kicd kiswahili syllabus pdf

KISWAHILI Examination Syllabus 102

* FORM 1

  1. KUSIKILIZA NA KUZUNGUMZA
  2. Matamshi bora
    1. Kiimbo
    2. Shadda
    3. Irabu/vokali-/a/,/e/,/i/,/o/,/u/
    4. Konsonanti-/b/,/ch/,/d/,/dh/,/f/,/g/,/gh/,/h/,/j/,/k/
    ,/l/,/m/,/n/,/ng/,/ny/,/p/,/r/,/s/,/sh/,/t/,/th/,/v/,/w/,/y/,/z/
    5. Ala za sauti/kutamkia
    6. Namna ya kutamka na aina za sauti k.m
    ghuna,sighuna/hafifu,vipasuo,vikwamizo n.k
    7. Silabi
    8. Maneno
    9. Vitate k.m baba,papa
    10. Vitanza ndimi2. Maamkizi na mazungumuzo
    1. Maamkizi na mazungumuzo ya: (i)Nyumbani (ii)Dukani
    (iii)Mtaani (iv)Sokoni (v)Shuleni
    2. Mahojiano k.m mwalimu na mwanafunzi
    3. Mijadala k.m umoja na utangamano katika familia
    4. Hotuba

    3. Ufahamu wa kusikiliza
    1. Ufahammu wa taarifa za kusikiliza

    4. Kusikiliza na kudadisi
    1. Utangulizi wa fasihi:(i)Maana (ii)Aina
    2. Fasihi simulizi (i)Hadithi (ii)Semi (iii)Ushairi
    3. Maigizo:Yategemee shabaha na muktadha k.m
    jandoni,sherehe za arusi n.k

    2. SARUFI ZA MATUMIZI YA LUGHA

  3. Lugha
    1. Maana ya dhima ya lugha
    2. Sauti (i)Irabu/vokali (ii)Konsonanti (iii)Mpangilio
    wa sauti katika silabi na maneno
    3. Vipasho vya lugha:sauti-silabi-neno-sentensi2. Aina za maneno
    1. Aina za maneno(i)Nomino-N (ii)Vitenzi-T
    (iii)Viwakilishi-W (iv)Vivumishi-V
    (v)Vielezi-E(vi)Viunganishi-U(vii)Vihusishi-U(viii)Vihusishi-I
    2. Kubainisha maneno katika tungo k.m Mtoto analia

    3. Ngeli za nomino
    1. A-WA,U-I,U-YA-YA-YA,LI-YA,KI-VI,I-ZI,I-I,U-ZI,U-U,KU,
    PA-KU-MU

    4. Viambishi
    1. Maana
    2. Aina-awali -Tamati

    5. Nyakati na hali
    1. Nyakati
    2. Hali
    3. Ukanushaji kutegemea

    6. Mnyambuliko wa vitenzi
    1. Viambishi vya mnyambuliko
    2. Kauli Za vitenzi (i)Kutenda
    (ii)Kutendewa(iii)Kutendeka(iv)Kutendana(v)Kutendea(vi)Kutendwa(
    vii)Kutendesha

    7. Sentensi ya kiswahili
    1. Maana ya sentensi
    2. Mpangilio na uhusiano wa maneno kimantiki katika
    sentennsi ya kiswahili
    3. Muundo wa sentensi
    4. Sentensi sahili -Upambanuzi wa sentensi sahili
    kuonysha muundo wake kwa njia ya mstari

    8. Uakifishaji
    1. Alama za kuakifisha: 1.Nukta/kitone/kikomo(.) 2.
    Mkato/kipumuo/kituo/koma(,) 3. Nukta mkato/semi koloni(;)
    4.Nukta pacha/nukta mbili/koloni 5.Kiulizi/kiulizo(?) 6. Alama
    hisi(!) 7.Alama mtajo/za kunukuu/za usemi(\”\”)
    8.Mkwaju/mshazari(/) 9.Kistari kifupi(-) 10. Kistari (_)
    11.Mstari 12.Ritifaa/kibainisha(\’)
    13.Mabano/vifungo/Parandesi(),[] 14..Herufi kubwa (H) na
    herufi ndogo(h) 15. Herufi nzito (Hh) 16.Herufi
    mlazo/italiki(Hh) 17.Nukta za dukuduku/mdikezo(…) 18.
    Kinyota(*)
    9. Ukubwa na udogo

    10. Umoja na udogo

    3. KUSOMA

  4. Kusoma kwa sauti
    1. Sauti mwambatano k.m/kw/mb/mw/ng/nj/nd/n.k
    2. Sentensi
    3. Vifungu vya maneno na aya2. Kusoma kwa ufahamu
    3. Kusoma kwa kina
    1. Riwaya
    2. Tamthilia
    3. Ushairi
    4. Kusoma kwa mapana
    5. Matunizi ya maktaba
    6. Matumizi ya kamusi

    4. KUANDIKA

  5. Uandishi wa kawaida
    1. Majibu ya ufahamu
    2. Muhtasari
    3. Imla
    4. Uchambuzi wa maandishi mbalimbali2. Utungaji wa kiuamilifu
    1. Maana na dhima ya utungaji
    2. Barua (i )Kirafiki (ii)Ramsi
    3. Ratiba kama vile ya sherehe ya kuzaliwa
    4. Tahadhari (i)Onyo (ii)Ilani
    5. Matangazo
    6. Maagizo/maelekezo
    7. Kujaza fomu,stakabadhi na orodha
    8. Taarifa
    9. Mahojiano na dayolojia

    3. Uandishi wa insha
    1. Maana na aina za insha (a)Picha (b)Mdokezo
    (c)Maelezo (d)Masimulizi

    4. Utungaji wa kisanii
    1. Mashairi mepesi
    2. Hdithi fupi
    3. Vitendawili,mafumbo na chemsha bongo

    * FORM 2

  6. KUSIKILIZA NA KUZUNGUMUZA
  7. Matamshi bora
    1. Silabi tatanishi km
    pa/ba,sa/sha,la/ra,cha/sha,za/sa n.k
    2. Sauti tatanishi k.m b/mb,d/nd,g/ng,n.k
    3. Vitate k.m kua/kuwa
    4. Vitanza ndimi2. Maamkizi na mazungumzo
    3. Ufahamu wa kusikiliza
    4. Kusiliza na kudadisi

    2. SARUFI NA MATUMIZI YA LUGHA

  8. Misingi ya maneno
    2. Aina za maneno na migawanyo yake
    1. Aina za maneno
    2. Vivumishi
    3. Vitenzi
    4. Viwakilishi
    5. Vielezi3. Vinyume
    4. Nyakati na hali
    5. Sentensi ya kiswahili
    6. Mnyambuliko wa vitenzi
    7. Uakifishaji
    8. Usemi halisi na usemi wa taarifa
    9. Uundaji wa maneno
    10. Ukubwa na udogo
    1. Ukanushaji
    12. Umoja na wingi

    3. KUSOMA

  9. Kusoma kwa sauti
    1. Sauti na maneno tatanishi k.m
    p/b,s/sh,l/r,ch/sh,s/z(papa /baba,tata/dada,susu/zuzu)
    2. Vitate k.m kua/kuwa,pua/bua,vua/fua
    3. Maneno tatanishi yenye sauti mwambatano k.m
    mbali/bali,kindani/kidani,buni/mbuni
    4. Sentensi zenye maana tatanishi2. Kusoma kwa ufahamu
    3. Kusoma kwa kina
    1. Riwaya
    2. Ushari
    3. Tamthilia
    4. Kusoma kwa mapana
    5. Kusoma maktabani
    6. Matumizi ya kamusi

    4. KUANDIKA

  10. Uandishi wa kawaida
    1. Majibu ya ufahamu ya maandishi
    2. Muhtasari
    3. Imla2. Utungaji wa kiuamilifu
    1. Barua (i)Rasmi (ii)Mialiko (iii)Risala (iv)Simu
    2. Hotuba
    3. Ratiba k.m siku ya wazazi shuleni
    4. Matangazo
    5. Tahadhari (i)Ilani (ii)Onyo
    6. Maagizo/maelekezo
    7. Shajara
    8. Resipe
    9. Orodha ya mambo
    10. Taarifa
    11. Mahojiano
    12. Dayolojia

    3. Uandishi wa insha
    1. Maelezo
    2. Mazungumzo
    3. Mdokezo
    4. Methali

    4. Utungaji wa kisanii
    1. Hadithi fupi
    2. Mashairi
    3. Michezo ya kuigiza

    * FORM 3

  11. KUSIKILIZA NA KUZUNGUMZA
    1. Maamkizi na mazungumzo
    1. Maamkizi ya heshima na mazungumzo katika mazingira
    2. Mahojiano kama vile baina ya watu wawili
    3. Mjadala kama vile umoja wa kitaifa
    4. Hotuba2. Ufahamu wa kusikiliza
    3. Kusikiliza na kudadisi
    1. Dhima ya fasihi kwa jumla
    2. Umuhimu wa fasihi simulizi
    3. Muainisho wa fasihi simulizi

    2. SARUFI NA MATUMIZI YA LUGHA

  12. Omoja na wingi
    1. Ngeli za nomino na upatanisho wa kisarufi kwa
    mintaarafu ya: (a)Viulizi (b)Idadi (c)-A-unganifu (d)Virejeshi
    \’O\’ na \’amba-\'(e)Visisitizi (f)Pekee (i)-enye (ii)-enyewe
    (iii)-ote (iv)-o-ote (v)-ingine (vi)-ingineo
    2. Vielezi
    1. Vielezi vya: (a)Namna (b)Wakati (c)Idadi/kiasi
    (d)Mahali
    3. Viwakilishi
    4. Mwingiliano wa maneno
    5. Vitenzi
  13. Mzizi wa kitenzi
    2. Viambishi awali katika vitenzi
    3. Viambishi tamati katika vitenzi
    4. Vinyume vya vitenzi
    5. Hali ya kuamrisha
    6. Uundaji wa nomino
    7. Sentensi ya kiswahili
  14. Aina za (i)Virai (ii)Vishazi
    2. Muundo wa sentensi
    3. Aina za sentensi
    4. Uchanganuzi wa sentensi kwa njia ya: (i)jedwali
    (ii)mchoro wa matawi (iii)mstari8. Nyakati na hali
    1. Nyakati -LI-,-NA-,-TA-
    2. Hali ya,-KI-,-KA-,-A-,-PO-,-KU-
    3. Ukanushaji
    4. Uakifishaji
    5. Mnyambulik wa vitenzi

    3. KUSOMA

  15. Kusoma kwa sauti
    2. Kusoma kwa ufahamu
    3. Kusoma kwa kina
    4. Kusoma kwa mapana4. KUANDIKA
  16. Uandishi wa kawaida
    1. Majibu ya ufahamu na uchanganuzi
    2. Muhtasari
    3. Tahakiki za kazi za kisanii2. Utungaji wa kiuamilifu
    1. Barua
    2. Ratiba k.m sherehe za arusi
    3. Taharadhi (i)Ilani (ii)Onyo
    4. Matangazo
    5. Maagizo/maelekezo
    6. Tawasifu
    7. Wasifu
    8. Resipe
    9. Kumbukumbu
    10. Ripoti
    11. Mahojiano na dayolojia
    12. Kujaza fomu na hojaji
    13. Insha za kitaaluma k.m makala ya redio na runinga

    3. Uandishi wa insha
    4. Utungaji wakisanii
    1. Michezo ya kuigiza
    2. Mikusanyiko ya kazi za fasihi simulizi
    3. Mashairi

    * FORM 4

  17. KUSIKILIZA NA KUZUNGUMZA
  18. Maamkizi na mazungumzo
    2. Ufahamu wa kusikiliza
    3. Kusikiliza na kudadisi
    1. Sifa bainifu za fasihi simulizi na fasihi andishi
    2. Muanisho wa fasihi simulizi (i)semi (ii)Masimulizi
    ya hadithi (iii)Mazungumzo
    3. Maigizo kutegemea shabaha na miktadha
    4. Ngomezi
    5. Ushairi2. SARUFI NA MATUMIZI YA LUGHA
  19. Ngeli za nomino
    1. Ngeli za nomino na upatanisho wa kisarufi kwa
    mintarafu ya: (i)Virejeshi \’O\’ na \’amba\’ (ii)Vivumishi
    2. Aina mbalimbali za maneno
    1. Viunganishi
    2. Nomino
    3. Vitenzi
    4. Viwakilishi
    5. Vivumishi
    6. Vielezi
    7. Vihusishi
    8. Vihisishi3. Mwingiliano wa aina mbalimbali za maneno k.m kivumishi
    kuwa nomino
    4. Muundo wa sentensi ya kiswahili
    5. Mnyamuliko wa vitenzi vya:
    1. Asili ya kigeni
    2. Silabi moja
    3. Asili ya kibantu

    6. Nyakati na hali
    1. Nyakati: LI,NA.TA
    2. Hali:ME,HU,NGE,NGELI,NGALI,PO,A,KA,KI,KU
    3. Hali ya kuamuru
    4. Ukanushaji kutegemea nafsi

    7. Uakifishaji
    8. Uundaji wa maneno
    1. Nomino kutokana na mzizi wa nomino
    2. Nomino kutokana na mzizi wa kitenzi
    3. Kitenzi kutokana na mzizi wa nomino
    4. Kivumishi kutokana na mzizi wa nomino
    5. Nomino kutokana na mzizi wa kivumishi
    6. Kivumishi kutokana na mzizi wa kitenzi
    7. Kitenzi kutokanan na mzizi wa kivumishi
    9. Matumizi ya maneno na viambishi maalum
    10. Umoja na wingi

    3. KUSOMA

  20. Kusoma kwa sauti
    2. Kusoma kwa ufahamu
    3. Kusoma kwa kina
    4. Kusoma kwa mapana4. KUANDIKA
  21. Uandishi wa kawaida
    1. Majibu ya ufahamu na uchanganuzi
    2. Muhtasari
    3. Tahakiki za kazi za kisanii2. Utungaji wa kiuamilifu
    3. Uandishi wa insha
    1. Masimulizi
    2. Mazungumzo
    3. Mawazo
    4. Maelezo

Leave a Comment