Free Kiswahili schemes of work Form Four, Term 1-3 (Chemchemi)

Looking for free Kiswahili Schemes of work using the Chemchemi za Kiswahili reference text? Download them below at no cost..

Download a pdf and editable copy of the schemes of work here;

Free updated schemes of work for all subjects (Secondary)

Schemes of work for all subjects, free updated downloads

FORM 4 KISWAHILI SCHEMES OF WORK FOR TERM 1-3

MAAZIMIO YA KAZI

KISWAHILI KIDATO CHA NNE

MUHULA WA I

 

1

 

1

 

Kusoma (ufahamu)

 

Kinyamkela cha chamchela ya mkala

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

(a)    Kusoma kwa matamshi bora

(b)    Kueleza maana ya msamiati na kutunga sentensi

(c)     Kutaja maadilikatika ufahamu

(d)    Kujibu maswali kwa usahihi

 

·        Kusoma kwa sauti

·        Kujadiliana

·        Kuandika

·        Kujibu maswali

 

·        Chemchemi za Kiswahili 4

Kitabu cha wanafunzi  uk 1-3

Mwongozo wa mwalimu uk 1-2

·        Kamusi ya Kiswahili

·        Kamusi ya methali

·        Kamusi ya misemo na nahua (K.W wamitila)

 

   

2

 

Kusikiliza na kuzungumza

 

Sifa bainifu za fasihi simulizi na andishi

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

(a)    kueleza maana ya fasihi simulizi

(b)    Kutaja sifa bainifu za tanzu hizi mbili

(c)     Kutaja mifano za fasihi simulizi na andishi

 

·        Kudodoso

·        Kueleza

·        Kujadiliana

·        Kuandika

·        Kuuliza maswali

·        Kuigiza

 

·        Chemchemi za Kiswahili 4

Kitabu cha wanafunzi  uk 4-5

Mwongozo wa mwalimu uk 2-3

·        Kamusi ya fasihi simulizi kwa shule za sekondari

·        Kamusi ya fasihi Darubini ya Kiswahili kitabu cha mwanafunzi uk 31

Mwongozo wa mwalimu uk 22

 

   

3

 

Sarufi na matumizi ya lugha

 

nomino

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

(a)    Kueleza maana ya nomino

(b)    Kuainisha makundi ya nomino na kutaja mifano

(c)     Kutumia nomino katika sentensi sahihi

 

·        Kueleza

·        Kujadili

·        Kujibu maswali kwa sauti na madaftarini kwa kuandika

 

·        Chemchemi za Kiswahili 4

Kitabu cha wanafunzi  uk 5-7

Mwongozo wa mwalimu uk 4-5

·        Kamusi ya Kiswahili

·        Sarufi fafanuzi ya Kiswahili (Gichohi waihiga)

·        Darubini ya Kiswahili kitabu cha mwanafunzi uk 6

Mwongozo wa mwalimu uk 23

 

   

4/5

 

Kusoma (Fasihi)

 

Riwaya: usuli na maktadha katika riwaya

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

(a)    kueleza usuli na muktadha wa riwaya teule

(b)    kutaja vigezo vinavyotumika katika uchamburi wa usuli (jumuiya na muktadha wa riwa)

 

·        kueleza

·        kusoma ghibu

·        kujadili

·        kuandika

 

·        Chemchemi za Kiswahili 4

Kitabu cha wanafunzi  uk 8-9

Mwongozo wa mwalimu uk 5-7

·        Kamusi ya Kiswahili

·        Kamusi ya fasihi

·        Darubini ya Kiswahili 4 kitabu cha mwanafunzi uk 222

Mwongozo wa mwalimu uk 148

 

   

6

 

kuandika

 

Insha ya masimulizi

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

(a)    Kuandika kwa hati nadhifu na tahajiz sahihi

(b)    Kusimulia kisa kwa mtiririko wenye uakifisho ufaao

 

·        Kuelezsa

·        Kusimuliz kisa kwa sauti darasani

·        Kuandika

 

·        Chemchemi za Kiswahili 4

Kitabu cha wanafunzi  uk 9-11

Mwongozo wa mwalimu uk 7-8

·        Kamusi ya Kiswahili

·        Insha kabambe (smon mutali)

·        Darubini ya Kiswahili kitabu cha mwanafunzi uk 6

Mwongozo wa mwalimu uk 23

 

 

2

 

1

 

Kusoma (ufahamu)

 

Fasihi simulizi uainishaji

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

(a)    Kueleza maana za fasihi simulizi

(b)    Kutaja vipera vya fasihi simulizi

(c)     Kutoa mifano ya vipera vya fasihi simulizi katika jamii (yake)

 

·        Kueleza

·        Kusoma

·        Kukhadithia na kuigiza

·        kuandika

 

·        Chemchemi za Kiswahili 4

Kitabu cha wanafunzi  uk 15

Mwongozo wa mwalimu uk 11

·        Kichocheo cha fasihi simulizi na andishi uk 39

·        Kamusi ya Fasihi

·        Fasihi kwa shule za sekondari (Alex ngure)

·        Darubini ya Kiswahili kitabu cha mwanafunzi uk 31

Mwongozo wa mwalimu uk 35

 

   

2

 

Kusikiliza na kuzungumza

 

Fasihi simulizi uainishaji

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

(a)    kueleza maana za fasihi simulizi

(b)    kutaja vipera vya fasihi simulizi

(c)     kutoa mifano ya vipera vya fasihi simulizi katika jamii (yake)

 

·        kueleza

·        kusoma

·        kuhadithia na kuigiza

·        kuandika

 

·        Chemchemi za Kiswahili 4

Kitabu cha wanafunzi  uk 15

Mwongozo wa mwalimu uk 11

·        Kichocheo cha fasihi simulizi na andishi uk 39

·        Kamusi ya Fasihi

·        Fasihi kwa shule za sekondari (Alex ngure)

·        Darubini ya Kiswahili kitabu cha mwanafunzi uk 31

Mwongozo wa mwalimu uk 35

 

 

   

3

 

Sarufi na matumizi ya lugha

 

Viwakilishi vionyeshi

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

(a)    Kueleza maana ya viwakilishi

(b)    Kutaja aina tofauti za viwakilishi

(c)     Kubainisha na kutumia viwakilishi vionyeshi katika sentensi

 

·        Maswali ya dodoso

·        Kujadili

·        Kuandika

·        Kusoma

·        Kujibu maswali

 

·        Chemchemi za Kiswahili 4

Kitabu cha wanafunzi  uk 17-22

Mwongozo wa mwalimu uk 13-14

·        Sarufi fafanuzi ya Kiswahili (Gichohi waihiga) 15-20

·        Darubini ya Kiswahili kitabu cha mwanafunzi uk 282-283

Mwongozo wa mwalimu uk 145

 

   

4/5

 

Kusoma (fasihi)

 

Riwaya Dhamira na maudhui

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

(a)    Kueleza maana ya dhamira na maudhui

(b)    Kueleza dhamira ya riwaya teule

 

·        Kusoma

·        Kujadili

·        Kuandika

·        Kudodosa nakujibu maswali

 

·        Chemchemi za Kiswahili 4

Kitabu cha wanafunzi  uk 22-23

Mwongozo wa mwalimu uk 11

·        Kichocheo cha fasihi simulizi na andishi uk

·        Kamusi ya Fasihi

·        Kamusi ya methali

·        Kamus ya Kiswahili

·        Mwongozo wa riwaya teule

·        Darubini ya Kiswahili kitabu cha mwanafunzi uk 222

 

   

6

 

Kuandika

 

Uandishi wa barua

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

(a)    Kueleza muundo wa barua ya kirafiki na rasmi

(b)    Kuandika barua ya kirafiki, utaratibu mwafaka

 

·        Kudodosa

·        Kujadili

·        Kukeleza

·        Kusikiliza

·        kuandika

 

·        Chemchemi za Kiswahili 4

Kitabu cha wanafunzi  uk 23-24

Mwongozo wa mwalimu uk 15-16

·        Kamusi ya Kiswahili

·        Kamusi ya methali

·        Insha kabambe (simon mutali)

·        Darubini ya Kiswahili kitabu cha mwanafunzi uk 10-13

Mwongozo wa mwalimu uk 25-26

 

 

3

 

1

 

Kusoma (ufahamu)

 

Ufahamu: shairi-utuni nini?

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

(a)    Kubainisha muundo wa shairi wa funzo nyinginezo za ushair

(b)    Kuandika kwa lugha nathari

(c)     Kueleza maadili na ujumbe wa shairi

 

·        Kusoma

·        Kuandika

·        Kujibu maswali kwa sauti na madaftarini

 

·        Chemchemi za Kiswahili 4

Kitabu cha wanafunzi  uk 15

Mwongozo wa mwalimu uk 11

·        Kamusi ya Kiswahili

·        Nuru ya ushairi

·        Miale ya ushairi

   

2

 

Kusikiliza na kuzungumza

 

Hadithi/simulizi

 

Kufikia mwihso wa funzo, mwanafunzi aweze

(a)    kutaja vipera vya utanzu wa hadithi

(b)    kutamba hadithi darasani

(c)     kueleza maadili ya hadithi zinazotambwa

 

·        kueleza

·        kusoma

·        kusikiliza redio

·        kujadili

·        kuandika

·        kufanya zoezi

 

·        Chemchemi za Kiswahili 4

Kitabu cha wanafunzi  uk 16-17

Mwongozo wa mwalimu uk 11-12

·        Kichocheo cha fasihi simulizi na andishi uk 39

·        Kamusi ya Fasihi

·        Kamusi ya kiswahili

·        Fasihi kwa shule za sekondari (Alex ngure)

·        Darubini ya Kiswahili kitabu cha mwanafunzi uk 89-90

Mwongozo wa mwalimu uk 64

 

   

3

 

Sarufi na matumizi ya lugha

 

Mzizi wa kitenzi na viambishi awali na tamati

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

(a)    Kutaja vitenzi mbali mbali

(b)    Kutambua mizizi ya vitenzi

(c)     Kutumia viambishi awali kwa usahihi

(d)    Kunyambua vitenzi ili kuvipa viambishi tamati

 

·        Kujadili

·        Kueleza

·        Kuandika

·        Kujibu maswali madaftarini

 

·        Chemchemi za Kiswahili 4

Kitabu cha wanafunzi  uk 28-31

Mwongozo wa mwalimu uk 20-25

·        Kamusi ya Kiswahili

·        Sarufi fafanuzi ya Kiswahili uk 21-24 (Gichochi Waihiga)

·        Darubini ya Kiswahili kitabu cha mwanafunzi uk 33-35

Mwongozo wa mwalimu uk 35

 

   

4/5

 

Kusoma (fasihi)

 

Dhamira na maudhui katika riwaya

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

(a)    Kutaja maudhi zaidi ya riwaya teule

(b)    Kufafanua maudhui kwa kutoa mifano ya riwayani

 

·        Kusoma

·        Kujadili

·        Kusikiliza

·        kuandika

 

·        Chemchemi za Kiswahili 4

Kitabu cha wanafunzi  uk 22-23

Mwongozo wa mwalimu uk 14-15

·        Kamusi ya Fasihi

·        Kichocheo cha fasihi simulizi na andishi

 

   

6

 

kuandika

 

Barua rasmi

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

(a)    Kueleza hatua kwa hatua muundo (sehemu muhimu) za rasmi

(b)    Kuandika kwa hati nadhifu

(c)     Kuandika barua rasmi kwa mtiririko ufaao

 

·        Kueleza

·        Kuajdili

·        Kuandika

·        Kusahihisha na kufanya marudio

 

·        Chemchemi za Kiswahili 4

Kitabu cha wanafunzi  uk 32-39

Mwongozo wa mwalimu uk 23-25

·        Kamusi ya Kiswahili

·        Kamusi ya methali

·        Insh kabambe (simon mutali)

·        Darubini ya Kiswahili kitabu cha mwanafunzi uk 25-27

Mwongozo wa mwalimu uk 33

 

 

4

 

1

 

Kusoma (ufahamu)

 

Ufahamu: Jogoo na cheche

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

(a)    kusoma kumoyomoyo na kuelewa

(b)    kubnaini msamiati na fani za lugha na kuzitungia sentensi

(c)     kueleza maadili na ujumbe

(d)    kujibu maswali kikamilifu na kwa usahihi

 

·        kusoma ghibu

·        kujadili

·        kusikiliza

·        kuandika

·        kufanya zoezi

 

·        Chemchemi za Kiswahili 4

Kitabu cha wanafunzi  uk 34-36

Mwongozo wa mwalimu uk 23-25

·        Kamusi ya Kiswahili

·        Kamusi ya methali (K.W wamitila)

·        Sarufi fafanuzi ya Kiswahili uk 21-24 (Gichochi Waihiga)

 

   

2

 

Kusikiliza na kuzungumza

 

Uchambuzi wa ngano za fasihi simulizi

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

(a)    Kutaja aina za ngano

(b)    Kubainisha aina za ngano na kutaja mifano katika jamii yake

 

·        Kueleza

·        Kujadili

·        Kuhadithia

·        kusikiliza

 

·        Chemchemi za Kiswahili 4

Kitabu cha wanafunzi  uk 34-36

Mwongozo wa mwalimu uk 23-25

·        Kamusi ya misemo na nahau (K.W wamitila)

·        Sarufi fafanuzi ya Kiswahili uk 21-24 (Gichochi Waihiga)

·        Darubini ya Kiswahili kitabu cha mwanafunzi uk 33-35

Mwongozo wa mwalimu uk 35

 

   

3

 

Sarufi na matumizi ya lugha

 

Vitenzi

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

(a)    Kutaja aina za vitenzi

(b)    Kutumia aina mbali mbali za vitenzi katika sentensi

(c)     Kubainisha kauli za vitenzi

 

·        Kueleza

·        Kusoma

·        Kutunga sentensi

·        Kuandika

·        Kujadili na kujibu maswali

 

·        Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi  uk 39-41

Mwongozo wa mwalimu uk 28-29

·        Kamusi ya Kiswahili

·        Sarufi fafanuzi ya Kiswahili uk 21-24 (Gichochi Waihiga)

·        Darubini ya Kiswahili kitabu cha mwanafunzi uk 35

Mwongozo wa mwalimu uk 21-24

 

   

4/5

 

Kusoma (fasihi)

 

Fasihi andishi- muundo na mtindo katika riwaya

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

(a)    Kufafanusa muundo wa riwaya teule

(b)    Kueleza mtindo na vipengele vyake katika riwaya

(c)     Kutofautisha baina ya muundo na mtindo katika riwaya

 

·        Kusoma

·        Kujadili

·        Kueleza mbele ya darasa

·        Kuandika

·        Kutafiti

 

·        Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi  uk 31-32

Mwongozo wa mwalimu uk 22-23

·        Kamusi ya Kiswahili

·        Kamusi ya fasihi

·        Kamusi ya methali

·        Kamusi ya misemo na nahau (K.W wamitila)

·        Kichocheo cha fasihi simulizi na andishi

 

   

6

 

kuandika

 

Barua rasmi (marudio)

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

(a)    Kuipitia barua rasmi aliyoandika na kubaini makosa

(b)    Kuandika upya kwa kuaondoa makosa

 

·        Kusoma

·        Kujadili

·        Kuandika

·        kueleza

 

·        Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi  uk 32-33

Mwongozo wa mwalimu uk 24

·        Kamusi ya Kiswahili

·        Insha kabambe (simon mutali)

·        Kamusi ya methali

·        Kamusi ya misemo na nahau (K.W wamitila)

 

 

5

 

1

 

Kusoma (ufahamu)

 

Ufahamu: kutanda kwa viwanda ni kuwanda kwa uchumi

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

(a)    Kusoma kwa kina na kung’amua ujumbe

(b)    Kudondoa ilstilahi za kibiashara na kuzitungia sentensi

 

·        Kusoma kwa sauti na kwa zama

·        Kueleza msamiati

·        Kujadili

·        Kusikilza

·        kuandika

 

·        Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi  uk 45-47

Mwongozo wa mwalimu uk 34-35

·        Kamusi ya misemo na nahau (K.W wamitila)

 

   

2

 

Kusikiliza na kuzungumza

 

Fasihi simulizi semi

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

(a)    kutaja na kueleza vipera vya utanzu wa semi

(b)    kueleza na kutoa mifano kwa kila kipera

(c)     kufanya zoezi kwa ukamilifu na usahihi

 

·        kueleza

·        kusikiza

·        kusoma

·        kuandika

·        kujibu maswali

·        kutafiti zaidi

 

·        Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi  uk 37-39

Mwongozo wa mwalimu uk 27-28

·        Kamusi ya misemo na nahua

·        Kamusi ya methali (K.W wamitila)

·        Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi

·        Kamusi ya Fasihi

·        Darubini ya Kiswahili kitabu cha mwanafunzi uk 35

Mwongozo wa mwalimu uk 21-24

 

   

3

 

Sarufi na matumizi ya lugha

 

Upatanisho wa kisarufi umoja-wingi

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

(a)    Kumudu matumizi ya viambishi ngeli

(b)    Kutumia vimilikishi na vivumishi katika umoja na wing

 

·        Kusoma

·        Kueleza

·        Kuandika

·        Kujibu maswali

·        Kudodosa

 

·        Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi  uk 50-53

Mwongozo wa mwalimu uk 36-38

·        Kamusi ya Kiswahili

·        Kamusi ya Fafanuzi ya kiswahii uk 37-40

·        Darubini ya Kiswahili kitabu cha mwanafunzi uk 45-46

Mwongozo wa mwalimu uk 41-42

 

   

4/5

 

Kusoma (Fasihi)

 

Fasihi andishi wahusika wa riwaya

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze:

(a)    Kubainisha aina za wahusika

(b)    Kueleza sifa bainifu za aina mbali mbali za wahusika

(c)     Kueleza umuhimu wa wahusika mbali mbali

 

·        Kusoma

·        Kujadili

·        Kuandika

·        Kuigiza

 

·        Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi  uk

Mwongozo wa mwalimu uk

·        Kamusi ya misemo na nahua

·        Mwongozo wa riwaya teule

·        Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi

·        Kamusi ya Fasihi

 

   

6

 

Kuandika

 

Barua kwa mhariri/za magazetini

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

(a)    Kutaja magazeti mbali mbali ya Kiswahili na sehemu zake

(b)    Kueleza muundo wa barua kwa mhariri

(c)     Kuandika barua kwa mhariri kwa muundo ufaao

 

·        Kueleza

·        Kusoma

·        Kujadili

·        Kusoma magazeti

·        kuandika

 

·        Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi  uk 44

Mwongozo wa mwalimu uk 31-32

·        Kamusi ya misemo na nahua

·        Kamusi ya Kiswahili

·        Insha kabambe (simon mutali)

·        Darubini ya Kiswahili kitabu cha mwanafunzi uk 223

Mwongozo wa mwalimu uk 21-24

 

 

6

 

1

 

Kusoma (ufahamu)

 

Ufahamu: zingwi zingwi kungwi wa vibarua

 

Kufikia mwisho waw funzo, mwanafunzi aweze

(a)    Kusoma kwa ufasaha

(b)    Kuonea fahari lugha ya kiswahil

(c)     Kukeleza matatizo ya maskini katika jamii

 

·        Kusoma ghibu

·        Maswali ya dodosa

·        Kujadili

·        Kuandika

·        Kutunga sentensi kwa sauti darasani

·        Kufanya zoezi

 

·        Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi  uk 58-60

Mwongozo wa mwalimu uk 48-50

·        Kamusi ya misemo na nahua

·        Kamusi ya methali (K.W wamitila)

 

   

2

 

Kusikiliza na kuzungumza

 

Misemo na nahau/misimu

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

(a)    Kufafanua maana ya misemo nahau na misemo

(b)    Kutaja na kueleza maana ya baadhi ya misemo, nahau na misimu

(c)     Kueleza umuhimy wa semi katika jamii

 

·        Kueleza

·        Kusikiliza

·        Kujadili

·        Kuigiza

·        Kutafiti

·        Kafanya zoezi

 

 

·        Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi  uk 48-50

Mwongozo wa mwalimu uk 35-36

·        Kamusi ya misemo na nahua

·        Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi

·        Fasihi simulizi kwa shule za sekondari (alez ngure)

·        Kamusi ya Fasihi

·        Darubini ya Kiswahili kitabu cha mwanafunzi uk 43

Mwongozo wa mwalimu uk 40

 

   

3

 

Sarufi na matumizi ya lugha

 

Misemo halisi na taarifa

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

(a)    Kupambana muktadha unawakisi matumizi ya usemi halisi na taarifa

(b)    Kubadilisha usemi halisi hadi usemi wa taarifa

(c)     Kutaja mabadiliko ya maneno katika usemi tofauti tofauti

 

·        Kueleza

·        Kudodosa

·        Kujibu maswali

·        Kuandika

·        Kufanya zoezi

 

·        Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi  uk 53-54

Mwongozo wa mwalimu uk 38

·        Kamusi ya Fasihi

·        Sarufi fafanuzi ya Kiswahili

·        Darubini ya Kiswahili kitabu cha mwanafunzi uk 249

Mwongozo wa mwalimu uk 57

 

   

4/5

 

Kusoma (Fasihi)

 

Fasihi andishi matumizi ya lugha katika Riwaya

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

(a)    Kueleza umuhimu wa lugha katika riwaya

(b)    Kuchambua lamathali na matumizi ya lugha katika riwaya

(c)     Kueleza sajili na muktadha wa lugha mbali mbali

 

·        Kusoma

·        Kuadili

·        Kudodoslo fani za lugha

·        Kuandika

·        Kuwasilisha mbele ya darasa

 

·        Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi  uk 55-56

Mwongozo wa mwalimu uk 40-41

·        Kamusi ya misemo na nahua

·        Kamusi ya methali (K.W wamitila)

·        Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi

 

   

6

 

kuandika

 

Ufupisho au muhtasari

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

(a)    kueleza umuhimu wa kufupisha habari

(b)    kudondoa hoja muhimu katika maelezo marefu

(c)     kufupisha habari ndefu ifaavyo

 

·        kusoma

·        kujadili (hoja muhimu)

·        kueleza

·        kuandika

 

·        Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi  uk 56-57

Mwongozo wa mwalimu uk 41-42

·        Kamusi ya kiswahili

·        Darubini ya Kiswahili kitabu cha mwanafunzi uk 97-100

Mwongozo wa mwalimu uk 91

 

 

7

 

1-6

 

MTIHANI WA MAPUMZIKO YA KATIKATI YA MUHULA

 

8

 

1

 

Kusoma (ufahamu)

 

Ufahamu mradi wa zoeni

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

(a)    Kusoma kwa sauti na matamshi bora

(b)    Kueleza maudhui na maadili katika kifungu

(c)     Kuelewa msamiati nakujibu maswali kwa usahihi

 

·        Kusoma kwa sauti

·        Kueleza msamiati

·        Kutunga sentensi

·        Kujadili

·        Kuandika

·        Kuigiza

 

·        Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi  uk 37-39

Mwongozo wa mwalimu uk 27-28

·        Kamusi ya methali (K.W wamitila)

 

   

2

 

Kusikiliza na kuzungumza

 

Fasihi simulizi lakabu

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

(a)    Kueleza maana ya lakabu

(b)    Kutaja lakabu wanazojua na kueleza sababu zao

(c)     Kufafanua asilia na aina za lakabu

 

·        Kusoma kwa sauti

·        Kueleza msamiati

·        Kusoma

·        Kujadili

·        Kufanya zoezi

 

·        Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi  uk 60

Mwongozo wa mwalimu uk 44-45

·        Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi

·        Kamusi ya Fasihi

·        Darubini ya Kiswahili kitabu cha mwanafunzi uk 279

Mwongozo wa mwalimu uk 145

 

   

3

 

Sarufi na matumizi ya lugha

 

Upatanisho wa Kiswahili umoja na wingi

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

(a)    Kutumia viambishi ngeli kwa umoja na wingi kwa usahihi

(b)    Kumundu matumizi ya ‘a’ unganifu katika umoja na wingi ifaavyo

 

·        Kudodosa

·        Kueleza

·        Kusoma

·        kuandika

 

·        Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi  uk 73

Mwongozo wa mwalimu uk 56

·        Kamusi ya Kiswahili

·        Sarufi fafanuzi ya Kiswahili (Gichohi waihiga)

·        Darubini ya Kiswahili kitabu cha mwanafunzi uk 45

Mwongozo wa mwalimu uk 41

 

   

4/5

 

Kusoma (fasihi)

 

Mafunzo ya maadili katika Riwaya

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

(a)    kutaja vipengele vya kutumia kupata maadili ya riwaya

(b)    kueleza maana ya anwani na umuhimu wake

(c)     kufafanua wahusika na jinsi wanavyojenga maadili

(d)    kupambanua falsafa na itihadi ya mwandishi wa riwaya

(e)    kutaja maadili katika riwaya

 

·        kusoma

·        kujadili

·        kuwasilisha mbele ya darasa

·        kaundika

 

·        Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi  uk 65-66

Mwongozo wa mwalimu uk 49

·        Kamusi ya misemo na nahua

·        Mwongozo wa riwaya teule

·        Kamusi ya methali (K.W wamitila)

 

   

6

 

kuandika

 

Insha ya methali

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

(a)    Kueleza kanuni za kuandika insha ya methali

(b)    Kuandika insha ya methali kwa kufuata kanuni

(c)     Kutumia alama za uakifishaji kwa usahihi

 

·        Kueleza

·        Kusikiliza

·        kuandika

 

·        Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi  uk 66-67

Mwongozo wa mwalimu uk 50-51

·        Kamusi ya methali (K.W wamitila)

·        Kamusi ya Fasihi

·        Darubini ya Kiswahili kitabu cha mwanafunzi uk 145-148

Mwongozo wa mwalimu uk 91

 

 

9

 

1

 

Kusoma (ufahamu)

 

Ufahamu: mikakati ya kupunguza umaskini

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

(a)    Kukuza msamiati wake

(b)    Kusoma na kufahamu ujumbe

(c)     Kujibu maswali kwa usahihi

 

·        Kusoma

·        Kujadili

·        Kutunga sentensi

·        Kutafuta maana kamusini

·        kuandika

 

·        Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi  uk 80-82

Mwongozo wa mwalimu uk 60-61

·        Kamusi ya misemo na nahua

·        Kamusi ya methali (K.W wamitila)

·        Kamusi ya kiswahili

   

2

 

Kusikiliza na kuzungumza

 

Isimu jamii: mazungumzo

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

(a)    Kueleza maana ya isimu jamii

(b)    Kufafanua maana ya sajili katika lugha

(c)     Kuigiza mazungumzo na kutoa uthibati kuwa ni lugha ya bungani

 

·        Kusoma

·        Kuigiza

·        Kujadili

·        Kusikiliza

·        kuandika

 

·        Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi  uk 60-63

Mwongozo wa mwalimu uk 46-47

·        Kamusi ya Kiswahili

·        Isimu Jamii kwa shule za sekondari (Ipara Isaac Odeo)

·        Darubini ya Kiswahili kitabu cha mwanafunzi uk 117-118

Mwongozo wa mwalimu uk 78

 

   

3

 

Sarufi na matumizi ya lugha

 

Upatanisho wa kisarufi vivumishi vya pekee

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

(a)    Kutaja vivumishi vya pekee vyote (sita)

(b)    Kutumia vivumishi vya pekee kwa upatanisho wa kisarufi ulio sahihi

(c)     Kuribainisha katika sentensi

 

·        Kueleza

·        Kutunga sentensi darasani

·        Kuandika

·        Kujibu maswali

 

·        Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi  uk 83-85

Mwongozo wa mwalimu uk 63-64

·        Darubini ya Kiswahili kitabu cha mwanafunzi uk 119

Mwongozo wa mwalimu uk 153

 

   

4/5

 

Kusoma (fasihi)

 

Fasihi andishi muktadha na usuli wa tamthilia

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

(a)    Kueleza maana ya tamthilia

(b)    Kufafanua muktadha tofauti ya tamthilia

(c)     Kunasibisha muktadha wa usuli na maudhui ya tamthilia

 

·        Kusoma

·        Kujadili

·        Kuwasilisha darasani

·        Kuuliza maswali

·        kuandika

 

·        Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi  uk 77-78

Mwongozo wa mwalimu uk 57-58

·        Mwongozo wa tamthilia teule

·        Kamusi ya fasihi

·

·        Kamusi ya methali (K.W wamitila)

·        Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi

 

   

6

 

kuandika

 

memo

 

Kufikia mwisho wa funzo mwanafunzi aweze

(a)    Kutaja vipengele muhimu vya ujumbe wa memo

(b)    Kueleza muundo wa memo

(c)     Kuandika memo kwa muundo sahihi

 

·        Kueleza

·        Kujadili

·        kuandika

 

·        Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi  uk 38-39

Mwongozo wa mwalimu uk 59

·        Kamusi ya Kiswahili

·        Insha kabambe (simon mutali)

·        Darubini ya Kiswahili kitabu cha mwanafunzi uk 127-129

Mwongozo wa mwalimu uk 82

 

 

10

 

1

 

Kusoma

 

Ufahamu: kujuma na njama magazeti

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

(a)    kusoma kwa ufasaha na kueleza ujumbe

(b)    kueleza maana ya msamiati na kuitungia sentensi sahihi

(c)     kujibu maswali kikamilifu na kwa usahihi

 

·        kujadili

·        kueleza

·        kusoma

·        kutunga sentensi kwa sauti

·        kuandika

 

·        Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi  uk 92-95

Mwongozo wa mwalimu uk 69-70

·        Kamusi ya misemo na nahua

·        Kamusi ya kiswahili

·        Kamusi ya methali (K.W wamitila)

 

   

2

 

Kusikiliza na kuzungumza

 

Fasihi simulizi mafumbo (vitendawili

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

(a)    Kueleza muundo wa aina za vitendawili

(b)    Kutega na kutegua vitendawili kwa usahihi

(c)     Kufafanua umuhimu wa vitendawili katika jamii

 

·        Kufumba na kufumbua mafumbo

·        Kujadili

·        Kusikiliza

·        Kuandika

·        Kutega na kutegua (mashindano)

 

·        Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi  uk 71-72

Mwongozo wa mwalimu uk 54-55

·        Kamusi ya tashbihi, vitendawili, mlio na mshangao (K.W Wamitila)

·        Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi

·        Darubini ya Kiswahili kitabu cha mwanafunzi uk 175

Mwongozo wa mwalimu uk 103

 

   

3

 

Sarufi na matumizi ya lugha

 

Upatanisho wa kisarufi vionyesho

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

(a)    Kubainisha aina tatu za mizizi ya vionyeshi

(b)    Kutumia vionyeshi kwa usahihi kisarufi

 

·        Kueleza

·        Kusimama na kuashiria

·        Kusoma

·        Kuandika

·        Kufanya zoezi

 

·        Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi  uk 83-86

Mwongozo wa mwalimu uk 69

·        Sarufi fafanuzi ya kiswahili

·        Darubini ya Kiswahili kitabu cha mwanafunzi uk 381

Mwongozo wa mwalimu uk 191

 

   

4/5

 

kusoma

 

Fasihi Andishi wahusika na uhusika katika Tamthilia

 

Kufikia mwisho wa funzo mwanafunzi, aweze

(a)    Kutofautisha uhusiano wa tamthilia na riwaya

(b)    Kutaja wahusika wote kutoka tamthilia teule

 

·        Kusoma

·        Kujadili

·        Kuandika

·        Kutafiti zaidi

 

·        Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi  uk 100-101

Mwongozo wa mwalimu uk 74

·        Mwongozo wa tamthilia teule

·        Kamusi fasihi

·        Kichochoe cha fasihi simulizi andishi

·        Karunzi ya Kiswahili

·        Insha kabambe (simon mutali)

 

   

6

 

Kuandika

 

Hotuba

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

(a)    Kuelezea muundo wa hotuba

(b)    Kutaja vipengele muhimu vya hotuba mufti

(c)     Kuandika hotuba kwa hati nadhifu

 

·        Kueleza

·        Kuajdili

·        Kuhutubu mbele ya darasa

 

·        Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi  uk 90-91

Mwongozo wa mwalimu uk 68

·        Mwongozo wa tamthilia teule

·        Kamusi ya kiwahili

·        Darubini ya Kiswahili ya kitabu cha mwanafunzi uk 36, 342

Mwongozo uk 38

·        Karunzi ya Kiswahili

·        Insha kabambe (simon mutali)

 

 

11

 

1

 

Kusoma (ufahamu)

 

Ufahamu: mfumo wa kiuchumi

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

(a)    kusoma na kudodoa hoja muhimu

(b)    kueleza maana yua msamiati wa uchumi na kuutungia sentensi

(c)     kujibu maswali ya ufahamu kwa usahihi

 

·        kusoma

·        kujadili

·        kueleza ujumbe na msamiati

·        kutunga sentensi kwa sauti

·        kuandika

 

·        Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi  uk 104-106

Mwongozo wa mwalimu uk 77-78

·        Kamusi ya kiwahili

·        Kamusi ya misemo na nahau (K.W wamitila)

·        Kamusi ya methali

·        Darubini ya Kiswahili ya kitabu cha mwanafunzi uk 36, 342

Mwongozo uk 38

·        Karunzi ya Kiswahili

·        Insha kabambe (simon mutali)

 

   

2

 

Kusikiliza na kuzungumza

 

Fasihi simulizi utumbi

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

(a)    kueleza maana ya ulumbi na kutoa mifano katika jamii

(b)    kusoma mifano kitabuni na kuchambua

(c)     kutofautisha ulumbi na tanzun yinginezo

 

·        kusikiliza

·        kuuliza maswali

·        kuandika

·        kusoma

·        utafiti (kazi ya ziada)

 

·        Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi  uk 82-83

Mwongozo wa mwalimu uk 61-62

·        Darubini ya Kiswahili ya kitabu cha mwanafunzi uk 36, 342

Mwongozo uk 38

·        Karunzi ya Kiswahili

·        Isimu ya jamii kwa shule za sekondari (Ipara Isaac Odeo)

 

   

3

 

Sarufi na matumizi ya lugha

 

Matumizi ya viambishi ‘ndi’ ‘ku’ na ji

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

(a)    Kutaja na kubainisha matumizi ya viambishi ‘ndi’ ‘ku’ na ‘ji’

(b)    Kutumia viambishi ‘ndi’ ‘ku’ na ‘ji’ kwa usahihi katika sentensi

 

·        Kueleza

·        Kuandika

·        Kutunga sentensi

·        Kujibu maswali

 

·        Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi  uk 86-89

Mwongozo wa mwalimu uk 65

·        Kamusi ya kiwahili

·        Sarufu fafanuzi ya kiswahili

·        Darubini ya Kiswahili ya kitabu cha mwanafunzi uk 182

Mwongozo uk 103

 

   

4/5

 

Kusoma (fasihsi)

 

Wahusika na uhusika katika tamthilia

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

(a)    kutaja hulka (sifa) za wahusika katika tamthilia teule

(b)    kufafanua sifa za wahusika kwa kutoa mifano katika tamthilia

 

·        kusoma

·        kutazama

·        kujadili

·        kuandika

·        kufanya zoezi

 

·        Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi  uk 101-106

Mwongozo wa mwalimu uk 74

·        Kamusi ya kiwahili

·        Kamusi ya Fasihi

·        Kichocheo cha fasihi simulizi na fasihi andishi

 

   

6

 

Kuandika

 

Maagizo na maelekezo

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

(a)    Kubainisha umuhimu wa maagizo

(b)    Kufuata maelekezo na maagizo kwa kusoma au kusikiliza

(c)     Kuandika maagizo ifaayo

 

·        Kuigiza

·        Kueleza

·        kuandika

 

·        Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi  uk 101-102

Mwongozo wa mwalimu uk 75

·

·        Karunzi ya kiswahili 11-12

·        Insha kabambe (simon mutali

·        Sarufu fafanuzi ya kiswahili

·        Darubini ya Kiswahili ya kitabu cha mwanafunzi uk 30

Mwongozo uk

 

 

12-13

 

MTIHANI WA MWISHO WA MUHULA NA KUFUNGA SHULE

MAAZIMIO YA KAZI

KISWAHILI KIDATO CHA NNE

MUHULA WA II

 

1

 

1

 

Kusoma  (ufahamu)

 

Ufahamu sir aha na karaha

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

(a)    Kubaini kwa kifungu hiki ni ngonjera na aeleze sababu

(b)    Kusoma kwa ufasaha na kutaja dhamira na kudondoa mawazo makuu

(c)     Kujibu maswali ya ngonjera kwa usahihi

 

·        Kuigiza

·        Kusoma

·        Kutunga sentensi

·        Kuanika

·        Kufanya zoezi

 

·        Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi  uk 113

Mwongozo wa mwalimu uk 84-85

·        Kamusi ya kiwahili

·        Kamusi ya methali

·        Kamusi ya misemo na nahua

 

 

   

2

 

Kusikiliza na kuzungumza

 

Fasihi simulizi malumbano ya utano (isimu jamii)

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

(a)    kueleza maana ya utani

(b)    kufafanua mwingililiano wa utani na utamaduni

(c)     kutaja aina za utani

(d)    kutunga utani mbali mbali

 

·        kutamka

·        kueleza

·        kujadili

·        kuandika

 

·        Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi  uk 95

Mwongozo wa mwalimu uk 70-71

·        Kamusi ya kiwahili

·        Fasihi simulizi kwa shule za sekondari (Ipara Isaac Odeo)

·        Kichocheo cha fasihi simulizi na andishi

·        Sarufu fafanuzi ya kiswahili

·        Darubini ya Kiswahili ya kitabu cha mwanafunzi uk

Mwongozo uk

 

   

3

 

Sarufi na matumizi ya lugha

 

Viunganishi

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

(a)    Kutaja na kutumia viunganishi ifaavyo

(b)    Kubainisha viunganishi kwenye tungo

 

·        Kueleza

·        Kutunga sentensi

·        Kufanya zoezi

 

·        Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi  uk 97

Mwongozo wa mwalimu uk 72-75

·        Sarufu fafanuzi ya kiswahili

·        kitabu cha mwanafunzi uk

Mwongozo uk 113

 

   

4/5

 

Kusoma (fasihi)

 

Fasihi andishi muundo namtindo katika tamthilia

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweaze

(a)    kufafanua muundo wa tamthilia kwa kutoa mifano

(b)    kueleza mtindo katika tamthilia

(c)     kutaja kaida za utunzi wa tamthilia

 

·        kusoma

·        kueleza

·        kujadili

·        kuandika

·        kutafiti 9ziada)

 

·        Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi  uk 77

Mwongozo wa mwalimu uk 58

·        Kamusi ya kiwahili

·        Mwongozo wa tamthilia teule

·        Kichocheo cha fasihi simulizi na andishi

 

 

   

6

 

kuandika

 

Matangazo na tahadhari

 

Kufikia mwisho wa funzo, nwanafunzi aweze

(a)    Kueleza dhamira ya matangazo na tahadhari

(b)    Kutambua vigezo muhimu vya uandishi wa tengazo/tahadhari

(c)     Kuandika tangazo na tahadhari kwa usahihi

 

·        Kuigiza (matangazo)

·        Kusoma

·        Kueleza

·        kuandika

 

·        Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi  uk 102-103

Mwongozo wa mwalimu uk 76

·        Kamusi ya kiwahili

·        Insha kabambe (simon mutali)

·        Darubini ya Kiswahili ya kitabu cha mwanafunzi uk 110

Mwongozo uk  75

 

 

2

 

1

 

Kusoma (ufahamu)

 

Ufahamu: maruji na mauji ya maji

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

(a)    kusoma kwa sauti matamshi bora

(b)    kufafanua maana ya msamiati

(c)     kutumia msamiati na semi mpya katika sentensi

(d)    kujibu maswali kwa usahihi

 

·        kueleza

·        kusoma ghibu

·        maswali dodosa

·        kuandika

·        kutunga sentensi kwa sauti

·        kufanya zoeze

 

·        Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi 4 uk 124

Mwongozo wa mwalimu uk 71-72

·        Kamusi ya kiwahili

·        Kamusi ya methali

·        Kamusi ya misemo na nahau (K.W wamitila)

·        Insha kabambe (simon mutali)

·        Darubini ya Kiswahili ya kitabu cha mwanafunzi uk 110

Mwongozo uk  75

 

   

2

 

Kusikiliza na kuzungumza

 

Mahojiano: mwajiri na mwariwa (isimu jamii)

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

(a)    Kubainisha mtindo wa mahojiano

(b)    Kufafanua muktadha na wahusika kwa mahojiano

(c)     Kuchambua matumizi ya lugha ya wahusika

(d)    Kuigiza mahojiano darasani

 

·        Kueleza (maana)

·        Kusoma

·        Kusikiliza

·        Kujadilia

·        kuigiza

 

·        Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi  uk 96

Mwongozo wa mwalimu uk 71-72

·        Kamusi ya kiwahili

·        Isimu Jamii kwa shule za sekondari

 

   

3

 

Sarufi na matumizi ya lugha

 

vihusishi

 

Kufika mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

(a)    Kutambua maana ya vihusishi

(b)    Kutaja aina za vihusishi

(c)     Kubainisha vihusishi katika tungo

 

·        Kueleza

·        Kuigiza (mishangao)

·        Kusoma

·        kuandika

 

·        Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi 4 uk 108

Mwongozo wa mwalimu uk 80

·        Kamusi ya kiwahili

·        Sarufi ya kiswawhili

·        Karunzi ya kusoma uk 88

 

   

4/5

 

Kusoma (Fasihi)

 

Fasihi andishi: matumizi ya lugha katika tamthilia

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

(a)    kutaja matumizi ya lugha mbali mbali

(b)    kutumia tamthilia teule kutoa mifano

(c)     kufafanua jinsi lugha imetumiwa kukuta ujumbe

 

·        kusoma

·        kujadili

·        kueleza

·        kuandika

 

·        Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi 4 uk 89

Mwongozo wa mwalimu uk 66-67

·        Kamusi ya kiwahili

·        Kamusi ya Fasihi

·        Kichocheo cha fasihi simulizi na andishi

·        Mwongozo wa teule wa tamthilia

 

   

6

 

Kuandika

 

wasifu

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

 

·        kueleza

·        kujadili (sifa za kiongozi Fulani)

·        kusoma

·        kueleza mbele ya darasa

·        kuandika

·        kufanya zoezi

 

·        Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi 4 uk 111

Mwongozo wa mwalimu uk 82

·        Kamusi ya kiwahili

·        Karunzi ya kusoma uk 88

·        Insha kabambe (simon mutali)

·        Darubini ya Kiswahili ya kitabu cha mwanafunzi uk 327

Mwongozo uk  166

 

 

3

 

1

 

Kusoma (ufahamu)

 

Ufahamu : enzi ya teknohama

 

Kufikia mwisho wa funzo wanafunzi aweze

(a)    Kusoma ufahamu na kueleza ujumbe uliomo

(b)    Kudondoa istilahi za kiufundi na mawasaliano

(c)     Kueleza matumizi ya baadhi ya vyombo bya teknolojia

 

·        Kueleza

·        Kusoma kwa sauti

·        Kuandika

·        Kujibu maswali

 

·        Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi 4 uk

Mwongozo wa mwalimu uk

·        Kamusi ya kiwahili

 

   

2

 

Kusikiliza na kuzungumza

 

Fasihi simulizi miviga

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

(a)    Kufafanua maana ya miriga katika jamii

(b)    Kubainisha umuhimu wa mirigi katika jamii

(c)     Kubainisha miviga mizuri na kuendelza na mibaya kupingwa vita

 

·        Kueleza

·        Kusikiliza

·        Kujadili

·        Kusoma makala kitabuni kwa sauti

·        kuandika

 

·        Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi 4 uk 107

Mwongozo wa mwalimu uk 78-79

·        Kichocheo cha fasihi simulizi na andishi

·        Fasihi simulizi kwa shule za sekondari (alex Ngure)

·        Darubini ya Kiswahili ya kitabu cha mwanafunzi uk 214

Mwongozo uk  145

 

   

3

 

 

Sarufi na matumizi ya lugha

 

Nyakati na hali

 

Kufikia mwihso wa funzo, mwanafunzi aweze

(a)    Kutaja nyakati kuu za kutuikia vitendo

(b)    Kutumia nyakati kwa usahihi katika maandishi

(c)     Kubaini nyakati katika sentensi

 

·        Kutunga sentensi

·        Kudodosa

·        Kueleza matukio

·        Kusoma makala ktabuni

·        Kuandika

·        Kufanya zoezi

 

·        Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi 4 uk 119

Mwongozo wa mwalimu uk 87

·        Sarufi  fafanuzi ya kiswawhili

·        Darubini ya Kiswahili ya kitabu cha mwanafunzi uk 91

Mwongozo uk  65

 

   

4/5

 

Kusoma (Fasihi)

 

Fasihi andishi: maadili na mafunzo katika tamthilia

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

(a)    Kufafanua maadili na mafunzo ya tamthilia teule

(b)    Kueleza jinsi tamthiliainaafikiana na matukio ya sasa katika jamii

 

·        Kusoma

·        Kujadili

·        Kuzama

·        Maswali na majibu

·        kuandika

 

·        Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi 4 uk 134

Mwongozo wa mwalimu uk 98

·        Kamusi ya Fasihi

·        Kichocheo cha fasihi simulizi na andishi

·        Mwongozo wa teule wa tamthilia

 

   

6

 

Kuandika

 

Tawasifu

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

(a)    kueleza maana ya tawasifu

(b)    kutambua aina mbali mbali za tawasifu na umuhimu wake

(c)     kuandika tawasifu yake kwa muundo sahihi

 

·        kueleza

·        kusimama mbele na kutoa historia

·        kutazama na kujadili nakala halisi za tawasifu

·        kusoma

·        kuandika

·        kufanya zoezi

 

·        Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi 4 uk 122

Mwongozo wa mwalimu uk 89

·        Kamusi ya kiwahili

·        Karunzi ya Kiswahili  uk 88

·        Kamusi ya methali

·        Darubini ya Kiswahili ya kitabu cha mwanafunzi uk 254

Mwongozo uk  62

 

 

4

 

1

 

Kusoma (ufahamu)

 

Ufahamu: haki za binandamu

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

(a)    kueleza haki za binadamu na taasisi zinazozishughulikia

(b)    kutambua hali mbali mbali zinazosababisha uvunjaji wa haki za binadamu

(c)     kufafanua msamiati na kujibu maswali kwa usahihi

 

·        kusoma

·        kujadili

·        kueleza

·        kuandika

·        kufanya zoezi

 

·        Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi 4 uk 150

Mwongozo wa mwalimu uk 110-111

·        Kamusi ya kiwahili

·        Kamusi ya misemo na nahau (K.W wamitila)

 

   

2

 

Kusikiliza na kuzungumza

 

Fasihi simulizi: Nyimbo

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

(a)    Kueleza malengo na dhima ya nyimbo katika jamii

(b)    Kubainisha aina tofauti za nyimbo

(c)     Kuimba nyimbo mbali mbali

 

·        Kusikiliza

·        Kujadili

·        Kuandika

·        kuigiza

 

·        Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi 4 uk 139

Mwongozo wa mwalimu uk 102-103

·        Kamusi ya kiwahili

·        Kamusi ya Fasihi

·        Kichocheo cha fasihi simulizi na andishi

·        Fasihi simulizi kwa shule za sekondari (Ipara Isaac Odeo)

 

   

3

 

Sarufi na matumizi ya lugha

 

Ukanushaji: nyakati (li na ta me hu)

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

(a)    Kukanusha sentensi zenya nyakati tofauti tofauti

(b)    Kubainisha maabadiliko ya viambishi vya wakati katika kukanusha

(c)     Kufanya zoezi kwa usahihi

 

·        Kueleza

·        Kusoma

·        Kuandika

·        Kujibu maswali madaftarini

 

·        Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi 4 uk 128

Mwongozo wa mwalimu uk 93-94

·        Sarufi  fafanuzi ya kiswawhili

·        Darubini ya Kiswahili ya kitabu cha mwanafunzi uk 91

Mwongozo uk  65

   

4/5

 

Kusoma(Fasihi)

 

Fasojo Amdosjo: Muktadha na usuli katika hadithi fupi

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

(a)    kubainisha chanzo cha hadithi fupi

(b)    kutumia diwani teule ya hadithi fupi na kueleza mandarin na miktadha

(c)     kufafanua tofauti ya riwaya na hadithi fupi

 

·        kusoma

·        kueleza

·        kujadili

·        kuandika

 

·        Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi 4 uk 196

Mwongozo wa mwalimu uk 106

·        Kamusi ya kiwahili

·        Kamusi ya Fasihi

·        Kichocheo cha fasihi simulizi na andishi

·        Mwongozo wa diwani teule

·        Kamusi ya methali

 

   

6

 

kuandika

 

Insha ya maelezo

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

Kujieleza kwa mtiririko ufaao

Kutambua hatua za uandishi bora wa insha maelezo

Kuandika insha ya maelezo kwa kutumia fani mbali mbali za lugha

 

·        Kueleza

·        Kusoma makala kitabuni

·        Kujadili kuhusu vidokezo

·        kuandika

 

·        Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi 4 uk 135

Mwongozo wa mwalimu uk 99-100

·        Kamusi ya misemo na nahau (K.W wamitila)

·        Darubini ya Kiswahili ya kitabu cha mwanafunzi uk 130

Mwongozo uk  82

 

5

 

1

 

kusoma

 

Ufahamu : utandawazi

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

(a)    kusoma kwa kina na kung’amua ujumbe

(b)    kueleza umuhimu wa utandawazi katika jamii

(c)     kukuza msamiati wake wa mawasiliano

 

·        kusoma kwa sauti

·        kueleza na kujadili kuhusu ujumbe na msamiati

·        kuandika

·        kufanya zoezi

 

·        Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi 4 uk

Mwongozo wa mwalimu uk 118-119

·        Kamusi ya kiwahili

·        Kamusi ya methali

 

   

2

 

Kusikiliza na kuzungumza

 

Fasihi simulizi: Vipera vingine vya maigizo (ngoma na michezo ya watoto

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

(a)    kufafanua maana ya ngoma

(b)    kubainisha ngoma mbali mbali na umuhimu wake

(c)     kutaja michezo mbali mbali ya watoto na umuhimu wake

 

Kujadili

Kueleza

Kugiza

Kusoma

kuandika

 

·        Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi 4 uk 126-127

Mwongozo wa mwalimu uk 92-93

·        Kamusi ya kiwahili

·        Kamusi ya Fasihi

·        Kichocheo cha fasihi simulizi na andishi

·        Fasihi simulizi kwa shule za sekondari (Ipara Isaac Odeo)

 

 

   

3

 

Sarufi na matumizi ya lugha

 

Ukanushaji wa h ali Nge, Ngali na ki ya masharti

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

(a)    Kufafanua matumizi ya Nge, Ngali, na Ki

(b)    Kubainisha kanuni za ukanushaji wa hali hizo

(c)     Kukanusha sentensi hali hizo tatu

 

·        Maswali ya dodoso

·        Kueleza

·        Kusoma

·        kuandika

 

·        Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi 4 uk 157

Mwongozo wa mwalimu uk 116

·        Kichocheo cha fasihi simulizi na andishi

·        Mwongozo wa teule wa tamthilia

 

   

4/5

 

Kusoma (faishi)

 

Dhamira na maudhui katika hadithi fupi

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

(a)    Kufafanua dhamira ya hadithi fupi katika diwani teule

(b)    Kubainisha na kufafanua maudhui katika diwani teule ya hadithi fupi

 

·        Kusoma

·        Kuwasilisha mbele ya darasa

·        Kujadili

·        Kuandika

 

·        Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi 4 uk 157

Mwongozo wa mwalimu uk 116

·        Kichocheo cha fasihi simulizi na andishi

·        Fasihi simulizi kwa shule za sekondari (Ipara Isaac Odeo)

·        Mwongozo wa teule wa tamthilia

   

6

 

Kuandika

 

Insha ya kitaaluma

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

(a)    kusoma mifano kitabuni na kujibu maswali kwa usahihi

(b)    kuandika insha yakitaalamu kwa ufasaha

 

·        kudodosa

·        kueleza

·        kujadili

·        kusoma

·        kujibu maswali

·        kuandika

 

·        Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi 4 uk 139

Mwongozo wa mwalimu uk 102-103

·        Kamusi ya kiwahili

·        Karunzi ya Kiswahili

·        Golden Tips Kiswahili

·        Kamusi ya methali

·        Kamusi ya misemo na nahau (K.W wamitila)

·        Insha kabambe (simon mutali)

 

 

6

 

1

 

kusoma

 

Ufahamu: nyanyeso la jinsia

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

(a)    Kusoma na kung’mua maaudhui ya ushairi

(b)    Kusoma mfano kitabuni na kujibu maswali kwa usahihi

(c)     Kujibu maswali ya ufahamu

(d)    Kuchambua msamiati mpya

 

 

·        Kusoma

·        Kujadili

·        Kukariri

·        Kuandika

 

·        Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi 4 uk 173

Mwongozo wa mwalimu uk 126-127

·        Kamusi ya kiwahili

·        uk 88

·        Kamusi ya methali

·        Kamusi ya misemo na nahau (K.W wamitila)

 

   

2

 

Kusikiliza na kuzungumza

 

Fasihi simulizi ushairi-nyimbo

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

(a)    kueleza sifa za utanzu wa nyimbo

(b)    kuimba wimbo kitabuni

(c)     kuchambua wimbo huo na kujibu maswali kwa usahihi

 

·        kujadili

·        kusikiliza

·        kuimba

·        kuandika

 

·        Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi 4 uk 139

Mwongozo wa mwalimu uk 102-103

·        Kamusi ya kiwahili

·        Kamusi ya Fasihi

·        Kichocheo cha fasihi simulizi na andishi

·        Fasihi simulizi kwa shule za sekondari (Ipara Isaac Odeo)

·        Kamusi ya methali

·        Kamusi ya misemo na nahau (K.W wamitila)

 

   

3

 

Sarufi na matumizi ya lugha

 

Matumizi ya “kwa”

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

(a)    Kutaja matumizi ya “kwa”

(b)    Kubainisha matumizi ya kwa katika sentensi

(c)     Kutunga sentensi sahihi ya matumizi ya kwa

 

·        Maswali ya dodoso

·        Kusoma

·        Kuandika

·        kueleza

 

·        Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi 4 uk 132-133

Mwongozo wa mwalimu uk 97-98

·        Kamusi ya kiwahili

·        Sarufi  fafanuzi ya kiswawhili

·        Darubini ya Kiswahili ya kitabu cha mwanafunzi uk 91

Mwongozo uk  125

   

4/5

 

Kusoma

 

Maudhui katika hadithi fupi

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

(a)    Kufafanua maudhui ya hadithi fupi

(b)    Kutoa mifano katika diwani ili kuyakanisha maudhui

 

·        Kusoma

·        Kujadili

·        Kaundika

·        Utafiti (ziada)

 

·        Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi 4 uk 157

Mwongozo wa mwalimu uk 115-116

·        Kamusi ya Fasihi

·        Kichocheo cha fasihi simulizi na andishi

·        Fasihi simulizi kwa shule za sekondari (Ipara Isaac Odeo)

·        Mwongozo wa teule wa tamthilia

 

   

6

 

Kuandika

 

Insha ya mazungumzo

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

(a)    Kubainisha muundo wa insha ya mazungumzo

(b)    Kueleza sifa za mazungumzo mbali mbali

(c)     Kuandika insha ya mazungumzo ifaavyo

 

·        Kueleza

·        Kusoma

·        Kuigiza

·        Kuandika

·        kusikiliza

 

·        Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi 4 uk 155

Mwongozo wa mwalimu uk 116-117

·        Insha kabambe (simon mutali)

·        Darubini ya Kiswahili ya kitabu cha mwanafunzi uk 91

Mwongozo uk

 

7

 

1-6

 

MTIHANI NA LIKIZO YA KATIKATI YA MUHULA

 

8

 

1

 

Kusoma (ufahamu)

 

Ufupisho kitabu cha hadithi

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

(a)    Kusoma hadithi na kuelewa ujumbe

(b)    Kudondoa hoja muhimu

(c)     Kufupisha hadithi kwa urefu ulioulizwa

 

·        Kusoma

·        Kuajdili

·        kuandka

 

·        riwaya K.V utengano kipimo cha mizani au shamba la wanyama

·        kamusi ya Kiswahili

·        kamusi ya methali

·        kamusi ya fasihi

   

2

 

Kusikiliza na kuzungumza

 

Mazungumzo: viwandani Isimu jamii

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

(a)    Kutambua msamiati (sajili) ya viwandani

(b)    Kuigiza mazungumzo viwandani

(c)     Kusoma kifungu kujibu maswali kwa usahihi

 

·        Kueleza

·        Kusoma

·        Kuigiza

·        kuandika

 

·        Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi 4 uk 140

Mwongozo wa mwalimu uk 104

·        Kamusi ya kiwahili

·        Isimu ya jamii kwa shule za sekondari (Ipara Isaac Odeo)

   

3

 

Sarufi na matumizi ya lugha

 

Mnyambuliko wa vitenzi vya asili ya kibantu

 

Kufikia mwisho wa funzo,mwanafunzi aweze

(a)    Kutaja vitenzi vya asili ya kibantu

(b)    Kunyambua vitenzi vya aisli ya kibantu

(c)     Kutambua viambishi tamati

 

·        Kudodosa

·        Kujaidli

·        Kusoma

·        Kuandika

·        Kufanya zoezi

 

·        Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi 4 uk 141

Mwongozo wa mwalimu uk 106

·        Sarufi  fafanuzi ya kiswawhili

·        Darubini ya Kiswahili ya kitabu cha mwanafunzi uk 91

·        Mwongozo uk

   

4/5

 

Kusoma (fasihi)

 

Muundo namtindo wa hadithi fupi

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

(a)    Kueleza muundo wa hadithi fupi kwa kuzingatia diwani teule

(b)    Kutofautisha hadithi na kzi nyinginezo na hathari

 

·        Kusoma

·        Kujadili

·        Kueleza

·        Kuandika

·        Kujibu maswali kwa sauti na madaftari

 

 

·        Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi 4 uk 142

Mwongozo wa mwalimu uk 107

·        Kamusi ya Fasihi

·        Kichocheo cha fasihi simulizi na andishi

 

 

 

 

6

 

Kuandika

 

 

 

Kumbu kumbu

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

(a)    Kueleza muundo wa kuandika kumbukumbu

(b)    Kutaja umuhimu wa kuandika kumbukumbu kikamilifu na kwa usahihi

 

·        Kueleza

·        Maswali ya dodoso

·        Kusoma mifano kitabuni

·        Kuandika

 

·        Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi 4 uk 169

Mwongozo wa mwalimu uk 124

·        Karunzi ya Kiswahili

·        Kamusi ya methali

·        Kamusi ya misemo na nahau (K.W wamitila)

 

9

 

1

 

Kusoma

 

Magazeti (Isimu Jamii)

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

(a)    Kusoma makala mbali mbali magazetini na kueleza ujumbe

(b)    Kueleza sajili katika makala mbal mbali

(c)     Kutaja Nyanja mbali mbali zinazoshughulikiwa magazetini

 

·        Kusoma

·        Kujadili

·        Kuandika

·        Kuzuru maktaba

 

·        Magazeti (K.V Taifa leo, faifa jumapili,nipashe)

·        Kamusi ya Kiswahili

·        Kamusi ya methali

·        Isimu jamii kwa shule za sekondri (ipara Isaac Odero)

·        Kamusi ya misemo na nahau (K.W Wamitila)

   

2

 

Kusikiliza na kuzungumza

 

Fasihii simulizi:ngano

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

(a)    Kusimulia ngano na kueleza maadili yaliyomo

(b)    Kusoma ngano kitabuni na kujibu maswali kwa ufahihi

(c)     Kuzungumza kwa matamshi bora na mtiriko ufaao

 

·        Kueleza

·        Kuhadithia ngano

·        Kusoma kwa sauti

·        Kujibu maswali kwa sauti na madaftarini

 

 

·        Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi 4 uk 152

Mwongozo wa mwalimu uk 112

·        Kamusi ya kiwahili

·        Kamusi ya Fasihi

·        Kamusi ya methali

·        Kamusi ya misemo na nahau (K.W wamitila)

 

   

3

 

Sarufi na matumizi ya lugha

 

Mnyambuliko wa vitenzi vya kigeni

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

(a)    Kutaja minyambuliko tofauti ya vitenzi

(b)    Kueleza sifa na njia za kunyambua vitenzi vya kigeni

(c)     Kujibu maswali kwa usahihi

 

·        Kueleza

·        Kujadili

·        Kutunga sentensi

·        kuandika

 

·        Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi 4 uk 155

Mwongozo wa mwalimu uk 114

·        Kamusi ya kiwahili

·        Kamusi ya Fasihi

·        Darubini ya Kiswahili ya kitabu cha mwanafunzi uk 176-181

Mwongozo uk  103

   

4/5

 

Kusoma (fasihi)

 

Fasihi andishi

Wahusika na uhusika katika hadithi fupi

 

Kufikia mwisho wa funzo mwanafunzi aweze

(a)    Kutaja wahusika katika hadithi fupi

(b)    Kutambua sifa za wahusika wa hadithi fupi

 

·        Kusoma

·        Kuwasilisha kujadili

·        kuandika

 

·        Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi 4 uk 179

Mwongozo wa mwalimu uk 133-134

·        Kichocheo cha fasihi simulizi na andishi

·        Mwongozo wa teule wa tamthilia

 

   

6

 

kuandika

 

Kumbukumbu

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

(a)    Kudondoa makosa yote katika insha yake na kuyarekebisha

(b)    Kuandika ilnsha ya kumbukumbu upya bila makosa yoyote

 

·        Kusoma

·        Kujadili

·        Kueleza

·        kuandika

 

·        Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi 4 uk 169

Mwongozo wa mwalimu uk 124

·        Kamusi ya kiwahili

·        Karunzi ya Kiswahili

·        Insha kabambe (simon mutali)

·        Darubini ya Kiswahili

 

 

10

 

1

 

Kusoma

 

Ufahamu: sudi ya sundiata

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

(a)    Kusoma kwa sauti na matamshi bora

(b)    Kupanua kiwango cha msamiati na semi

(c)     Kueleza hoja muhimu baada ya kusoma makala

 

·        Kusoma kwa sauti darasani

·        Maswali ya dodoso

·        Kujadili

·        kuandika

 

·        Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi 4 uk 183

Mwongozo wa mwalimu uk 137-138

·        Kamusi ya kiwahili

·        Kamusi ya misemo na nahau (K.W wamitila)

 

   

2

 

Kusikiliza na kuzungumza

 

Maadiliana: mabalozi (Isimu Jamii)

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

(a)    kusoma kwa sauti na matamshi bora

(b)    Kupanua kiwango cha msamiati na semi

(c)     Kueleza hoja muhimu baada ya kusoma makala

 

·        Kusoma kwa sauti darasani

·        Maswal ya dodoso

·        Kujadili

·        kuandika

 

·        Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi 4 uk 154

Mwongozo wa mwalimu uk 101-113

·        Kamusi ya kiwahili

·        Isimu jamii kwa shule za sekondari (Ipara Isaac Odeo)

 

   

3

 

Sarufi na matumizi ya lugha

 

Uakifishaji wa mazungumzo Dayolojia

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

(a)    Kutaja na kueleza matumizi ya alama za uakifisho

(b)    Kutumia alama za uakifishaji kwa usahihi katika dayolojia

(c)     Kuakifisha dayolojia kwa usahihi

 

·        Kueleza

·        Kutunga mifano

·        Kusoma mfano kitabuni

·        Kufanya zoezi madaftarini

·        kuandika

 

·        Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi 4 uk 156

Mwongozo wa mwalimu uk 115

·        Kamusi ya kiwahili

·        Sarufi  fafanuzi ya kiswawhili

·        Karunzi ya kusoma uk 88

·        Kamusi ya methali

·        Kamusi ya misemo na nahau (K.W wamitila)

·        Insha kabambe (simon mutali)

·        Darubini ya Kiswahili ya kitabu cha mwanafunzi uk 121,218,319,373

Mwongozo uk 78,118,161,182

   

4/5

 

Kusoma

 

Wahusika katika hadithi fupi

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

(a)    Kutaja wahusika katika hadithi fupi za diwani teule

(b)    Kueleza sifa na umuhimu wa wahusika hao

 

·        Kutafiti na kuwasihisha

·        Kusoma

·        Kujadili

·        kuandika

 

·        Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi 4 uk 179

Mwongozo wa mwalimu uk 133-134

·        Kichocheo cha fasihi simulizi na andishi

 

   

6

 

 

kuandika

 

Utunzi wa mashairi

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

(a)    kutaja na kueleza vigezo muhimu vya kutunga mashairi (arudhi, beti na mishororo)

(b)    kutunga shairi kuhusu mada yoyote

(c)     kubainisha aina ya shairi aliyotunga

 

·        kueleza

·        kujadili

·        kusoma mfano (kitabuni na diwani)

 

·        Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi 4 uk 180

Mwongozo wa mwalimu uk 134-135

·        Kamusi ya kiwahili

·        Diwani ya mashairi mepesi

·        Miale ya ushairi (NES)

·        Nuru ya ushairi

·        Fasihi simulizi kwa shule za sekondari (Ipara Isaac Odeo)

 

 

11

 

1

 

kusoma

 

Ufahamu: udamisi wa mzee mtari

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

Kufafanua mawazo makuuu katika kifungu

Kueleza msamiati na kuutungia sentensi kwa usahihi

Kujibu maswali ya ufahamu kikamilifu

 

·        Kusoma kwa kupokezana

·        Kudodosa

·        Kujadili

·        Kuandika

·        Kujibu maswali

 

·        Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi 4 uk 195

Mwongozo wa mwalimu uk 119

·        Kamusi ya kiwahili

·        Kamusi ya Fasihi

·        Kamusi ya methali

·        Kamusi ya misemo na nahau (K.W wamitila)

 

   

2

 

Kusikiliza na kuzungumza

 

Fasihi simulizi mighani

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

(a)    Kufafanua maana ya mighani

(b)    Kubainisha sifa za mighani

(c)     Kutoa mifano kwa mighani katika jamii yake

 

·        Kueleza

·        Kusikiliza

·        Kuuliza maswali

·        Kusoma

·        Kuandika

·        Kutafiti (ziada)

 

·        Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi 4 uk 162

Mwongozo wa mwalimu uk 102-103

·        Darubini ya Kiswahili ya kitabu cha mwanafunzi uk 38-

Mwongozo uk  190

   

3

 

Sarufi na matumizi ya lugha

 

Matumizi “na”

kirai

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

(a)    Kutaja na kueleza matumizi ya ‘na’

(b)    Kutumia ‘na’ katika tungo kwa usahihi

(c)     Kubainisha matumizi ya ‘na’ katika tungo

(d)    Kutaja maana ya kirai na kueleza aina zake

 

·        Kueleza

·        Kusoma

·        Kutunga sentensi kwa sauti

·        Kuandika

·        Kufanya zoezi

 

·        Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi 4 uk 157,176

Mwongozo wa mwalimu uk 129-131

·        Kamusi ya kiwahili

·        Sarufi  fafanuzi ya kiswawhili

·        Darubini ya Kiswahili ya kitabu cha mwanafunzi uk 315

Mwongozo uk  161

   

4/5

 

kusoma

 

Wahusika katika hadithi fupi

 

Kufkika mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

(a)    Kutaja wahusika katika hadithi fupi

(b)    Kueleza hulka za wahusika hao

(c)     Kufafanua umuhimu wa wahusika hao

 

·        Kueleza

·        Kujadili

·        Kusoma

·        Kuandika

·        Kutafiti (ziada)

 

·        Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi 4 uk 179

Mwongozo wa mwalimu uk 133

·        Mwongozo wa diwani teule (hadithi fupi)

·        Kichocheo cha fasihi simulizi na andishi

   

6

 

kuandika

 

Insha ya mawazo

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

(a)    Kueleza muundo wa insha ya mawazo

(b)    Kufafanua vigezo muhimu vya insha mawazo

(c)     Kuandika insha ya mawazo ifaavyo

 

·        Kueleza

·        Kujadili

·        Kusoma

·        kuandika

 

 

·        Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi 4 uk 181

Mwongozo wa mwalimu uk 136

·        Karunzi ya kusoma uk 88

·        Kamusi ya methali

·        Kamusi ya misemo na nahau (K.W wamitila)

·        Insha kabambe (simon mutali)

·        Darubini ya Kiswahili ya kitabu cha mwanafunzi uk 241

Mwongozo uk 127

MTIHANI WA MWISHO WA MUHULA WA KUFUNGA SHULE
MAAZIMIO YA KAZI

KISWAHILI KIDATO CHA NNE

MUHULA WA III

 

1

 

1

 

Kusoma

 

Ufahamu-saula la lishe na vv ukimwi

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

(a)    Kufafanua maana ya VVU na ukimwi

(b)    Kueleza na kuwa na mtazamo chanya kuhusu mapambano dhidi ya ukimwi

(c)     Kujibu maswali kwa usahihi

 

·        Maswali ya dodoso

·        Kujadili

·        Kusoma kwa sauti

·        Kueleza

·        Kuandika madaftarini

 

 

·        Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi 4 uk 207-209

Mwongozo wa mwalimu uk 154-155

·        Kamusi ya kiwahili

·        Kamusi ya misemo na nahau (K.W wamitila)

 

 

·        Michoro kitabuni

·        Picha nyinginezo

·        Wanafunzi wenyewe

·        ubao

   

2

 

Kusikiliza na kuzungumza

 

Fasihi simulizi maigizo

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

(a)    kutambua muundo wa ngonjera na vichekesho

(b)    kueleza sifa bainisu za vichekesho

(c)     kuigiza vichekesho na ngonjera

 

·        kueleza

·        kusoma

·        kuigza

·        kusikiliza

·        kuandika

 

·        Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi 4 uk 176

Mwongozo wa mwalimu uk 127-128

·        Kamusi ya kiwahili

·        Kichocheo cha fasihi simulizi na andishi

·        Karunzi ya kiswahili

·        Kamusi ya methali

 

 

·        Nakala (ngonjera) na vichekesho

·        Wanafunzi wenyewe

   

3

 

Sarufi na matumizi ya lugha

 

vishanzi

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

(a)    Kueleza maana ya kishanzi

(b)    Kubainisha ailna ya kishanzi

(c)     Kutunga sentensi yenye kitanzi

(d)    Kutambua vishanzi katika tungo

 

·        Kueleza

·        Kusoma

·        Kujibu maswali kwa sauti

·        Kuandika

·        Kufanya zoezi madaftarilni

 

·        Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi 4 uk 177-178

Mwongozo wa mwalimu uk 131-132

·        Sarufi  fafanuzi ya kiswawhili

·        Darubini ya Kiswahili ya kitabu cha mwanafunzi uk 365

Mwongozo uk  182

 

·        Chati (vishanzi)

·        Ubao

·        Magazeti (taifa leo)

   

4/5

 

kusoma

 

Fasihi andishi:matumizi ya lugha katika hadithi fupi

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

(a)    Kutambua mbinu za sanaa katika hadithi fupi

(b)    Kufafanua mbinu za sanaa na thima yake katika hadithi

(c)     Kupanua kitembo chake cha msamiati na fani za lugha

 

·        Kusoma

·        Kueleza

·        Kujadili

·        Kuwasilisha utafiti

·        kuandika

 

·        Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi 4 uk 191

Mwongozo wa mwalimu uk 142

·        Kichocheo cha fasihi simulizi na andishi

·        Mwongozo wa diwani teule

 

 

·        Diwani teule

·        Wanafunzi wenyewe

·        Ubao

   

6

 

kuandika

 

Uandishi wa simu au telegramu

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

(a)    Kueleza kanuni za uandishi wa telegram

(b)    Kuandaa mfano wa telegram halisi

 

·        Maswali ya dodoso

·        Tumia telegram halisi

·        Kuleza

·        Kuandika telegramu

 

·        Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi 4 uk 193-194

Mwongozo wa mwalimu uk 143

·        Kamusi ya kiwahili

·        Insha kabambe (simon mutali)

·        Darubini ya Kiswahili ya kitabu cha mwanafunzi uk 208

Mwongozo uk  113

 

·        Kielezo halilsi cha telegram

·        Kielezo kwenye bango

·        ubao

 

2

 

1

 

Kusoma (ufahamu)

Maghani na aina zake  

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

(a)    kusoma umuhimu na asili ya lugha

 

·        Kusoma

·        Kujadili

·        Kudodosa na kujibu maswali

·        kuandika

 

·        Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi 4 uk 219-221

Mwongozo wa mwalimu uk 165-166

·        Kamusi ya kiwahili

·        Kamusi ya methali

·        Kamusi ya misemo na nahau (K.W wamitila)

 

 

·        Mchoro kitabuni

·        Ubao

·        Chati (msamiati)

 

   

2

 

Kusikiliza

 

Maghani na aina zake

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

(a)    Kueleza maghani ni nini?

(b)    Kutaja na kufafanua aina za maghani

(c)     Kueleza vipinngamizi dhidi ya ukuaji wa Kiswahili

Kueleza maneno mapya na kujibu maswali yote

 

·        Kueleza

·        Kusikiliza

·        Kujadili na kuuliza maswali

·        Kuandika

·        kutafakari

 

·        Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi 4 uk 185-187

Mwongozo wa mwalimu uk 138-139

·        Fasihi simulizi kwa shule za sekondari

·        Kichechocheo cha Fasihi simulizi na Andishi

·        Kamusi ya methali

·        Kamusi ya fasihi

 

 

 

·        Mgeni mwalikwa

·        Wanafunzi wenyewe

·        ubao

   

3

 

Sarufi na matumizi ya lugha

 

Kundi nomino: kundi tenzi

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

(a)    kutambua kundi nomino na kundi tenzi

(b)    kuandika sentensi zenye KN na KT kwa usahihi

(c)     kujibu maswali kwa usahihi

 

·        kueleza

·        kusoma

·        kukandika madaftarini

·        kufanya zoezi

 

·        Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi 4 uk 188-189

Mwongozo wa mwalimu uk 139-140

·        Sarufi fafanuzi ya Kiswahili

·        Golden Tips Kiswahili

 

 

·        Chati

·        Ubao

·        Magazeti (Taifa leo)

   

4-5

 

Kusoma

 

Matumizi ya lugha katika hadithi fupi

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

(a)    Kueleza matumizi ya lugha katika hadithi fupi za diwani teule

(b)    Kubainisha umuhimu wa lugha katika kuendeleza dhamira na maudhui

 

·        Kusoma

·        Kueleza

·        Kujadili

·        Kuandika

·        Kutafiti zaidi (kazi ya ziada)

 

·        Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi 4 uk 191-192

Mwongozo wa mwalimu uk 142

·        Kichechocheo cha Fasihi simulizi na Andishi

·        Kamusi ya methali

·        Kamusi ya fasihi

·        Kamusi ya misemo na nahau (K.W wamitila

 

·        Diwani teule

·        Ubao

·        Wanafunzi wenyewe

·        Chati (lugha)

   

6

 

Kuandika

 

Barua meme

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

(a)    Kutaja vijia mbali mbali za mawasiliano

(b)    Kueleza matumizi na muundo wa kuandika barua meme

 

·        Maswali ya dodoso

·        Kujadili

·        Kuandika madaftarini

 

 

·        Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi 4 uk 188-189

Mwongozo wa mwalimu uk 139-140

·        Karunzi ya kiwahili

·        Insha kabambe (simon mutali)

 

 

·        Kelezo halisi cha barua meme

·        Ubao

·        Chati

·        Magazeti (picha za mawasiliano)

·        Picha (vyombo vya mawasiliano)

 

3

 

1

 

 

Kusoma (ufahamu)

 

Mazoezi (marudio)

1.      Kifungu 3

2.      Kifungu 3

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

(a)    Kusoma vifungu vya ufahamu (mazoezi ya marudio na kujibu kwa usahihi)

(b)    Kupanua uwezo wake kukabili mtihani wa ufahamu

 

·        Kusoma ghibu

·        Kuandika madaftarini

·        Kujadili majibu

 

·        Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi 4 uk 233-240

Mwongozo wa mwalimu uk

·        Kamusi ya methali

·        Kamusi ya kiswahili

·        Kamusi ya misemo na nahau (K.W wamitila

 

·        Mwanafunzi mwenyewe

·        Ubao

·        Chati (misamiati)

   

2

 

Kusikiliza na kuzungumza

 

Soga

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

(a)    Kueleza na kutambua mtindo wa soga

(b)    Kutongoa soga darasani

(c)     Kufafanua umuhimu wa soga

 

·        Kueleza na kujadili

·        Kushiriki katika soga

·        kuandika

 

·        Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi 4 uk 197

Mwongozo wa mwalimu uk 146-147

·        Darubini ya Kiswahili 4. Kitabu cha mwanafunzi uk 314

Mwongozo wa mwalimu uk 158

 

 

·        Wanafunzi wenyewe

·        Ubao

·        Chati (mtindo wake)

   

3

 

Sarufi na matumizi ya lugha

 

Uchanganuuzi wa sarufi

 

Kufikia mwisho wa funzi mwanafunzi aweze

(a)    Kutaja aina na miundo mitatu mikuu ya sentensi

(b)    Kutaja na kueleza aina kuu tatu za kuchanganua sentensi (mistari, jedwali na matawi)

 

·        Kueleza

·        Kusoma

·        Kujadili vielezo

·        Kuchanganua sentensi

·        Kuandika madaftarini

 

·        Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi 4 uk 198-200

Mwongozo wa mwalimu uk 147-148

·        Karunzi ya kiwahili

·        Sarufi fafanuzi ya Kiswahili

·        Golden Tips Kiswahili

 

 

·        Bango (vielezo vya uchanuzi)

·        Chati (aina)

   

4-5

 

Kusoma (fasihi)

 

Usulu, dhamira na maudhi katika mashairi

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

(a)    Kubainisha dhamira na maudhi ya shairi

(b)    Kueleza sifa na kanuni (arudhi) za sahiri la arudhi

(c)     Kubainisha hisia/falsafa tofauti tofauti za mashairi

 

·        Kueleza

·        Kuakariri shairi

·        Kusoma

·        kuandika

 

·        Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi 4 uk 202-203

Mwongozo wa mwalimu uk 151

·        Kamusi ya misemo na nahau (K.W wamitila

 

·        Diwani ya mashairi (arudhi)

·        Wanafunzi wenyewe

·        ubao

   

6

 

kuandika

 

Ratiba

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

(a)    kueleza muundo na dhima ya ratiba

(b)    kueleza ratiba yoyote kwa sauti darasani

(c)     kuandika ratiba ya shughuli yoyote

 

·        kueleza

·        kujadili kielelezo

·        kutoa ratiba kwa sauti darasani

·        kuandika

 

·        Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi 4 uk 216-218

Mwongozo wa mwalimu uk 164

·        Karunzi ya kiwahili

·        Insha kabambe (simon mutali chesebe)

·        Golden Tips Kiswahili

 

 

·        Nakala halisi za ratiba

·        Wanafunzi wneyewe

·        Ubao

 

4

 

1

 

Kusoma (ufahamu)

 

Ufahamu wa jaribio la 3 na la 4

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

(a)    Kusoma kimoyomoyo na kuelewa ujumbe

(b)    Kujibu maswali kikamilifu na kwa usahihi

(c)     Kukuza imani yake kufaulu katika funzo la ufahamu

 

·        Kusoma ghibu

·        Kujibu maswali

·        Kusahisha na kujadili majibu

 

·        Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi 4 uk 247-255

Mwongozo wa mwalimu uk 186-198

·        Kamusi ya kiwahili

·        Kamusi ya methali

·        Kamusi ya misemo na nahau (K.W wamitila

 

·        Wanafunzi wenyewe

·        Uboa

·        Chati (msamiati)

   

2

 

Kusikiliza na kuzungumza

 

Fasihi simulizi mawaidha

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

(a)    Kufafanua maana ya mawaidha

(b)    Kutambua umuhimu wa mawaidha katika jamii

(c)     Kuigiza utoaji wa mawaidha

(d)    Kujibu maswali kikamilifu

 

·        Kueleza

·        Kujadili

·        Kuchanganua ubaoni

·        Kuandika madaftarini

 

·        Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi 4 uk 188-189

Mwongozo wa mwalimu uk 139-140

·        Fasihi simulizi kwa shule za sekondari

·        Kichechocheo cha Fasihi simulizi na Andishi

·        Darubini ya Kiswahili 4 uk 104

 

 

·        Chati (umuhimu wake)

·        Michoro ubaoni

·        Wanafunzi wenyewe

·        Magazeti

·        Hojaji ya utafiti

·        Picha ya wanaotoa mawaidha

   

3

 

Sarufi na matamuzi

 

Uchanganuzi wa sentensi ambatano

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

(a)    Kutambua viambajengo vya sentensi ambatano

(b)    Kueleza muundo wa kuchanganua sentensi ambatano (mistari, matawi, jedwali)

(c)     Kuchanganua sentensi ambatano

 

·        Kueleza

·        Kujadili

·        Kuchanganua ubaoni

 

·        Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi 4 uk 210-213

Mwongozo wa mwalimu uk 160-161

·        Kamusi ya kiwahili

·        Sarufi fafanuzi ya Kiswahili

 

 

·        Chati (uchananuzi

·        Michoro ubaoni

·        Wnanafunzi wenyewe

·        Magazi (sentensi) mbali mbali

   

4/5

 

Kusoma (Fasihii)

 

Fasihi andishi: muundo namtindo katika mashairi

 

Kufiikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

(a)    Kueleza na kufafanua muundo na mtindo wa mashairi huru naya arudhi

(b)    Kutofautisha mundo na mtindo kishairi

(c)     Kujibu maswali ya mashairi kwa usahihi

 

·        Kueleza

·        Kujadili

·        Kughani

·        Kusoma

·        kuandika

 

·        Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi 4 uk 214-215

Mwongozo wa mwalimu uk 162-163

·        Kamusi ya misemo na nahau (K.W wamitila

·        Miale ya ushairi (NES)

·        Nuru ya ushairi

 

·        Mashairi kitabuni

·        Diwani ya mashairi

·        Ubao

·        Magazeti (tailfa leo)

·        Chati (mtindo, muundo)

   

6

 

Kuandika

 

Resipe (Ndizi za kuchemsha

 

Kufika mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

(a)    Kueleza maana

 

·        Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi 4 uk 232

Mwongozo wa mwalimu uk 174

·        Karunzi ya kiwahili

·        Golden Tips Kiswahili

·        Insha kabmbe (simon mutali)

 

 

·        Vyakula halisi

·        Vielelezo vya resipe

·        Wanafunzi wenyewe

·        Ubao chati

 

5

 

1

 

Kusoma (muhtasari

 

Vifungu vya ufupisho. Jaribio la I na II

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

(a)    Kufafanua hatua za kukabuli maswali ya ufupisho

(b)    Kusoma vifungu na kudondoa hoja muhimu

(c)     Kufupisha kwa usahihi

 

·        Kueleza

·        Kusoma na kujadili hoja

·        Kuandika madaftarini

 

·        Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi 4 uk 233-240

Mwongozo wa mwalimu uk 175-181

·        Kamusi ya kiwahili

 

 

·        Wanafunzi wenyewe

·        Ubao

   

2

 

Kusikiliza na kuzungumza

 

Fasihi simulizi au Fasihi ya Ngoma

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

(a)    Kueleza maana ya ngomezi

(b)    Kuorodhesha na kufafanua sifa za ngomezi

(c)     Kutaja ngoma mbali mbali na kuigiza za jamii zao

(d)    Kueleza dhima ya ngomezi katika jamii

 

·        Kueleza

·        Kujadili

·        Kusoma kwa sauti na kusikiliza

·        kuigiza

 

·        Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi 4 uk 233-240

Mwongozo wa mwalimu uk 175-181

·        Fasihi simulizi kwa shule za sekondari

·        Darubini ya Kiswahili 4. Uk 294

·        Kichechocheo cha Fasihi simulizi na Andishi

·        Kamusi ya fasihi

 

 

·        Wanafunzi wenyewe

·        Ubao

·        Chati (sifa zake)

·        Vitu halisi (kengele, ngoma, simu)

·        Picha ya magari ya polisi/ambulansi

   

3

 

Sarufi na matumizi ya lugha

 

vihusishi

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

(a)    Kueleza maana ya vihusishi na kutaja mifano

(b)    Kutambua vihusishi tofauti tofauti na utendakazi wavyo

 

·        Kueleza

·        Kuigiza hisia mbalil mbali

·        Kusoma

·        kuandika

 

·        Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi 4 uk 213

Mwongozo wa mwalimu uk 160

·        Kamusi ya Tashbihi, vitendawili, milio na mshangao (K.W wamitila)

·        Darubini ya Kiswahili kitabu cha mwanafunzi uk 138

Mwongozo wa mwalimu uk 87

·        Sarufi fafanuzi ya Kiswahili

 

 

·        Chati (vihusishi)

·        Wanafunzi wenyewe

·        Kanda ya sauti

·        Ubao

·        Vitu halisi

   

4/5

 

Kusoma

 

Matumizi ya lugha na mbinu nyiinginezo katika ushairi (Fasihi andishi)

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

(a)    Kutaja na kueleza maana ya msamiati wa mashairi

(b)    Kufafanua mbinu ambazo ghalabu hutumika katika mashiri

(c)     Kusoma shairi na kujibu maswali

 

·        Kueleza

·        Kusoma makala kitabuni

·        Kujadili

·        kuandika

 

·        Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi 4 uk 226-231

Mwongozo wa mwalimu uk 171-173

·        ahili

·        Fasihi simulizi kwa shule za sekondari

·        Kichechocheo cha Fasihi simulizi na Andishi

·        Kamusi ya methali

·        Kamusi ya fasihi

·        Kamusi ya misemo na nahau (K.W wamitila

·        Taaluma ya ushairi

·        Miale ya ushairi (NES)

·        Nuru ya ushairi

 

·        Maashairi kitabuni

·        Diwani ya mashairi

·        Ubao

·        Magazeti (taifa leo)

·        Chati (ushairi)

   

6

 

Kuandika

 

Insha bora

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

(a)    Kutofautisha baina ya uandishi wa isha na uandishi wa kikamilifu

(b)    Kutambua hatua muhimu za kuandika kila aina ya insha

(c)     Kuandika insha ya kusisimuliza

 

·        Kuandika

·        Kujadili

·        Majibu na kusahihisha makosa

 

·        Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi 4 uk (sehemu ya kuandika)

Mwongozo wa mwalimu uk 186

·        Karunzi ya kiwahili (sehemu za insha)

·        Isnha kabambe (mutali Chesebe)

·        Golden Tips Kiswahili

 

 

·        Vyakula kitabuni

·        Diwani ya mashairi

·        Ubao

·        Magazeti (taifa leo)

·        Chati (mtindo muundo)

 

6

 

1

 

Kusoma (mazoezi ya marudio)

 

Ufupisho (jaribio III, IV

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

(a)    Kusoma kifungu na kutoa hoja m uhimu

(b)    Kufupisha kifungu kwa kuunganisha hoja muhimu

 

·        Kusoma

·        Kuandika

·        Kujadilii majibu na kusahihisha

 

·        Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi 4 uk 247-255

Mwongozo wa mwalimu uk 186-198

·        Karunzi ya kiwahili

(sehemu ya ufupisho)

·        Kamusi ya Kiswahili

 

 

·        Wanafunzi wenyewe

·        Ubao

·        Magazeti

   

2

 

Kusikiliza na kuzungumza

 

Vifungu vya Isimu-jamii majaribio I-IV

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

(a)    Kusoma vifungu kwa makini

(b)    Kueleza muktadha na sajili za vifungu husika

(c)     Kujibu maswali ya Isimu-jamii kwa usahihi

 

·        Kusoma ghibu

·        Kuandika majibu

·        Kusahihisha

·        Kujadili majibu na masahihisho

·        Kuandika majibu sahihi ubaoni

·        kuigiza

 

·        Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi 4 uk 233-255

Mwongozo wa mwalimu uk 175-198

·        Kamusi ya Kiswahili

·        Isimu-jamii kwa shule za sekondari

 

 

·        Mwanafunzi wenyewe

·        Ubao

·        Chati (muktadha mbali mbali)

 

   

3

 

Sarufi na matumizi ya lugha

 

Uchanganuzi wa sentensi changamano

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

(a)    Kuchanganua sentensi changamano

(b)    Kuunda nomino kutokana na nomino au vitenzi

(c)     Kujibu maswali ya vipengele vya ‘a’ na ‘b’ kwa usahihi

 

·        Kueleza

·        Maswali ya dodoso

·        Kujadili

·        Kuandika madaftarini

 

·        Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi 4 uk 225-227

Mwongozo wa mwalimu uk 168-170

·        Karunzi ya kiwahili

·        Kamusi ya Kiswahili

·        Golden Tips Kiswahili

 

 

·        Michoro ya uchanganuzi

·        Chati (nomino na vitenzi

·        Ubao

   

4/5

 

Kusoma

 

Maswali ya Fasihi majaribio I-IV

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

(a)    Kusoma maswali na kueleza yanayohitaji

(b)    Kujibu maswali kwa usanifu

(c)     Kujirekebisha alikokosea

 

·        Kusoma ghibu

·        Kueleza

·        Kujadili

·        Kuandika madaftarini

·        Kusahihisha

 

·        Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi 4 uk 233-260

Mwongozo wa mwalimu uk 178-195

·        Fasihi simulizi kwa shule za sekondari

·        Kichechocheo cha Fasihi simulizi na Andishi

 

 

·        Wanafunzi wenyewe

·        Magazeti

·        Hadithi vitabu teule vya fasihi

·        Magazeti

·        Chati (tanzu za fasihi)

   

6

 

kuandika

 

Maswali ya insha Jaribio I-IV

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

(a)    Kufafanua uandishi bora wa insha

(b)    Kuandika insha kikamilifu

(c)     Kubainisha makosa yake na kujirekebisha

 

·        Kujadili vidokezo

·        Kuandika

·        Kujadili makosa na kujirekebisha

 

·        Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi 4 uk 233-260

Mwongozo wa mwalimu uk 178-198

·        Karunzi ya kiwahili

·        Insha kabambe (simon mutali)

·        Golden Tips Kiswahili

·        Fasihi simulizi kwa shule

 

 

·        Maswali kitabuni

·        Ubao

·        Chati (aina za insha

·        Nakala za insha bora

 

7

 

1-6

 

majaribio

 

Jaribio I

Jaribio II

Jaribio III

Sarufi na matumizi ya lugha

 

Kufikia mwisho wa funzo mwanafunzi aweze

(a)    Kufanya masahihisho sahihi kwa maswali ya juma la 6

(b)    Kubainisha upungufu wake na kujiimarisha

 

·        Kusoma

·        Kuandika majibu

·        Kusahihisha

·        Kujadili majibu sahihi

 

·        Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi 4 uk 236,243,250

Mwongozo wa mwalimu uk 175-193

·        Karunzi ya kiwahili

 

 

·        Wanafunzi wenyewe

·        Ubao

·        Chati (vipengele muhimu)

 

8

 

1-6

 

Marudio

 

Jaribio IV (sarufi)

Karatasi za awali za K.C.S.E (hasa ya 2010) na za mwiyo

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

(a)     kutambua muundo wa mtihani wa K.C.S.E na jinsi ya kukabili maswali

(b)    Kujamini kwa uwezo wa kupasi

 

·        Kusoma

·        Kutoa majibu

·        Kusahihisha

·        Kujadili matokeo ya majibu sahihi

 

 

·        Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi 4 uk

Mwongozo wa mwalimu uk

·        Karunzi ya kiwahili

·        Golden Tips Kiswahili

·        Ijaribu na uikarabati

 

 

·        Wanafunzi wenyewe

·        Nakala za karatasi za awali (k.c.s.e)

·        Ubao

  9-12 MTIHANI WA K.C.S.E NA KUFUNGA SHULE
   

 

Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *