERM 3
    • FORM 2 AGRICULTURE SCHEME OF WORK TERM 3
    • GRADE 1 CREATIVE ARTS SCHEMES OF WORK 
    • FORM 3 BIOLOGY SCHEME OF WORK TERM 3
    • Grade 9 Term 3 Rationalized Schemes of Work.
    • Grade 8 Term 3 Rationalized Schemes of Work.
    • Grade 7 Term 3 Rationalized Schemes of Work.
    • Grade 7 Notes {All Subjects}
    • Maseno School 2025 Pre-mock Exams
    • KCSE 2025 Revision Exams {Full Papers}
    • Grade 7 Free Exams and Marking Schemes
    • Grade 8 Targeter Exams {All Subjects and Answers}
    • Grade 9 Targeter Exams {All Subjects and Answers}
    • Grade 9 Targeter Exams {Plus Answers}
    • Grade 4 Targeter Exams {Plus Answers}
    • Grade 6 Targeter Exams {Plus Answers}
    • Grade 5 Targeter Exams {Plus Answers}
    • Grade 2 Term 2 Exams {Plus Answers}
    • Grade 7 Term 2 Exams {Plus Answers}
    • Grade 9 Term 2 Latest Exams {All Subjects}
    • Grade 7 Term 2 Latest Exams {All Subjects}
    • Grade 6 Term 2 Latest Exams {All Subjects}
    • KCSE Exam Papers for all subjects plus marking schemes
    • KCSE English Set Books Writing Tips and Skills
    • Free Latest CBC Schemes of work for lower and upper primary schools
    • Full list of 2019 Wealth Declaration non-compliant teachers Per County- Siaya County
    • Biology Form One Termly Exams and Marking Schemes Free
    • BIOLOGY ECOLOGY NOTES FREE
    • JESMA EXAMS CLASS 8
    • Grade 3 CBC updated & rationalized Schemes of Work
    • Best Grade 7 CBC Topical Revision and Questions for all subjects
    • Free CBC Grade 4, 5 & 6 Notes, Exams Downloads
    • Computer Studies KCSE Mock Exams and Answers {Latest Best Collections}
    • HISTORY AND GOVERNMENT PAPER 1 KCSE REVISION BOOKLET

    BANKS AND MOBILE LOANS

    • Crypto’s Quiet Revolution: How Africa Is Rewriting The Rules Of Finance
    • META COLLAPSES ALONG WITH HIS METAVERSE
    • Which Cryptocurrency Would Explode Next?
    • Famous Gold-Backed Cryptocurrencies For 2022
    • Innovations Post-Bitcoin: Exploring Cryptos that Evolved from BTC

    HEALTH AND NUTRITION

    • Turkana County NHIF Inpatient Hospitals, Location, Contacts
    • Dental NHIF/ SHIF Hospitals in Kenya: Kakamega County Comprehensive list of NHIF Dental Accredited Hospitals
    • New Consolidated NHIF List of benefits, Services to members
    • Isiolo County NHIF Outpatient/ Inpatient Hospitals For Civil Service and Disciplined Services- Location, Contacts, Requirements
    • West Pokot County NHIF Latest List of Approved Facilities/ Hospitals: Location, Contacts, Services, Hospital Type and Code
    • Advertisement
    • Banks and Money
    • BEST TOP TEN
    • Breaking News
    • Cheap Mobile Loans
    • Crimes and Courts
    • Editorial
    • Featured
    • FREE KCPE REVISION MATERIALS
    • General News
    • Health & Nutrition tips
    • HELB Portal
    • How to, Did You Know?
    • IEBC KENYA NEWS
    • Insurance news
    • International news
    • Jobs
    • KCSE Revision Materials
    • KMTC News Portal
    • KNEC News
    • KNEC News Portal
    • Knec Schools Exams Portal
    • Knec Schools Portal
    • KNUT NEWS
    • KRA Portal
    • KSSSA Portal
    • KUCCPS portal
    • KUPPET
    • Latest Education News
    • NSSF PORTAL
    • NTSA Service Portal
    • Politics & Govt
    • Sponsored
    • Sports
    • Teachers' Resources
    • Tech News
    • Trending
    • TSC Latest News
    • TSC News Portal
    • Uncategorized
    • Universities & Colleges information
    • Universities and Colleges
    LATEST NEWS
    • Rutune Secondary School’s CBE Subjects, Pathways, Contacts, Location, Fees, Admission {Full Details}
    • St. John Thunguri Orthodox Secondary School’s CBE Subjects, Pathways, Contacts, Location, Fees, Admission {Full Details}
    • Kaharo Secondary School’s CBE Subjects, Pathways, Contacts, Location, Fees, Admission {Full Details}
    • Muirungi Secondary School’s CBE Subjects, Pathways, Contacts, Location, Fees, Admission {Full Details}
    • St Mary’s Karuthi Secondary School’s CBE Subjects, Pathways, Contacts, Location, Fees, Admission {Full Details}
    Facebook X (Twitter) Instagram Pinterest
    • Home
    • Contact Us
    • Advertise With Us
    • Teachers’ Resources
    • Latest Education News
    • TSC News Portal
    • KUCCPS portal
    • Knec Schools Exams Portal
    • Search
    © 2025 ThemeSphere. Designed by ThemeSphere.

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.