KISWAHILI FORM 3 SCHEMES OF WORK TERM 1-3

Teachers' Resources

ASILIA

  1. KLB
  2. Mwongozo wa Mwalimu
  3. Oxford
  4. Kamusi
JUMAKIPINDI 

SOMO

SOMO NDOGO

 

SHABAHA

 

MBINU

 

VIFAA

 

ASILIA

 

MAONI

11-6KUFUNGUA SHULE 
 

2

 

1

 

Kusoma (Ufahamu)

 

Mwanakumba na kufura ya Bi. sombe

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

Kueleza maudhui ya kifungu

Kufafanua maana ya misemo na kuitungia sentensi

Kujibu maswali kwa usahihi

 

Kusoma

Kujieleza

Kujadili

Kujibu maswali

kuandika

 

Mchoro kitabuni

ubao

Chemchemi za Kiswahili 3

Kitabu cha wanafunzi  uk 1-5

Mwongozo wa mwalimu uk  1-2

Kamusi ya Kiswahili

Kamusi ya methali

Kamusi ya misemo na nahau

 
  

2

 

Kusiliza na kuzungumza

 

Dhima ya fasihi

 

Kufikia mwisho wa funzo mwanafuzi aweze

kueleza maana ya fasihi

kueleza aina za fasihi na kuzifafanua

kueleza umuhimu wa fasihi katika maisha ya jamii

 

kueleza

kusoma kwa sauti

kujadili

kujadili maswali

kuandika

kufanya zoezi

 

Chati/bango

Wanafunzi wenyewe

Magazeti (mashairi)

Vitabu teule vya fasihi andishi

Vitu halisi (ngoma)

Chemchemi za Kiswahili 3

Kitabu cha wanafunzi  uk 4-5

Mwongozo wa mwalimu uk  2-3

Kamusi ya Kiswahili

Fasihi simulizi kwa shule za sekondari

Kamusi fasihi

Darubiri ya Kiswahili 3 uk 37, 63

Mwongozo uk 34

 
  

3

 

Sarufi na matmizi ya lugha

 

Vitenzi

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

Kutaja aina za vitenzi

Kubainisha mizizi ya vitenzi

Kutambua viambishi awali na tamati katika kiarifa

Kubainisha vitenzi kwa usahihi

 

Kusikiliza

Kueleza

Kutunga sentensi

Kujibu madaftarini

kuandika

 

Chati (jedwali za aina za vitenzi)

Ubao

michoro

Chemchemi za Kiswahili 3

Kitabu cha wanafunzi  uk 5-9

Mwongozo wa mwalimu uk  3-4

Kamusi ya Kiswahili

Sarufi fafanuzi ya Kiswahili

Golden tips Kiswahili

Karunzi ya kiswahili

Fasihi simulizi kwa shule za sekondari

 
  

4-5

 

Kusoma (Fasihi)

 

Msingi wa usomaji wa ufahamu

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

Kueleza umuhimu wa funzo la ufahamu

Kueleza maana ya maudhui fani na maadili

Kutambua njia na mbinu za kujibu maswali ya ufahamu

Kujibu maswali ya ufahamu ifaavyo

 

Kueleza

Kusikiliza

Kuuliza maswali kuandika

 

Ubao

Nakala (ufahamu mfupi)

Magazeti

Majarida

Chemchemi za Kiswahili 3

Kitabu cha wanafunzi  uk 10

Mwongozo wa mwalimu uk  5

Golden tips Kiswahili

Karunzi ya kiswahili

 

 
  

6

 

Kuandika

 

Mukhtasari au ufupisho

 

Kufikia mwisho wa funzo mwanafunzi aweze

Kusoma na kudondoa hoja muhimu

Kueleza hatua zinazofuatwa katika ufupisho wa makala

Kueleza umuhimu wa ufupisho

 

Kusoma

Kueleza

Kujadili

kuandika

 

Ubao

Kielezo cha makala yaliyo fupishwa

Chali (hatua )

magazeti

Chemchemi za Kiswahili 3

Kitabu cha wanafunzi  uk 11-13

Mwongozo wa mwalimu uk  5-6

Darubiri ya Kiswahili 3 uk 136-139

Mwongozo uk 82

Insha kabambe (simon Mutali)

 
 

3

 

1

 

Kusoma (ufahamu)

 

Maswaibu na zabuni ya sabuni

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

kusoma kwa matamshi bora

kufafanua ujumbe na maadili katika kifungu

kupanua msamiati wake

kujibu maswali kwa usahihi

 

kusoma

kusikiliza

kujadili

kujibu maswali

kuandika

 

Bango (miairisho ya fasihi simulizi

Wanafunzi wenyewe

ubao

Chemchemi za Kiswahili 3

Kitabu cha wanafunzi  uk 14-17

Mwongozo wa mwalimu uk  7-8

Kamusi ya Kiswahili

Kamusi ya misemo na nahu (K.W wamitila)

 
  

2

 

Kusikiliza na kuzungumza

 

Uainishaji wa fasihi simulizi

 

Kufikia mwisho wa funzo mwanafunzi aweze

kueleza jukumu la fasihi kwa jumla

kuorodhesha na kueleza vitanzu vyote vya fasihi

kueleza dhima ya fasihi simulizi katika jamii

 

kueleza

kusoma makala kitabuni

kujadili

kuigiza

 

Bango (miairisho ya fasihi simulizi

Wanafunzi wenyewe

ubao

Chemchemi za Kiswahili 3

Kitabu cha wanafunzi  uk 17-19

Mwongozo wa mwalimu uk  5-9

Kamusi ya Kiswahili

Sarufi fafanuzi ya Kiswahili

Fasihi simulizi kwa shule za sekondari

Kichocheo cha fasihi simulizi na andishi

Darubiri ya Kiswahili 3 uk 63

Mwongozo uk 49

 
  

3

 

Sarufi na matumizi ya lugha

 

Vielezi

 

Kufika mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

kungamua maana ya vitensi

kubainisha aina za vielezo na kutoa mifano

kuonyesha vielezi katika tungo

 

kusoma

kutoa mifano

kuandika

kujibu maswali

 

Chati 9aina za vielezi)

Ubao

Wanafunzi wenyewe

Magazeti

Vitu halisi (birika)

 

Chemchemi za Kiswahili 3

Kitabu cha wanafunzi  uk 20-22/35

Mwongozo wa mwalimu uk

Kamusi ya Kiswahili

Sarufi fafanuzi ya Kiswahili

Darubiri ya Kiswahili 3 uk 228-230

Mwongozo uk 121-122

 
  

4/5

 

Kusoma (fasihi)

 

Riwaya I

(amudhui)

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

Kueleza maana ya riwaya na kutaja mifano

Kueleza maana ya maudhui na vipengele vinavyoshugulikiwa nayo

Kueleza tofauti kati ya vipengele mbalimbali ya maudhui

 

Kusoma

Kujadili

Kuandika

Kutafiti (kazi ya ziada)

 

Riwaya teule

Ubao

Chati (maudhui)

Chemchemi za Kiswahili 3

Kitabu cha wanafunzi  uk 25-26

Mwongozo wa mwalimu uk   11-12

Kamusi ya Fasihi

Mwongozo wa riwaya

Kichocheo cha fasihi simulizi na andishi

 
  

6

 

kuandika

 

Insha ya masimulizi

 

Kufikia mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

Kufafanua sifa za insha ya masimulizi

Kuandika kisa kinachosimulia jambo Fulani kwa mtiririko ufaao

Kuandika kwa hali nadhifu nakutumia fani za lugha

 

Kueleza

Kujadili vidokezo

kuandika

 

Nakala ya insha ya masimulizi

Picha (magari na watu)

Magaeti (visa vingi)

Ubao

Wanafunzi wenyewe

Chemchemi za Kiswahili 3

Kitabu cha wanafunzi  uk 26-28

Mwongozo wa mwalimu uk  12-13

Insha kabambe (Simon mutali)

Darubiri ya Kiswahil 3 uk 278

Mwongozo uk 98

 
 

4

 

1

 

Kusoma (ufahamu)

 

Pigola yasmin

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

Kusoma kifungu kwaw ufasaha

Kutambua vianzo vya haki na dhiima katika jamii

Kupanua kitembo chake cha msamiati na semi

 

Kusoma ghibu

Kujadili ujumbe

Kujibu maswali

kuandika

 

Mchoro kitabuni

Ubao

Chati (msamiati)

Magazeti chake

Katiba halisi

Chemchemi za Kiswahili 3

Kitabu cha wanafunzi  uk 20-22/35

Mwongozo wa mwalimu uk

Kamusi ya Kiswahili

Kamusi ya methali (Wamitila)

Kamusi ya misemo na nahau

 
  

2

 

Kusikiliza na kuzungumza

 

Umuhimu wa fasihi simulizi

 

Kufikia mwisho wa funzo mwanafunzi aweze

Kueleza umuhimu wa fasihi simulizi katika jamii

Kusimuliz kitanzu chochote cha fasihi simulizi mbele ya daras

Kupenda fasihi simulizi

 

Kueleza

Kujadili

Kuigiza mifano

Kusikiliza

kuandika

Wanafunzi wenyewe

Magazeti (taifaleo)

Picha

Vitu halisi (ngoma)

Ubao

chati

Chemchemi za Kiswahili 3

Kitabu cha wanafunzi  uk 20-22/35

Mwongozo wa mwalimu uk

Kichocheo cha fasihi simulizi na andishi

Fasihi simulizi kwa shule za senkondari

Kamusi ya fasihi

Kamusi ya misemo na nahau

Kamusi ya methali (K.W wamitila)

 
  

3

 

Sarufi na matumizi ya lugha

 

Uakifishaji

 

Kufikia mwisho wa funzo,mwanafunzi aweze

kuelea maana na umuhimu wa uakifishaji

kutambua majina na alama za viakifishi

kuakifisha kifungu kwa njia ifaayo

 

kueleza

kuandika tungo

kusoma

kufanya zoezi

 

Chati (alama na matumizi)

Ubao

Kielelezo cha makala iliyoakifishwa

magazeti

Chemchemi za Kiswahili 3

Kitabu cha wanafunzi  uk 22-25

Kamusi ya Kiswahili

Sarufi fafanuzi ya Kiswahili

Darubini ya Kiswahili uk 13

Mwongozo wa mwalimu uk 80

 
  

4-5

 

Kusoma (fasihi)

 

Mashairi

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

kusoma na kutaja maudhui katika shairi

kueleza sifa bainifu za shairi huru

kujibu maswali yatokanayo na shair huru kwa usahihi

 

kusoma

kujadili

kuandika

kujibu maswali kwa sauti na madaftarini

 

Diwali ya mashairi

Shairi kitabuni

Chati (sifa) na muundo

Magazeti (taifa leo)

Chemchemi za Kiswahili 3

Kitabu cha wanafunzi  uk 41-43

Mwongozo wa mwalimu uk 18

Kichocheo cha fasihi simulizi na andishi

Nuru ya ushairi

Miale ya ushairi (NES)

 
  

6

 

kuandika

 

Mahojiano na dayolojia

Kufikia mwisho wa funzo mwanafunzi aweze

Kueleza na kufafanua maana ya mahojiano na dayolojia

Kuigiza mahojiano darasani

Kuandika mahojiano kwa kuzingatia muundo na hatua kuu muhimu

 

Kueleza

Kusoma

Kuigiza mahojiano

Kuandika madaftarini

 

Ubao

Wanafunzi wenyewe

Nakala ya mahojiano

Picha

Magazeti

Chemchemi za Kiswahili 3

Kitabu cha wanafunzi  uk 43-45

Mwongozo wa mwalimu uk 19

Darubini ya Kiswahili 3 uk 166

Mwongozo wa mwalimu uk 93

Insha kabambe

 
 

5

 

1

 

Kusoma (ufahamu)

 

Ufahamu: jogoo na  cheka

 

Kufikia mwisho wa funzo mwanafuzi aweze

Kueleza madhara ya uchafuzi wa mazingira

Kusoma kwa matamshi bora na kufafanua ujumbe

Kukuza msamiati wake

Kujibu maswali ya ufahamu kwa usahihi

 

Kusoma

Kujadili

Kuandika

Kufanya marudio

 

Mchoro kitabuni

Picha uchafuzi na mazingira

Ubao

Kanda

Wanafunzi wenyewe

Chemchemi za Kiswahili 3

Kitabu cha wanafunzi  uk 46-49

Mwongozo wa mwalimu uk 20-21

Insha kabambe

Kamusi ya Kiswahili

Kamusi ya misemo na nahau/kamusi ya methali (K.W wamitila)

 
 

 

2 

Kusikiliza na kuzungumza

 

Ushairi simulizi

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

Kueleza tungo mbali mbali za ushair simulizi

Kueleza sifa za ushairi simulizi

Kuigiza ushairi simulizi kutoka katika jamii yake

 

Kueleza

Kusoma

Kusikiliza

kuigiza

 

Chati sifa

Ushairi simulizi

Ubao

Magazeti (taifa leo)

Wanafunzi wenyewe

Chemchemi za Kiswahili 3

Kitabu cha wanafunzi  uk 32-35

Mwongozo wa mwalimu uk 15-16

Miale ya ushairi

Taalumu ya ushairi

Nuru ya ushairi

 
  

3

 

Sarufi na matumizi ya lugha

 

viwakilishi

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

Kutaja aina za viwakilishi

Kueleza na kubainisha aina za viwakilishi

Kutumia viwakilishi katika sentensi kwa usahihi

 

Kueleza

Kusoma

Kujadili

Kuandika

Kujibu maswli

 

Diwani ya mashairi huru

Ubao

Chati (sifa za mashairi huru)

Magazeti (Taifaleo)

 

Chemchemi za Kiswahili 3

Kitabu cha wanafunzi  uk 39-41

Mwongozo wa mwalimu uk 16,24

Miale ya ushairi

Taalumu ya ushairi

Nuru ya ushairi

 
  

4-5

 

Kusoma (fasihi)

 

Mashairi Huru

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

Kusoma na keuleza maudhui ya shairi huru

Kupabanua sifa za mashiri huru

Kujibu maswali yatokanayo na shairi huru

 

Kusoma

Kueleza

Kujadili

kuandika

 

Nakala halisi ya shairi huru

Chati (sifa za shairi huru)

Ubao

Magazeti (taifa leo)

Chemchemi za Kiswahili 3

Kitabu cha wanafunzi  uk 41-43

Mwongozo wa mwalimu uk 18

Miale ya ushairi

Taalumu ya ushairi

Nuru ya ushairi

Kamusi ya Kiswahili

Fasihi simulizi kwa shule za sekondari

Kichocheo cha fasihi

 
  

6

 

kuandika

 

Barua rasmi

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

Kueleza muundo na sehemu kuu za barua rasmi

Kupambanua msamiati wa uandishi wa barua rasmi

Kuandika barua rasmi kwa kuzingatia kanuni zake

 

Kueleza

Kujibu maswali

Kujadili vidokezo

Kuandika

Kufanya zoezi

 

Nakala halisi ya barua rasmi

Ubao

Chati (muundo wa barua rasmi)

Chemchemi za Kiswahili 3

Kitabu cha wanafunzi  uk 60-63

Mwongozo wa mwalimu uk 26-27

Insha kabambe (simon mutali chesebe)

Darubini ya Kiswahili uk 147

Mwongozo wa mwalimu uk 87

 
 

6

 

1

 

Kusoma (ufahamu)

 

Vitabu vya hadithi (muhtasari)

 

Kufikia mwisho wa funzo,m wanafunzi aweze

Kusoma kitabu cha hadithi na kueleza maudhui

Kuandika muhtasari wa hadithi husika

Kukuza msamiati wake

 

Kusoma

Kujadili

Kueleza

kuandka

 

Wanafunzi wenyewe

Chati (msamiati maabadini)

Makala ya muhtasari

Magazeti

Chemchemi za Kiswahili 3

Kitabu cha wanafunzi  uk 25/60

Mwongozo wa mwalimu uk 24

Kamusi ya Kiswahili

Kamusi ya methali

Kamusi ya misemo na nahau (wamithila)

Fasihi simulizi kwa shule za sekondari

Kichocheo cha fasihi

 
  

2

 

Kusikiliza na kuzungumza

 

Maamkizi : sehemu za kuabudu (Isimu jamii)

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze:

Kueleza sifa za mamkizi katika maabudu tofauti tofauti

Kupambana istilahi za maabadini

Kuigiza mazungumzo ya kitabuni

 

Kusikiliza

Kuandika tungo

Kusooma

Kuigiza

kuandika

 

Wanafunzi wenyewe

Chati (sentenzi na misamiati ya maabadini)

Ubao

Chemchemi za Kiswahili 3

Kitabu cha wanafunzi  uk 50-53

Mwongozo wa mwalimu uk 21-22

Kamusi ya Kiswahili

Isimu jamii kwa shule za sekondari (ipara Isaac odeo)

Darubini ya Kiswahili uk 318

Mwongozo uk 158

 
  

3

 

Sarufi na matumizi ya lugha

 

Uakifishaji II

 

Kufikia mwisho wa funzo,mwanafunzi aweze

Kueleza matumizi ya alama za uakifishaji

Kutumia alama za viakifishaji katika tungo

Kuakifisha tungo ifaayo

 

Kueleza

Kuandika tungo

Kusoma

Kuakifisha tungo

Kufanya zoezi

 

Magazetini (Taifa leo)

Riwaya teule

Wanafunzi wenyewe

Ubao

Chati (lugha)

Chemchemi za Kiswahili 3

Kitabu cha wanafunzi  uk 57-59

Mwongozo wa mwalimu uk 24-25

Kamusi ya Kiswahili

Sarufi fafanuzi ya kiswahili

Darubini ya Kiswahili uk 81,133

Mwongozo uk 55/80

 
  

4/5

 

Kusoma (fasihi)

 

Riwaya III

 

Kufikia mwisho wa funzo,mwanafunzi aweze

Kueleza fani na  matumizi ya lugha katika riwaya

Kufafanua muundo wa riwaya

Kuchambua riwaya teule kifani na kimuundo

 

Kusoma

Kujadili

Kuandika

Kutafiti zaidi

 

Magazeti (taifa leo)

Riwaya teule

Wanafunzi wenyewe

Ubao

Chati (lugha)

Chemchemi za Kiswahili 3

Kitabu cha wanafunzi  uk 54-60

Mwongozo wa mwalimu uk 25-26

Mwongozo wa riwaya teule

Kichocheo cha fasihi simulizi na andishi

 
  

6

 

kuandika

 

Barua kwa mhariri

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

Kueleza muundo wa barua kwa mhariri

Kusoma mfano kitabuni na gazetini na kufafanua sifa bainifu

Kuandika sifa bainifu kwa mhariri kwa usahihi

 

Kueleza

Kujadili

Kusoma

kuandika

 

Mchoro kitabuni

Ubao

Magazeti (taifa leo)

Nakala halisi ya barua

Chemchemi za Kiswahili 3

Kitabu cha wanafunzi  uk 62-63

Mwongozo wa mwalimu uk 27

Insha kabambe (simon M chesebe)

Karunzi ya Kiswahili

Golden tips kiswahili

Darubini ya Kiswahili uk 30

 
 

7

 

1

 

Kusoma (ufahamu)

 

Mwindo wa vishindo vya shemwindo

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

Kusoma na kueleza maadili katika kifungu

Kueleza na kutunga sentensi kwa msamiati mpay

Kujibu maswali ya kifungu kwa usahihi

 

Kusoma

Kutunga sentensi

Kueleza

Kuandika (Zoezi)

 

Mchoro kitabuni

Ubao

Chati (msamiati na maana)

Chemchemi za Kiswahili 3

Kitabu cha wanafunzi  uk 62-63

Mwongozo wa mwalimu uk 27

Kamusi ya Kiswahili

Kamusi ya methali/kamusi ya misemo na nahau

 
  

2

 

Kusikiliza na kuzungumza

 

Maghani

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

Kueleza maana ya maghani

Kutaja nakufafanua aina tofauti za maghani

Kuugiza maghani darasani

 

Kueleza

Kusoma

Kutoa mifano na kuigiza

Kuandika (zoezi)

 

Chati (aina za maghani)

Ubao

Bango

Chemchemi za Kiswahili 3

Kitabu cha wanafunzi  uk 53-54

Mwongozo wa mwalimu uk 22-23

Fasihi simulizi kwa shule za sekondari (alez ngure

Kichocheo cha fasihi simulizi na andishi

Sarufi fafanuzi ya kiswahili

Darubini ya Kiswahili uk 251-252

Mwongozo uk 62

 
  

3

 

Sarufi na matumizi ya lugha

 

Viwakilishi

 

Kufikia mwisho wa funzo mwanafunzi aweze

Kutaja mifano zaidi ya viwakilishi

Kutumia aina husika za viwakilishi kwa kuzingatia upatanisho wa ngeli na kisarufi

 

Kueleza

Kusoma

Kuandika

 

Magazeti (taifa leo)

Kielezo kitabuni

Chemchemi za Kiswahili 3

Kitabu cha wanafunzi  uk 69-71

Mwongozo wa mwalimu uk 30

Sarufi fafanuzi ya kiswahili

Darubini ya Kiswahili uk 65

Mwongozo uk 50

 
  

4-5

 

Kusoma (muhtasari)

 

Makala (gazeti)

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

Kusoma kwa sauti na matamshi bora

Kupambanua matumizi ya lugha katika makala kitabuni

Kujibu maswali (muhtasari) kwa usahihi

 

Kueleza

Kusoma

Kujadili

Kuzuru maktaba

 

Mifano halisi

Ubao

Magazeti

Kiara (maktaba)

Chati (umuhimu)

Chemchemi za Kiswahili 3

Kitabu cha wanafunzi  uk 72-73

Mwongozo wa mwalimu uk 32

Kamusi ya Kiswahili

 
  

6

 

kuandika

 

Barua meme

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwnafunzi aweze

Kueleza  maana ya barua meme

Kutambua njia ya kutma barua

Kutofautisha barua meme na barua nyingiezo

Kuandika barua meme

 

Kueleza

Kujadili

Kusoma

kuandika

 

Mchoro kitabuni

Wanafunzi wenyewe

ubao

Chemchemi za Kiswahili 3

Kitabu cha wanafunzi  uk 77-80

Mwongozo wa mwalimu uk 33-34

Kamusi ya kiswahili

Darubini ya Kiswahili uk 33

Mwongozo uk 29

 
81-5LIKIZO FUPI 
 

9

 

1

 

KUSOMA (UFAHAMU)

 

Umoja wa jamii

Kufikia mwisho wa funzo mwanafunzi aweze

kufafanua muundo wa kifungu

kueleza maudhui katika kifungu

kusoma kwa sauti na matamshi bora

kujibu maswali kwa uhalisi

 

kudodosa

kueleza

kusoma

kujadili

kuandika

kuigiza

 

Wanafunzi wenyewe

Ubao

Chati (msamiati)

Chemchemi za Kiswahili 3

Kitabu cha wanafunzi  uk 77-80

Mwongozo wa mwalimu uk 35-36

Kamusi ya methali (Wamitila)

Kamusi ya kiswahili

 
  

2

 

Kusikiliza na kuzungumza

 

Mighani/migani au visakale

 

Kufikia mwisho wa funzo,mwanafunzi aweze

Kufafanua maana ya migani

(a) kutaja na kueleza sifa za mighani

Kutoa mfano wa mighani katika jamii

 

Kusoma

Kusikiliza

Kusimuliz

Kuandika

Kutafsiri (kazi ya ziada)

 

Ubao

Picha (mashujaa)

Magazeti

Chati (mifano ya visakale)

Chemchemi za Kiswahili 3

Kitabu cha wanafunzi  uk 68-69

Mwongozo wa mwalimu uk 29-30

Kamusi ya Kiswahili

Fasihi simulizi kwa shule za sekondari

Kichocheo cha fasihi simulizi na andishi

Darubini ya kiswahilii 3 uk 224

Mwongozo wa mwalimu uk 55

 
  

3

 

Sarufi na matumizi ya lugha

 

Mwingiliano wa maneno

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

Kutaja na kueleza aina za maneno

Kuonyesha jinsi neno linavyoweza kubadilika ki-aina kitegemea nafasi

Kubainisha jukumu la neno katika sentensi

 

Kueleza

Kusoma

Kutoa na kujadili mifano

Kuandika

Kufanya zoezi

 

Chati (aina za maneno)

Ubao

Mifano ya sentensi

Vitu halisi (viti,ndizi)

Chemchemi za Kiswahili 3

Kitabu cha wanafunzi  uk 70-71

Mwongozo wa mwalimu uk 31-32

Kamusi ya Kiswahili

Sarufi fafanuzi ya Kiswahili

Golden Tips Kiswahili

Kurunzi ya Kiswahili

 
  

 

4-5

 

Kusoma

 

Hadithi fupi

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

Kueleza maana ya hadithi fupi

Kutofautisha hadithi fupi na riwaya

Kubainisha/mtindo wa hadithi fupi

Kusoma hadithi fupi na kueleza kimtindo na kimaudhui

 

Kueleza

Kusoma

Kujadili

kuandika

 

Diwani teuule

Magazeti yenye hadithi fupi

Chati (mtindo)

Chemchemi za Kiswahili 3

Kitabu cha wanafunzi  uk 89-9-

Mwongozo wa mwalimu uk 40-41

Kamusi ya Kiswahili

Mwongozo wa uchambuzi (Diwani teule)

Kamusi ya misemo na nahua (wamitila)

 
  

6

 

kuandika

 

kumbukumbu

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

Kueleza muundo wa kumbukumbu

Kutaja manufaa ya kuandika kumbukumbu

Kuandika kumbukumbu kwa kuzingatia kanuni zake

 

Kueleza

Kusoma

Kujadili

kuandika

 

Nakala ya kumbukumbu halisi

Chati (muundo)

Ubao

Wanafunzi wenyewe

Chemchemi za Kiswahili 3

Kitabu cha wanafunzi  uk 92-94

Mwongozo wa mwalimu uk 41-42

Kurunzi ya kiswahili

Insha kabambe (simon mutali)

Darubini ya kiswahilii 3 uk 345

Mwongozo wa mwalimu uk 178

 
 

10

 

1

 

Kusoma (ufahamu)

 

Mrushaji na tamtamu mahonda

Kufikia mwisho wa funzo mwanafunzi aweze

Kusoma na kutambua ujumbe wa kifungu

Kutumia msamiati na fani za lugha kifunguni

Kueleza njia za kukabili uovu na matendo mabaya katika jamii

 

Kusoma ghibu

Kudodosa

Kujibu maswali kwa sauti

Kuandika madaftarini

 

Kifu

Mchoro kitabuni

Ubao

Vifaa halisi (peremende, Pipi)

picha

Chemchemi za Kiswahili 3

Kitabu cha wanafunzi  uk 95-98

Mwongozo wa mwalimu uk 43-44

Kamusi ya methali

Kamusi ya misemo na nahau (wamitila)

 
  

2

 

Kusikiliza na kuzungumza

 

Ufahamu wa kusikiliza

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

kueleza maadili na maudhui ya kifungu alichosikiliza

kujibu maswali kutokana na aliyosikia

kutambua umuhimu wa kuwa msikivu

 

kusikiliza

kujadili

kuandika

 

Chati (msamiati)

Mchoro kitabuni

Picha

Chemchemi za Kiswahili 3

Kitabu cha wanafunzi  uk 80

Mwongozo wa mwalimu uk

Kamusi ya Kiswahili

Kamusi ya methali

Kamusi ya misemo na nahau (wamitila

 
  

3

 

Sarufi na matumizi ya lugha

 

Mnyambuliko wa vitenzi

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

Kunyambua vitenzi ifaavyo

Kutaja na kueleza aina mbali mbali za mnyambuliko

Kutumia kauli tofauti za mnyambuliko katika sentensi

 

Kueleza

Kusoma

kuandika

 

Chati (msamiati)

Mchoro kitabuni

picha

Chemchemi za Kiswahili 3

Kitabu cha wanafunzi  uk 82-86

Mwongozo wa mwalimu uk 39-40

Kamusi ya Kiswahili

Sarufi fafanuzi ya Kiswahili

Darubini ya kiswahilii 3 uk 23,308

Mwongozo wa mwalimu uk 27,90

 
  

4/5

 

Kusoma (fasihi)

 

Hadithi fupi (dhamira ya hadithi fupi katika diwani teule)

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

kusoma diwani ya hadithi kwa jicho pevu

kuandika muhtasari wa kila hadithi katika diwani kwa kuzingatia dhamira

 

kutafiti

kuwasilisha

kusikiliza

kujadili

kuandika

 

Diwani teule

Mwanafunzi mwenyewe

Chemchemi za Kiswahili 3

Kitabu cha wanafunzi  uk 90-92

Mwongozo wa mwalimu uk 40

Kamusi ya Kiswahili

Kamusi fasihi

Mwongozo wa diwani teule ya hadithi fupi

Kichocheo cha fasihi simulizi na andishi

 
  

6

 

kuandika

 

Kumbukumbu (marudio)

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

Kubainisha makosa katika kubukumbu alizoandika

Kuandika upya kwa hali nadhifu na muundo sahihi

 

Kusoma

Kujadili

kuandika

 

Nakala za kumbukumbu

Ubao

Nakala za wanafunzi (walizoandika awali

Chemchemi za Kiswahili 3

Kitabu cha wanafunzi  uk 93

Mwongozo wa mwalimu uk 41-42

Insha kabambe (Simon mutali)

Golden Tips Kiswahili

Kurunzi ya kiswahili

Kichocheo cha fasihi simulizi na andishi

Darubini ya kiswahilii 3 uk 345

 
 

11

 

1

 

Kusoma (ufahamu)

 

Afya nzuri ni msingi wa maendeleo

 

Kufikia mwisho wa funzo mwanafunzi aweze

Kueleza faida za jamii yenye lishe bora (afya nzuri)

Kufafanua msamiati na semi katika kifungu

Kujibu maswali kwa usahihi

 

Kusoma

Kueleza

Kujadili

kuandika

 

Kielezo kitabuni

Chati (msamiati)

Wanafunzi wenyewe

Chemchemi za Kiswahili 3

Kitabu cha wanafunzi  uk 111-114

Mwongozo wa mwalimu uk 51-52

Kamusi ya Kiswahili

Kamusi ya misemo na nahau

Kamusi ya methali

 
  

2

 

Kusikiliza na kuzungumza

 

visasili

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

Kueleza maana za visashi

Kutambua sifa bainifu za visasili

Kubainisha makala yoyote ya visasili

Kusimuahia kisasili katika jamii

 

Kueleza

Kusoma

Kusimulia

Kusikiliza

kuandika

 

Chati (sifa)

Ubao

Vitabu teule vya hadithi

Magazeti (hadithi)

Chemchemi za Kiswahili 3

Kitabu cha wanafunzi  uk 81-82

Mwongozo wa mwalimu uk 38-39

Kamusi ya Kiswahili

Fasihi simulizi kwa shule za sekondari

Kichocheo cha fasihi simulizi na andishi

Kamusi ya fashi

 
  

3

 

Sarufi na matumizi ya lugha

 

Mnyambuliko wa vitenzi vyenye asili ya kigeni

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

Kutaja aina za mnyambuliko wa vitenzi

Kunyambua vitenzi vya kigeni kwa usahihi

 

Kueleza

Kudodoso

Kusoma

kuandika

 

Magazeti

Jedwali/chati

Minyambuliko ya vitenzi

Ubao

Chemchemi za Kiswahili 3

Kitabu cha wanafunzi  uk 87-88

Mwongozo wa mwalimu uk 39

Kamusi ya Kiswahili

Darubini ya kiswahilii 3 uk 308

Mwongozo wa mwalimu uk 152

 
  

4-5

 

Kusoma

 

Tahariri

 

Kufikia mwisho wa funzo,mwanafuzi aweze

Kufafanua tahariri ni nini

Kueleza sifa bainifu za tahariri

Kuandika tahariri kwa muundo sahihi

 

Kueleza

Kusoma tahariri magazetini

Kuandika zoezi

 

Nakala ya tahariri

Magazeti

Ubao

Kielezo kitabuni

Chemchemi za Kiswahili 3

Kitabu cha wanafunzi  uk 82-86

Mwongozo wa mwalimu uk 39-40

Kamusi ya Kiswahili

Fasihi simulizi kwa shule za sekondari

Golden Tips Kiswahili

Kurunzi ya Kiswahili

Insha kabambe (simon mutali)

 
  

6

 

Kuandika

 

Hojaji

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafnzi aweze

Kueleza maana ya hojaji

Kufafanua aina tofauti za hojaji

Kuandika hojaji sahihi kuhusu mada aliyopewa

 

Maswali ya dodosa

Kueleeza

Kujadili kwa makundi

Kuandika madaftarini

 

Nakala halisi za hojaji

Ubao

Chait (aina)

Chemchemi za Kiswahili 3

Kitabu cha wanafunzi  uk 109-110

Mwongozo wa mwalimu uk 48-50

Kamusi ya Kiswahili

Insha kabambe

Golden Tips Kiswahili

Kurunzi ya kiswahili

 
 

12

 

1

 

Kusoma (ufahamu)

 

Mkwiro na mikwaro yake

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

Kusoma kwa ufasaha

Kujibu maswali kwa usahihi

Kuwa tayari kwa mtihani na ufahamu

 

Kueleza

Kusoma

Kujibu maswali

Kutunga sentensi

 

Maswwali kitabuni

Wanafunzi wenyewe

Ubao

Chemchemi za Kiswahili 3

Kitabu cha wanafunzi  uk 125-127

Mwongozo wa mwalimu uk 56

Kamusi ya Kiswahili

Kamusi ya methali

Kamusi ya misemo na nahau (K.W wamitila)

 
  

2

 

Kusikiliza na kuzungumza

 

Mighani dhima ya fasihi simulizi

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

Kueleza maana ya migani

Kutofautisha mighnai na visasihi

Kueleza dhima ya fasihi katika jamii

 

Kusoma

Kuandika majibu

kujadili

 

Picha ya mashujaa

Magazeti

Wanafunzi wenyewe

Ubao

Chati (sifa dhima ya fasihi simulizi)

Chemchemi za Kiswahili 3

Kitabu cha wanafunzi  uk 128

Mwongozo wa mwalimu uk 57

Kamusi ya Kiswahili

Fasihi simulizi kwa shule za sekondari

Kichocheo cha fasihi simulizi na andishi

Kamusi ya fasihi

 
  

3

 

Sarufi na matumizi ya lugha

 

Mzizi wa kitenzi

Vielezi

Mnyambuliko wa vitenzi (silabi moja)

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

Kutambua mzizo wa kitenzi

Kutaja na kubainisha vitenzi katika tungo

Kunyambua vitenzi vya silabi moja kwa kauli tofauti tofauti

 

Kusoma maswali

Kuandika majibu

Kujadili majibu

 

Wanafunzi wenyewe

Ubao

Chati (maudhi)

Magazeti (maadili)

Chemchemi za Kiswahili 3

Kitabu cha wanafunzi  uk 128

Mwongozo wa mwalimu uk 57

Kamusi ya Kiswahili

Darubini ya kiswahilii 3 uk 23

Mwongozo wa mwalimu uk 57

 
 4/5Kusoma

Fasihi

Dhamira

Maadhuli

Falsafa

Maadili

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

Kueleza maana ya dhamira na maudhui

Kueleza tofauti ya falsafa na maadili katika kazi ya fasihi

Kusoma

Kuandika

Kujadili majibu

kusahihisha

Wanafunzi wenyewe

Ubao

Chati

(maudhui)

Magazeti

(maadili)

Chemchemi za Kiswahili 3

Kitabu cha wanafunzi  uk 129

Mwongozo wa mwalimu uk 57

 

 
  

6

 

kuandika

 

Insha

 

Kufikia mwisho wa funzo,mwanafunzo aweze

Kueleza sifa za insha bora

Kuandika insha ya maeleso kwa mtiririko

 

Kujadili vidokezo

Kuandika madaftarini

kusahihisha

 

Nakala za insha bora

Chati (aina za insha)

Magazeti

Vitu halilsi (udongo)

Chemchemi za Kiswahili 3

Kitabu cha wanafunzi  uk 129

Mwongozo wa mwalimu uk 57

Insha kabambe (simon mutali)

Golden Tips Kiswahili

Kurunzi ya kiswahili

 

 
13 KUDURUSU 
14-15 MTIHANI WA MWISHO WA MUHULA NA KUFUNGA 

 

 

 

 

 

AZIMIO LA KAZI

KIDATO CHA TATU 2017

MUHULA WA II

 

 

 

 

            ASILIA

  1. KLB
  2. Mwongozo wa Mwalimu
  3. Oxford
  4. Kamusi

 

 

JUMAKIPINDI 

SOMO

SOMO NDOGO

 

SHABAHA

 

MBINU

 

ASILIA

 

VIFAA

 

MAONI

11-6KUFUNGUA 
 

2

 

1

 

Kusoma (ufahamu)

 

Huo wazimu gani? (ngonjera

Kufikia mwisho wa funzo,mwanafunzi aweze

Kusoma shairi kwa matamshi yafaayo

Kufafanua mbinu za ushairi katika (ngojera)

Kueleza msamiati wa kishair uliotumika

Kuijibu maswali kwa usahihi

 

Kusoma

Kukariri shairi

Kujadili

Kuandika madaftarini

Kufanya zoezi

 

Wanafunzi wenyewe

Mchoro kitabuni

 

Chemchemi za Kiswahili 3

Kitabu cha wanafunzi  uk 130-133

Mwongozo wa mwalimu uk 58-59

Kamusi ya Kiswahili

Kamusi ys misemo na nahau

Kamusi ya methali (K.W wamitila)

Fasihi simulizi kwa shule

 
  

2

 

Kusikiliza na kuzungumza

 

Vitendawili

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

Kueleza muundo wa vitendawili

Kutambua dhima ya vitendawili katika jamii

Kutega na kutegua vitrendawili kwa usahihi

 

Kueleza

Kutega na kutegua

Mashindano kivikundi

Kusoma

kuandika

 

Wanafunzi wenyewe

Chati ( migao ya vitendawili

ubao

Chemchemi za Kiswahili 3

Kitabu cha wanafunzi  uk 130-133

Mwongozo wa mwalimu uk 58-59

Kamusi ys misemo na nahau

Kamusi ya methali (K.W wamitila)

Fasihi simulizi kwa shule za sekondari

 
  

3

 

Sarufi na matumizi ya lugha

 

Upatanisho wa kisarufi

 

Kufikia mwisho waw funzo, mwanafunzi aweze

kutaja ngeli na viambishi ngeli

kupatanisha nomino na sifa ifaavyo

kutumia virejeshi ‘O’ na ‘amba’ sawa-sawa kisarufi

 

kueleza

kujadili

kutunga sentensi kwa sauti

kusoma

kuandika

 

Chati (Jedwali la ‘O’ na amba rejeshi

Ubao

Vitu halisi (meza, kitabu)

michoro

Chemchemi za Kiswahili 3

Kitabu cha wanafunzi  uk 101-104

Mwongozo wa mwalimu uk 45-46

Sarufi fafanuzi ya Kiswahili

Golden Tips Kiswahili

Kurunzi ya kiswahili

 
  

4/5

 

Kusoma fasihi

 

Tamthilia

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

kueleza tofauti na aina ya tamthilia na riwaya

kupambana na sifa bainifu za tamthilia

kusoma tamthilia teule

 

kueleza

kujadili

kusimuliz visa

kuandika

 

Nakala za tamthilia teule

Ubao

Chati (sifa zake)

Chemchemi za Kiswahili 3

Kitabu cha wanafunzi  uk 119-122

Mwongozo wa mwalimu uk 54-55

Fasihi simulizi na andishi

Kamusi ya fasihi

 
  

6

 

kuandika

 

Insha ya methali

Kufikia mwisho wa funzo mwanafunzi aweze

Kutaja na kueleza maana ya methali mbalimbali

Kusimuliza visa vifupi kuhusu methali mbali mbali

Kutambua muundo wa insha ya methali

Kuandika insha ya methali

 

Kueleza

Kujadili

Kusimuliza visa

kuandika

 

Wanafunzi wenyewe

ubao

Chemchemi za Kiswahili 3

Kitabu cha wanafunzi  uk 336

Mwongozo wa mwalimu uk 162

Kamusi ya methali (K.W wamitila)

 
 

3

 

1

 

Kusoma (ufahamu)

 

Mzee kifimbo cheza na visa vyake

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze:

kusoma kwa kina na ufasaha

kufafanua maudhui, semi na msamiati kifunguni

kutungia sentensi kwa msamiati na semi zilizotumika kifunguni

kujibu maswali kwa usahihi

 

kujadili mchoro

kusoma

kueleza (maudhui na msamiati

kuandika ( majibu madaftarini)

 

Mchoro kitabuni

Wanafunzi wenyewe

Chati (msamiati)

ubao

Chemchemi za Kiswahili 3

Kitabu cha wanafunzi  uk 144-147

Mwongozo wa mwalimu uk 65

Kamusi ya misemo na nahau (K.W wamitiala)

Kamusi ya methali

Kamusi ya Kiswahili

 
  

2

 

Sarufi na matumizi ya lugha

 

Uakifishaji

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

kutaja alama za uakifishaji

kueleza matumizi ya alama za uakifishaji

kuakifisha tengo kwa usahihi

 

kueleza

kutunga sentensi

kusoma

kaundika zoezi

 

Chati (alama –jina)

Ubao

Magazeti (alama hizo

Chemchemi za Kiswahili 3

Kitabu cha wanafunzi  uk 167-170

Mwongozo wa mwalimu uk 75-76

Kamusi ya Kiswahili

Darubini ya Kiswahili uk 81

Mwongozo wa mwalimu uk 56

 
  

3

 

Kusoma (fasihi

 

Riwaya III

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

Kueleza maana ya wahusika na sifa muhimu za kuzingatia katika uchunguzi wa wahusika

Kutaja na kuto mfano ya aina za wahusika riwaya

Kutofautisha wahusika wa aina mbali mbali

 

Kusoma

Kuwasilisha na kueleza

Kujadili

kuandika

 

Riwaya teule

Ubao

Wanafuzni wenyew

Kanda ya video

Chati (wahusika)

Chemchemi za Kiswahili 3

Kitabu cha wanafunzi  uk 139-141

Mwongozo wa mwalimu uk 62-63

Mwongozo wa riwaya teule

Kamusi ya fasihi

Kichocheo cha fasihi simulizi na andishi

 
  

4-5

 

kuandika

 

Insha ya maelezo

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

kutaja sifa za insha ya  maelezo

kutoa maelezo kuhusu kitu, tukio au mtu fulani

kuandika insha ya maelezo kwa kufuata kaida zote

 

maswali ya dodosa

kueleza mambo ya muhimu

kuwasilisha darasani

kujadili vidokezo

kuandika madaftarini

 

Wanafunzi wenyewe

Makala ya insha ya maelezo

ubao

Chemchemi za Kiswahili 3

Kitabu cha wanafunzi  uk 122-124

Mwongozo wa mwalimu uk 55

Kamusi ya Kiswahili

Insha kabambe

Karunzi ya kiswahili

Kamusi ya fasihi

Darubini ya Kiswahili uk 70-71

Mwongozo wa mwalimu uk 52

 
 

4

 

1

 

Kusoma (ufahamu)

 

Ajiri ya watoto na maendeleo

 

Kufikia mwisho wa funzo mwanafunzi aweze

kusoma kwa matamshi bora

kueleza maudhui na kutolea mifano katika jamii

kufananua na kutungia sentensi semi na msamiati

 

kusjoma kwa sauti darasani

kujadili vidokezo

kutoa mifano halisi

kuandika msamiati na zoezi

 

Michoro kitabuni

Picha nyinginezo (magazetini

Ubao

Wanafunzi wenyewe

 

Chemchemi za Kiswahili 3

Kitabu cha wanafunzi  uk 155-158

Mwongozo wa mwalimu uk 71-72

Fasihi simulizi na andishi (alex ngure)

Kamusi ya misemo na nahau (wamitila)

Kamusi ya kiswahili

 
  

2

 

Kusikiliza na kuzungumza

 

mafumbo

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

Kutoa fasihi ya neno fumbo

Kupambana sifa bainifu za mafumbo

Kufumbanua na kufumbua mafumbo

 

Kueleza

Kusikiliza na kuuliza maswali ya dodoso

Kushindana, kufumbua mafumbo

Kujibu maswali kwa sauti

 

Wanafunzi wenyewe

Ubao

Picha ya wanyama

Michoro

Chati (sifa)

Chemchemi za Kiswahili 3

Kitabu cha wanafunzi  uk 133-135

Mwongozo wa mwalimu uk 59

Fasihi simulizi na andishi (alex ngure)

Kichocheo cha fasihi simulizi na andishi

Darubini ya Kiswahili uk 50

Mwongozo wa mwalimu uk 52

 
  

3

 

Sarufi na matumizi ya lugha

 

Upatanisho wa kisarufi vivumishi

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

Kuteleza maana ya vivumishi

Kutaja aina za vivumishi na kutumia katika sentensi kwa usahihi

Kujibu maswali kwa upatanisho sahihi wa kisarufi

 

Kueleza

Kusoma

Kutunga sentensi

Kufanya zoezi

 

Chati (vivumishi)

Picha

Vitu halisi

Chemchemi za Kiswahili 3

Kitabu cha wanafunzi  uk 116/135/148

Mwongozo wa mwalimu uk 53,60

Sarufi fafanuzi ya kiswahili

Kichocheo cha fasihi simulizi na andishi

Darubini ya Kiswahili uk 52,53,78, 186, 216,343,330

Mwongozo wa mwalimu uk 56,44,115,176

 
  

4/5

 

Kusoma fasihi

 

Matumizi ya lugha katika fasihi

 

Kufikia mwisho wa funzo mwanafunzi aweze

Kutaja tamathali za usemi na umuhimu wake

Kutaja mifano katika kazi fasihi (hasa vitabu teule)

Kujibu maswali kwa kurejelea vitabu teule

 

Kusoma

Kueleza

Kujadili

Kuandika na kujibu maswali

 

Riwaya teule

Tamthilia teule

Diwali teule

Ubao

Chemchemi za Kiswahili 3

Kitabu cha wanafunzi  uk 193-199

Mwongozo wa mwalimu uk 69

Kichocheo cha fasihi simulizi na andishi

Kamusi fasihi

Mwongozo ya vitabu teule

 
  

6

 

Kuandika

 

Maagizo/maelekezo

Kufikia mwisho wa funzo,mwanafuzni aweze

Kufafanua maana ya maagizo

Kueleza aina na umuhimu wa maagizo kwa wanajamii

Kuandika maagizo kwa njia mwafaka

Kutoa maagizo darasani

Kutekeleza maagizo

Kujadili

Kuandika

Kutazama maagizo halisi

 

Nakala halisi ya maagizo (paketi za dawa)

Wanafunzi wenyewe

Ubao

Chati (maagizo)

 

Chemchemi za Kiswahili 3

Kitabu cha wanafunzi  uk 141-143

Mwongozo wa mwalimu uk 63

 

 
 

5

 

1

 

kusoma

 

Fisi na manyoya meupe

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

Kusoma kwa matamshi bora

Kudondoa msamiati mpya na kueleza

Kueleza sifa za wanyama mbali mbali

Kujibu maswali kikamilifu madaftarini

 

Kujadili mchoro

Kusoma kwa sauti wakipokezana

Kueleza msamiati na kutunga sentensi

Kujibu maswali

 

Mchoro kitabuni

Picha (ya wanyama) mbali mbal

Ubao

Mchoro

Chati (sifa)

Chemchemi za Kiswahili 3

Kitabu cha wanafunzi  uk 174-179

Mwongozo wa mwalimu uk 79

Kamusi ya misemo na nahau (wamitila)

Kamusi ya kiswahili

Kamusi fasihi

 
  

2

 

Kusikiliza na kuzungumza

 

Vitendawili II

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

Kuaishisha vitendawili katika makundi kimaudhui

Kutaja vitendawili vyenye muundo mmoja

Kutegua vitendawili aliyoulizwa

 

Kueleza

Kusoma

Kutega na kutegua vitendawili

Kuandika (zoezi)

 

Wanafunzi wenyewe

Ubao

Chati (sifa za vitendawili)

Chemchemi za Kiswahili 3

Kitabu cha wanafunzi  uk 147-148

Mwongozo wa mwalimu uk 66

Fasihi simulizi kwa shule za sekondari

Kamusi ya Tashbihi, vitendawili, milio na mishangao (wamitila)

 

 
  

3

 

Sarufi na matumizi ya lugha

 

Vinyume vya vitenzi

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

Kutaja aina mbali mbali za vinyume vya vitenzi

Kuorodhesha vitenzi na vinyume vyake

Kutunga sentensi za vitenzi na vinyume vyake

Kujibu maswali kwa usahihi

 

Maswali ya dodoso

Kueleza

Kusoma

Kuandika

Kufanya zoezi

Kugiza mfano, fumba na fumbua macho, nuna tasamu

 

Chati (vitenzi na vinyume)

Wanafunzi wenyewe

Ubao

 

Chemchemi za Kiswahili 3

Kitabu cha wanafunzi  uk 137-139

Mwongozo wa mwalimu uk 61

Kamusi ya kiswahili

 
  

4/5

 

Kusoma (fasihi)

 

Mashairi ya Arudhi (sitiari na taswira)

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

Kueleza maana ya taswira na sitiari

Kupambanua matumizi ya taswira na sitiari

Kusoma shairi na kubainisha matumizi ya taswira na sitiari

 

Kueleza

Kusoma

Kujadili

Kujibu maswali

 

Diwani ya mashairi

Magazeti ya taifa leo

Chati

Picha

Vitu halisi (ua)

 

Chemchemi za Kiswahili 3

Kitabu cha wanafunzi  uk 183-186

Mwongozo wa mwalimu uk 61

Sarufi fafanuzi ya Kiswahili

Miale ya usahiri (NES)

Nuru ya ushairi

Taaluma ya ushairi

 
  

6

 

Kuandika

 

Tahadhari na onyo

 

Kufikia mwisho wa funzo,mwanafunzi aweze

Kueleza maana ya tahadhari

Kueleza maana ya ilani na zinakopatikana

Kuandika tahadahri na ilani kwa usahihi

 

Kueleza

Kujadili

Kusoma

Kutazama picha za ilani

Kuandika

Kufanya zoezi

 

Mchoro kitabuni

Kitabu cha ishara barabarini

Mabango (Ilani)

Chemchemi za Kiswahili 3

Kitabu cha wanafunzi  uk 133-154

Mwongozo wa mwalimu uk 70

Karunzi ya Kiswahili

Golden tips Kiswahili

Insha Kabambe (mutalil Simon)

Darubini ya Kiswahili 3 uk 57-59

Mwongozo wa mwalimu uk 46

 
 

6

 

1

 

Kusoma (ufahamu)

 

Makala magazetini

 

Kufikia mwisho wa funzo,mwanafunzi aweze

Kusoma makala magazetini

Kueleza taalumu zinazozungumziwa kwa mfano michezo, siasa, biashara na kilimo

Kufupisha makala aliyosoma

 

Kueleza na kujadili

Kusoma kwa vikundi

Kuripoti waliosoma

Kuandika madaftarini

Kufanya zoezi

Ziara maktabani

 

Nakala za magazeti K.V taifa leo nipashe

Wanafunzi wenyewe

Picha ya maktaba

Chati (aina za magazeti)

 

Chemchemi za Kiswahili 3

Kitabu cha wanafunzi  uk 12

Mwongozo wa mwalimu uk 6

 

 
  

2

 

Kusikiliza na kuzungumza

 

Methali

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

Kutaja methalil mbali mbali kwa usahihi

Kueleza miundo mbali mbali ya methali

Kupambanua ukuruba wa methali na semi nyinginezo

 

Kudodosa

Kusoma

Kueleza na kujadili

Kushindana kukamislisha methli (kivikundi)

kuandika

 

Wanafunzi wenyewee

Ubao

Chati

Picha (kuku)

Chemchemi za Kiswahili 3

Kitabu cha wanafunzi  uk 158-160

Mwongozo wa mwalimu uk 72

Kichocheo cha fasihi simulizi na andishi

Kamusi fasihi

Fasihi simulizi kwa shule za sekondari

Darubini ya Kiswahili 3 uk 197

Mwongozo wa mwalimu uk 46

 
  

3

 

Sarufi na matumizi ya lugha

 

Nyakati na Hali

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

Kutumia viambishi vya nyakati kwa usahihi

Kubadilisha sentensi kutoka wakati mmoja hadi mwingine

Kujibu maswali ya nyakati na hali  mbali mbali kwa usahihi

 

 

Maswali ya dodoso

Kueleza

Kusoma

Kujibu maswali kwa sauti

Kuandika na kufanya zoezi

 

Chati (viambishi vya njeo)

Ubao

 

Chemchemi za Kiswahili 3

Kitabu cha wanafunzi  uk 165/181

Mwongozo wa mwalimu uk 74/82

Sarufi fafanuzi ya Kiswahili

Darubini ya Kiswahili 3 uk 187

Mwongozo wa mwalimu uk 101

 
  

4/5

 

Kusoma (fasihi)

 

Mashairi ya arudhi

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

Kueleza muundo wa mashiri ya arudhi

Kusoma mashairi ya arudhi kwa mapigo na mahadhi sahihi

Kupambanua ujumbe na matumizi ya lugha katika shairi la arudhi

 

Kueleza

Kusoma

Kujadili

Kujibu maswali

 

Diwani ya mashairi

Wanafunzi wenyewe

Chati (muundo)

Chati (muundo)

Magazeti (taifa leo)

Chemchemi za Kiswahili 3

Kitabu cha wanafunzi  uk 183-186

Mwongozo wa mwalimu uk 84

Sarufi fafanuzi ya Kiswahili

Miale ya usahiri (NES)

Nuru ya ushairi

Karunzi ya Kiswahili

Kichocheo cha fasihi simulizi na andishi

 
  

6

 

kuandika

 

matangazo

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

Kupambanua njia tofauti tofauti za kutoa matangazo

Kueleza muundo wa matangazo

Kuandika matanganzo kwa njia mwafaka

 

Kudodoso na kujadili

Kusoma

kuandika

 

Mabango ya matangazo

Ubao

Magazeti

Chati (tangazo)

Chemchemi za Kiswahili 3

Kitabu cha wanafunzi  uk 204

Mwongozo wa mwalimu uk 92

Insha kabambe (simon mutali)

Darubini ya Kiswahili 3 uk 47

Mwongozo wa mwalimu uk 37-38 (sehemu ya insha)

 
 

7

 

1

 

Kusoma (ufahamu)

 

Chinyango ya wilaya

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

Kusoma makal na kueleza maadhi yaliyomo

Kueleza maana ya msamiati mpya na kutunga sentensi

Kujibu maswali ya ufahamu

 

Kusoma makala

Kujadili ujumbe

Kujibu maswali na kujadili

 

Mchoro kitabuni

Ubao

Chati (msamiati)

Chemchemi za Kiswahili 3

Kitabu cha wanafunzi  uk 133-154

Mwongozo wa mwalimu uk 70

Kamusi ya kiswawhili

Kamusi ya misemo na nahau

Kamusi ya methali (K.W wamitila)

 
  

2

 

Kusikiliza na kuzungumza

 

Ufahamu wa kusikiliza

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

Kusikiliza kwa makini akisomewa habari

Kufafanua ujumbe wa habari aliyosomewa

Kubainisha sauti tata na kutaja fani za lugha alizosika

 

Kueleza

Kusoma

Kusikiliza

Kujadili

kuandika

 

Mchoro kitabuni

Ubao

Chati (msamiati)

Chemchemi za Kiswahili 3

Kitabu cha wanafunzi  uk 191-195

Mwongozo wa mwalimu uk 88-89

Kamusi ya methlai

Kamusi ya misemo na naahau (Wamitila)

 
  

3

 

Sarufi na matumizi ya lugha

 

Ukanushaji na nyakati na hali

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

Kutambua mabadiliko ya viambishi katika kukanusha nyakati/hali

Kubadilisha tungo yakimishi hadi tungo kanushi

Kujibu maswali ya zoezi kwa usahihi

 

Kueleza na kudodosa

Kusoma na kujadili

Kujibu maswali kwa sauti

Kuandika madaftarini

 

Chati (vikanushi)

Ubao

Magazeti

 

Chemchemi za Kiswahili 3

Kitabu cha wanafunzi  uk 197/209-227

Mwongozo wa mwalimu uk 90/96/103

Sarufi fafanuzi ya Kiswahili

Darubini ya Kiswahili 3 uk 187

Mwongozo wa mwalimu uk 101

 
  

4/5

 

kusoma

 

Shairi huru (Afrika)

 

Kufikia mwisho wa funzo,mwanafunzi aweze

Kusoma shairi na kueleza ujumbe

Kupambanua sifa za kimuundo na kitamathali katika shairi

Kufafanua msamiati katika shairi

 

Kusoma

Maswali ya dodoso

Kujadili

kuandika

 

Shairi kitabuni

Chati (muundo)

Ubao

Diwani ya mashairi

Magazeti (taifa leo)

 

Chemchemi za Kiswahili 3

Kitabu cha wanafunzi  uk 201-202

Mwongozo wa mwalimu uk 91-92

Sarufi fafanuzi ya Kiswahili

Miale ya usahiri (NES)

Nuru ya ushairi

Karunzi ya Kiswahili

Taaluma ya ushairi

 

 
  

6

 

kuandika

 

Mikusanyo ya kazi za fasihi simulizi

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

Kutaja njia za kuhifadhi fasihi simulizi

Kutambua njia na mbinu za kukusanya kazi ya fasihi simulizi

Kueleza faida za ukusanyaji wa kazi za fasihi simulizi

 

Kueleza na kujadili

Kusoma

Kuandika

Kazi ya kutafufit

 

Redio na kanda za sauti (KBC)

Wanafunzi wenyewe

Vitu halisi (ngoma

Chati (tanzu za fasihi simulizi)

 

Chemchemi za Kiswahili 3

Kitabu cha wanafunzi  uk 186-187

Mwongozo wa mwalimu uk 85

 

 
81-5LIKIZO FUPI 
 

9

 

1

 

Kusoma (Ufahamu)

 

Cheko la wakuja

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

Kusoma kwa ufasaha na kueleza maadili

Kupanua msamiati wake

Kujibu maswali ya ufahamu kwa usahihi

 

Kusoma

Kujadili (maadili na msamiati)

Kujibu maswali kwa sauti

kuandika

 

Mchoro kitabuni

Ubao

Chati (msamiati)

Chemchemi za Kiswahili 3

Kitabu cha wanafunzi  uk 205-208

Mwongozo wa mwalimu uk 94

Kamusi ya misemo na nahau (wamitila)

Kamusi ya Kiswahili

 
  

2

 

Kusikiliza na kuzungumza

 

Ngano

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

Kupambanua msingi ya uainishaji wa ngano

Kutaja na kufafanua aina tano za ngano

© Education Plus Agencies

Kusimulia ngano darajani

Kujadili maswali ya zoezi kwa usahihi

 

Kusoma

Kujadili (maswali na msamiati

Kujibu maswali kwa sauti

kuandika

 

Wanafunzi wenyewe

Chati (aina za ngano)

Ubao

Picha

 

Chemchemi za Kiswahili 3

Kitabu cha wanafunzi  uk 205-208

Mwongozo wa mwalimu uk 94

Kamusi ya misemo na nahau (wamitila)

Kamusi ya Kiswahili

Fasihi simulizi kwa shule za sekondari

Kichocheo cha simulizi na radishi

Kamusi ya fasihi

 
  

3

Sarufi na matumizi ya lughaUundaji nomino kutokana na vitenzi vya asili ya kigeniKufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

Kutaja nomino na vitenzi mbali mbali

Kuunda nomino kutokana na kitenzi

Kutumia nomino moja kuunda nyinginezo

Kueleza

Kusoma

Maswali na majibu kwa sauti

Kuandika madaftarini

Chati nomono vitenzi

Ubao

Vitu halisi (mkimbaji)

Picha

 

Chemchemi za Kiswahili 3

Kitabu cha wanafunzi  uk 199-201

Mwongozo wa mwalimu uk 91

Sarufi fafanuzi ya Kiswahili

Nuru ya ushairi

Karunzi ya Kiswahili

Golden tips Kiswahili

 
  

4/5

 

Kusoma (fasihi)

 

Magazeti (habari za kitaifa na kimatailfa)

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

Kueleza maudhui ya habari za kimataifa

Kupambana habari za kimataifa

Kutambua umuhimu wa magazet

 

Kuonyesha na kutazama magazeti

Kujadili kuhusu magazeti

Kusoma ghibu

Kujibu maswali

 

Nakala ya magazeti K.V taifa leo, spoti, taifa jumapilli

Viambatizo kitabuni

Chemchemi za Kiswahili 3

Kitabu cha wanafunzi  uk 217-218

Mwongozo wa mwalimu uk 99

Karunzi ya Kiswahili

Kamusi ya Kiswahili

 
  

6

 

kuandika

 

Ujazaji na fumu na hojaji

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

Kusoma fomu na kujaza kwa kufuata maagizo au maswali

Kutaja na kueleza umuhimu wa matumizi ya fomu na hojaji

 

Kueleza

Kujaza kielezo cha fomu

Kusoma na kuandika

Kukfanya zoezi

 

Fomu za hojaji (kujiunga na shule)

Ubao

Fomu magazetini

 

Chemchemi za Kiswahili 3

Kitabu cha wanafunzi  uk 187-190

Mwongozo wa mwalimu uk 86

Insha kabambe

Nuru ya ushairi

Karunzi ya Kiswahili

Darubini ya Kiswahili uk 287/314

Mwongozo wa mwalimu uk 145, 155

 
 

10

 

1

 

Kusoma (ufahamu)

 

Kitanzi cha maisha (mazungumzo)

 

 

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

Kueleza muundo wa mazungumzo

Kusoma na kupata maadili

Kutungia sentensi sahihi msamiati mpya

Kujibu maswali kwa usahihi

 

Kueleza

Kusoma kwa sauti

Kuigiza

Kujadili ujumbe na muundo

Kujibu maswali

 

Mchoro kitabuni

Wnafunzi wenyewe

ubao

Chemchemi za Kiswahili 3

Kitabu cha wanafunzi  uk 221-225

Mwongozo wa mwalimu uk 101

Kamusi ya Kiswahili

Isimu jamii kwa shule za sekondari

Karunzi ya kiswahili

 
  

2

 

Kusikiliza na kuzungumza

 

Maamkizi na mazungumzo: umoja wa kimataifa (isimu ya jamii)

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

kupambanua lugha(sajili) ya mazungumzo kitabuni

kutambua hasara za utengano

kueleza msamiati mpya na kujibu maswali kwa usahihi

 

Kueleza

Kusoma kwa sauti

Kuigiza

Kujadili ujumbe na muundo

Kujibu maswali

 

Picha (magazetini)

Mapigiano ya kikabila, kampeni

Wanafunzi wenyewe

Michoro

Chati (hasara la utengano

Chemchemi za Kiswahili 3

Kitabu cha wanafunzi  uk 195-196

Mwongozo wa mwalimu uk 89-90

Insha kabambe

Nuru ya ushairi

Kamusi ya Kiswahili

Isimu jamii kwa shule za sekondari

Darubini ya Kiswahili uk 269

Mwongozo wa mwalimu uk 138

 
  

3

 

Sarufi na matumizi ya lugha

 

Kirai

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

Kueleza maana ya kirai

Kupambanua aina za kirai

Kutumia na kutambua virai katika sentensi

Kufanya zoezi kikamilifu

 

Maswali ya dodoso

Kueleza na kusoma

Kutunga sentensi kwa sauti

Kuandika na kujibu maswali

 

Chati (aina za virai)

Ubao

Chemchemi za Kiswahili 3

Kitabu cha wanafunzi  uk 213-217

Mwongozo wa mwalimu uk 98

Sarufi fafanuzi ya Kiswahili

Darubini ya Kiswahili uk 160

Mwongozo wa mwalimu uk

 
  

4/5

 

Kusoma (fasihi)

 

Hadithi Fupi

 

Kufikia mwisho wa funzo mwanafunzi aweze

Kutambua mambo muhimu katika kutambua hadithi fupi

Kusoma hadithi fupi na kujibu maswali kuhusu

 

Kueleza

Kusoma na kujadili

Kujibu maswali

 

Kielelezo kitabuni

Diwani teule ya hadithi fupi (mayai wasiri wa maradhi)

Magazeti (taifa leo)

Chemchemi za Kiswahili 3

Kitabu cha wanafunzi  uk 233-236

Mwongozo wa mwalimu uk 105

Mwongozo wa diwani teule

Kamusi ya misemo na nahau

Kamusi ya methali (k.w wamitila)

 
  

6

 

kuandika

 

Insha ya mazungumzo

Kufika mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

Kueleza muundo wa mazungumzo

Kusoma mfano kitabuni na kufafanua kimtindo na ujumbe

Kuandika insha za mazungumzao kwa njia ifaayo

 

Kueleza

Kujadili

Kusoma kwa sauti na zamu

Kuandika

Kuigiza mazungumzo

 

Wanafunzi wenyewe

Kelelezo kitabuni

 

Chemchemi za Kiswahili 3

Kitabu cha wanafunzi  uk 202-204

Mwongozo wa mwalimu uk 92-93

Insha kabambe (simon mutali)

Karunzi ya Kiswahili

Golden Tips Kiswahili

 
 

11

 

1

 

Kusoma

 

Mja huhitaji jamii

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

Kusoma na kutamka maneno vyema

Kueleza umuhimu wa watu kushirikiana

Kupambanua na kupanua msamiati wake

Kujibu maswali kwa usahihi

 

Kujadili (umuhimu wa umoja)

Kusoma kwa kina na kwa sauti

Kueleza msamiati

Kuandika madaftarini

 

Mchoro kitabuni

Mwanafunzi mwenyewe

Ubao

 

Chemchemi za Kiswahili 3

Kitabu cha wanafunzi  uk 242-244

Mwongozo wa mwalimu uk 108

Kamusi ya Kiswahili

 
  

2

 

Kusikiliza na kuzungumza

 

Maamkizi na mazungumzo wataalamu wawili (Isimu jamii)

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

Kusoma kifungu na kueleza

Kueleza sifa za lugha (sajiili) ya wataalamu

Kupambanua mazungumzo kitabuni kwa kuzingatia sajili

 

Kueleza

Kusoma

Kujadili

Kuigiza

Kujibu kwa sauti

 

Wanafunzi wenyewe

Taarifa mbali mbali za kitaaluma

Ubao

Magazeti

Picha(mazungumzo)

Chemchemi za Kiswahili 3

Kitabu cha wanafunzi  uk 208-209

Mwongozo wa mwalimu uk 95

Kamusi ya Kiswahili

Isimu jamii kwa shule za sekondari

Darubini ya Kiswahili uk 131

Mwongozo wa mwalimu uk 80

 
  

3

 

Sarufi na matumizi ya lugha

 

Vishanzi

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

Kufafanua maana ya kishazi

Kutaja na kueleza aina za vishanzi

Kutumia kila aina ya vishanzi katika sentensi

Kubainisha aina za vishanzi katika sentensi

 

Kueleza

Kusoma na kufafanua

Kuandika na kujibu maswali

 

Wanafunzi wenyewe

Chati /bango (aina)

Sentensi ubaoni

Chemchemi za Kiswahili 3

Kitabu cha wanafunzi  uk 208-209

Mwongozo wa mwalimu uk 95

Kamusi ya Kiswahili

Sarufi ya Kiswahili

Darubini ya Kiswahili3 uk 171

Mwongozo wa mwalimu uk 96

 
  

4/5

 

Kusoma

 

Makala (Gazetini)

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

Kusoma makala na kueleza dhamira yake

Kupanua na kukuza msamiati wa taaluma mbali mbali

 

Kusoma kwa sauti

Kujadili (ujumbe/lugha)

Kuandika

Kujibu kwa sauti darasani

 

Magazetini (taifa leo nipashe)

Ubao

Chati (aina zake)

Picha ya maktaba

Chemchemi za Kiswahili 3

Kitabu cha wanafunzi  uk 251-252

Mwongozo wa mwalimu uk 112

Kamusi ya Kiswahili

Darubini ya Kiswahili3 uk 135

Mwongozo wa mwalimu uk 81

 
  

6

 

Kuandika

 

Utunzi wa mashairi huru

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

Kutaja sheria/arudhi za mashairi

Kusoma kielezo kwa kina

Kuandika shairi la arudhi kwa kufuata kanuni

 

Maswali ya dodoso

Kusoma na kueleza

Kujadili

Kuandika

 

Diwani ya mshairi

Wanafunzi wenyewe

Kielezo kitabuni

Magazeti (taifa leo)

Chemchemi za Kiswahili 3

Kitabu cha wanafunzi  uk 219-220

Mwongozo wa mwalimu uk 100

Kamusi ya Kiswahili

Nuru ya ushairi

Miale ya ushairi

Darubini ya Kiswahili3 uk 45-46

Mwongozo wa mwalimu uk

 
 

12

 

1

 

kusoma

 

Mpanda ngazi washika ngazi

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

Kusoma kwa ufasaha na kueleza maadili

Kutambua aina ya shairi na kujibu maswali kwa usahihi

 

Kusoma kwa satui na mahadhi

Kujadili

kuandika

 

Mchoro kitabuni

Picha (ajira ya watoto)

Ubao

 

Chemchemi za Kiswahili 3

Kitabu cha wanafunzi  uk 260-263

Mwongozo wa mwalimu uk 117-118

Kamusi ya methali (Wamitila)

Kamusi ya misemo na nahau (wamitila)

 
  

2

 

Kusikiliza na kuzungumza

 

Misimu

 

Kufikia mwisho wa funzo,mwanafunzi aweze

Kufafanua maana ya misimu

Kutambua sifa kuu za misimu

Kueleza umuhimu wa misimu katika jamii

 

Kueleza

Kusoma

Kujadili

Kutoa mifano

Kuandika

 

Wanafunzi wenyewe

Chati (aina za misimu)

Chemchemi za Kiswahili 3

Kitabu cha wanafunzi  uk 225-227

Mwongozo wa mwalimu uk 102

Kamusi ya Kiswahili

Fasihi simulizi kwa shule ya sekondari

Kichocheo cha fasihi simulizi na andishi

Kurunzi ya Kiswahili

Kamusi ya fasihi

 
  

3

 

Sarufi na matumizi ya lugha

 

Muundo wa sentensi

 

Kufikia mwisho wa funzo,mwanafunzi aweze

Kueleza sehemu mbili kuu za sentensi(KN na KT)

Kueleza sifa za KN na KT

Kuonesha KN na KT katika tungo

 

Kueleza

Kusoma na kuuliza maswali

Kutunga sentensi

Kuandika na kufanya zoezi

 

Bango/chati (sentensi zenye muundo mbali mbali

Chati

Ubao

 

Chemchemi za Kiswahili 3

Kitabu cha wanafunzi  uk 248-251

Mwongozo wa mwalimu uk 110-111

Kamusi ya Kiswahili

Sarufi fafanuzi ya Kiswahili

Darubini ya Kiswahili 3 uk 199-201

Mwongozo wa mwalimu uk 108

 
  

4/5

 

Kusoma (fasihi)

 

Ripoti za mchezo (isimu jamii)

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

Kufafanua sifa ya makala magazetini hasa kuhusu michezo

Kusoma makala kwa ufasaha

Kupanua msamiati wa sajili ya michezo

 

Kueleza

Kusoma na kujadili

Kuigiza mwanahabari

kuandika

 

Maagazeti K.V taifa leo nipashe

Wanafunzi wenyewe

Chemchemi za Kiswahili 3

Kitabu cha wanafunzi  uk 267-268

Mwongozo wa mwalimu uk 120-121

Kamusi ya Kiswahili

 

 
  

6

 

Kuandika

 

Ripoti

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

Kufafanua maana ya ripoti

Kupambanua aina za ripoti na sifa zake

Kuandika ripoti kwa muundo mwafaka

 

Kueleza na kudodosa

Kujadili kielezo na riposi halisi

Kusoma

kuandika

 

Vielezo K.V ripoti ua ukaguzi wa pesa

Ubao

Wanafunzi wenyewe

Chemchemi za Kiswahili 3

Kitabu cha wanafunzi  uk 236-241

Mwongozo wa mwalimu uk

Kamusi ya Kiswahili

Insha kabambe (simon mutali chesebe)

Kurunzi ya Kiswahili

Golden tips Kiswahili

Darubini ya Kiswahili 3 uk 119-121

 
13-14 MTIHANI WA MWISHO WA MUHULA 

 

 

 

 

 

AZIMIO LA KAZI

KIDATO CHA TATU 2017

MUHULA WA III

 

 

 

 

            ASILIA

  1. KLB
  2. Mwongozo wa Mwalimu
  3. Oxford
  4. Kamusi

 

 

JUMAKIPINDI 

SOMO

SOMO NDOGO

 

SHABAHA

 

MBINU

 

ASILIA

 

VIFAA

 

MAONI

11-6KUFUNGUA SHULE 
 

2

 

1

 

Kusoma (ufahamu)

 

Chimbuko la kiswahili

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

Kueleza chimbuko la Kiswahili

Kufafanua nadharia mbalimbali kuhusu chimbuko/asili ya Kiswahili

Kubainisha uhusiano kati ya Kiswahili na lugha nyinginezo

Kujibu maswali kwa usahihi

 

Maswali ya dodoso

Kusoma

Kujadili

Kuandika

Kazi ya kutafiti

 

Chati kitabuni

Ubao

Chemchemi za Kiswahili 3

Kitabu cha wanafunzi  uk 272-275

Mwongozo wa mwalimu uk 123

Kamusi ya Kiswahili

Kamusi ya misemo na nahua (K.W wamitila)

Darubini ya Kiswahili 3 uk 27-31

Mwongozo wa mwalimu uk 28-29

 
  

2

 

Kusikiliza na kuzungumza

 

Hotuba

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

Kueleza sifa muundo wa hotuba

Kuandaa hotuba na kutoa mbele ya darasa

 

Kusoma

Kujadili

Kuigiza hotuba mbele ya darasa

Kusiliza

kuandika

 

Wanafunzi wenyewe

Nakala ya hotuba

Chati (muundo)

Magazeti (hotuba)

Picha (wanaohutubu)

Chemchemi za Kiswahili 3

Kitabu cha wanafunzi  uk 244-248

Mwongozo wa mwalimu uk 109

Kamusi ya Kiswahili

Insha kabambe (simon Chesebe)

Darubini ya Kiswahili 3 uk 183-185

Mwongozo wa mwalimu uk 100

 
  

3

 

Sarufi na matumizi ya lugha

 

Shamirisho kipozi na kitondo

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

Kufafanua maana ya shamirisho

Kutaja na kufafanua aina tatu za shamirisho

Kubainisha aina zote za shamirisho katika sentensi

 

Kueleza

Kusoma

Kudodosa

kuandika

 

Chati (jedwali la shamirisho)

Ubao

Magazeti (sentensi)

Chemchemi za Kiswahili 3

Kitabu cha wanafunzi  uk 264-266

Mwongozo wa mwalimu uk 118

Kamusi ya Kiswahili

Sarufi fafanuzi ya kiswahili

Darubini ya Kiswahili 3 uk 212-214

Mwongozo wa mwalimu uk 108

 
  

4/5

 

kusoma

 

Maenezi ya Kiswahili nchini Kenya

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

Kueleza chimbuko la Kiswahili

Kufafanua njia kuu za ueneaji na matatizo yanayozikabili

Kuonea fahari kiswahili

 

Maswali ya dodoso

Kusoma

Kujadili

kuandika

 

Vifaa halisi (magazeti, redio, vitabu)

Ramani ya maneno ya pwani

ubao

Chemchemi za Kiswahili 3

Kitabu cha wanafunzi  uk 284-286

Mwongozo wa mwalimu uk 132

Kamusi ya Kiswahili

Isimu ya jamii kwa shule za sekondari (ipara Isaac odeo)

Darubini ya Kiswahili 3 uk 54-56

Mwongozo wa mwalimu uk 45-46

 
  

6

 

kuandika

 

Tahakiki

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

kufafanua maana ya tahakiki

kuktambua vigezo vya kuandika tahakiki

kuandika tahakiki ifaavyo

 

kueleza

kusoma

kujadili

kuandika

 

Magazeti (Tahakiki)

Miongozo ya riwaya au tamthilia

Ubao

Chati (vigezo muhimu

Chemchemi za Kiswahili 3

Kitabu cha wanafunzi  uk

Mwongozo wa mwalimu uk

Kamusi ya Kiswahili

Kamusi ya misemo na nahua (wamitila)

Insha kabambe

Darubini ya Kiswahili 3 uk 54-56

Mwongozo wa mwalimu uk 59

 
 

3

 

1

 

Kusoma ufahamu

 

Dafurau ya mauti

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

Kusoma ufahamu kwa matamsho bora

Kueleza ujumbe na maadili yaliyomo

Kufafanua maswali kikamilifu

 

Kuanddika (vianzo vya ajali)

Kueleza

Kusoma

Kujibu maswali kwa kuandika

 

Choro kitabuni

Picha za ajali

Magazeti (picha)

Ubao

Chemchemi za Kiswahili 3

Kitabu cha wanafunzi  uk 288-291

Mwongozo wa mwalimu uk 134

Kamusi ya Kiswahili

Kamusi ya misemo na nahua (wamitila)

Kamusi ya methali

 
  

2

 

Kusikiliza na kuzungumza

 

Lakaba

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

Kufafanua maana ya lakaba

Kueleza sifa zinazohusishwa na lakaba

Kutoa mifano ya lakaba

 

Kueleza

Kusoma na kujadili

Kutoa mifano

Kuandika

Kufanya zoezi

 

Ubao

Mwanafunzi mwenyewe

Chati (lakbu)

Magazeti(majina ya lakabu)

Chemchemi za Kiswahili 3

Kitabu cha wanafunzi  uk 263-264

Mwongozo wa mwalimu uk 118

Fasihi simulizi kwa shule za sekondari

Kichocheo cha fasihi simulizi na andishi

Darubini ya Kiswahili 3 uk 343

Mwongozo wa mwalimu uk 59

 
  

3

 

Sarufi na matumizi ya lugha

 

Aina za sentensi (muundo)

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

Kutaja aina tatu kuu za sentensi

Kueleza sifa za sentensi sahihi

Kutnga sentensi sahihi kwa usahihi

 

Maswali ya dodoso

Kueleza

Kusoma

kuandika

 

Bango (muundo wa sentensi sahihi)

Ubao

Magazeti (taifa leo)

Chemchemi za Kiswahili 3

Kitabu cha wanafunzi  uk 248-251

Mwongozo wa mwalimu uk 110

Sarufi fafanuzi ya Kiswahili

Kamusi ya Kiswahili

Darubini ya Kiswahili uk 252,270

 
  

4/5

 

 

Kusoma

 

Usanifishaji wa Kiswahili nchini kenya

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze,

Kueleza maana ya usanifishaji

Kutambulisha historia ya usnifishaji wa Kiswahili

Kutaja na kueleza jahudi za kusanifisha Kiswahili nchini Kenya

 

Wasilisho la mtaalamu

Kuuliza maswali

Kusoma

Kujadili maswali kitabuni

 

Mtaalamu

Mwalimu

Ubao

magazeti

Chemchemi za Kiswahili 297-298

Kitabu cha wanafunzi  uk 136

Mwongozo wa mwalimu uk 118

Insha kabambe (simon mutali)

Kamusi ya Kiswahili

Isimu Jamii kwa shule za sekondari (Ipara Isaac Odeo)

Darubini ya Kiswahili 3 uk 178

Mwongozo wa mwalimu uk 98

 
  

6

 

Kuandika

 

Insha ya mawazo/Hoja fikira

 

Kufikia mwisho wa funzo,mwananfunzi aweze

kupambanua sifa za insha ya mawazo

kuandika insha kwa kutiririsha hoja ifaavyo

kuandika kwa hati nadhifu

 

kueleza

kusoma

kujadili vidokezo

kuandika

 

Kielelezo cha insha

ubao

Chemchemi za Kiswahili 268-271

Kitabu cha wanafunzi  uk 136

Mwongozo wa mwalimu uk 121

Insha kabambe (simon mutali)

Darubini ya Kiswahili 3 uk 178

Mwongozo wa mwalimu uk 98

 
 

4

 

1

 

Kusoma (ufahamu)

 

Maneno ya babu

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

kupambanua sifa za insha bora ya mawazo

kuandika insha kwa kutiririsha hoja ifaavyo

kuandika kwa hati nadhifu

 

kueleza

kusoma

kujadili vidokezo

kuandika

 

Mchoro kitabuni

Ubao chati (msamiati)

Chemchemi za Kiswahili 275-279

Kitabu cha wanafunzi  uk 139

Mwongozo wa mwalimu uk 118

Kamusi ya Kiswahili

Kamusi ya methali

Kamusi ya misemo na nahau

 
  

2

 

Kusikiliza na kuzungumza

 

Mahakamani

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

Kutaja sifa za lugha (sajili) ya mahakamani

Kueleza kaida na wafanyi kazi wa mahakamani

Kusoma kifungu na kujibu maswali

 

Kudodosa

Kusoma

Kuajdili

Kuigiza

Kuandika

 

Wanafunzi wenyewe

Picha za mahakama

Runinga na kanda (mahakama)

Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi  uk 275

Mwongozo wa mwalimu uk 118

Kamusi ya Kiswahili

Isimu ya jamii kwa shule za sekondari (Ipara Isaac Odera)

Darubini ya Kiswahili 3 uk 76-77

Mwongozo uk 55

 
  

3

 

Sarufi na matumizi ya lugha

 

Shamirisho ala/kitumizi

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

Kueleza maana ya shamirisho ala

Kutunga sentensi zenye shamirisho ala

Kubainisha shamirisho ala kwenye sentensi

 

Kueleza

Kusoma

Kudodosa na kujibu masweli

kuandika

 

Chati (sentensi)

Ubao

Vitu halisi (birika, nyundo)

Magazeti

Picha (ala)

Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi  uk 280

Mwongozo wa mwalimu uk 125

Kamusi ya Kiswahili

Sarufi fafanuzi ya Kiswahili

Darubini ya Kiswahili 3 uk 214

Mwongozo uk 115

 
  

4/5

 

Kusoma (fasihi)

 

Mashairi Huru

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

Kusoma shairi huru na kufafanua maudhui

Kufafanua mbinu za kilitunzi na kimtindo za sahiri huru

Kujibu maswali kwa usahihi

 

Maswali ya dodoso

Kujadili

Kusoma

kuandika

 

Diwani ya mashairi

Wanafunzi wenyewe

Magazeti (Taifa leo)

Ubao

Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi  uk 309-310

Mwongozo wa mwalimu uk 142

Kamusi ya Kiswahili

Kamusi ya Fasihi

Nuru ya usahiri

Miale ya ushairi

 
  

6

 

Kuandika

 

Michezo ya kuigiza

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

kueleza vipengele vikuu katika uandishi wa mchezo wa kuigiza

Kuandika mchezo mfupi wa kuigiza

 

Kueleza

Kuigiza

Mazungumzo

Kujadili

kuandika

 

Picha ya waigizaji

Kanda za video (uigizaji)

Runinga (vipindi K.V papa shirandula)

Magazeti

Ubao

Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi  uk 298-301

Mwongozo wa mwalimu uk 137

Darubini ya Kiswahili uk 155

Mwongozo uk 89

Fasihi simulizi kwa shule za sekondari

Insha kabambe (simon mutali)

 
 

5

 

1

 

Kusoma (ufahamu)

 

Katiba ni mwongozo nchi

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

Kusoma na kupata maudhui kuhusu katiba

Kueleza umuhimu wa katiba nzuri kwa nchi

Kujibu maswali usahihi

 

Kusoma

Kujadili

Kuandika

Kufanya zoezi

 

Nakala ya katiba

Ubao

Chati (Vipengele vya katiba)

Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi  uk 291-293

Mwongozo wa mwalimu uk 135

Darubini ya Kiswahili uk 196

Mwongozo uk 106

 
  

2

 

Kusikiliza na kuzungumza

 

Matumbano ya utani

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

Kufafanua maana ya malumbano ya utani

Kueleza sifa za utani

Kutoa mifano ya utani kimaigizo

 

Kueleza maswali dodoso na majibu

Kuigiza utani

Kusoma mifano

Kujadili

Kuandika

 

Chati (vielezo vya malumbano)

Ubao

Wanafunzi wenyewe

Magazeti (taifa leo)

Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi  uk 291-293

Mwongozo wa mwalimu uk 135

Darubini ya Kiswahili uk 196

Mwongozo uk 106

 
  

3

 

Sarufi na matumizi ya lugha

 

Uchanganuzi wa sentensi sahili

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

Kutoa fasili ya uchanganuzi wa sentensi

Kupambanua njia tatu za uchangnauzi wa sentensi

Kuchanganua sentensi sahili kwa matawi jedwali na matawi

 

Kusoma

Kueleza

Kuchanganua ubaoni

kuandika

 

Chati (uchanganuzi)

Ubao

Magazeti (mifano ya sentensi)

Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi  uk 280-284

Mwongozo wa mwalimu uk 126

Sarufi fafanuzi ya Kiswahili

Darubini ya Kiswahili uk 199

Mwongozo uk 110

 
  

4/5

 

Kusoma

 

Mashairi ya arudhi

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

Kusoma sahiri na kueleza maudhui

Kueleza sifa za mashairi ya arudhi

Kuhakiki shairi

 

Kusoma

Kujadili

Kughani

kuandika

 

Diwani ya mashairi

Wanafunzi wenyewe

 

Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi  uk 323-324

Mwongozo wa mwalimu uk 152

Nuru ya usahiri

Miale ya ushairi

Taaluma ya ushairi

Darubini ya Kiswahili uk 164

 
  

6

 

Kuandika

 

Wasifu

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

Kufafanua maana ya wasifu

Kutaja vipengele muhimu katika uaandishi wa wasifu

Kuandika wasifu kwa muundo mwafaka

 

Maswali ya dodoso

Kueleza

Kusoma maelezo kitabuni

Kujadili

kuandika

 

Wanafunzi wenyewe

Nakala/riwaya za wasifu

Ubao

Magazeti

Vitabu vya hadithi

Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi  uk 310-311

Mwongozo wa mwalimu uk

Kamusi ya Kiswahili

Insha kabambe (simon mutali)

Kamusi ya methali

Darubini ya Kiswahili 3

Kitabu cha mwanafunzi uk 290

Mwongozo wa mwalimu

 
 

6

 

1

 

Kusoma (ufahamu)

Mama kapile na kilio chakeKufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

Kusoma kwa matamshi bora na kueleza ujumbe

Kufafanua msamiati wa tamathali za lugha kifunguni

Kujibu maswali kwa usahihi

 

Maswali ya dodoso

Kusoma kwa sauti

Kujadili

Kuandika

Kufanya zoezi

 

Wamchoro kitabuni

Ubao

Chati (msamiati)

Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi  uk 328-331

Mwongozo wa mwalimu uk 155

Kamusi ya Kiswahili

Kamusi ya misemo na nahau (K.W wamitila)

 
  

2

 

Kusikiliza na kuzungumza

 

Miviga

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

Kueleza maana ya miviga

Kufafanua sifa za miviga

Kutambua umuhimu wa miviga katika jamii yake

Kutaja na kuigiza mifano ya miviga

 

Kujadili na kutoa mifano

Kusoma

kuandika

 

Wanafunzi wenyewe

Pichs za sherehe K. V tohara, arusi

Kanda za vido (arusi)

Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi  uk 306-307

Mwongozo wa mwalimu uk 140

Kamusi ya Kiswahili

Fasihi simulizi kwa shule za sekondari

Kichocheo cha fasihi simulizi na andishi

Darubini ya Kiswahili 3

Kitabu cha mwanafunzi uk 290

Mwongozo wa mwalimu uk 95

 
  

3

 

Sarufi na matumizi ya lugha

 

Uchanganuzi wa sentensi ambatano

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

Kupambanua sentensi ambatano (mstari, matawi na jedwali)

Kuchanganua sentensi ambatano kwa usahihi

 

Kueleza

Kujadili

Kuandika madaftarini

Kufanya zoezi

 

Chati (mchor ya uchanguzi

Ubao

Magazeti (sentensi)

Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi  uk 293-296

Mwongozo wa mwalimu uk 136

Darubini ya Kiswahili 3

Kitabu cha mwanafunzi uk 252

Mwongozo wa mwalimu 134

 
  

4/5

 

Kusoma

 

Habari na ripoti za runinga na redio

 

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

Kusoma habari kwa kina na kueleza yaliyomo

Kueleza umuhimu wa vyombo vya habari

 

Maswali ya dodoso na majibu

Kusoma

Kujadili

kuandika

 

Redio na vinassa sauti

Magazeti (taifa leo, nipashe

ubao

Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi  uk 335-336

Mwongozo wa mwalimu uk 161

Kamusi ya Kiswahili

Kamusi ya methali

Darubini ya Kiswahili 3

Kitabu cha mwanafunzi uk 260

Mwongozo wa mwalimu uk 135

 
  

6

 

Kuandika

 

Tuwasifu

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

kufafanua maana ya tawasifu

kueleza tofauti ya tawasifu na wasifu

kuandika tawasifu ifaavyo

 

kueleza

kusoma na kujadili

kuandika madaftarini

 

Ubao

Kitabu cha tawasifu

Nakal ya tawasifu halisi

Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi  uk 311-314

Mwongozo wa mwalimu uk 144

Darubini ya Kiswahili 3

Kitabu cha mwanafunzi uk 279

Mwongozo wa mwalimu uk 140

 
71-5LIKIZO FUPI 
 

8

 

1

 

Kusoma (ufahamu)

 

Umoja wa mataifa na (zoezi la marudio III

 

Kufikia mwisho wa funzo,mwanafunzi aweze

Kusoma kwa kina na kueleza maadithi

Kujibu maswali yote kwa usahihi

 

Kueleza

Kusoma

Kucha

Ubani

Kuigiza kwa sauti

kuandika

 

Mchoro kitabuni

Ubao

Maswali kwenye kitabu

Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi  uk 340

Mwongozo wa mwalimu uk 164

Kamusi ya Kiswahili

Kamusi ya misemo na nahau (wamitila)

Kamusi ya methali

 
  

2

 

Kusikiliza na kuzungumza

 

Soga na ulumbi

 

Kufikia mwisho wa funzo,mwanafunzi aweze

Kutoa fasihi ya soga na ulambi

Kueleza sifa za soga na ulumbi

Kutoa mifano ya soga darasani

 

Kueleza

Kusoma

Ubani

Kuigiza kwa sauti

kuandika

 

Wanafunzi wenyewe

Ubao

Chati (sifa)

Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi  uk

Mwongozo wa mwalimu uk

Kamusi ya fasihi

Darubini ya Kiswahili 3

Kitabu cha mwanafunzi uk 290

Mwongozo wa mwalimu

 
  

3

 

Sarufi na matumizi ya lugha

 

Uchambuzi wa sentensi changamano

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

Kuchanganua sentensi chanamano kwa kutumia matawi

Kujibu maswali ifaavyo

 

Kueleza

Kusoma

Kuchanganua ubaoni

Kuandika madaftarini

 

Chati (uchanganuzi)

Ubao

Magazeti (sentensi)

Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi  uk 303-306

Mwongozo wa mwalimu uk 141

Sarufi fafanuzi ya kiswahili

Darubini ya Kiswahili 3 uk 270

Mwongozo wa mwalimu uk 139

 
 4/5Kusoma (fasihi) 

Muhtasari (riwaya)

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

Kusoma riwaya yeyeote

Kueleza ploti ya riwaya kwa ufupi

Kusoma

Kujadili (hela muhimu)

kuandika

Bango (michoro ya matawi

Ubao

Magazeti

Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi  uk 123-125

Mwongozo wa mwalimu uk 140

Kamusi ya Kiswahili

Mwongozo wa riwaya teule (utengano)

Kichocheo cha fasihi andishi na simulizi

 
  

6

 

Kuandika

 

Insha ya kitaaluma

 

Kufikia mwisho wa funzo mwanafunzi aweze

Kueleza uamilifu wa insha kitaaluma

Kupambanua sifa za insha ya kitaaluma

Kuandika insha ya kitaaluma

 

Kudodosa

Kueleza

Kusoma

kuandika

 

Riwaya teule

Wanafunzi wenyewe

Nakala ya insha ya kitaaluma

Ubao

Chati (sifa/muundo)

Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi  uk 324-327

Mwongozo wa mwalimu uk 153-154

kabambe (simon mutali)

Golden Tips ya kiswahili

Karunzi ya kiswahili

 
 

9

 

1

 

Kusoma (ufahamu)

 

Vifungu zoezi la murudio III

 

Kufikia mwisho wa funzo,mwanafunzi aweze

Kusoma vifungu na kueleza ujumbe

Kujibu maswali kwa sheria za ufupisho

 

Kusoma

Kuandika

kujadili

 

Wanafunzi wenyewe

ubao

Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi  uk 342-343

Mwongozo wa mwalimu uk 164

Kamusi ya Kiswahili

Karunzi ya Kiswahili

Golden tips kiswahili

 
  

2

 

Kusikiliza na kuzungumza

 

mawaidha

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

kufafanua maana ya mawaidha

kupambanua vipengele vya kimsingi katika mawaidha

kujibu maswali ifaavyo

 

kueleza

kujadili

kuigiza

kujibu maswali kwa kuandika

 

Wanafunzi wenyewe

ubao

Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi  uk 331-332

Mwongozo wa mwalimu uk 156

Darubini ya Kiswahili 3 284-285

Mwongozo uk 143

 
  

3

 

Sarufi na matumizi ya lugha

 

Uchanganuzi wa sentensi, changamano (matawi

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

kueleza muudo wa sentensi changamano

kuchanganua setensi changamano kwa matawi

kueleza

kusoma

kujadili

kuandika

kunchanganua ubaoni

kufanya zoezi

 

Chati (ucchanganuzi

Ubao

Magazeti (sentensi)

Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi  uk 320-323

Mwongozo wa mwalimu uk 148

Darubini ya Kiswahili 3

Kitabu cha mwanafunzi uk 290

Mwongozo wa mwalimu

Sarufi fafanuzi ya kiswahili

 
  

4/5

 

Kusoma (fasihi)

 

Muhtasari Tamthilia

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

Kusoma tamthilia teule yote

Kueleza dhamira kwa ufuupi

Kueleza maudhui na wahusika kwa ufupi

 

Kusoma

Kueleza

Kujadili

Kuandika

Kufanya zoezi

 

Tamthilia teule (kifo kisimani)

Kanda za video

Wanafunzi wenyewe

Chati (maudhui)

Ubao

Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi  uk 366

Mwongozo wa tamthilia teule

Kamusi ya fasihi

Kamusi ya Kiswahili

Kichocheo cha fasihi simulizi na andishi

 
  

6

 

Kuandika

 

Insha ya methali

 

Kufikia mwisho wa funzo,mwanafunzi aweze

kutambua vigezo muhimu vya insha bora ya methali

Kuandika insha ya methali kwa mtiririko boara

 

Kueleza

Kusoma

Kujadili

Kuandika

Kufanya zoezi

 

Nakala ya (insha ya methali)

Magazeti

ubao

Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi  uk 336-338

Mwongozo wa mwalimu uk 162

Karunzi ya Kiswahili

Insha kabambe (simon mutali)

Kamusi ya methali

Darubini ya Kiswahili 3

Kitabu cha mwanafunzi uk 219

Mwongozo wa mwalimu 117

 
 

10

 

1

 

Kusoma (Isimu Jamii)

 

Makala ya taaluma mbali mbali (sajili)

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

kueleza maana ya sajili

kutaja taaluma mbalimbali

kutambua msamiati wa taaluma mbali mbali

 

kueleza

kujadili

kusoma makala ya taaluma

kuandika

 

Makala (ubao

Chati (taaluma mbali mbali)

Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi  uk 99,112,120

Mwongozo wa mwalimu uk 92

Isimu jamii kwa shule za sekondari

Karunzi ya kiswahili

 
  

2

 

Kusikiliza na kuzungumza

 

Ngomezi

 

Kufikia mwisho wa funzo mwanafunzi aweze

Kufafanua maana ya ngomezi

Kutaja mifano ya ngomezi katika jamii yake

Keleza sifa za ngomezi

Kufafanua umuhimu wa ngomezi katika jamii

 

Kueleza

Kusoma na kujadili

Kucheza na kuimba ngomz

kuandika

 

Vifaa halisi (ngoma firimbi kengele

Wanafunzi wenyewe

Chati (sifa)

Picha za wanaotumia ngoma

Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi  uk 332

Mwongozo wa mwalimu uk 157

Fasihi simulizi kwa shule za sekondari (Alez ngure)

Kichocheo cha fasihi simulizi na andishi

Ijaribu na ukarabati

 
  

3

Sarufi na matumizi ya lughaUchanganuzi wa sentensi changamano (mistari)Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

Kueleza muundo wa sentensi changamano

Kuchanganua sentensi

Changamano kwa mistari

Kueleza

Kusoma

Kuchanganua ubaoni

Kuandika

Chati (uchanganuzi)

Magazeti (sentensi)

Ubao

Mwanafunzi mwenyewe

 

Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi  uk 333-335

Mwongozo wa mwalimu uk 158-159

Sarufi fafanuzi ya kiswahili

Darubini ya Kiswahili 3

Kitabu cha mwanafunzi uk 270

Mwongozo wa mwalimu uk 139

 
  

4/5

 

Kusoma (fasihi)

 

Muhtasari

 

Kufikia mwisho wa funzo,mwanafunzi aweze

Kueleza hadithi zilizomo katika diwani ya hadithi fupi teule

Kusoma hadithi na keleza maudhui kwa ufupi

 

Kueleza

Kujadili

Kusoma

Kuandika

 

 

Diwani teule

Ubao

Chati (maudhui)

Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi  uk 235

Mwongozo wa mwalimu uk 158-159

Mwongozo wa diwani ya hadithi fupi teule

Darubini ya Kiswahili 3

 
  

 

6

 

kuandika

 

Resipe au mwongozo wa mapishi

 

Kufikia mwisho wa funzo,mwanafunzi aweze

Kueleza maana ya resipe

Kupambanua muundo wa resipe

Kuandika resipe kikamilifu

 

Kueleza na kusoma

Kupika

Kuandika resipe

 

Nakala za resipe

Vifaa halisi (sufuria, vikombe

Picha ya vyakula

Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi  uk 338-339

Mwongozo wa mwalimu uk 162

Insha kabambe (simon mutali)

Kurnzi ya Kiswahili

Golden tips Kiswahili

 
 

11

 

1-6

 

Marudio

 

Zoezi la  marudio III

Karatasi za

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

Kusoma na kuelewa maswali

Kujibu maswali ya zoezi ya marudio III kwa usahihi

Kujiandaa kikamilifu kwa mtihani

Kusoma

Kuandika

Kujadili

Kufanya marudio (mada zote)

 

Wanafunzi wenyewe

Maswali kibani

Ubao

Karatasi za mtihani za awali

 

Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi  uk 340-346

Mwongozo wa mwalimu uk 164-166

 

 
12 MTIHANI WA MWISHO WA MUHULA NA KUFUNGA SHULE