Free Kiswahili lesson plans for form 1 to 4

Here are all the Kiswahili secondary school lesson plans for all topics. You can also download the editable and pdf lesson plans below.

FREE KISWAHILI LESSON PLANS (FORM 1-4)

                  MIPANGILIO YA VIPINDI/MASOMO      MUHULA WA KWANZA       KIDATO CHA PILI

JINA LA  MWALIMU:………………………………………………

NAMBARI LA TSC:………………………………………………………

SHULE :……………………………………………………………MWAKA:……………………………………………………………………

KIDATO CHA PILI                                                        SOMO LA KISWAHILI

MADA KUU: KUSOMA(UFAHAMU)                         MADA NDOGO :Ndugu majuu na wakazi wa kibabuu

WIKI:………2………………………………………………………NAMBARI LA SOMO:1

TAREHE :…………………………………………………………..WAKATI: DAKIKA 40

SHABAHA : Kufika mwisho wa somo mwanafunzi aweze;

  • kusoma kwa matamshi
  • kutumia msamiati na misemo  kwa ufasaha
  •  kujibu maswali kwa usahihi.
 

HATUA NA MUDA

 

YALIYOMO

 

SHUGHILI ZA MWALIMU NA MWANAFUNZI

 

NYENZO

 

UTANGULIZI

(DAK.5)

Maamkizi

Kupitia somo lililopita

Mwalimu na wanafunzi kuamkiana

Maelezo mafupi,maswali na majibu kuhusu somo lililopita

Wanafunzi wenyewe

Matini ya mwalimu

MWENDELEZO

(DAK.30)

Mwalimu kuwaelekeza wanafunzi kusoma ufahamu, kutambua misamiati,misemo,methali na nahau na kuyapa  maana kamili kulingana na ufahamu kisha wanafunzi kuyatumia katika utunzi wa sentensi  ili kubainisha maana zao kikamilifu

 

Kusoma ufahamu kwa kina na mantiki

Maswali na majibu baina ya mwalimu na wanafunzi kuhusu ufahamu

Majadiliano baina ya mwalimu na wanafunzi

Utunzi wa sentensi

Chemi chemi za Kiswahili    2

(uk 1-3)

Kamusi ya misemo na nahau(k.w wamithila)

Matini ya mwalimu

Wanafunzi wenyewe

HITIMISHO

(DAK.5)

Mwalimu kutoa maelezo mafupi kuhusu somo

Zoezi kwa wanafunzi kuhusu somo

Maelezo mafupi, maswali na majibu kuhusu somo

Wanafunzi kufanya zoezi

Chemi chemi za Kiswahili    2

(uk 1-3)

Kamusi ya misemo na nahau(k.w wamithila)

Matini ya mwalimu

Wanafunzi wenyewe

 

JINA LA MWALIMU:……………………………………………..

.NAMBARI LA TSC:………………………………………………………

SHULE :……………………………………………………………MWAKA:……………………………………………………………………

KIDATO CHA PILI                                                        SOMO LA KISWAHILI

MADA KUU: KUSIKILIZA NA KUZUNGUMZA      MADA NDOGO : Isimu jamii;

Majadiliano baina ya mwanafunzi na mwalimu

WIKI:…………2…………………………………………………NAMBARI LA SOMO:2

TAREHE :………………………………………………………….WAKATI: DAKIKA 40

SHABAHA : Kufika mwisho wa somo mwanafunzi aweze;

  • kuelezea sifa za mazungumzo shuleni
  •  kuweza kuigiza mazungumzo baina ya mwalimu na mwanafunzi
 

HATUA NA MUDA

 

YALIYOMO

 

SHUGHILI ZA MWALIMU NA MWANAFUNZI

 

NYENZO

 

UTANGULIZI

(DAK.5)

Maamkizi

Kupitia somo lililopita

Mwalimu na wanafunzi kuamkiana

Maelezo mafupi,maswali na majibu kuhusu somo lililopita

Wanafunzi wenyewe

Matini ya mwalimu

MWENDELEZO

(DAK.30)

Isimu jamii;

Majadiliano baina ya mwalimu na mwanafunzi;

Mwalimu kutoa maelezo ya maana ya isimu jamii na sifa za majadiliano baina ya mwalimu na mwanafunzi

Mwalimu kuwaelekeza wanafunzi kusoma majadiliano baina ya mwalimu na mwanafunzi na wanafunzi kuweza kuigiza darasani.

Majadiliano  baina ya mwalimu na wanafunzi kuhusu sajili ya darasani

Maelezo kutoka kwa mwalimu

Majibu na maswali baina ya mwalimu na wanafunzi

Kusoma mazungumzo baina mwalimu na mwanafunzi

Uigizaji wa mazungumzo hayo

Chemi chemi za Kiswahili    2

(uk 4-5)

Matini ya mwalimu

Wanafunzi wenyewe

HITIMISHO

(DAK.5)

Mwalimu kutoa maelezo mafupi kuhusu somo

Zoezi kwa wanafunzi kuhusu somo

Maelezo mafupi, maswali na majibu kuhusu somo

Wanafunzi kufanya zoezi

Chemi  chemi za Kiswahili   2

(uk 4-5)

Matini ya mwalimu

Wanafunzi wenyewe

 

JINA  LA MWALIMU:……………………………………………..

.NAMBARI LA TSC:………………………………………………………

SHULE :……………………………………………………………MWAKA:……………………………………………………………………

KIDATO CHA PILI                                                        SOMO LA KISWAHILI

MADA KUU: SARUFI NA MATUMIZI YA LUGHA  MADA NDOGO : Mofimu

WIKI:…………2……………………………………………………NAMBARI LA SOMO:3

TAREHE :…………………………………………………………..WAKATI: DAKIKA 40

SHABAHA : Kufika mwisho wa somo mwanafunzi aweze;

  • kueleza maana ya mofimu na aina zake
  • kuweza kutambua  mofimu katika maneno
  • kutaja maana mbalimbali zinazowakilishwa na mofimu
 

HATUA NA MUDA

 

YALIYOMO

 

SHUGHILI ZA MWALIMU NA MWANAFUNZI

 

NYENZO

 

UTANGULIZI

(DAK.5)

Maamkizi

Kupitia somo lililopita

Mwalimu na wanafunzi kuamkiana

Maelezo mafupi,maswali na majibu kuhusu somo lililopita

Wanafunzi wenyewe

Matini ya mwalimu

MWENDELEZO

(DAK.30)

Mofimu;

Mwalimu kutoa maelezo ya maana ya mofimu, aina za mofimu, kuonyesha mofimu katika maneno na kutaja maana mbalimbali zinazowakilishwa na mofimu

Wanafunzi kusikiliza kwa makini na kuandika maelezo ya mwalimu

Majadiliano baina ya mwalimu na wanafunzi

Maelezo kuhusu somo kutoka kwa mwalimu

Mazungumzo baina ya mwalimu na wanafunzi

Maswali na majibu baina ya mwalimu na wanafunzi

Wanafunzi kuandika maelezo ya mwalimu

 

Chemi chemi za Kiswahili    2

(uk 6-8)

Matini ya mwalimu

Wanafunzi wenyewe

HITIMISHO

(DAK.5)

Mwalimu kutoa maelezo mafupi kuhusu somo

Zoezi kwa wanafunzi kuhusu somo

Maelezo mafupi, maswali na majibu kuhusu somo

Wanafunzi kufanya zoezi

Chemi chemi za Kiswahili    2

(uk 6-8)

Matini ya mwalimu

Wanafunzi wenyewe

 

Check on https://educationnewshub.co.ke/category/teachers-resources/ for more lesson plans.

See more lesson plans below.

Red downloading updates icon - Free red download iconsDOWNLOAD FREE HIGH SCHOOL MATERIALS


FREE UPDATED NOTES

FORM ONE NOTES

FORM TWO NOTES

FORM THREE NOTES

FORM FOUR NOTES

FREE LATEST EXAMS WITH MARKING SCHEMES

FORM ONE EXAMS

FORM TWO EXAMS

FORM THREE EXAMS

FORM FOUR EXAMS

FORM 1-4 FREE EXAMS

SCHEMES OF WORK

KCSE REVISION MATERIALS

Secondary schools free lesson plans per subject.

English Free Lesson Plans Download

French Free Lesson Plans Download

German Free Lesson Plans Download

Arabic Free Lesson Plans Download

Music Free Lesson Plans Download

Kiswahili Free Lesson Plans Download

Mathematics Free Lesson Plans Download

Biology Free Lesson Plans Download

Physics Free Lesson Plans Download

Chemistry Free Lesson Plans Download

General Science Free Lesson Plans Download

History and Government Free Lesson Plans Download

Geography Free Lesson Plans Download 

Home Science Free Lesson Plans Download

Arty and Design Free Lesson Plans Download

Agriculture Free Lesson Plans Download

Woodwork Free Lesson Plans Download

Metalwork Free Lesson Plans Download

Building Construction Free Lesson Plans Download

Power Mechanics Free Lesson Plans Download

Electricity Free Lesson Plans Download

Drawing and Design Free Lesson Plans Download

Aviation Technology Free Lesson Plans Download

Computer studies Free Lesson Plans Download

Business Studies Free Lesson Plans Download

Kenya Sign Language (KSL) Free Lesson Plans Download

Islamic Religious Education (IRE) Free Lesson Plans Download

Christian Religious Education (CRE) Free Lesson Plans Download

Add a Comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *