• Sat. May 10th, 2025

    Newsblaze.co.ke

    A site providing Education, TSC, Universities, Helb, Sports and Kuccps news

    KISWAHILI LESSON PLANS FORM 2 FREE

    ByHillary Kangwana

    Mar 24, 2025

                      MIPANGILIO YA VIPINDI/MASOMO      MUHULA WA KWANZA       KIDATO CHA PILI

    JINA LA  MWALIMU:………………………………………………

    NAMBARI LA TSC:………………………………………………………

    SHULE :……………………………………………………………MWAKA:……………………………………………………………………

    KIDATO CHA PILI                                                             SOMO LA KISWAHILI

    MADA KUU: KUSOMA(UFAHAMU)                             MADA NDOGO :Ndugu majuu na wakazi wa kibabuu

    WIKI:………2………………………………………………………NAMBARI LA SOMO:1

    TAREHE :…………………………………………………………..WAKATI: DAKIKA 40

    SHABAHA : Kufika mwisho wa somo mwanafunzi aweze;

    • kusoma kwa matamshi
    • kutumia msamiati na misemo  kwa ufasaha
    •  kujibu maswali kwa usahihi.
     

    HATUA NA MUDA

     

    YALIYOMO

     

    SHUGHILI ZA MWALIMU NA MWANAFUNZI

     

    NYENZO

     

    UTANGULIZI

    (DAK.5)

    Maamkizi

    Kupitia somo lililopita

    Mwalimu na wanafunzi kuamkiana

    Maelezo mafupi,maswali na majibu kuhusu somo lililopita

    Wanafunzi wenyewe

    Matini ya mwalimu

    MWENDELEZO

    (DAK.30)

    Mwalimu kuwaelekeza wanafunzi kusoma ufahamu, kutambua misamiati,misemo,methali na nahau na kuyapa  maana kamili kulingana na ufahamu kisha wanafunzi kuyatumia katika utunzi wa sentensi  ili kubainisha maana zao kikamilifu

     

    Kusoma ufahamu kwa kina na mantiki

    Maswali na majibu baina ya mwalimu na wanafunzi kuhusu ufahamu

    Majadiliano baina ya mwalimu na wanafunzi

    Utunzi wa sentensi

    Chemi chemi za Kiswahili    2

    (uk 1-3)

    Kamusi ya misemo na nahau(k.w wamithila)

    Matini ya mwalimu

    Wanafunzi wenyewe

    HITIMISHO

    (DAK.5)

    Mwalimu kutoa maelezo mafupi kuhusu somo

    Zoezi kwa wanafunzi kuhusu somo

    Maelezo mafupi, maswali na majibu kuhusu somo

    Wanafunzi kufanya zoezi

    Chemi chemi za Kiswahili    2

    (uk 1-3)

    Kamusi ya misemo na nahau(k.w wamithila)

    Matini ya mwalimu

    Wanafunzi wenyewe

     

    JINA LA MWALIMU:……………………………………………..

    .NAMBARI LA TSC:………………………………………………………

    SHULE :……………………………………………………………MWAKA:……………………………………………………………………

    KIDATO CHA PILI                                                             SOMO LA KISWAHILI

    MADA KUU: KUSIKILIZA NA KUZUNGUMZA          MADA NDOGO : Isimu jamii;

    Majadiliano baina ya mwanafunzi na mwalimu

    WIKI:…………2…………………………………………………NAMBARI LA SOMO:2

    TAREHE :………………………………………………………….WAKATI: DAKIKA 40

    SHABAHA : Kufika mwisho wa somo mwanafunzi aweze;

    • kuelezea sifa za mazungumzo shuleni
    •  kuweza kuigiza mazungumzo baina ya mwalimu na mwanafunzi
     

    HATUA NA MUDA

     

    YALIYOMO

     

    SHUGHILI ZA MWALIMU NA MWANAFUNZI

     

    NYENZO

     

    UTANGULIZI

    (DAK.5)

    Maamkizi

    Kupitia somo lililopita

    Mwalimu na wanafunzi kuamkiana

    Maelezo mafupi,maswali na majibu kuhusu somo lililopita

    Wanafunzi wenyewe

    Matini ya mwalimu

    MWENDELEZO

    (DAK.30)

    Isimu jamii;

    Majadiliano baina ya mwalimu na mwanafunzi;

    Mwalimu kutoa maelezo ya maana ya isimu jamii na sifa za majadiliano baina ya mwalimu na mwanafunzi

    Mwalimu kuwaelekeza wanafunzi kusoma majadiliano baina ya mwalimu na mwanafunzi na wanafunzi kuweza kuigiza darasani.

    Majadiliano  baina ya mwalimu na wanafunzi kuhusu sajili ya darasani

    Maelezo kutoka kwa mwalimu

    Majibu na maswali baina ya mwalimu na wanafunzi

    Kusoma mazungumzo baina mwalimu na mwanafunzi

    Uigizaji wa mazungumzo hayo

    Chemi chemi za Kiswahili    2

    (uk 4-5)

    Matini ya mwalimu

    Wanafunzi wenyewe

    HITIMISHO

    (DAK.5)

    Mwalimu kutoa maelezo mafupi kuhusu somo

    Zoezi kwa wanafunzi kuhusu somo

    Maelezo mafupi, maswali na majibu kuhusu somo

    Wanafunzi kufanya zoezi

    Chemi  chemi za Kiswahili   2

    (uk 4-5)

    Matini ya mwalimu

    Wanafunzi wenyewe

     

    JINA  LA MWALIMU:……………………………………………..

    .NAMBARI LA TSC:………………………………………………………

    SHULE :……………………………………………………………MWAKA:……………………………………………………………………

    KIDATO CHA PILI                                                             SOMO LA KISWAHILI

    MADA KUU: SARUFI NA MATUMIZI YA LUGHA     MADA NDOGO : Mofimu

    WIKI:…………2……………………………………………………NAMBARI LA SOMO:3

    TAREHE :…………………………………………………………..WAKATI: DAKIKA 40

    SHABAHA : Kufika mwisho wa somo mwanafunzi aweze;

    • kueleza maana ya mofimu na aina zake
    • kuweza kutambua  mofimu katika maneno
    • kutaja maana mbalimbali zinazowakilishwa na mofimu
     

    HATUA NA MUDA

     

    YALIYOMO

     

    SHUGHILI ZA MWALIMU NA MWANAFUNZI

     

    NYENZO

     

    UTANGULIZI

    (DAK.5)

    Maamkizi

    Kupitia somo lililopita

    Mwalimu na wanafunzi kuamkiana

    Maelezo mafupi,maswali na majibu kuhusu somo lililopita

    Wanafunzi wenyewe

    Matini ya mwalimu

    MWENDELEZO

    (DAK.30)

    Mofimu;

    Mwalimu kutoa maelezo ya maana ya mofimu, aina za mofimu, kuonyesha mofimu katika maneno na kutaja maana mbalimbali zinazowakilishwa na mofimu

    Wanafunzi kusikiliza kwa makini na kuandika maelezo ya mwalimu

    Majadiliano baina ya mwalimu na wanafunzi

    Maelezo kuhusu somo kutoka kwa mwalimu

    Mazungumzo baina ya mwalimu na wanafunzi

    Maswali na majibu baina ya mwalimu na wanafunzi

    Wanafunzi kuandika maelezo ya mwalimu

     

    Chemi chemi za Kiswahili    2

    (uk 6-8)

    Matini ya mwalimu

    Wanafunzi wenyewe

    HITIMISHO

    (DAK.5)

    Mwalimu kutoa maelezo mafupi kuhusu somo

    Zoezi kwa wanafunzi kuhusu somo

    Maelezo mafupi, maswali na majibu kuhusu somo

    Wanafunzi kufanya zoezi

    Chemi chemi za Kiswahili    2

    (uk 6-8)

    Matini ya mwalimu

    Wanafunzi wenyewe